REV. DR. ELIONA KIMARO: HUWEZI KUFANIKIWA HADI UMINYWE KAMA MBEGU YA ALIZETI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 56

  • @reginameitavan4032
    @reginameitavan4032 Год назад +14

    Mtumishi kuna mtu anapona kwa hili neno,Niliminywa mwaka 2021 na leo nimepona jina Yesu libarikiwe

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад +2

      Uliminywaje tuambie huenda ushuhuda wako ukatujenga!!! Kama hautojali lakini

    • @vumiliaswai3519
      @vumiliaswai3519 Год назад +1

      @@highzacknnko9685 asante mchangaji law somo zuri.

    • @lilianngowi
      @lilianngowi Год назад

      Mungu Asante Kwa neno ambalo limenivusha

    • @emmanuelelias7589
      @emmanuelelias7589 Год назад +1

      True 😅😅😅hata Mimi niliminywa 2020 siwezi kusahau,, madeni makubwa,, mahusiano kufa,, kazi kupoteza,, but namshukuru nimeibuka nikiwa imara na nazidi kuboreka kila sekta

  • @marywaweru3670
    @marywaweru3670 Год назад +4

    Loving your teaching every day I get to listen to you.
    More grace Rev.
    🇰🇪

  • @MagrethMbwambo
    @MagrethMbwambo 4 месяца назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho ya mchungaj kimaro Mungu akutunze tuzidi kuona matunda yako

  • @Sixbethtemba-c1j
    @Sixbethtemba-c1j Год назад

    Uko vizur mchungaji mungu akulinde utukumbuke wamatala

  • @joshuambwile1989
    @joshuambwile1989 Год назад

    Ooh Mungu anivushe hapa Gethsemane! Amen

  • @noahkivuyo1195
    @noahkivuyo1195 Год назад

    Amen🙏 Huwa nabarikiwa Sana na mahubiri yako.

  • @user-ji9sq5sm5y
    @user-ji9sq5sm5y 6 месяцев назад

    Amen 🙏

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika7576 Год назад

    ASANTE Mungu/Yesu..🙏🙏🙏

  • @jastinpiniel4447
    @jastinpiniel4447 Год назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi

  • @feristerrwechungula6407
    @feristerrwechungula6407 Год назад

    Uko vizuri mtumishi

  • @anordgodibless1361
    @anordgodibless1361 Год назад

    Amina mtumishi ubarikiwe sana

  • @godwinmjelwa6734
    @godwinmjelwa6734 Год назад

    Amina much....jina la bwana libarikiwe

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 Год назад

    Amina ubarikiwe pastor

  • @philipwabwireopemi6699
    @philipwabwireopemi6699 10 месяцев назад

    Amen ❤❤

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Год назад

    Barikiwa sana

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 Год назад

    Mimi nimeminywa haswa asante baba yangu Jehovah endelea kukamua mpaka pale unapotaka

  • @esthermodestus7649
    @esthermodestus7649 Год назад

    Amen

  • @joxeesety2616
    @joxeesety2616 Год назад

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @jacksonmenas6026
    @jacksonmenas6026 Год назад +1

    Hii kitu imenikuta mwa 2022 wee 😥

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад

    Getsthemane! Oooh

  • @NiceMuro
    @NiceMuro 4 месяца назад

    Natamani nionane na wewe mtumishi nikueleze magumu yangu NILIYONAYO Kwa sasa naendelea kubarikiwa na kukusikiliza

  • @hellenfervord3285
    @hellenfervord3285 Год назад

    Napenda maubiri yako mchungaji aky Hilo limewai nitokea woooiyee 😢

  • @everlynkilimba3963
    @everlynkilimba3963 Год назад

    Asante kwa mtikisiko 🤔

  • @mwl.frankmadembo7472
    @mwl.frankmadembo7472 Год назад

    Asante

  • @godwinmjelwa6734
    @godwinmjelwa6734 Год назад

    Naweza pata namba ya huyu mchungaji jamani

  • @godymaduka7422
    @godymaduka7422 Год назад

    Aika mbee

  • @godwinmjelwa6734
    @godwinmjelwa6734 Год назад

    Ndgu zangu nahitaji namba ya hyu mchungaji

  • @rhodakisena6428
    @rhodakisena6428 Год назад

    umeniongeza

  • @lucasolody1017
    @lucasolody1017 Год назад

    Kila Hannah anamhitaji Peninah ili Samweli atokee

  • @sia4867
    @sia4867 Год назад +2

    Mi nimeminywa mpaka naona dunia chungu yaaan naona sinasamani yakuishi tena kwenye hii dunia,, Naona Bora Nife Tu pengine nitapumzika.

    • @jehovajonas9284
      @jehovajonas9284 Год назад +3

      dear wangu kwann umekata tamaa hivyo
      Mungu bado anakupenda mtegemee yeye na kumwamini atakuvusha

    • @rhobywerema6996
      @rhobywerema6996 Год назад +4

      Usikate tamaa mimi napitia magumu lakini simuachi mungu yani kila kukicha ni mitihani tu

    • @sia4867
      @sia4867 Год назад +2

      @@rhobywerema6996 mi nimechoka staki tena kuish kwenye hii dunia nataka kufa Tu,nimesha mwomba Mungu Anichukue tuu nashangaa Sifi.

    • @sia4867
      @sia4867 Год назад +1

      @@jehovajonas9284 mi nataka kufa Staki kuishi tena.

    • @emmanueltillya2017
      @emmanueltillya2017 Год назад +1

      Hakuna kukata tamaa songa mbele

  • @johncharleslubyagila4258
    @johncharleslubyagila4258 Год назад

    Baba kwa yote unayo pitia sema ndy ila Mungu anataka ufungue kanisa la kipetekost usimame hapo uwaite watu kwa Yesu

    • @lucianagodson437
      @lucianagodson437 Год назад

      Kwani Hilo sio kanisa, sikiliza neno la Mungu upone

  • @fathiasaed9718
    @fathiasaed9718 Год назад

    Amina🤣🤣🤣🤣

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад

    Ombea adui zako. 1.hannah SAMWELI!

  • @marthahaule8520
    @marthahaule8520 Год назад

    Amen