MWIJAKU "DIAMOND Anaroho Mbaya/Amezuia Kolabo yake na BABA LEVO kisa KAFUNIKWA"
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Mwijaku #Diamond
Mwijaku wew mjinga Sana hivi umeona utafute nafasi yakuchonganisha baba levo na mondi yani wew ndie chawa wa hovyo pote uko mpumbavu zako
😀😀😀😃 ukweli uhumiza,Mwijaku anaongea ukweli
Diamond mwenye Roho mbaya!!
@@benjaminkosgey8455 q 8a
@@cosmaskabila3058 ĺ
Mwijaku Hana shukran 😝😝😝😝😝😝 tamaa tu kwa king 🐅🦁🦁🦁
Mwijaku leo umenifurahisha sana wangu kwa hamo
Napenda sana Mwijako DEO From Rwanda
Sawa Huyu sini nomino sikuizii na mwijaku in kiwakilishiii
Kuishi kwa kupewa fedha na wanaumme wenzako kisa mdomo wako alafu unajiita mwanaumme. Unafiki sana wewe ulimuomba msamaha Diamond kwa njaa zako.
Maama weeeeeeh tumekuzoe mwijaku chaumbe....hilooooooh....zee la kulopoka....😂😂😂
Kweli kabisa mwijaku anaharibu sana biashara za wenzake !!!! Kwa Nini wasiachane naye huyu mwijakuuuuuu!!!!!! Mdomo wake ni zaidi ya uchawi
Mwijaku hana urafiki kbs
Mwijaku fala sana
mwijaku ww nimujinga sana unahangaika sana
Anataka Baba Levo afukuzwe daaaah ,roho mbaya 😂😂😂😂
😂😂😂😂
Wewe mwinjaku hauna akili kabisa. Wewe ndo wakumuzungumuzia Diamond hivo
Mwijaku hujui kitu dini ya kiislam inaruhusu wanawake wapigwe na waume zao..
An-Nisa' 4:34
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na *wapigeni.* Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.
Huyu jamaa nikomedi tupu... but not Shure anachoongea it's just kufurahisha ... appreciate guy
Jamaa anapenda sana kuongea na anasifa sana ila hana point ya kuongea.
Et mwanamke wa mwijaku nae ana mme/mwanaume da!! Avae tu sketi huyo.
🤣🤣🤣🤣 mwijaku mama kabisa
Like zangu Jamani 🤣😂
😀😀😀😀😀 mwijaku ni muongoooo
Yaaani huyu baba hajitambui kwa kweli,kweli fadhila mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi,yote alofanyiwa bado mmmmmh
Kama kuna kitu diamond 💎 anacho nikwaza nikuwa karibu na uyo mtu yani mpaka ushabiki wangu kwa wcb ulipunguka sana kisa hali ya uyo ndugu ona anavyo kusema vibaya
Nenda ukawe naweww.mondi analipa ili aongelewe vbaya vzuri.mbona kiba haongelewi hana baya au zuri...tulia kama hujui mondi kafifia kukubli ataki.ndio msani akija ataka afanye nae ngoma ili amkwamishe..mario.barnaba.nyamazaww
Fact
Alimvuta kwake sababu ya chuki juu ya konde sumu ya dai ni hataki kumuona mtu ana m support konde
Mwijaku huyu wa Kwenye Camera ni tofaut kabisa na asiekua mbele ya kamera
@@mdalamgir-gu9hu Mond ndiye mfalme wa muziki huu kwa miaka 12,na bado sana hakuna wa kumshusha kwa sasa,na pia yeye ndio ameteka na vijana wake,,kina Hamo,Ray,Zuu,Mbosso na Lava,kifupi he is running East and central Africa
Mwijaku acha ujinga unamtusi mtu anayekulisha , alafu usiwaaribie wenzio kuhusu hizo colabo
😂😂😂😂 makaliyeeeeee 😂😂😂
Mwijaku wewe unafaa kuwa DC kwel unatoa maneno na refference zako. Salute kwako jomba
Mwijaku Hana Tofauti Na Mandonga Mtu Kazi 😂
Inaonekana Mwijaku na mond huu ni mpango wao wa kila siku tuonae Kama anamdiss kumbe wanajuana
Kazi,hipo
Falaaa mwijaku
Mwijaku zaidi ya mwanamke
