DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Septemba 05, 2024 | Jioni | Swahili Habari leo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Septemba 05, 2024 | Jioni | Swahili Habari leo | Ripoti na Uchambuzi | Taarifa ya Habari | Matangazo ya DW | Dunia Yetu
    - Dozi za kwanza za chanjo dhidi ya homa ya nyani zimewasili Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
    - Afisa wa polisi anayetuhumiwa kulituma na kulifadhili genge la vijana kumbaka na kumlawiti msichana Tanzania afikishwa mahakamani
    - Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock asema jinamizi la mzozo wa Gaza lazima limalizike
    #dwkiswahili #HabarizaUlimwengu#dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari Ukitaka kukupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW

Комментарии • 1

  • @DanjeseGaaray
    @DanjeseGaaray 10 дней назад

    Kutoka kaskazini mwa Tanzania 🇹🇿 naikubali DW kwa habari moto moto