Am going to play this in my wedding in Mombasa inshallah! Manifesting my dream wedding!!! Today is date 04/05/2023 I’ll come update here when I do it!! Doesn’t matter how long it will take 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
It's 2023 and we believe true love exist,a young man with an old soul.From Mumbai with love,love until it hurts not then you will be loved and privileged until you feel you own the whole world.selelea selelea
I heard this song in the in the year 1999 and I still Love it upto date it has never grown old I dance as l play it repeatedly. When l come back to TZ will look for her God willingly we shall all be alive.
Wamehangaika wengi muache azidishe namba aingia kwenye gengi tangu apoe mchanga, mapenzi si yake rangi wajuzi wajulikana selelea selelea habibi selelea..
Mr George please let me know when this great singer visiting Dubai again i am From UAE lyric writer would gift her some songs if you have her email or face book or contact kindly pass it to me
Kila nikiusikiza wimbo huu natokwa Na machozi...yaani yanikumbusha mbali tu....zamaa zilee nikiwa bado bwana kharus.... Lakini ndo hivyo yote ya Mungu...just good memories left with me...ALHAMDULILLAH
Yes men are supposed to do that thank you for the song nina bahati mbaya wanaume wote nakutana nao Malaya afadhali nibakie peke yangu...Napenda Mapenzi sana❤
Perhaps am the only Mjaluo who enjoys Taarab music, hii 'Selelea' iko ligi yake nani.🔥🔥
I love your confidence 🤝🤝🤝
Daaaah mambo yamepita
Hizi ndiyo nyimbo za kweli zina misemo ya kweli
@@jumdogos on on 4 u44gtt4gggrr4ggrgggrgg Hythe tatty Hythe tatty thing here for t555g5g5g Hythe tatty Hythe 5t Hythe tatty h5g5th
Taarabu nzuri lugha ya utunzi nzuri mashaalha
Dah huu wimbo unanikumbusha mbali wakat nakwenda skuli! kwa mwenye kumbu kumbu Kama mm naomba like zenu zenu tujuane
Sauti ya rah sn
Miongoni mwa nyimbo bora sana za tarabu
Huu wimbo wa mwaka gani
@@saidimzee5072huu wimbo ni wa mwaka gani
Am going to play this in my wedding in Mombasa inshallah! Manifesting my dream wedding!!! Today is date 04/05/2023 I’ll come update here when I do it!! Doesn’t matter how long it will take 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ushanialika hivyo,Mtwapa na town siyo mbali.
tunasubiri inshaallah
Swahili culture is amazing. Am in love with swahili people. Am somali and i see we have similar customs.
Aa da ruu huna mwenza ww wajua hahaha njimbo zk tamukweli.
Somali and Swahili culture don't differ much since we have cashow abdow who is also a Somali but sang taarab some years back
Karibu Kwa utamaduni wetu Wa uswahili
Habari yako?samahani naomba kukujliza unaishi Somalia? Nahitaji kwenda au kuja huko Mogadishu
@@somaliamogadishu938sorry for the late reply. Karibu sana. Now i live in nairobi but am from Hargeisa.
Still listening to it September 2020..Gonga like 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
It's 2023 and we believe true love exist,a young man with an old soul.From Mumbai with love,love until it hurts not then you will be loved and privileged until you feel you own the whole world.selelea selelea
I think am the only Mkisii listening to this sweet music❤..wapi likes za Wakisiii🔥🔥🔥🔥🔥
Maishallah bi Rukia, ameitendea haki selea,saut ,mpangilio wa mashair👌 umeleta raha😍🤩🙏🙏🙏
Wooow, proud to be a born member of Swahili culture
Mungu atuweke h'ai n'a uzima tùkifurahi n'a nyie any Time WE love you from france
Mambo mazuri hayataki haraka,,,mashallah,,,ule wimbo wako wa ukiona Imemea yupo anoiangalia uko wapi na unaitwaje
Tanzanians are blessed with voice and creativity.
Zanzibar
Mambo haya yameondoka
She's one of the top 10 in the world and number one in Tanzania at all times she got amazing voice and must be other artists know about it.
D
Sabah michacho is no one
She died already but her daughter is the queen . Isha mashauzi
2021 I love this song inanikumbusha marehem bibi yngu alikua aipenda
.mwimbo mzuri sana
.mwimbo mzuri sana
Ya mwaka gani hii nyimbo
Old is gold naipenda xana mashairi ya metulia taarabu pambe wachezaji. Mlijua kudamxhi bi rukia upon juu daima seleleya Habib seleleya2020
Naipenda sana hii nyimbo nitakukod SK ya harus yangu mwaa bi rukia
Kweli ya kale ni dhahabu! Sauti nzuri mistali imenyooka hakika inapendeza hongera bi Rukiya , seleleya khabibi
Huu wimbo wa mwaka gani
I can't get enough of this...... my favourite 👌
Much love from Kenya,, I love the song
With love erokamano
With love erokamano
29th Jan 2021 stil watching!!!Damn inagusa ndipooooooo👌
14 July 2021
I heard this song in the in the year 1999 and I still Love it upto date it has never grown old I dance as l play it repeatedly. When l come back to TZ will look for her God willingly we shall all be alive.
