MOTO UTAWAKA! MZEE MSUMI, KASONSO WATINGA NA KATIBA, KADI ZA YANGA/WAMKANA MAGOMA/WAONESHA VIELELEZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 54

  • @chambalafrankdaniel397
    @chambalafrankdaniel397 Месяц назад +6

    Hawa ndo wazee wa Yanga tunaowajua huyo mwingine ni kibalaka hongera sana mzee 🎉🎉

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri Месяц назад +9

    Wazee wa yanga ndio hao❤

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 Месяц назад +8

    Hawa ndiyo wazee tunaowajua

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz Месяц назад +9

    Huyu ndo Mzee wa Yanga sasa huyu Magoma akae kimya

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g Месяц назад +2

    uko vizuri baba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mwl_bennehemiah
    @mwl_bennehemiah Месяц назад +5

    HAWA NDIO WAZEE WA YANGA... Yule magoma mhuni tu

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 Месяц назад +9

    Salute mzee wetu ✔️✔️💚

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 Месяц назад +4

    Simba ndio wanaoleta chokochoko

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl Месяц назад +5

    Mimi. Kama. Mwanachama. Wa. YANGA. Naomba. Viongozi. Waloko. Madarakani. Waangalie. Sana. Magoma. Anapata. Nguvu. Kutoka. Kwa. Baadhi. Ya. Viongozi. Mamuluki. Humo. Humo. Kati. Yenu. Na. Ndo. Maana. Anavimba. Kichwa. Niaminini. Hayo. Ninayoyasema

  • @mirzah117
    @mirzah117 Месяц назад +1

    Badala ya kujenga hoja unaleta kadi
    Njooeni na hoja zenu ilikupangua hoja zake ..sasa hapo umefanya nini sasa

  • @paulsanga7591
    @paulsanga7591 Месяц назад +2

    Saw mm ni Yanga lkn hoja ya magoma na sehem ya kumshind ni RITA... Je hio ktb ipo Rita au ? Ili kumshinda hio ktb inbd isajiliwe Rita , hp magoma hawez chomok Rita ndy uthibitisho tosha

  • @DeboraGeorge-ut3lb
    @DeboraGeorge-ut3lb Месяц назад +1

    Yes

  • @IbrahimAli-hh6dr
    @IbrahimAli-hh6dr Месяц назад +3

    Huna kazi www mnaa njaaa tu lakini mnachokitaka mtakipata

  • @issabakari2085
    @issabakari2085 Месяц назад +1

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Месяц назад

    Magoma oyeeee, jeshi la mtu mmoja, ila kuna siku mtamuelewa

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 Месяц назад +4

    Magoma watu wamemkalia kooni😂😂😂

  • @inspirationmessages8420
    @inspirationmessages8420 Месяц назад +3

    Hakusema kama haikurudi
    Ila kasema ilirudi ikiwa tayar imeshagongwa muhuri yaani imesajiliwa tayari

    • @FatumaIssa-w1s
      @FatumaIssa-w1s Месяц назад +1

      Sasa alitaka afatwe kakwee ye kama nani jambo limefanyika wazi jangwan

    • @IdrisuMabuda
      @IdrisuMabuda Месяц назад

      Ina maana mahakama ilihukumu vipi

  • @yasserahmed9420
    @yasserahmed9420 Месяц назад +7

    Kila mmoja analilia ubwabwa wake😂😂😂 ila mzee magoma jeshi la m2 mmoja😂

    • @FatumaIssa-w1s
      @FatumaIssa-w1s Месяц назад +1

      Na akunagaa mafanikio ya mtu 1 😂😂😂😂

  • @JumaMbaga-sd5yi
    @JumaMbaga-sd5yi Месяц назад +1

    Sasa huko mahakamani mmeshindwaje

  • @RashidJumanne-hb1lm
    @RashidJumanne-hb1lm Месяц назад +2

    Na huyo Kasonso nae mzee tangu lini hao wengine sawa lkn yeye hapana

  • @AugustinoMateru
    @AugustinoMateru Месяц назад +1

    Wana tuchanganya hao wazee wababaishaj tu

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v Месяц назад

    NYIE PAMBENI JENEZA LKN JUENI NDANI KUNA MZOGA .MAGOMA KAWASHIKA NDIPO

  • @dstaroficial
    @dstaroficial Месяц назад

    Yan nyinyi wote mna upungufu sasa kama mna ushahid angeshindaje yule mzee hapo ni mahakamani?

