NGUZO ZA UISLAMU NI SITA | WENGI WANAZIJUA TANO TU | MPAKA USOME NDIO UTAIJUA | SHARIF MWENYEBABA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 34

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp Год назад

    Allah akuziidishie elmu na ufafanuzi wako shekh tumekufahamu vzr Allah akupe umri mrefu

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +1

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Khairan

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Год назад

    Barak Allah feeq, jazzaka Allah kheri.

  • @mpetaamarijani2656
    @mpetaamarijani2656 Год назад

    MashaAllah Allah akuhifadhi udumu pia ktk darsa kuelimisha umma

  • @MussaRashidi-ds6hn
    @MussaRashidi-ds6hn Год назад

    Nyi nyi mlio mtusi shekh elimu zenu mishale hazikutulia mawahabi Muna Lana hakuombewa Dua namtume nadua ya kehuleta utulivu fungua bongo lako msikilize vizuri utaelewa labda kwasababu vichw Koko hamuelewi

  • @mohdmmanga7304
    @mohdmmanga7304 Год назад

    Masufi bhana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Год назад

    Allah razı olsun

  • @jiongezeemaarifa1496
    @jiongezeemaarifa1496 Год назад

    Ni tano sita vipi?
    Hakuna mtu mwenye elimu zaidi kuliko Mtume (S.A.W)
    Narejea tena nguzo za Uislamu ni tano tu tuache ujuaji mwingi!
    Nguzo za Imani ziko 6 na Ihasaan ni nguzo moja!

  • @muhammadhassanmsaky375
    @muhammadhassanmsaky375 Год назад +2

    Mzee hadiith dwaifu Acha kuleta shubha

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS Год назад

    KINACHOJENGA SIO LAZIMA IWE NGUZO. UNADHIFU SIO RUKN, SIO NGUZO. YAWEZA KUWA MLANGO, DIRISHA, UKUTA. UISLAMU UNA MENGI MENGINE ZAIDI YA NGUZO. HAUKO KAMA GOFU.

  • @AbubakariDaudi-zs6wp
    @AbubakariDaudi-zs6wp Год назад +1

    😢😢

  • @dullaone454
    @dullaone454 Год назад +3

    Muwe mnamsikiliza mtu vizuri na muelewe huyo shekh amesema nguzo ni tano tu. Lakini ametoa faida katika nguzo zote tano inahitajika usafi kwa kila moja. Tanbihi ni kwa hawa wanaoandika vichwa cha mada huenda ikawa hawasikilizi yanayosemwa wao wanaweka tu vichwa vya mada ambavyo haviendani na mada husika.

  • @majidiabdi424
    @majidiabdi424 Год назад

    Jinga kweli kweli, WAPI Mtume Kataja Sita? Mtume Kataja TANO ,ina Maana hakujua 6 inaijua WEWE?
    Mijitu hii Bwana,kazi Ni kunyoa Ndevu tuuuuu Na kuburuza Nguo liangalie USO kama Wa Wakina MAMA

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад

    Kwa iyo ww dio msomi mkubwa zaidi ya mtume masufi bwana

  • @alybinmana6197
    @alybinmana6197 Год назад +1

    Na huyu ndio aitwa msomi

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 Год назад

    Tunavyo jua shurut salat 8
    Kwanza uwe muislam na kupambanua 2 ujue hedh na nifas 3 pasiwe na kitu kinacho weza kuzuia maji kwenye ngozi na kadhalika maji yawe tohara .ilmu uwe unayo juu ya kile unacho kisoma

  • @baishemoha8941
    @baishemoha8941 Год назад

    Comments bila kusikiliza kwa makini mpaka mwisho.Tatizo ni walioandika kichwa cha mada.Sheikh ameelezea vizuri sana nguzo ni tano (5) na akasisitiza nguzo ni tano (5)

  • @HusnaSultan-pz9ep
    @HusnaSultan-pz9ep Год назад +2

    Nguzo ni 5 iyo ya 6 si nguzo usituvuruge

  • @fatmamohammad623
    @fatmamohammad623 Год назад

    SWADAKTA

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Год назад +1

    MZEE RUDI UKASOME VIZURI, MASWAHABA HAWAKUWA NA UWELEWA KAMA WAKO

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 Год назад +1

    Kesho mtatuambia 7

    • @dullaone454
      @dullaone454 Год назад

      Msikilize vizur umuelewe siyo unasoma hvyo vichwa vya mada hapo juu hao wenyewe hawasikiliz mada wanapost tu. 🙏🏾

    • @AhmadaTahir-cu8se
      @AhmadaTahir-cu8se Год назад

      Muwe munasikiliza kwanza na sio kuvamia vamia tuuu

    • @alybinmana6197
      @alybinmana6197 Год назад +1

      Wataongeza tena 5 ziwe 10 au baadae watatuambia nguzo za uislam inategemea na ukubwa wa mskiti 😂masufi bwana wanafurahisha

  • @aliali-gw5pq
    @aliali-gw5pq Год назад

    Duh! Huyu babu hata vigawanyo vya tohara havijui!! na hadithi aloitegemea pia siyo

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 Год назад +1

    Sasa Leo anatujia mtu anaongeza kitu
    Ukisoma sshart za sala utakuta zipo nane 8 hapa utaonana na kitu unadhifu halafu utakuta nguzo za dini ni 3 all Islam wall imaan wall iksan huyu Leo kaengeza yake mtihani huu tumekaa more then 30 years sijasikia hii innanllillah wainna illah rajioun

    • @bibazanzibariyyah5043
      @bibazanzibariyyah5043 Год назад +1

      Ahlul bidaah ndio Kazi yao kuongeza vionyo hadith IPO Wazi misufi haiwezani nasurullah yahdihum wa yahdina jamiia

    • @AhmadaTahir-cu8se
      @AhmadaTahir-cu8se Год назад

      Tatizo hua hamusikilizi kwanza kisha mukaelewaaa

    • @alybinmana6197
      @alybinmana6197 Год назад

      ​@@AhmadaTahir-cu8se
      Ww ukishamuelew yatosha sis wengine Kwa hili la nguzo za uislam ni sita hatutaki kufahamu

    • @jumamohamed628
      @jumamohamed628 Год назад

      Acha kuzuia clip inaongelea mengine wewe unakurupuka na mengine