Fahamu muda sahihi wa mtuhumiwa kukamatwa na Polisi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 апр 2017
  • Jebra Kambole ni Mwanasheria wa kujitegemea na leo ameongelea muda sahihi wa kukmkamata mtuhumiwa na Pia ameongelea mambo mengi likiwemo ni Chomo gani ni sahihi kuwa na pingu
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 17

  • @balthazarymwakitalu2502
    @balthazarymwakitalu2502 5 лет назад +2

    Hayo masaa ya mtu kukamatwa yapo kwenye kifungu kipi?huwez pangiwa masaa ya mtuhumiwa kukamatwa brother

  • @rajabuabdallah3840
    @rajabuabdallah3840 7 лет назад +1

    Kka milad shkran kwa kuturushia

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 2 года назад +1

    Et Massa 24

  • @karimumduma4062
    @karimumduma4062 7 лет назад

    we Johnson kama we unajua na we we elezea ye kaeleza kiasi chake

  • @inassibmshana6145
    @inassibmshana6145 6 лет назад

    ongea ukweli kama unataka kuelimisha jamii jinsi ya kukamatwa mtuhumiwa

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад

    Dizaini kama sijaelewa

  • @zaniallyyunus4696
    @zaniallyyunus4696 2 года назад

    Jaman kunakituokinatuyesa

  • @wesakaphilimon9578
    @wesakaphilimon9578 7 лет назад

    Hana lolote huyo kilaza tu

  • @katyentyedanny4037
    @katyentyedanny4037 7 лет назад

    mtuhumiwa wa aina gn fafanua

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 7 лет назад

      Katyentye danny wazungu wanakitu yaitwa instinct!
      So that guides any proffesional & light workers!

  • @wesakaphilimon9578
    @wesakaphilimon9578 7 лет назад

    G P O????????? ndio nini hicho??? Mbn anaongea anatetemeka hajiamin? Lawyer gan unatetemeka? Kama sio ukilaza?

  • @balthazarymwakitalu2502
    @balthazarymwakitalu2502 5 лет назад

    Umekalili vyema ila mengine umedanganya umma brother..GPO ni kitu gani?pia huo muda wa mtuhumiwa kukaa polisi umepitia vyema na exception zake?brother soma vyema hiyo criminal procedure act ila usidanganye chimba mpaka ndani

    • @IsmailKatala
      @IsmailKatala 5 месяцев назад

      Kachanganya kidogo hapo sio GPO, ila ni PGO

  • @johnsonkilingo6515
    @johnsonkilingo6515 7 лет назад +1

    GOP ndio nn ww acha kudanganya

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 7 лет назад

      johnson kilingo break it down...
      why lamenting..
      unasababisha tufikiri twice about ya!

    • @salehali4saleh19
      @salehali4saleh19 3 года назад

      GOP sio kweli inajulikana km PGO(police general order)