NYOKA WA AJABU AZUA TAHARUKI MTAANI HUKO KILWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 мар 2020
  • #mashujaatv
    Follow us
    mashujaatv...

Комментарии • 22

  • @lilyizzy24
    @lilyizzy24 4 года назад +4

    Aah! Hii ndio kilwa yetu mzee.. Yawezekan kuw ni wa kawaida na pia yawezekan kuw kawekwa yote yapo.

  • @ommyngigidy2087
    @ommyngigidy2087 2 года назад

    hahahaha hawa kina mama waongo hao et alimuona akaanguka mmmhhh afu akajiinua mwenyewe

  • @hashimnamanolo4018
    @hashimnamanolo4018 4 года назад +2

    Msitu kama huo aukosi nyoka fanyeni.usafi.hapo

  • @liameahmad2017
    @liameahmad2017 4 года назад +2

    Eneo lifanyiwe usafi tu hapo afu yawekwe mafuta ya taa basi

  • @goodluckulimboka8398
    @goodluckulimboka8398 3 года назад

    Sasa misitu na vichaka mpaka milangoni mtakosaje nyoka wakati hayo ndo maficho yake....hajawekwa na watu ila anafugwa na jamii yenu MAANA mmefuga vichaka mpaka milangoni....

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 4 года назад

    Mmh kilwa si ndio mabingwa wa kuinamisha mti na kuukunjua Mimi sioni ajabu maanake kilwa kwa uchawi mnatisha alafu kila kitu mnatupia serikali duuh kweli bongo bahati mbaya

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 года назад

    Natamani kuja kilwa nipajue

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 года назад

    Limeni ataondoka

  • @joseboy1113
    @joseboy1113 4 года назад

    Uenda kafugwa mana wabongo bahna noma

  • @fatimaebrahim5256
    @fatimaebrahim5256 4 года назад

    fanyeni usafi uyonyoka nitabiazake kufukuza watu naakipata sehemu kamaiyo aondoki araka usafi ufanyike

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 4 года назад

    Asije kua koboko

  • @pambasr2345
    @pambasr2345 4 года назад +1

    Orofea wanamaanisha welfare

    • @venstonvedasto
      @venstonvedasto 3 года назад

      😂😂😂 afadhalii maana nilikuwa natafakari hiyo ni nn

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 4 года назад

    Wekeni mitege na muweke chicha au miguu ya kuku na vichwa . Mutamnasa

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 3 года назад

    Yani kila kitu tunaomba serikali ije, yaani Kijana anaongea hata haya hana, yaani badala wanakijiji wajikusanye wafanye usafi wanakwambia serikali ije itufagilie😡😡😡 yaani aibu serikali ni wananchi wenyewe, mafala nyie, alafu kila kitu kikitokea uchawi mnausisha, fanyeni usafi, Waafrika uvivu utatuuwa

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 4 года назад +1

    Unganeni wananchi wanawake na wanaume mfyeke hilo eneo ambalo anaonekana . , Ondoeni mapori jirani na maeneo yenu .

    • @sapnex965
      @sapnex965 4 года назад

      Nyokajangwa huyo anasumu Kali sana

    • @samiraabdimahamed4449
      @samiraabdimahamed4449 3 года назад

      Walivyo kuwa mapongo wanangoja serikali ije iwafanyie usafi.

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 3 года назад

      @@samiraabdimahamed4449
      Jamani mbona binadamu tunakuwa mizigi hivi ??
      Hivi kila mtu akifyeka maeneo yake huyo nyoka atakaa wapi ??
      Au na hili pia watamuomba Rais Magufuli akawafyekee ??
      Maana siku hizi kila kitu tunamuomba Mheshimiwa Rais atufanyie .