Wamehangaika wengi muache azidishe namba aingia kwenye gengi tangu apoe mchanga, mapenzi si yake rangi wajuzi wajulikana selelea selelea habibi selelea..
@ANTIMA LAALOUANI salut! la chanson est très longue à traduire si elle était courte je l'écrirais en français pour vous
Watching it in Dubai 19april 2020 kama unaangalia gonga hapa!
Muatherere na taarabu ni wapi na wapi🤣
Nimezaliwa pwani nikalelewa pwani
Wow nice
Mr George please let me know when this great singer visiting Dubai again i am From UAE lyric writer would gift her some songs if you have her email or face book or contact kindly pass it to me
Taarabu ilikuwa zaman bwana sas iv taarabu mtu anaimba kavaa surual hahaaaa seleleya naupendaga sana
I so looove.😗😗
It's gonna cover me in the next 100 years.Watching from 🇰🇪
I Love it yani kumbusha mbali sana hiyo ndiyo taarab sio kelele.... Ni kitu na mashahiri yana mahaba tele ongera Binti Rukiya Ramadhan...
Jamani nzur mnooo
@@godwinshoo6324hii nyimbo kuhusu nini hasa.
Hawa tarab nyimbo nzuri na shairi tamu na muziku Murray.😍😍😘👍👋From Mombasa with Love.
Acha Kumtaja Allaah Kwenye Upuuzi
Kweli ni makosa nitaifuta.
"I really like,love and admire Taarab music and musicians they educate, inform and entertain"
2022 and still listening to this. My favourite ...
😍😍so talented mashaallah👍inaingia ad ndan ya moyo! hongeraah habbty🔥🤗
aliemuona mama shadya karume gonga like hapa
Jlny
She is beautiful mashallah.. She look younger then Fatma shangazi....
hizi ndio nyimbo tulizo zoeya zenye maadili ya Zanzibar yan unasikiliza taratibu unainjoy kabissa
umeonaaaee sio komakoma wewe au nnaramba chini ya kitovu nyimbo imetulia kma maji
Amazing WE miss so much our sweet home
N'a mimi asishindane haniwezi mimi kamwe ajijue cheo châke mi naye hatulingane asitake upinzane amalizike atemwe whaoooo
Barikiwa sana nyimbo hii imenikosha roho, hatufanani cheo buaana
Ajijue cheo chake
Mi nae hatushindani
Atuone ashituke
Anijue mm nani
Wozaaaaaaaaa
Kama umepapapenda apo gonga likee
Old school love this song forever
Kila nikiusikiza wimbo huu natokwa Na machozi...yaani yanikumbusha mbali tu....zamaa zilee nikiwa bado bwana kharus.... Lakini ndo hivyo yote ya Mungu...just good memories left with me...ALHAMDULILLAH
Pole Sana ila kumbukumbu muhimu sana
@@rahillhamidu2544 shukran sana
Uliachwa kaka nhe
Ple sana
Pole sana
Pole sana,Allah akufanyie wepesi upate mwengine aliokuwa wa kheri
Listening to it again.... And enjoying it Alhamdulillah.... Feb 2022...From Nairobi
O
Always old is Gold
Sikia kitu hicho toka Rukia Ramadhani! Seleleya ! Hiyo ndiyo taarabu wala hutoki jasho ! Mistari imetulia,
Those words😍😍😍😍😍😍 Mapenzi yana raha yake ... Asante bi rukia
🥰
Sijui ni ww vile yoko yoko.. Bint Hajj suleiman
I got here by chance and then I chose to stay and enjoy this beautiful piece. slowly dancing in the house alone. time well spent.
Hii ndio sauti ya ki diva, pitch perfect. Na muziki poa sana.
