Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Upo vizuri afande endeleeni na moyo huo msaidieni mkuu wa mkoa kwa kutenda haki mungu atawalipa saf sana
Hapo hamna magari tena
Magari yenyewe ndo hayo😢😢😢
Alikuwa anauza kifaa kimoja baad ya kingine yan huy mwanaume Mungu amlaan😢😢😢
Kichwa cha habari kimekaa bias! Kwanini kumchongea? Wasafi jifunzeni kuwa professional kwa habari za msingi. Hii sio entertainment news!
Hatuw😔🤝
😢😢😢
Jamn pole sana
Kichwa cha habari sijakipenda
Alichangia kiasi gani huyo mwanamke katika izo gari..
Sio kuchangia ni yake
Ni ya kwake walipoachana na mume wake ndo wakamnyang'anya pamoja na ndugu wa mwanaume
Astaghafilullah alivyoyakongoroa sasa km sio roho mbaya nn Subhannallah
Gari ni za mwanaume ulitaka afanyeje wakati ni mali yake!? Huyo mama angekuwa kweli na haki nazo angeomba Mahakama itoe amri gari hizo zikamatwe.
@@Hamy1109 usiwe unatoka usingizini nakukimbilia cm kakimbilie chooni kwanza utoe tongotongo kisha ndy uendelee na umbea wakujua nn kimeandikwa sawa eeh. Yaani kulewa nn nimemaanisha hujaelewa unaenda kujibu utopolo🚮
Wa mama tusikimbilie kuolewa na mali ukamuonyesha mme maana ciku hizi hawana huruma hapo hakuna gari mdogo wangu pole saaana
SIO TU KUYAWEKA CHINI MFANYIE KAZI ILO SWALA SIO YAKAE HAPO MIAKA 10
Upo vizuri afande endeleeni na moyo huo msaidieni mkuu wa mkoa kwa kutenda haki mungu atawalipa saf sana
Hapo hamna magari tena
Magari yenyewe ndo hayo😢😢😢
Alikuwa anauza kifaa kimoja baad ya kingine yan huy mwanaume Mungu amlaan😢😢😢
Kichwa cha habari kimekaa bias! Kwanini kumchongea? Wasafi jifunzeni kuwa professional kwa habari za msingi. Hii sio entertainment news!
Hatuw😔🤝
😢😢😢
Jamn pole sana
Kichwa cha habari sijakipenda
Alichangia kiasi gani huyo mwanamke katika izo gari..
Sio kuchangia ni yake
Ni ya kwake walipoachana na mume wake ndo wakamnyang'anya pamoja na ndugu wa mwanaume
Astaghafilullah alivyoyakongoroa sasa km sio roho mbaya nn Subhannallah
Gari ni za mwanaume ulitaka afanyeje wakati ni mali yake!? Huyo mama angekuwa kweli na haki nazo angeomba Mahakama itoe amri gari hizo zikamatwe.
@@Hamy1109 usiwe unatoka usingizini nakukimbilia cm kakimbilie chooni kwanza utoe tongotongo kisha ndy uendelee na umbea wakujua nn kimeandikwa sawa eeh. Yaani kulewa nn nimemaanisha hujaelewa unaenda kujibu utopolo🚮
Wa mama tusikimbilie kuolewa na mali ukamuonyesha mme maana ciku hizi hawana huruma hapo hakuna gari mdogo wangu pole saaana
SIO TU KUYAWEKA CHINI MFANYIE KAZI ILO SWALA SIO YAKAE HAPO MIAKA 10