Hatimaye Mbarikiwa "ATOA UTETEZI WAKE MAHAKAMANI LEO" ITAKULIZA. Ama kweli kuna watu huonewa duniani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024

Комментарии • 75

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 13 дней назад +8

    Mungu akusaidie sana Baba Mchungaji tunaomba haki itendeke jaman msimwonee Mchungaji

  • @elijiusdaniel9817
    @elijiusdaniel9817 13 дней назад +5

    Baba wanakuonea sana hawa mashetani,walitumwa na shetani kutesa watu Mungu,aishivyo Mungu tutazidi kuwapinga kwa nguvu zote.

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d 13 дней назад +4

    Pole mbarikiwa na mama salome

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 13 дней назад +3

    Mungu akufanyie wepesi , babangu mbarikiwa ❤

  • @MariamCleinance
    @MariamCleinance 13 дней назад +3

    Mungu yupo pamoja na wewe baba mungu akutetee baba

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn 12 дней назад +1

    KWA VYOVYOTE VILE BADO TUNAMTAZAMIA MUUKUMU WA HAKI NA MUUKUMU WA MWISHO NI MUNGU TU. AMINA.

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 13 дней назад +3

    Baba mchungaji Mungu akuteteee

  • @luganomunuwavanu9369
    @luganomunuwavanu9369 13 дней назад +2

    If you stand for the truth you will always stand alone. For sure you are Righteous daddy

  • @DanielKoipapei
    @DanielKoipapei 13 дней назад +2

    Bwana angalia bwana Mungu wangu angalia bwana inauma sana

  • @Veni584
    @Veni584 13 дней назад +2

    Mama pole kesi inakukumbushia machungu uliyopitia

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga 13 дней назад +2

    Siku zote mwenye haki husimamia ktk uhalisia wa jambo,,,,,Hapo hata HAKIMU awe makini na maamuzi atakayochukua,,,maana hapa Kuna sauti ya damu ya mtu inalilia HAKI😢

  • @AnnaMwitega
    @AnnaMwitega 12 дней назад

    Mungu aende mbele yako Mtumishi wa Mungu akutetee.

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 13 дней назад +1

    Pole mwana wa MUNGU MUNGU akutie nguvu

  • @bahatimgaya4045
    @bahatimgaya4045 13 дней назад +2

    Aiseee haya Mambo ni hatari 😊

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 13 дней назад +4

    Mithali 13:7 Kuna mtu mwenye kujitajirisha, lakini hana kitu; Kuna ajifanyaye kuwa maskini, lakini ana mali nyingi.
    Tunaona katika watu walitakiwa kuwa matajiri wenye mali nyingi ni wewe ila unajifanya maskini ili kuusimamisha ufalme wa Mungu wa kweli Duniani.. na iwe heri katika utumishi huu🙏

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy9615 13 дней назад +2

    Haki wanaijua sema tu huwezi kudai haki kwa mtu ambaye hata nafasi aliyonayo hakuipata kwa haki
    Baba pole
    Mungu muhukuku wa haki atakupa haki

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u 12 дней назад

      Exactly Mwenyezi Mungu yu ajua wanachomfanyia mtumishi

  • @HappyAnacondaSnake-zl4vj
    @HappyAnacondaSnake-zl4vj 13 дней назад +2

    YESU TU NDIO MUAMUZI

  • @bluxrcst
    @bluxrcst 13 дней назад

    Ameen sana sema ukweli watu wapone ukisema ukweli itakuweka huru asante

  • @Wiittole
    @Wiittole 13 дней назад

    Mtumishi wa Mungu haya yote yasikukatishe nia yako ya kuwakemea hawa wachawi.wewe ni shujaa wa Tanzania mpya tunayoiendea,wewe ni dhahabu inayopitishwa ktk tanuru la moto utakuwa bora sana.Mungu awe nawe.amen

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 13 дней назад +2

    Nuru ,ni, nuru tu, siku,zote , barikiwa baba

  • @DismasVenance
    @DismasVenance 12 дней назад

    Mbarikiwa usiogope hawa wanaotaka kukuhukumu kwa uonevu ni wanadamu siku nao ya hukumu ipo wala hawatapona na si mbali. Kuna jambo litatokea ili wajue YESU NI MUNGU MKUU.

  • @user-qm2ve7tx3s
    @user-qm2ve7tx3s 13 дней назад

    Aise ee hiyo ndio selekaliyetu inabaadhi yawatendaji wasiyo elewa kama wame beba mwili hatakama wataishi miaka 150. Bado kufa kuko palepale bola wewe utakufa nawemawako ukiwa unaonekana duniani kuliko hao wanaoishi maisha ya laana bilakujua

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 13 дней назад +1

    😭😭😭😭😭 MUNGU onekana baba.

  • @UAMSHOTV
    @UAMSHOTV 13 дней назад

    Yaani mtu anaua harafu serikari inakushitaki wewe mlalamikaji ili hali mlalamikiwa hajakanusha malalamiko, hii nchi inazidi kumeza laana hivyo kuna muda Mungu atalipa tu hakuna mtu mwenye siri na asili ya pumzi

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 13 дней назад

    Mungu ,
    MUNGU,
    MUNGU,aaaaah jamani, eee
    Yesu mnazaret tusaidieeee ,

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 13 дней назад +1

    Tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki.
    Luka 11:51

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 13 дней назад

    Jehovah onekana baba ktk maumivu haya makali kwa baba yangu Mchungaji wangu 😭😭😭😭

  • @user-sc2yw5kk5r
    @user-sc2yw5kk5r 12 дней назад +1

    Ninachojua zambi Hii itawatafuna.....
    Wote wanaofanya hayo...