🤣😂🤣😂🤣way way 🤣😂🤣 mwijaku Tangu aruke Turki hakuna kulala🤣😂🤣
Mwijaku mpuuzi Sana wewe. Kwani Diamond kakukosea Nini? Kila ukiitisha press lazima umseme vibaya kijana wa watu. Kashafanikiwa, humuwezi wewe. Hilo jina la Mwambino unampa la Nini fala wewe
Tatizo mwijaku hana breck mdomoni kovu zina muwasha sanaa ..Ila sema kina ongeaga ukweri
Ukwelii gani sasa hapo na wewe
Huyu ni nomino😂😂😂😂
Masters za Bongo Bora hata hizi Phd za Mchono😅😅😅😅😅😁😁
Hizo pesa za mke’o
Unanjaaa mwijaku poleee
Kuna mtu ulimuomba deni alafu unatuandikia sisi jina mario😢 unajifanya janja 😂😂😂
Mwijaku mchonganishi san chawa waovyo sana
Mwijaku 😂😂😂😂
Eti nayy anataka collaboration na mondi ama kweli mwijaku wanatuchezea akili wanajuana haw😂😂😂😂
Mwijaku hana ubongo ana mavi kichwani
Kiima n'a kiarifu 😁😁😁😁😁😁
Mwijaku acha unafiki ndungu
Ukijaribia kufa wakuache Mimi naona Bora wakumalize tu🤣🤣🤣🤣
DC mwijaku
Hivi huo msemo wa "mwanamke anapigwa kwa upande/pindo la kanga"!! Ni Kweli jamani?!!!! Hivi uache kuchukuwa bakora,mkanda au mibanzi eti ukampige na KANGA?!!!! Aisee si atayaludia hayo makosa kila siku!!!! AU KUNA MAANA NYINGINE
Iko siku utaingia pabaya usidhan kila mtu ni diamond. Dudu baya yupo wapi alithamba kama ww sahii mdomo kimya .bado ww kitakupata kitu mm nko pole nimekaa.jifunze nidham kumbwa ovyo
Icho kijama nikirofa sana kinamanene utazani nikinamke kichonganishi
Wewe mjinga sana
Huyu jamaa mshamba sana mgombanishi sana pumbavuuu
Jamni nimecheka haki ndio mana kig kiba ametulia hataki shida ndio hiiiii mwijako WW pesa tu zitakuuwa
Salsa uchawa gani uwu diamond kama unaendelea n'a uyo mwinjaku taacha kuwafatilia kwenye mtandao
Comedy izii 😅
huyu ni nomino rick 😄
Ila mwijaku weye we nikica kwakwel unataka umunconganishe baba levo na asake wa tandale 😅😅
Diamond ee....ww sio pesa kama upendwe na watu wote huyu jamaa sio wa kukaa nae karibu achana nae.....sio mtu mzuri huyu yani ata ushabiki wangu kwako unapungua kwaajili ya huyu fisadi
Literally spit my coffee laughing 😂
Anakupa milioni mbili ulifanya nini ili ulipwe pesa hiyo
Malio aj
😂😂😂😂Mwijaku upigwe mawe na mwili wako mubaya wakuvipa vimba sana hata ikipigwa konji na nyani unavimva ww jiwe unalijuwa 😂😂😂😂😂 sema tu unaongeza chesha bongo
Elimu ya mwijaku ndo kaja kujiajili kwenye uchawa hahaha
Apo sawa kumbe una akili ila naomba uache kumdisi harmonize tembo
Uyooo jamaaa
Kwakweli naomba iyi meseji imfikie simba ajitahidi amjitoweeko mwijaku huyu mwijako mtu mbaya saana Mondi abaki na H baba na baba levo uyu mwijaku ananiudhi
Mtu mwenye digree zake mzumbe boy unazijua nomino mpaka unaapaatia tena
Chawa ameamia kwa marioo sasa 😂🤣🤣🤣🤣
Ww mwijaku uko vizuli kwa sabab umezaliw tz kam uli
Zaliwa Kenya ww sijui Nita semaji Nitaku tupa Dastben
Yaani ukimchukulia mwijaku serious unaeza konda sana🤣🤣🤣
Umefukuzwa kwa harmo unajipendekez kwa mariooo'tafuta hela utaolewa hapa mjin
Acha tabia mbya wee mtu mzima ovyo🤦
Kiima na kiarifuu😁😁😁
Ata kama Amber lulu njia anazotumia sio halali, unatakiwa uachane nae, sio unampiga, mwanamke na mtoto hawatakiwi kupigwa.
