Saw mm ni Yanga lkn hoja ya magoma na sehem ya kumshind ni RITA... Je hio ktb ipo Rita au ? Ili kumshinda hio ktb inbd isajiliwe Rita , hp magoma hawez chomok Rita ndy uthibitisho tosha
Magoma anatumika na simba wala siyo yanga ,simba walikuwa wameparanganyika kwa sass wamejikusanya wanataka walete choko choko yanga ili waonekane wamefanikiwa mwakani ,kwani wanajuwa kuwa kama yanga wako watulivu na mwakani hakuna kitu na usajili wao
Hawa ndo wazee wa Yanga tunaowajua huyo mwingine ni kibalaka hongera sana mzee 🎉🎉
Wazee wa yanga ndio hao❤
Hawa ndiyo wazee tunaowajua
Huyu ndo Mzee wa Yanga sasa huyu Magoma akae kimya
uko vizuri baba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
HAWA NDIO WAZEE WA YANGA... Yule magoma mhuni tu
Salute mzee wetu ✔️✔️💚
Simba ndio wanaoleta chokochoko
Mimi. Kama. Mwanachama. Wa. YANGA. Naomba. Viongozi. Waloko. Madarakani. Waangalie. Sana. Magoma. Anapata. Nguvu. Kutoka. Kwa. Baadhi. Ya. Viongozi. Mamuluki. Humo. Humo. Kati. Yenu. Na. Ndo. Maana. Anavimba. Kichwa. Niaminini. Hayo. Ninayoyasema
Badala ya kujenga hoja unaleta kadi
Njooeni na hoja zenu ilikupangua hoja zake ..sasa hapo umefanya nini sasa
Saw mm ni Yanga lkn hoja ya magoma na sehem ya kumshind ni RITA... Je hio ktb ipo Rita au ? Ili kumshinda hio ktb inbd isajiliwe Rita , hp magoma hawez chomok Rita ndy uthibitisho tosha
Yes
Huna kazi www mnaa njaaa tu lakini mnachokitaka mtakipata
❤
Magoma oyeeee, jeshi la mtu mmoja, ila kuna siku mtamuelewa
Magoma watu wamemkalia kooni😂😂😂
Hakusema kama haikurudi
Ila kasema ilirudi ikiwa tayar imeshagongwa muhuri yaani imesajiliwa tayari
Sasa alitaka afatwe kakwee ye kama nani jambo limefanyika wazi jangwan
Ina maana mahakama ilihukumu vipi
Kila mmoja analilia ubwabwa wake😂😂😂 ila mzee magoma jeshi la m2 mmoja😂
Na akunagaa mafanikio ya mtu 1 😂😂😂😂
Sasa huko mahakamani mmeshindwaje
Na huyo Kasonso nae mzee tangu lini hao wengine sawa lkn yeye hapana
Wana tuchanganya hao wazee wababaishaj tu
NYIE PAMBENI JENEZA LKN JUENI NDANI KUNA MZOGA .MAGOMA KAWASHIKA NDIPO
Yan nyinyi wote mna upungufu sasa kama mna ushahid angeshindaje yule mzee hapo ni mahakamani?
Wanakurupuka tu ili wale pesa za GSM
mwandishi ulitakiwa utusomee hiyo kadi ni mali harali upande gani sio unakusanya tu
Awa sasa ndo wazee tunao wajua sio kire kirus kinacho jiita ngoma kwanza kikatafute tim yakushabikia sisi yanga atumtambui mangoma
Km dar wanakodisha watu kwaajili ya kulia msibani je, hawa wa sasa hawajakodishwa kweli 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂ilo nalo neno
Eeeeeee Mwenyezi Mungu
Tunakuomba uondoe huu mtafaruku
Uyukashapewaeraa😂😂😂
🤣huyu magoma mkundu unamwasha pakaa hana analilia timu hivi ataweza ata kumlipa kibwana shomari tu akipewa
Hawa ni wazee wa gsm bwana wanakula mshahala
hata kama Wana kula msha hara shida yetu ni furaha na ina patikana
Wakati wa kugombea uraisi ulikuwa wapi au ulikuwa hujapata wakukutuma
Munguwangu wazee mkipewa posho amtetei maslai yayanga,mzeemagomayukosahihi lazimaklabu iwenamwenyekiti,Sasa wanachama wanaenda kusaemea wap
78 mwaka mmoja kabla sijazaliwa
Kadi nyingi za yanga umetunza 😂😂😂halafu hela huna
Magoma anatumika na simba wala siyo yanga ,simba walikuwa wameparanganyika kwa sass wamejikusanya wanataka walete choko choko yanga ili waonekane wamefanikiwa mwakani ,kwani wanajuwa kuwa kama yanga wako watulivu na mwakani hakuna kitu na usajili wao
Anachuki binafsi.
Wazee mnahangaikanini wakati mahakama imeshatoahukumu ni vyema mrudi mahakamani mkaterufaa
Kwani Yanga imefanya je ! Au bando linakusumbua!?
Wamekodishwa kwenye msiba wa familia yako?.
Ujinga tu hii nchi ngumu sana
Yanga tumieni akiri...Magoma hajaenda kwenye Media..kaenda mahakamani... Nendeni mahakamani huko ndio kwny haki
Baada ya kupeleka mahakamani vielelezo unapelekea studio 😂😂😂😂 akili kisoda
Kwan yy ndo mshtakiwa???
Magoma ana hoja kweli wanakurukupa wanashindwa hoja wanaropoka tu katiba aijasajiliwa hiyo ndio oja
Kama haijasajiliwa iweje bmc na tff wa ukubali uongoz?
@@briangodfrey5621mahakama ndiyo iliyosema kwa mujibu wa RITA. Sasa wakathibitishe mahakamani