Beautiful people, beautiful colours, beautifull godess voice of this lady
wanawake wa pwani bwana nawapenda sana kwa kujua kujipamba ila rahaaa sana
sipati kutosheka na wimbo huu.muziki mzuri sana.midundo pamoja na ala za muziki zote shwari
na hii ndio ladha ya zanzibar
Tarab za zamani nzuri mno taratib mti anaelewa
Radhia Salum sanaa zinaingia mpk moyoni
Hizi ndo taaarab sio zile za kuwajaza vijana jukwaan utadhan bongo flavor
❤❤ nime ipenda hii nyimbo napend kuisikiliza wakati Nina hasira hongera sana mama yetu
Mashallah,, Rabbih kamjalia sauti ya kutoa nyoka pangoni ❤❤💖💖💋💋
Na kumwingiza shimoni 🤣🤣🤣
Sana❤️
I love this song ❤ 😍 💖 ❣ 💕 💘
Asante mama apo apo mashallah taratibu mtt polepole unatisha sauti yako
Asante mzee baba nyimbo bomba video safi HD
FANTA za nyakati hizi za Maghufuli na Uhuru kenyatta Wetu zina Maradhi mama angu, Huto ziachia tu zikukome ila utazikoma Weye mama😢😢
Nikumbatie roho mtu nimsugue
Nikumbatie roho mtu nimraruwe
Ahsante bi rukia ramadhan
Viva Zanzibar taarab
Msg nzurii
Mkude umeona eeeeeh
أصوات جميلا
This is specially rec waist for some one I love . In msabaha now .... nnampendaa sanaa tenaa sanaa jiburudishe habibty nakupenda sanaa tena sanaa
Alifariki muda ni mama wa Isha mashauzi
Hajafa yuhai bi Rukia Ramadhan
""Kata Kiu na fanta mi sina habari nae" hatari sana
What a Memories 😉 sauti nzuri sana
Ya mwaka gani hii nyimbo
i luv this song
Nzuri mpaka raha yaan imetulia kuanzia vedio mpaka watu wake mmejua kudamshi wallah
Sare bomba
I hope kikuyu's are here 🔥🔥🔥
Tupo .... upo?
Unanikumbusha mbali sn marehemu dada yangu alikuwa anaupenda sn nimzuuri maashallah 🥰🥰
Hii nyimbo ya mwaka gani
Hij ndo taarabu kwa wastaarabu
2021 February nafurahia Selelea
Jamani taarabu sio fujo..wasanii wa tarab wa sasa muige kutoka kwa wazee aooo..tizama mashairi mazur yamepangika vzr
My aunt swabaha really love this song🎉🎉🎉🎉
أغنية جيدة أنا أحب هذه الأغنية وحتى المغني
Mombasa this day 26/8/21 @4am at work.
Hadi raha jaman🔥🔥
Here in 2020 still in love with ths amazing voice
100%
Just like me
I Never got tired of this
@@athmanihaji7771 uu
uùuuuuuu
Sauti inatoka clear kama imewekwa cd kumbe anaimba mwenyewe nice love ❤️ it 👌👍mashallah
Tamu kama sukari nguru. Moto kama pasi ya makaa!
Wimbo umetulia,,,,mwimbaji katuli,,, Asante sana. Siyo taarabu mwanzo mwisho mcharuko
Yes men are supposed to do that thank you for the song nina bahati mbaya wanaume wote nakutana nao Malaya afadhali nibakie peke yangu...Napenda Mapenzi sana❤
MashaAllah TabaraqAllah daa somo still watching you 2022
Hii ndio taaarab hata ipite miaka mingapi bado ipo vizuri
wimbo mtamu mashallah haswa uje na wakukumbatia
Yaani sichoki tazama nzuri sana!
Don't change Always beautiful all of your guy's dowh there
Habibi selelea hapo nakubali together us one,bigup my mum
Rukia Ramadhani, daaaah, hii song tam sanaaaaa
Kibarua kinanipata cha kuisikiliza hii kitu mara 5 kwa siku!
muhimu bando tu
Love this song so much 😘😘
I love so much this song
Still here in 2021 sato 🔥
Yeah!
Madam Rukia Ramadhan nakupenda sana sauti yako ukighani unanimaliza
Best song from bi ruky
Heko mama shadya . Karume we love you so much
Great song, great lyrics, smooth voice, but luminous polyester headscarves? Jamani, mungu nisaidia!
..kwenye kuta ajingoge. Shauri yake kazi kwake🎵🎵 twaselelea tu mos mos😍😍
I love this song ❤2024🇰🇲
Wimbo uliotulia kweli....Taarabu mambo yote
Hahahahaaaa Personal Assistant a.k.a Usalama wa Mama Shadia Karume Nae Anasechaa Kidogo Kidogo
Selelea nyimbo tamu sana ♥️💪💗 bi rukia
Nani bado anaiskiza hii ngoma paka leo 2022 naomba likes zenu
Gonga likes za quarantine.... All favourite
Wallahy this taarab ina raha yake
Umeturudisha mbali zuhura, mavazi yenu nimeyapenda
She is amazing one of the best voices ever
ABSOLUTELY
Kazi njema kijana, hongera sana kwa video za kutupumbaza
Just make it simple.. If you don't like then don't watch it.. Plain simple go and watch something you like.
Hongera wimbo bado yatamba mama swadakta
asante umeitendea haki sauti nzuri
Indeed Ya kale ni Dhahabu ...
Hii nyimbo ni ya mwaka gani
Wangapi wanakoshwa ❤❤❤❤ nahiinyimbo