Nyi nyi mlio mtusi shekh elimu zenu mishale hazikutulia mawahabi Muna Lana hakuombewa Dua namtume nadua ya kehuleta utulivu fungua bongo lako msikilize vizuri utaelewa labda kwasababu vichw Koko hamuelewi
Ni tano sita vipi? Hakuna mtu mwenye elimu zaidi kuliko Mtume (S.A.W) Narejea tena nguzo za Uislamu ni tano tu tuache ujuaji mwingi! Nguzo za Imani ziko 6 na Ihasaan ni nguzo moja!
KINACHOJENGA SIO LAZIMA IWE NGUZO. UNADHIFU SIO RUKN, SIO NGUZO. YAWEZA KUWA MLANGO, DIRISHA, UKUTA. UISLAMU UNA MENGI MENGINE ZAIDI YA NGUZO. HAUKO KAMA GOFU.
Muwe mnamsikiliza mtu vizuri na muelewe huyo shekh amesema nguzo ni tano tu. Lakini ametoa faida katika nguzo zote tano inahitajika usafi kwa kila moja. Tanbihi ni kwa hawa wanaoandika vichwa cha mada huenda ikawa hawasikilizi yanayosemwa wao wanaweka tu vichwa vya mada ambavyo haviendani na mada husika.
Jinga kweli kweli, WAPI Mtume Kataja Sita? Mtume Kataja TANO ,ina Maana hakujua 6 inaijua WEWE? Mijitu hii Bwana,kazi Ni kunyoa Ndevu tuuuuu Na kuburuza Nguo liangalie USO kama Wa Wakina MAMA
Tunavyo jua shurut salat 8 Kwanza uwe muislam na kupambanua 2 ujue hedh na nifas 3 pasiwe na kitu kinacho weza kuzuia maji kwenye ngozi na kadhalika maji yawe tohara .ilmu uwe unayo juu ya kile unacho kisoma
Comments bila kusikiliza kwa makini mpaka mwisho.Tatizo ni walioandika kichwa cha mada.Sheikh ameelezea vizuri sana nguzo ni tano (5) na akasisitiza nguzo ni tano (5)
Sasa Leo anatujia mtu anaongeza kitu Ukisoma sshart za sala utakuta zipo nane 8 hapa utaonana na kitu unadhifu halafu utakuta nguzo za dini ni 3 all Islam wall imaan wall iksan huyu Leo kaengeza yake mtihani huu tumekaa more then 30 years sijasikia hii innanllillah wainna illah rajioun
Allah akuziidishie elmu na ufafanuzi wako shekh tumekufahamu vzr Allah akupe umri mrefu
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Khairan
Barak Allah feeq, jazzaka Allah kheri.
MashaAllah Allah akuhifadhi udumu pia ktk darsa kuelimisha umma
Nyi nyi mlio mtusi shekh elimu zenu mishale hazikutulia mawahabi Muna Lana hakuombewa Dua namtume nadua ya kehuleta utulivu fungua bongo lako msikilize vizuri utaelewa labda kwasababu vichw Koko hamuelewi
Masufi bhana
Allah razı olsun
Ni tano sita vipi?
Hakuna mtu mwenye elimu zaidi kuliko Mtume (S.A.W)
Narejea tena nguzo za Uislamu ni tano tu tuache ujuaji mwingi!
Nguzo za Imani ziko 6 na Ihasaan ni nguzo moja!
Mzee hadiith dwaifu Acha kuleta shubha
Toa hiyo swahihi
KINACHOJENGA SIO LAZIMA IWE NGUZO. UNADHIFU SIO RUKN, SIO NGUZO. YAWEZA KUWA MLANGO, DIRISHA, UKUTA. UISLAMU UNA MENGI MENGINE ZAIDI YA NGUZO. HAUKO KAMA GOFU.
😢😢
Muwe mnamsikiliza mtu vizuri na muelewe huyo shekh amesema nguzo ni tano tu. Lakini ametoa faida katika nguzo zote tano inahitajika usafi kwa kila moja. Tanbihi ni kwa hawa wanaoandika vichwa cha mada huenda ikawa hawasikilizi yanayosemwa wao wanaweka tu vichwa vya mada ambavyo haviendani na mada husika.
Jinga kweli kweli, WAPI Mtume Kataja Sita? Mtume Kataja TANO ,ina Maana hakujua 6 inaijua WEWE?
Mijitu hii Bwana,kazi Ni kunyoa Ndevu tuuuuu Na kuburuza Nguo liangalie USO kama Wa Wakina MAMA
Umesikiliza mpka mwisho
Kwa iyo ww dio msomi mkubwa zaidi ya mtume masufi bwana
Na huyu ndio aitwa msomi
Tunavyo jua shurut salat 8
Kwanza uwe muislam na kupambanua 2 ujue hedh na nifas 3 pasiwe na kitu kinacho weza kuzuia maji kwenye ngozi na kadhalika maji yawe tohara .ilmu uwe unayo juu ya kile unacho kisoma
Comments bila kusikiliza kwa makini mpaka mwisho.Tatizo ni walioandika kichwa cha mada.Sheikh ameelezea vizuri sana nguzo ni tano (5) na akasisitiza nguzo ni tano (5)
Nguzo ni 5 iyo ya 6 si nguzo usituvuruge
Hukuekewa
SWADAKTA
MZEE RUDI UKASOME VIZURI, MASWAHABA HAWAKUWA NA UWELEWA KAMA WAKO
Kesho mtatuambia 7
Msikilize vizur umuelewe siyo unasoma hvyo vichwa vya mada hapo juu hao wenyewe hawasikiliz mada wanapost tu. 🙏🏾
Muwe munasikiliza kwanza na sio kuvamia vamia tuuu
Wataongeza tena 5 ziwe 10 au baadae watatuambia nguzo za uislam inategemea na ukubwa wa mskiti 😂masufi bwana wanafurahisha
Duh! Huyu babu hata vigawanyo vya tohara havijui!! na hadithi aloitegemea pia siyo
Sasa Leo anatujia mtu anaongeza kitu
Ukisoma sshart za sala utakuta zipo nane 8 hapa utaonana na kitu unadhifu halafu utakuta nguzo za dini ni 3 all Islam wall imaan wall iksan huyu Leo kaengeza yake mtihani huu tumekaa more then 30 years sijasikia hii innanllillah wainna illah rajioun
Ahlul bidaah ndio Kazi yao kuongeza vionyo hadith IPO Wazi misufi haiwezani nasurullah yahdihum wa yahdina jamiia
Tatizo hua hamusikilizi kwanza kisha mukaelewaaa
@@AhmadaTahir-cu8se
Ww ukishamuelew yatosha sis wengine Kwa hili la nguzo za uislam ni sita hatutaki kufahamu
Acha kuzuia clip inaongelea mengine wewe unakurupuka na mengine