  • @issaally8817
    @issaally8817 Месяц назад

    mwandishi ulitakiwa utusomee hiyo kadi ni mali harali upande gani sio unakusanya tu

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 Месяц назад

    Awa sasa ndo wazee tunao wajua sio kire kirus kinacho jiita ngoma kwanza kikatafute tim yakushabikia sisi yanga atumtambui mangoma

  • @costajoram2246
    @costajoram2246 Месяц назад +1

    Km dar wanakodisha watu kwaajili ya kulia msibani je, hawa wa sasa hawajakodishwa kweli 😂😂😂😂😂

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o Месяц назад +2

    Eeeeeee Mwenyezi Mungu
    Tunakuomba uondoe huu mtafaruku

  • @msamiseleman4255
    @msamiseleman4255 Месяц назад

    Uyukashapewaeraa😂😂😂

  • @hajially4527
    @hajially4527 Месяц назад +1

    🤣huyu magoma mkundu unamwasha pakaa hana analilia timu hivi ataweza ata kumlipa kibwana shomari tu akipewa

  • @IbrahimMakonga
    @IbrahimMakonga Месяц назад +1

    Hawa ni wazee wa gsm bwana wanakula mshahala

    • @user-uc8ee8eq9m
      @user-uc8ee8eq9m Месяц назад +1

      hata kama Wana kula msha hara shida yetu ni furaha na ina patikana

  • @user-jd6ln8ou6o
    @user-jd6ln8ou6o Месяц назад +1

    Wakati wa kugombea uraisi ulikuwa wapi au ulikuwa hujapata wakukutuma

  • @FabiolaTriphon
    @FabiolaTriphon Месяц назад

    Munguwangu wazee mkipewa posho amtetei maslai yayanga,mzeemagomayukosahihi lazimaklabu iwenamwenyekiti,Sasa wanachama wanaenda kusaemea wap

  • @hamisimapalala7709
    @hamisimapalala7709 Месяц назад

    78 mwaka mmoja kabla sijazaliwa

  • @musamsangi1610
    @musamsangi1610 Месяц назад

    Kadi nyingi za yanga umetunza 😂😂😂halafu hela huna

  • @manyallarashid7498
    @manyallarashid7498 Месяц назад +1

    Magoma anatumika na simba wala siyo yanga ,simba walikuwa wameparanganyika kwa sass wamejikusanya wanataka walete choko choko yanga ili waonekane wamefanikiwa mwakani ,kwani wanajuwa kuwa kama yanga wako watulivu na mwakani hakuna kitu na usajili wao

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 Месяц назад +1

    Anachuki binafsi.

  • @user-qn8ig9ey6b
    @user-qn8ig9ey6b Месяц назад +3

    Wazee mnahangaikanini wakati mahakama imeshatoahukumu ni vyema mrudi mahakamani mkaterufaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Месяц назад +2

      Kwani Yanga imefanya je ! Au bando linakusumbua!?

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga Месяц назад +2

    Wamekodishwa kwenye msiba wa familia yako?.

  • @DJzedyBoy-vx2zb
    @DJzedyBoy-vx2zb Месяц назад +2

    Ujinga tu hii nchi ngumu sana

  • @barakamwantolwa4336
    @barakamwantolwa4336 Месяц назад

    Yanga tumieni akiri...Magoma hajaenda kwenye Media..kaenda mahakamani... Nendeni mahakamani huko ndio kwny haki

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Месяц назад

    Baada ya kupeleka mahakamani vielelezo unapelekea studio 😂😂😂😂 akili kisoda

    • @Shebbytvs
      @Shebbytvs Месяц назад

      Kwan yy ndo mshtakiwa???

  • @saidmansoury1526
    @saidmansoury1526 Месяц назад

    Magoma ana hoja kweli wanakurukupa wanashindwa hoja wanaropoka tu katiba aijasajiliwa hiyo ndio oja

    • @briangodfrey5621
      @briangodfrey5621 Месяц назад +1

      Kama haijasajiliwa iweje bmc na tff wa ukubali uongoz?

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 Месяц назад

      @@briangodfrey5621mahakama ndiyo iliyosema kwa mujibu wa RITA. Sasa wakathibitishe mahakamani