Raila apinga wito wa mazungumzo ya kitaifa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Kinara wa Azimio Raila Odinga sasa amepinga wito wa mazungumzo ya kitaifa akisema kuwa ni lazima maswala kadhaa yaangaziwe kwanza. Katika ujumbe kwa vyombo vya habarti Odinga alishikilia kuwa haki lazima itendeke kwa wale waliouwawa na kujeruhiwa wakati wa maandamano ya Gen Z

Комментарии • 1