Nyinyi ndio wakabila wakubwa kenya hii shame on u ...ruto have been using that slogan since 2007 this time ur not going anywhere wakenya hakuna mkabila adi ike wakati mnakuja kutuabia ukabila nuguuu nyinyi
Kama Hakuna ukabila, tuonyeshe watu wa Vihiga wako wapi kwa hii serikali ya bottom up? Watu wa nje ndio mlikuja kuongea Hamisi? Na mnaonelesha watu wa vijiji kingoso? Bure!
Huyu anaongelesha nani Sasa! Nyinyi ndo wakabila wabaya!! Parastatals zote, PSs wote plus soo many ministries nyinyi ndo mmejaa
😂
Tuwache abduction, Wizi, uongo, ujuaji, na tuombe Baba anguke ndio akuje ashinde shetani na watumishi wake huku Kenya.
😂😂 ata mfanye nni kaongo ana nanafasi hapa Kenya ajifiche kwa matako ya samaki
Shirt 👕 ya kibet imejikunja ma😂
Hana Bibi
Kupiga bare ndiyo amejuwa
Thank you, our leaders, for making us feel like kenyans..president ruto hatusahau hii❤
Watu wamekula kenya wakamaliza weeeuh. This was a blunder juu ya blunder
Tell it to the birds.
Action speaks louder than words
The military should be very careful on security issues..
Muuwaji huyu
Standard six drop out 😅😅 addressing the nation
Who is this talking who elected him faruk kibet kk mafias
Ma brother kimani ichungwa ulikosea sana kungoa gachagua even your blood brother or sister unaeza msaliti sababu ya maslahi yako
Enda wewe
Ukabila itawahi isha milele Mkishindwa na kazi nmaanza kuongea shiet"Even Israel is for 12 tribes mimi natakanga kuitwa mkabila
Ukabila tuliachia Gachieta huko kwa mulima,lakini sehemu zote za kenya tunasema tuko wamoja ndani ya super broad based government.
You brain not mucus
Not more than Kikuyus brains
Na mbona wanaoongea kuhusu ukabila na gachagua anashinda wamunyoro lemme give you peace of advice use your brain not mucus stupid intelligent fool
Nonsense, auna ukweli wewe and you not a good man at all
Kwani what is the meaning of UKABILA? because it seems the meaning changed without my knowledge?
ukweli kabisa wa coast twasema hatutaki ukabila ruto tosha.
Kingpin wa ukambila Ako stthouse
Sasa huyu ni nani?🤔
it is true
Mumeanza campaign mapema aje
Nyinyi ndio wakabila wakubwa kenya hii shame on u ...ruto have been using that slogan since 2007 this time ur not going anywhere wakenya hakuna mkabila adi ike wakati mnakuja kutuabia ukabila nuguuu nyinyi
Kama Hakuna ukabila, tuonyeshe watu wa Vihiga wako wapi kwa hii serikali ya bottom up? Watu wa nje ndio mlikuja kuongea Hamisi? Na mnaonelesha watu wa vijiji kingoso? Bure!
Gachieta kazi yake kubwa ilikuwa ni siasa ya ukabila na shares kwa watu wa mulima.