MWIJAKU "DIAMOND Anaroho Mbaya/Amezuia Kolabo yake na BABA LEVO kisa KAFUNIKWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Mwijaku #Diamond

Комментарии • 162

  • @kevineakimana4431
    @kevineakimana4431 Год назад +41

    Mwijaku wew mjinga Sana hivi umeona utafute nafasi yakuchonganisha baba levo na mondi yani wew ndie chawa wa hovyo pote uko mpumbavu zako

  • @elizabethdaniel5725
    @elizabethdaniel5725 Год назад +4

    Mwijaku Hana shukran 😝😝😝😝😝😝 tamaa tu kwa king 🐅🦁🦁🦁

  • @mamadoubareke2349
    @mamadoubareke2349 Год назад +9

    Mwijaku leo umenifurahisha sana wangu kwa hamo

  • @MurekeziDeogratias
    @MurekeziDeogratias 6 месяцев назад

    Napenda sana Mwijako DEO From Rwanda

  • @keem_17
    @keem_17 Год назад +5

    Sawa Huyu sini nomino sikuizii na mwijaku in kiwakilishiii

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +4

    Kuishi kwa kupewa fedha na wanaumme wenzako kisa mdomo wako alafu unajiita mwanaumme. Unafiki sana wewe ulimuomba msamaha Diamond kwa njaa zako.

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 Год назад +4

    Maama weeeeeeh tumekuzoe mwijaku chaumbe....hilooooooh....zee la kulopoka....😂😂😂

  • @abdulmsuya8542
    @abdulmsuya8542 Год назад +1

    Kweli kabisa mwijaku anaharibu sana biashara za wenzake !!!! Kwa Nini wasiachane naye huyu mwijakuuuuuu!!!!!! Mdomo wake ni zaidi ya uchawi

  • @sefunduwayo7388
    @sefunduwayo7388 Год назад +4

    Mwijaku hana urafiki kbs

  • @mapafutv
    @mapafutv Год назад +7

    Mwijaku fala sana

  • @manassemike6048
    @manassemike6048 Год назад +6

    mwijaku ww nimujinga sana unahangaika sana

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Год назад +9

    Anataka Baba Levo afukuzwe daaaah ,roho mbaya 😂😂😂😂

    • @brayo001
      @brayo001 Год назад

      😂😂😂😂

  • @salamakadogo3681
    @salamakadogo3681 Год назад +7

    Wewe mwinjaku hauna akili kabisa. Wewe ndo wakumuzungumuzia Diamond hivo

  • @truthspeaker2405
    @truthspeaker2405 Год назад +1

    Mwijaku hujui kitu dini ya kiislam inaruhusu wanawake wapigwe na waume zao..
    An-Nisa' 4:34
    Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na *wapigeni.* Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.

  • @charlesmashauri3704
    @charlesmashauri3704 Год назад +1

    Huyu jamaa nikomedi tupu... but not Shure anachoongea it's just kufurahisha ... appreciate guy

  • @hamadtalisman8862
    @hamadtalisman8862 Год назад +2

    Jamaa anapenda sana kuongea na anasifa sana ila hana point ya kuongea.

  • @Fahadi2023
    @Fahadi2023 Год назад +5

    Et mwanamke wa mwijaku nae ana mme/mwanaume da!! Avae tu sketi huyo.

  • @festovenas502
    @festovenas502 Год назад +7

    🤣🤣🤣🤣 mwijaku mama kabisa

  • @Elijah12823
    @Elijah12823 Год назад +12

    Like zangu Jamani 🤣😂

  • @jumaabas6837
    @jumaabas6837 Год назад +1

    😀😀😀😀😀 mwijaku ni muongoooo

  • @emidalumwesa5765
    @emidalumwesa5765 Год назад +3

    Yaaani huyu baba hajitambui kwa kweli,kweli fadhila mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi,yote alofanyiwa bado mmmmmh

  • @chakubutakamangila2274
    @chakubutakamangila2274 Год назад +19

    Kama kuna kitu diamond 💎 anacho nikwaza nikuwa karibu na uyo mtu yani mpaka ushabiki wangu kwa wcb ulipunguka sana kisa hali ya uyo ndugu ona anavyo kusema vibaya

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu Год назад +1

      Nenda ukawe naweww.mondi analipa ili aongelewe vbaya vzuri.mbona kiba haongelewi hana baya au zuri...tulia kama hujui mondi kafifia kukubli ataki.ndio msani akija ataka afanye nae ngoma ili amkwamishe..mario.barnaba.nyamazaww

    • @sifrajenterprises5002
      @sifrajenterprises5002 Год назад +1

      Fact

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 Год назад +3

      Alimvuta kwake sababu ya chuki juu ya konde sumu ya dai ni hataki kumuona mtu ana m support konde