Istanbul kuna baridi na warafu wapi mwijaku muongo kweli
Tangia lini huyu ikawa nomino😂😂
Mwijaku ANAONA amfanyiye promo Diamond ila kinyume nyume .....anawaza atavyo geuza kauli Zake za zamani anashindwa hhhhhhhhhhhhhh ila taratibu tu Kuna sku
Halafu mtu kama mambo hauyajui ni kukaa kimya tu, hayo sio maneno ya mtume ni maneno ya mungu, musivamia mambo musio yajua! الرجال قوَّامون علي النساء
Kuna mamtu ambayo hayana shukrani kama hili
Ila mnajitaidi kumponda mondi mh watanzania mbona haya nje hawapo ivyo
Huyo anayempiga mwenzie je yeye anatunza huyo mtoto au Baba jina usitie neno lolote wewe.Atafute kwa vyovyote kama huyo jamaa ni boya hana msaada wowote.
Kaa Chini jitu zima huna aibu
Hamumuezi Platnumz ata muje millioni
Mnafik sana ww baba
Hakuna msanii wa kumfunika diamond hapa East Africa mwijaku mpumbavu tu
☺️☺️
Mwijaku mbwa tu
Mwijaku chawa feki anataka kumuaribia Baba levo kwa Mondi
Mwijaku hata ukimwangaria Tu anaonyesha ya kuwa ni senge senge vile au ni mtiwa wa nyuma nini
mwijaku nakukubalu sana
haaaaaahaaaa eti mapuwa haaaaaahaaaaaa
Mwijaku pumbavo zako ww , Maria hakuwa na Hela nandomana alienda wcB kuomba saini wasafi , sasa ajiona nandomana anakata
HUYU NDO CHAWA MPUMBAVU hajui kama anamharibia mwenzie
Huyu ni nomino duuuuh huyu jamaa kasoma wapi Hicho chuo
Ili jinga sana halina jipya mondi fukuza hii mbwa wasafi beti inakudhalilisha
Anamjua huyu ni njaa tu
Ana Ngoma na Wiz Kid na Burna Boy haja ziaciya kipindi kirefu alafu aachiye Zahao?
mond umufukuze uyu nyama Ku wasafi bet 🤔
Nilikua najua mwijaku unaakili kumbe haunaakili
Kama je mond ndo Alie mtuma aseme hivyo utajuaje ????
Haya maisha sio rahisi sana hawa wanajuana sana
million mbili ,,,120k Kenya money 🤣🤣🤣🤣🤣
Hio laki moja na elfu ishitini unaipataga huko kenyaa???
Yan babalevo amfunike diamond 😂😂😂😂😂
Aiseee si wazifaham fikaah zile za levo ....yaan .....ndii ndaa ndindii ndaaa
Hii jamaa inamuingizia diamond 💎 pesa mingi sanaaa
Kweli Yan Wasiojua Wanadhan Kiko Sirias Kumbe Kinatafuta Unga😃😃😃
Huyu jamaa ndo anegombanisha wasanii
Diamond huyu si mtu wa kumpa dili kabisa mshenziii
Yani unanikomesha leo nikinzuunguka na kukuta Rick🥱🧐😋😋😋😋
Huyu ni kielezi kinasimama baada ya nomino kama sijakosea
Huyu Kaka ukishampa pesa tu anahamia kwako hapohapo na kuanza kunitia
Hio million 2 ya kupimp gari ya marioo Kwa ajili ya video
Cananyanyasa anafanya nini ila ninifikiria kichwa chako kiko na akili kumbe kichwa kubwa kina akili
HILI LI ZEE SILIPENDI YANI NALICHUKIAGA BASI TU LOPO LOPO KINGELEZA LENYEWE HALIJUI KENGE HILI