ENEO LA UCHAWI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 18

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 3 месяца назад +1

    Kiukweli mnatufurahisha, na pia ni shule tosha.Big up sana

  • @BIGbone.9422
    @BIGbone.9422 3 месяца назад +1

    Nanga full mikwara ya milimani, uncle hapo huna budi kushuka chini 🤣🤣

  • @tafboy9146
    @tafboy9146 3 месяца назад +2

    muwe mnabadilisha location nanga sio kila siku hizo hizo

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 3 месяца назад +4

      Wape wewe location muhimu content mpya hutaki usiangalie tupo sisi washabiki wake tutaangalia

    • @adrianorayner6551
      @adrianorayner6551 3 месяца назад

      Wewe unasikiliza contents au location?

    • @mwanetu
      @mwanetu 3 месяца назад

      Location matters bro

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 3 месяца назад

      @@mwanetu umenena vizuri kwa content hii imeendana na location hii sasa angepata wapi location inayoendana na content hii. 🤣 Hapo hakuna kosa usilalamike tu

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 3 месяца назад

      Kama unataka kutalii nenda hifadhi za taifa sie tuachie kivuruge wetu tumeridhika na Khali yake👌👌👌👌