    • @hassan0256
      @hassan0256 Год назад +1

      Mwijaku huyu wa Kwenye Camera ni tofaut kabisa na asiekua mbele ya kamera

    • @King_186
      @King_186 Год назад

      @@mdalamgir-gu9hu Mond ndiye mfalme wa muziki huu kwa miaka 12,na bado sana hakuna wa kumshusha kwa sasa,na pia yeye ndio ameteka na vijana wake,,kina Hamo,Ray,Zuu,Mbosso na Lava,kifupi he is running East and central Africa

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 Год назад +7

    Mwijaku acha ujinga unamtusi mtu anayekulisha , alafu usiwaaribie wenzio kuhusu hizo colabo

  • @nicewasiere3731
    @nicewasiere3731 Год назад +2

    😂😂😂😂 makaliyeeeeee 😂😂😂

  • @anordrukanyanga-lo3kt
    @anordrukanyanga-lo3kt Год назад

    Mwijaku wewe unafaa kuwa DC kwel unatoa maneno na refference zako. Salute kwako jomba

  • @munirabdi5827
    @munirabdi5827 Год назад +2

    Mwijaku Hana Tofauti Na Mandonga Mtu Kazi 😂

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 Год назад +1

    Inaonekana Mwijaku na mond huu ni mpango wao wa kila siku tuonae Kama anamdiss kumbe wanajuana

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Kazi,hipo

  • @michaelmwashi835
    @michaelmwashi835 Год назад +1

    Falaaa mwijaku

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Год назад +1

    Mwijaku zaidi ya mwanamke

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen Год назад

    🤣😂🤣😂🤣way way 🤣😂🤣 mwijaku Tangu aruke Turki hakuna kulala🤣😂🤣

  • @eliasjoseph5742
    @eliasjoseph5742 Год назад

    Mwijaku mpuuzi Sana wewe. Kwani Diamond kakukosea Nini? Kila ukiitisha press lazima umseme vibaya kijana wa watu. Kashafanikiwa, humuwezi wewe. Hilo jina la Mwambino unampa la Nini fala wewe

  • @agonysmartboy9775
    @agonysmartboy9775 Год назад +1

    Tatizo mwijaku hana breck mdomoni kovu zina muwasha sanaa ..Ila sema kina ongeaga ukweri

  • @samwelchristopher5659
    @samwelchristopher5659 Год назад +4

    Huyu ni nomino😂😂😂😂
    Masters za Bongo Bora hata hizi Phd za Mchono😅😅😅😅😅😁😁

  • @guhardinhoaden6360
    @guhardinhoaden6360 Год назад +2

    Kuna mtu ulimuomba deni alafu unatuandikia sisi jina mario😢 unajifanya janja 😂😂😂

  • @rosejohni9371
    @rosejohni9371 Год назад

    Mwijaku mchonganishi san chawa waovyo sana

  • @madinamahuba
    @madinamahuba Год назад +4

    Mwijaku 😂😂😂😂

  • @jizzomonster
    @jizzomonster Год назад +4

    Eti nayy anataka collaboration na mondi ama kweli mwijaku wanatuchezea akili wanajuana haw😂😂😂😂

  • @festoasanga5572
    @festoasanga5572 Год назад

    Mwijaku hana ubongo ana mavi kichwani

  • @leahmurgor993
    @leahmurgor993 Год назад +1

    Kiima n'a kiarifu 😁😁😁😁😁😁

  • @ommynjei7459
    @ommynjei7459 Год назад +2

    Mwijaku acha unafiki ndungu

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 Год назад

    Ukijaribia kufa wakuache Mimi naona Bora wakumalize tu🤣🤣🤣🤣

  • @fernandinyopogbafmj
    @fernandinyopogbafmj Год назад

    DC mwijaku

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 Год назад

    Hivi huo msemo wa "mwanamke anapigwa kwa upande/pindo la kanga"!! Ni Kweli jamani?!!!! Hivi uache kuchukuwa bakora,mkanda au mibanzi eti ukampige na KANGA?!!!! Aisee si atayaludia hayo makosa kila siku!!!! AU KUNA MAANA NYINGINE

  • @عايشهعايشة-ر1ب
    @عايشهعايشة-ر1ب 11 месяцев назад

    Iko siku utaingia pabaya usidhan kila mtu ni diamond. Dudu baya yupo wapi alithamba kama ww sahii mdomo kimya .bado ww kitakupata kitu mm nko pole nimekaa.jifunze nidham kumbwa ovyo

  • @assinaassina1177
    @assinaassina1177 Год назад +1

    Icho kijama nikirofa sana kinamanene utazani nikinamke kichonganishi

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 Год назад +1

    Wewe mjinga sana

  • @abdallahhamic3586
    @abdallahhamic3586 Год назад

    Huyu jamaa mshamba sana mgombanishi sana pumbavuuu

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Год назад

    Jamni nimecheka haki ndio mana kig kiba ametulia hataki shida ndio hiiiii mwijako WW pesa tu zitakuuwa