  • @Yusufu-j5z
    @Yusufu-j5z 13 дней назад

    Mungu akujalie neema na akupewepesi

  • @CHRISTIANMWANAMFIPA
    @CHRISTIANMWANAMFIPA 13 дней назад

    Mungu akutetee baba. Naakupe haki yako

  • @sifunimelkizedeck882
    @sifunimelkizedeck882 13 дней назад

    Mungu aendelee kukulinda kutoka kwa watawala Wahovu na hawaaibishe mchana kweupe

  • @PatrickTimoth
    @PatrickTimoth 13 дней назад

    Mungu akufanyie wepesi

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 13 дней назад +2

    Mwanamatengenezo kamili

  • @bluxrcst
    @bluxrcst 13 дней назад

    Mungu water ye mupate ushidi wakumaliza kesi yamahakamani anaweza yote

  • @YeremiaGidion
    @YeremiaGidion 13 дней назад

    Huyu mama Samia asipo kua makini ,wakati yeye ndoo mwamuzi wakuingilia akamaliza hili tatzo kama Mungu aishivyo mbarikiwa hawezi kudhulika chochote Kwa jina la yesu kristo wa Nazareti

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 13 дней назад

    Ameni watsumbua dunian ila ila kabulini watakaa siku nying mpaka

  • @Yoram_Changala
    @Yoram_Changala 13 дней назад

    Huu ni uwenda wazimu kweli, Andwu Kantimbo amekuwa ndiye aliyelalamika.!

  • @lucknessgerana3031
    @lucknessgerana3031 13 дней назад

    Mungu mtetee mtumishi wako

  • @thimoteslangay2010
    @thimoteslangay2010 13 дней назад

    😢😢😢😢

  • @EsterSwilah-jv6ns
    @EsterSwilah-jv6ns 13 дней назад

    So pain 😭😭😭 God help us 😭

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 13 дней назад

    Kama KUUWA Ndio njia nzuri ya kulinda baadhi ya Viongozi wa serikali basi watatuuwa wengi ila ipo siku yale ya kenya yatatokea na hapa kwetu TZ,TUMECHOSHWA NA MNAVYO PINDISHA HAKI YA MCHUNGAJI MBARIKIWA

  • @user-kk7oy5hn1i
    @user-kk7oy5hn1i 11 дней назад

    Inaumiza sana moyo

  • @nicholaussteven3188
    @nicholaussteven3188 13 дней назад

    Mungu awe nanyi Baba

  • @musajulias3392
    @musajulias3392 12 дней назад

    Sijuti kuwa mtoto wako zaidi sana nataka moyo huo

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 13 дней назад

    Mmmmmmmh inaumiza sanaaa

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 13 дней назад

    MUNGU ni wewe tu umebaki.tunakuhitaji Jehovah 😭😭😭

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 13 дней назад

    Ninyi watu mlioshiba madarakan mnaone mpa watumishi wa mungu nawashaur acheni hiyo kaz Mungu shedrak meshak na Abednego akiamua kuwashughulikia mtapata taabu sana kwhyo ushaur wangu acheni

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u 12 дней назад

      Labda hawajui ebu waambie Hawa mafarao wanataka kushindana na Mussa

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 13 дней назад

    Mungu atusaidie jamani

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 13 дней назад

    So pain 😭😭😭😭😭😭😭

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 13 дней назад

    Kwahiy unamshitaki, Huyo jamaa ukishinda akulipe mtoto akusaidie nini, maana sikuelew, mbarikiwa

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 13 дней назад

    MUNGU wewe utabaki kuwa MUNGU wa Nyakati zote na majira yote 😭😭😭 yawe ya furaha ama huzuni 😭😭😭😭

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa 13 дней назад

    Yehova akupiganie, na pole.

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 13 дней назад

    😭😭😭😭😭

  • @zakariamwakasege-y2u
    @zakariamwakasege-y2u 13 дней назад

    wewe ni jeshii la mungu kwanamn yoyote utashinda kidume

  • @annaombay9417
    @annaombay9417 13 дней назад

    Mungu atakutetea

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 13 дней назад

    SAMIA Unavyo kaa kimya kuhusu Mauaji ya Huyu MTOTO tukueleweje (hiki kimya tukitofasili vipi).

  • @YeremiaGidion
    @YeremiaGidion 13 дней назад

    Mzee ww ni mshindi sana Tena sana

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 13 дней назад

    MUNGU jitokeze ktk hili 😭😭

  • @davidikakombole8833
    @davidikakombole8833 13 дней назад

    Eeeeee Mungu utusikieeeeeeee TU inatosha mateso haya

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 13 дней назад +2

    Mtumishi wewe Nimgumu kunyamaza ndio tatizo rako ukinyamaza2 matatizo yate yataisha kaakivya

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  13 дней назад +1

      Kuhubiri ni kuongea frequently (ISAYA 58:1)

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 12 дней назад

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile Nikweli lakini huoni unajiweka kwenye tabu unasumbuliwa kila siku mtumishi

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u 12 дней назад +1

      Walionyamaza wapo kaburini tu

  • @thimoteslangay2010
    @thimoteslangay2010 13 дней назад

    Emungu jitokeze Mara hi tu

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 13 дней назад

    They are above thelaw.....

  • @MariamLigoha
    @MariamLigoha 13 дней назад

    Sauti haisikiki

  • @henrychacha5592
    @henrychacha5592 13 дней назад

    Mungu amesema na Mimi miaka miwili iliyopita kwamba atafanya mabadiliko makubwa sana kwenye nchi hii.
    Chama tawala kitakuwa Cha upinzani kutokana na maovu kukithiri na mabaya yamekuwa ndo mema kwa sasa