🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • HAFIDH NGOZI ATOA SIRI NZITO YA MWALIMU WAKE WA QASWIDA, NAMUELEWA QCHIEF NDIO NAMUIGA #film #africa #love #dufu #movie #music #hafidhngozi

Комментарии • 13

  • @حسنبشير-ز2ج
    @حسنبشير-ز2ج Месяц назад +2

    Mtume s.w amesema mwenye kijifananisha na watu basi ni miongoni mwao ALLAH akuongoze shekhe

  • @el-ghazalislamiccenter392
    @el-ghazalislamiccenter392 Месяц назад +1

    Alhamdulilah tumestafiddi mwamba kabisaaaaa Allah akuweke tuburudike

  • @حسنبشير-ز2ج
    @حسنبشير-ز2ج Месяц назад +1

    Tawhiid na vinanda allah awaongoze

  • @officialRamaone
    @officialRamaone Месяц назад

    ila wanadamu 🙌🙌 walizusha huyu jamaa kafariki na niliona kmya nikaamini et ALLAH aturehemu.

  • @mcmuba5015
    @mcmuba5015 Месяц назад +1

    Mashallah

  • @HeryMpinga
    @HeryMpinga Месяц назад +1

    Nguli la QASWAYDA

  • @azizisulay6005
    @azizisulay6005 Месяц назад +2

    Ndio maana dini imekataza nyimbo, je hamuoni ujinga na hamna hata haya yoyote kuwafanya wasanii kuwa viigizo vyema kwenu, mkipigwa rududi na masalafy mnaanza kulalamika mara eti mawahabi ni wabaya, kiufupi usufi ni uwendawazim hawatak kusoma kazi imebak tu kuruka ruka na manyimbo

  • @HamadiShabani-j7n
    @HamadiShabani-j7n Месяц назад

    NIMEISIKILIZA MWANZO MWISHO HAKUNA KIBAYA ALICHOZUNGUMZA SHEKHE KWA MWENYE AKILI TU ATAELEWA

  • @hashimagilly3893
    @hashimagilly3893 Месяц назад

    Wapate burudanii, akina nani hao? Imbeni miziki tu ijulikane! Mnapotosha saana

  • @SalumKarzai
    @SalumKarzai Месяц назад

    Q-Chief Bado hatujaona Usomaji wake wa Qaswida kwahiyo hawezi kuwa mwalim maneno haya yanachafua Heshima na Hadhi ya Qaswida

    • @swiratwaonlinetv9472
      @swiratwaonlinetv9472  Месяц назад +1

      Sikiliza mpaka mwisho

    • @el-ghazalislamiccenter392
      @el-ghazalislamiccenter392 Месяц назад +1

      Ajasema mwalim bali anachukuwa kilicho bora kwao na kukifanyia Kazi kwa tasnia yake ya qasida ama uimbaji kwake kama nitaeleweka

  • @AliBakar-f5k
    @AliBakar-f5k Месяц назад

    Nisikia amekufa ameliwa na simba kumbe sio kwe