  • @dantchplatnumzvalentin6016
    @dantchplatnumzvalentin6016 Год назад +1

    Salsa uchawa gani uwu diamond kama unaendelea n'a uyo mwinjaku taacha kuwafatilia kwenye mtandao

  • @javierbosman5919
    @javierbosman5919 Год назад +3

    Comedy izii 😅

  • @bullychandy6509
    @bullychandy6509 Год назад

    huyu ni nomino rick 😄

  • @keranynsabimana785
    @keranynsabimana785 Год назад

    Ila mwijaku weye we nikica kwakwel unataka umunconganishe baba levo na asake wa tandale 😅😅

  • @waheedhamad4558
    @waheedhamad4558 Год назад

    Diamond ee....ww sio pesa kama upendwe na watu wote huyu jamaa sio wa kukaa nae karibu achana nae.....sio mtu mzuri huyu yani ata ushabiki wangu kwako unapungua kwaajili ya huyu fisadi

  • @g14summit19
    @g14summit19 Год назад +3

    Literally spit my coffee laughing 😂

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 Год назад +2

    Anakupa milioni mbili ulifanya nini ili ulipwe pesa hiyo
    Malio aj

  • @agonysmartboy9775
    @agonysmartboy9775 Год назад

    😂😂😂😂Mwijaku upigwe mawe na mwili wako mubaya wakuvipa vimba sana hata ikipigwa konji na nyani unavimva ww jiwe unalijuwa 😂😂😂😂😂 sema tu unaongeza chesha bongo

  • @cosmascastory9193
    @cosmascastory9193 Год назад +1

    Elimu ya mwijaku ndo kaja kujiajili kwenye uchawa hahaha

  • @jafarsaid1424
    @jafarsaid1424 Год назад

    Apo sawa kumbe una akili ila naomba uache kumdisi harmonize tembo

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 Год назад +1

    Uyooo jamaaa

  • @fitinajustine7801
    @fitinajustine7801 Год назад

    Kwakweli naomba iyi meseji imfikie simba ajitahidi amjitoweeko mwijaku huyu mwijako mtu mbaya saana Mondi abaki na H baba na baba levo uyu mwijaku ananiudhi

  • @lmtv1618
    @lmtv1618 Год назад

    Mtu mwenye digree zake mzumbe boy unazijua nomino mpaka unaapaatia tena

  • @necciakodi
    @necciakodi Год назад +1

    Chawa ameamia kwa marioo sasa 😂🤣🤣🤣🤣

  • @PkPk-di3cl
    @PkPk-di3cl Год назад

    Ww mwijaku uko vizuli kwa sabab umezaliw tz kam uli
    Zaliwa Kenya ww sijui Nita semaji Nitaku tupa Dastben

  • @zeshsulesh6084
    @zeshsulesh6084 Год назад +1

    Yaani ukimchukulia mwijaku serious unaeza konda sana🤣🤣🤣

  • @superclever4156
    @superclever4156 Год назад

    Umefukuzwa kwa harmo unajipendekez kwa mariooo'tafuta hela utaolewa hapa mjin

  • @eshamatamu7555
    @eshamatamu7555 Год назад +2

    Acha tabia mbya wee mtu mzima ovyo🤦

  • @emtonboyofficial1134
    @emtonboyofficial1134 Год назад

    Kiima na kiarifuu😁😁😁

  • @user-sp3gg7id8q
    @user-sp3gg7id8q Год назад +1

    Ata kama Amber lulu njia anazotumia sio halali, unatakiwa uachane nae, sio unampiga, mwanamke na mtoto hawatakiwi kupigwa.

  • @rahmatsumo3274
    @rahmatsumo3274 Год назад

    Istanbul kuna baridi na warafu wapi mwijaku muongo kweli

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 Год назад

    Tangia lini huyu ikawa nomino😂😂

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Год назад

    Mwijaku ANAONA amfanyiye promo Diamond ila kinyume nyume .....anawaza atavyo geuza kauli Zake za zamani anashindwa hhhhhhhhhhhhhh ila taratibu tu Kuna sku

  • @issaahmad1264
    @issaahmad1264 Год назад

    Halafu mtu kama mambo hauyajui ni kukaa kimya tu, hayo sio maneno ya mtume ni maneno ya mungu, musivamia mambo musio yajua! الرجال قوَّامون علي النساء

  • @paschalmanota5617
    @paschalmanota5617 Год назад

    Kuna mamtu ambayo hayana shukrani kama hili

  • @ManMwananzungu-oj9xu
    @ManMwananzungu-oj9xu Год назад

    Ila mnajitaidi kumponda mondi mh watanzania mbona haya nje hawapo ivyo

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +1

    Huyo anayempiga mwenzie je yeye anatunza huyo mtoto au Baba jina usitie neno lolote wewe.Atafute kwa vyovyote kama huyo jamaa ni boya hana msaada wowote.

