Fahamu muda sahihi wa mtuhumiwa kukamatwa na Polisi
HTML-код
- Опубликовано: 9 апр 2017
- Jebra Kambole ni Mwanasheria wa kujitegemea na leo ameongelea muda sahihi wa kukmkamata mtuhumiwa na Pia ameongelea mambo mengi likiwemo ni Chomo gani ni sahihi kuwa na pingu
Развлечения
Hayo masaa ya mtu kukamatwa yapo kwenye kifungu kipi?huwez pangiwa masaa ya mtuhumiwa kukamatwa brother
Kka milad shkran kwa kuturushia
Et Massa 24
we Johnson kama we unajua na we we elezea ye kaeleza kiasi chake
ongea ukweli kama unataka kuelimisha jamii jinsi ya kukamatwa mtuhumiwa
Dizaini kama sijaelewa
Jaman kunakituokinatuyesa
Hana lolote huyo kilaza tu
mtuhumiwa wa aina gn fafanua
Katyentye danny wazungu wanakitu yaitwa instinct!
So that guides any proffesional & light workers!
G P O????????? ndio nini hicho??? Mbn anaongea anatetemeka hajiamin? Lawyer gan unatetemeka? Kama sio ukilaza?
GENERAL POLICE ORDERS?
Umekalili vyema ila mengine umedanganya umma brother..GPO ni kitu gani?pia huo muda wa mtuhumiwa kukaa polisi umepitia vyema na exception zake?brother soma vyema hiyo criminal procedure act ila usidanganye chimba mpaka ndani
Kachanganya kidogo hapo sio GPO, ila ni PGO
GOP ndio nn ww acha kudanganya
johnson kilingo break it down...
why lamenting..
unasababisha tufikiri twice about ya!
GOP sio kweli inajulikana km PGO(police general order)