Sasa misitu na vichaka mpaka milangoni mtakosaje nyoka wakati hayo ndo maficho yake....hajawekwa na watu ila anafugwa na jamii yenu MAANA mmefuga vichaka mpaka milangoni....
Mmh kilwa si ndio mabingwa wa kuinamisha mti na kuukunjua Mimi sioni ajabu maanake kilwa kwa uchawi mnatisha alafu kila kitu mnatupia serikali duuh kweli bongo bahati mbaya
Yani kila kitu tunaomba serikali ije, yaani Kijana anaongea hata haya hana, yaani badala wanakijiji wajikusanye wafanye usafi wanakwambia serikali ije itufagilie😡😡😡 yaani aibu serikali ni wananchi wenyewe, mafala nyie, alafu kila kitu kikitokea uchawi mnausisha, fanyeni usafi, Waafrika uvivu utatuuwa
@@samiraabdimahamed4449 Jamani mbona binadamu tunakuwa mizigi hivi ?? Hivi kila mtu akifyeka maeneo yake huyo nyoka atakaa wapi ?? Au na hili pia watamuomba Rais Magufuli akawafyekee ?? Maana siku hizi kila kitu tunamuomba Mheshimiwa Rais atufanyie .
Aah! Hii ndio kilwa yetu mzee.. Yawezekan kuw ni wa kawaida na pia yawezekan kuw kawekwa yote yapo.
hahahaha hawa kina mama waongo hao et alimuona akaanguka mmmhhh afu akajiinua mwenyewe
Msitu kama huo aukosi nyoka fanyeni.usafi.hapo
Eneo lifanyiwe usafi tu hapo afu yawekwe mafuta ya taa basi
Sasa misitu na vichaka mpaka milangoni mtakosaje nyoka wakati hayo ndo maficho yake....hajawekwa na watu ila anafugwa na jamii yenu MAANA mmefuga vichaka mpaka milangoni....
Mmh kilwa si ndio mabingwa wa kuinamisha mti na kuukunjua Mimi sioni ajabu maanake kilwa kwa uchawi mnatisha alafu kila kitu mnatupia serikali duuh kweli bongo bahati mbaya
Natamani kuja kilwa nipajue
Limeni ataondoka
Uenda kafugwa mana wabongo bahna noma
fanyeni usafi uyonyoka nitabiazake kufukuza watu naakipata sehemu kamaiyo aondoki araka usafi ufanyike
Asije kua koboko
Orofea wanamaanisha welfare
😂😂😂 afadhalii maana nilikuwa natafakari hiyo ni nn
Wekeni mitege na muweke chicha au miguu ya kuku na vichwa . Mutamnasa
Yani kila kitu tunaomba serikali ije, yaani Kijana anaongea hata haya hana, yaani badala wanakijiji wajikusanye wafanye usafi wanakwambia serikali ije itufagilie😡😡😡 yaani aibu serikali ni wananchi wenyewe, mafala nyie, alafu kila kitu kikitokea uchawi mnausisha, fanyeni usafi, Waafrika uvivu utatuuwa
Unganeni wananchi wanawake na wanaume mfyeke hilo eneo ambalo anaonekana . , Ondoeni mapori jirani na maeneo yenu .
Nyokajangwa huyo anasumu Kali sana
Walivyo kuwa mapongo wanangoja serikali ije iwafanyie usafi.
@@samiraabdimahamed4449
Jamani mbona binadamu tunakuwa mizigi hivi ??
Hivi kila mtu akifyeka maeneo yake huyo nyoka atakaa wapi ??
Au na hili pia watamuomba Rais Magufuli akawafyekee ??
Maana siku hizi kila kitu tunamuomba Mheshimiwa Rais atufanyie .