  • @sahaleabeid6986
    @sahaleabeid6986 Год назад

    Kaa Chini jitu zima huna aibu
    Hamumuezi Platnumz ata muje millioni
    Mnafik sana ww baba

  • @lowasakitwiyan7758
    @lowasakitwiyan7758 Год назад

    Hakuna msanii wa kumfunika diamond hapa East Africa mwijaku mpumbavu tu

  • @ll.z9296
    @ll.z9296 Год назад

    Mwijaku mbwa tu

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Год назад

    Mwijaku chawa feki anataka kumuaribia Baba levo kwa Mondi

  • @nurdinchangendo109
    @nurdinchangendo109 Год назад

    Mwijaku hata ukimwangaria Tu anaonyesha ya kuwa ni senge senge vile au ni mtiwa wa nyuma nini

  • @mariocharque7066
    @mariocharque7066 Год назад

    mwijaku nakukubalu sana

  • @uwerauweraanicet3443
    @uwerauweraanicet3443 Год назад +2

    haaaaaahaaaa eti mapuwa haaaaaahaaaaaa

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial Год назад +1

    Mwijaku pumbavo zako ww , Maria hakuwa na Hela nandomana alienda wcB kuomba saini wasafi , sasa ajiona nandomana anakata

  • @hidayajr9517
    @hidayajr9517 Год назад

    HUYU NDO CHAWA MPUMBAVU hajui kama anamharibia mwenzie

  • @cosmascastory9193
    @cosmascastory9193 Год назад

    Huyu ni nomino duuuuh huyu jamaa kasoma wapi Hicho chuo

  • @piusmwakyembe4545
    @piusmwakyembe4545 Год назад +3

    Ili jinga sana halina jipya mondi fukuza hii mbwa wasafi beti inakudhalilisha

  • @djpatruick
    @djpatruick Год назад

    Ana Ngoma na Wiz Kid na Burna Boy haja ziaciya kipindi kirefu alafu aachiye Zahao?

  • @jimmydieudonne3989
    @jimmydieudonne3989 Год назад +3

    mond umufukuze uyu nyama Ku wasafi bet 🤔

    • @starfireog8695
      @starfireog8695 Год назад +1

      Nilikua najua mwijaku unaakili kumbe haunaakili

    • @4figure940
      @4figure940 Год назад

      Kama je mond ndo Alie mtuma aseme hivyo utajuaje ????
      Haya maisha sio rahisi sana hawa wanajuana sana

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Год назад +1

    million mbili ,,,120k Kenya money 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @alidesailor8619
      @alidesailor8619 Год назад

      Hio laki moja na elfu ishitini unaipataga huko kenyaa???

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 Год назад +1

    Yan babalevo amfunike diamond 😂😂😂😂😂

    • @ismailkushinda8830
      @ismailkushinda8830 Год назад

      Aiseee si wazifaham fikaah zile za levo ....yaan .....ndii ndaa ndindii ndaaa

  • @faisalahmed7757
    @faisalahmed7757 Год назад

    Hii jamaa inamuingizia diamond 💎 pesa mingi sanaaa

    • @khalidjuma508
      @khalidjuma508 Год назад

      Kweli Yan Wasiojua Wanadhan Kiko Sirias Kumbe Kinatafuta Unga😃😃😃

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 Год назад

    Huyu jamaa ndo anegombanisha wasanii

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 Год назад +1

    Diamond huyu si mtu wa kumpa dili kabisa mshenziii

  • @farida7645
    @farida7645 Год назад +1

    Yani unanikomesha leo nikinzuunguka na kukuta Rick🥱🧐😋😋😋😋

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 Год назад

    Huyu ni kielezi kinasimama baada ya nomino kama sijakosea

  • @fanerajofabra1728
    @fanerajofabra1728 Год назад

    Huyu Kaka ukishampa pesa tu anahamia kwako hapohapo na kuanza kunitia

  • @sebastianmboya6702
    @sebastianmboya6702 Год назад

    Hio million 2 ya kupimp gari ya marioo Kwa ajili ya video

  • @Jefflutalo
    @Jefflutalo 6 месяцев назад

    Cananyanyasa anafanya nini ila ninifikiria kichwa chako kiko na akili kumbe kichwa kubwa kina akili

  • @abdulyabubakar6247
    @abdulyabubakar6247 Год назад

    HILI LI ZEE SILIPENDI YANI NALICHUKIAGA BASI TU LOPO LOPO KINGELEZA LENYEWE HALIJUI KENGE HILI