Namna ya Kuishi na Mke Seh 2

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 38

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo2543 3 года назад

    Ee Mungu wangu Nakuomba hekima na marifa,mafudisho yanaguza sana Mungu tusaidie sana runs kuitaaji MUNGU BABA kwa yote utuongoze na kututawala.

  • @wizimbaya2616
    @wizimbaya2616 5 лет назад

    Hongela mutumisha tupemafundisho manasisi tunaowa bila kujifahamu tama tu ilitujulikani eti tumeowa tu basi

  • @emilyvngoma4911
    @emilyvngoma4911 6 лет назад +1

    Mwenyezi MUNGU kakufanya kua furaha ktk maisha yangu, Barikiwa Sana tena sana Mchungaji

  • @caleboloo3438
    @caleboloo3438 5 лет назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi kwa mafunzo haya mazuri

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад

    Amina kweli pastor much blessings

  • @akinyisusan8049
    @akinyisusan8049 5 лет назад +1

    Aki mafunzo mazuri sana asande

  • @julianacharles9828
    @julianacharles9828 6 лет назад

    Mchungaji barikiwa Sana MUNGU akulinde Sana. NAOMBA MUNGU siku moja uje kwenye mtaa wetu .

  • @ntijeellynkolante6993
    @ntijeellynkolante6993 5 лет назад

    Ubarikiwe sana mchungaji umejua hisia za wamama vizuri sana na kuhusu rafiki wa kweli ni Yesu tu

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 года назад

    Mchungaj unasem kweli

  • @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613
    @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613 6 лет назад

    Amen Mtumishi wa Mungu barikiwa sana

  • @aaronimsole462
    @aaronimsole462 6 лет назад

    Mtumishi uko vizuri kimafundisho DVD zake twaweza pataje kwa wtu wa ruvuma songea

  • @miserecordiuslema9493
    @miserecordiuslema9493 5 лет назад +1

    Mtumishi mimi nipo Oman nakufatlia sana uko vizur nimejifunza ktu

  • @annasangwa4989
    @annasangwa4989 5 лет назад

    yaan we mchungaji unaakili sana mfundisho yako yanaakili sana

  • @annasangwa4989
    @annasangwa4989 5 лет назад

    Amen ameshatusamee

  • @holySpiritchoir24
    @holySpiritchoir24 5 лет назад +1

    Mtumishi hata kama Nina huzuni siwezi kunyoosha mkono..maana Neno lasema aliye dhaifu aseme Nina nguvu, Masikini aseme ni tajiri...
    Marufuku kukiri udhaifu...

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 5 лет назад

    Nime barikiwa sana mchungaji

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 6 лет назад

    pastor stachoka na mafunzo yako,barikiwa sana

  • @chaguojuma1982
    @chaguojuma1982 5 лет назад

    Daaah laiti ingekuwa hvo unavosema huzun na mateso ya moyo vingepungua ktk familia zilizo nyingi

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 6 лет назад

    Mafundisho Mazuri sana mtumishi nimebarikiwa

  • @jeremiamisango4458
    @jeremiamisango4458 6 лет назад +1

    Mtumishi kiukweli mm nimfatiliaji wa vipindi vyako ni vizuri sana

  • @tumainimwakasaka375
    @tumainimwakasaka375 6 лет назад

    Napenda sana mafundisho yako

  • @elliahsikira3746
    @elliahsikira3746 6 лет назад +1

    Be blessed

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku52 5 лет назад +1

    Mimi napenda uwazi na ukweli bila hiyo sioni tukienda Bali hata na marafiki I am allergic of disloyalty for real

  • @sumayigilya9442
    @sumayigilya9442 6 лет назад

    Amina

  • @josephmatinde5051
    @josephmatinde5051 5 лет назад

    Hakika unaweza

  • @sekelahassan8490
    @sekelahassan8490 5 лет назад

    nimebarikiwa sana

  • @nolascomwinuka8080
    @nolascomwinuka8080 5 лет назад

    Nmependa

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku52 5 лет назад

    usiendeshwe na hisia tumia akili kweli kabisa

  • @jalaljalal5258
    @jalaljalal5258 6 лет назад

    mbarikiwe sana

  • @josephobedi5969
    @josephobedi5969 6 лет назад

    Mchungaji, huwa unanibariki sana...

  • @tumainimwakasaka375
    @tumainimwakasaka375 6 лет назад

    Mchungaji unasalisha kanisa gani