MKE aliemchongea MUMEWE kwa MAKONDA- "MAGARI YAO , YAMEWEKWA CHINI ya- "ULINZI" mwa POLISI ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 17

  • @KassimuMbarack
    @KassimuMbarack 3 месяца назад +3

    Upo vizuri afande endeleeni na moyo huo msaidieni mkuu wa mkoa kwa kutenda haki mungu atawalipa saf sana

  • @trendings1293
    @trendings1293 3 месяца назад +1

    Hapo hamna magari tena

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 3 месяца назад +1

    Magari yenyewe ndo hayo😢😢😢

    • @marrypius576
      @marrypius576 3 месяца назад

      Alikuwa anauza kifaa kimoja baad ya kingine yan huy mwanaume Mungu amlaan😢😢😢

  • @leahkabura4271
    @leahkabura4271 3 месяца назад

    Kichwa cha habari kimekaa bias! Kwanini kumchongea? Wasafi jifunzeni kuwa professional kwa habari za msingi. Hii sio entertainment news!

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 месяца назад

    Hatuw😔🤝

  • @Filmz639
    @Filmz639 3 месяца назад

    😢😢😢

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 3 месяца назад

    Jamn pole sana

  • @user-ud4hu6xe1c
    @user-ud4hu6xe1c 3 месяца назад

    Kichwa cha habari sijakipenda

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n 3 месяца назад +1

    Alichangia kiasi gani huyo mwanamke katika izo gari..

    • @froma3732
      @froma3732 3 месяца назад

      Sio kuchangia ni yake

    • @marrypius576
      @marrypius576 3 месяца назад

      Ni ya kwake walipoachana na mume wake ndo wakamnyang'anya pamoja na ndugu wa mwanaume

  • @Official83640
    @Official83640 3 месяца назад +1

    Astaghafilullah alivyoyakongoroa sasa km sio roho mbaya nn Subhannallah

    • @Hamy1109
      @Hamy1109 3 месяца назад +1

      Gari ni za mwanaume ulitaka afanyeje wakati ni mali yake!? Huyo mama angekuwa kweli na haki nazo angeomba Mahakama itoe amri gari hizo zikamatwe.

    • @Official83640
      @Official83640 3 месяца назад +3

      @@Hamy1109 usiwe unatoka usingizini nakukimbilia cm kakimbilie chooni kwanza utoe tongotongo kisha ndy uendelee na umbea wakujua nn kimeandikwa sawa eeh. Yaani kulewa nn nimemaanisha hujaelewa unaenda kujibu utopolo🚮

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 3 месяца назад +1

      Wa mama tusikimbilie kuolewa na mali ukamuonyesha mme maana ciku hizi hawana huruma hapo hakuna gari mdogo wangu pole saaana

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 3 месяца назад

    SIO TU KUYAWEKA CHINI MFANYIE KAZI ILO SWALA SIO YAKAE HAPO MIAKA 10