#SUZASO
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Welcome First Year- Serikali ya wanafunzi ya Chuo Kiku cha Taifa cha Zanzibar SUZASO inayo ongozwa na Rais wake Mh; Khalid Juma Ameir inawakaribisha wanafunzi wapya walio chaguliwa kujiunga na na Chuo (SUZA) kwa mwaka wa masomo 2023-2024
NYOTE MUNAKARIBISHWA
KARIBUNI SANA
💥