Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mtumishi kuna mtu anapona kwa hili neno,Niliminywa mwaka 2021 na leo nimepona jina Yesu libarikiwe
Uliminywaje tuambie huenda ushuhuda wako ukatujenga!!! Kama hautojali lakini
@@highzacknnko9685 asante mchangaji law somo zuri.
Mungu Asante Kwa neno ambalo limenivusha
True 😅😅😅hata Mimi niliminywa 2020 siwezi kusahau,, madeni makubwa,, mahusiano kufa,, kazi kupoteza,, but namshukuru nimeibuka nikiwa imara na nazidi kuboreka kila sekta
Loving your teaching every day I get to listen to you.More grace Rev.🇰🇪
Nabarikiwa sana na mafundisho ya mchungaj kimaro Mungu akutunze tuzidi kuona matunda yako
Uko vizur mchungaji mungu akulinde utukumbuke wamatala
Ooh Mungu anivushe hapa Gethsemane! Amen
Amen🙏 Huwa nabarikiwa Sana na mahubiri yako.
Amen 🙏
ASANTE Mungu/Yesu..🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi
Uko vizuri mtumishi
Amina mtumishi ubarikiwe sana
Amina much....jina la bwana libarikiwe
Amina ubarikiwe pastor
Amen ❤❤
Barikiwa sana
Mimi nimeminywa haswa asante baba yangu Jehovah endelea kukamua mpaka pale unapotaka
Hahahaha
Amen
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Hii kitu imenikuta mwa 2022 wee 😥
Getsthemane! Oooh
Natamani nionane na wewe mtumishi nikueleze magumu yangu NILIYONAYO Kwa sasa naendelea kubarikiwa na kukusikiliza
Napenda maubiri yako mchungaji aky Hilo limewai nitokea woooiyee 😢
Asante kwa mtikisiko 🤔
Asante
Naweza pata namba ya huyu mchungaji jamani
Aika mbee
Ndgu zangu nahitaji namba ya hyu mchungaji
umeniongeza
Kila Hannah anamhitaji Peninah ili Samweli atokee
Mi nimeminywa mpaka naona dunia chungu yaaan naona sinasamani yakuishi tena kwenye hii dunia,, Naona Bora Nife Tu pengine nitapumzika.
dear wangu kwann umekata tamaa hivyo Mungu bado anakupenda mtegemee yeye na kumwamini atakuvusha
Usikate tamaa mimi napitia magumu lakini simuachi mungu yani kila kukicha ni mitihani tu
@@rhobywerema6996 mi nimechoka staki tena kuish kwenye hii dunia nataka kufa Tu,nimesha mwomba Mungu Anichukue tuu nashangaa Sifi.
@@jehovajonas9284 mi nataka kufa Staki kuishi tena.
Hakuna kukata tamaa songa mbele
Baba kwa yote unayo pitia sema ndy ila Mungu anataka ufungue kanisa la kipetekost usimame hapo uwaite watu kwa Yesu
Kwani Hilo sio kanisa, sikiliza neno la Mungu upone
Amina🤣🤣🤣🤣
Ombea adui zako. 1.hannah SAMWELI!
Barikiwa Sana kwa maombi mazurii baba
Amen Baba
Mtumishi kuna mtu anapona kwa hili neno,Niliminywa mwaka 2021 na leo nimepona jina Yesu libarikiwe
Uliminywaje tuambie huenda ushuhuda wako ukatujenga!!! Kama hautojali lakini
@@highzacknnko9685 asante mchangaji law somo zuri.
Mungu Asante Kwa neno ambalo limenivusha
True 😅😅😅hata Mimi niliminywa 2020 siwezi kusahau,, madeni makubwa,, mahusiano kufa,, kazi kupoteza,, but namshukuru nimeibuka nikiwa imara na nazidi kuboreka kila sekta
Loving your teaching every day I get to listen to you.
More grace Rev.
🇰🇪
Nabarikiwa sana na mafundisho ya mchungaj kimaro Mungu akutunze tuzidi kuona matunda yako
Uko vizur mchungaji mungu akulinde utukumbuke wamatala
Ooh Mungu anivushe hapa Gethsemane! Amen
Amen🙏 Huwa nabarikiwa Sana na mahubiri yako.
Amen 🙏
ASANTE Mungu/Yesu..🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi
Uko vizuri mtumishi
Amina mtumishi ubarikiwe sana
Amina much....jina la bwana libarikiwe
Amina ubarikiwe pastor
Amen ❤❤
Barikiwa sana
Mimi nimeminywa haswa asante baba yangu Jehovah endelea kukamua mpaka pale unapotaka
Hahahaha
Amen
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Hii kitu imenikuta mwa 2022 wee 😥
Getsthemane! Oooh
Natamani nionane na wewe mtumishi nikueleze magumu yangu NILIYONAYO Kwa sasa naendelea kubarikiwa na kukusikiliza
Napenda maubiri yako mchungaji aky Hilo limewai nitokea woooiyee 😢
Asante kwa mtikisiko 🤔
Asante
Naweza pata namba ya huyu mchungaji jamani
Aika mbee
Ndgu zangu nahitaji namba ya hyu mchungaji
umeniongeza
Kila Hannah anamhitaji Peninah ili Samweli atokee
Mi nimeminywa mpaka naona dunia chungu yaaan naona sinasamani yakuishi tena kwenye hii dunia,, Naona Bora Nife Tu pengine nitapumzika.
dear wangu kwann umekata tamaa hivyo
Mungu bado anakupenda mtegemee yeye na kumwamini atakuvusha
Usikate tamaa mimi napitia magumu lakini simuachi mungu yani kila kukicha ni mitihani tu
@@rhobywerema6996 mi nimechoka staki tena kuish kwenye hii dunia nataka kufa Tu,nimesha mwomba Mungu Anichukue tuu nashangaa Sifi.
@@jehovajonas9284 mi nataka kufa Staki kuishi tena.
Hakuna kukata tamaa songa mbele
Baba kwa yote unayo pitia sema ndy ila Mungu anataka ufungue kanisa la kipetekost usimame hapo uwaite watu kwa Yesu
Kwani Hilo sio kanisa, sikiliza neno la Mungu upone
Amina🤣🤣🤣🤣
Ombea adui zako. 1.hannah SAMWELI!
Amen
Barikiwa Sana kwa maombi mazurii baba
Amen Baba