AHMED ALLY AJIBU KUHUSU HATMA YA LAMECK LAWI NA AUBIN KRAMO SIMBA SC | KILA MCHEZAJI MZURI HATUACHI
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - Спорт
Vip kuhusu babakari sary thenkiyu tiyari
Kramo ni bora sana msifanye mchezo kwa uyo kramo na ndo mvp wa msimu ujao tena mtanitafuta kwa unabii huu
Semaji washauri sana bodi kuboresha namba sita iliyo bora
Shemeji la caf. Vipi kuhusu kocha wetu Juma Mgunda
Semaji vipi kuhusu Onana bado yupo?
Lawi Yuko Kambi ya coastal ninyi ni wababaishaji semen ukweli tu hapo mlikurupuka Sana tu
Simba acheni ushamba🎉
Jamani lameki lawi semaji yupo simba au utopolo
Jaman kramo abak bado hatujaona uwezo wake
INAMAANA KUNAWACHEZAJI WATAENDA KWA MAFUNGU, MAFUNGU AU
Vp kaka jobe anaondoka au bado yupo?
Vp kuhusu yao jean charles
Tunamhitaji feisali Simba mipango yakumsajili ikoje
Mwambie bos atuletehe fei
Kramo abaki
vp kuhusu Debora frenendez na augustine pia na valentine nouma
Semaji
Mpanzu vip
Kuhusu Phiri
Acheni utata tunataka vitu rasmi
Mafungu mafungu kwa Simba ni kawaida Sana tu
Ahamed naomba namba yako
Kuusu fei vipi tutegemee?
Kramo abak
VIp kuhusu feitoto ?
Kuhusu feitoto