Huyu dar ana nyum ba kama zote huko kimara bonyokwa ndio usiseme ana m ijumba kibao yani h uyu ana mabaa ana mabiashara yani an a vitu vya dhamani sana ila simtu wa m aringo
nimekuja kugunduwa huyu jama pesa anayo baada yw kuiyona baar yake ya manzese namkuta anakuka nyama choma kwenye bar yake nikauliza hivi yule si muigizaji nikajibiwa ndio na ile ni bar yake
"...mke mmoja na Sina wazo la kugombana naye..."☑️✍️👏
Namkumbuka sana kakako max
Ha haa haaa haaa!! hawakuji hao Mkwere,(waukae) au miwaambie?
Jamaa ana nyumba Kali kuliko wasanii wengi Sana Hapa bongo
Mkwere Origino
Huyu dar ana nyum ba kama zote huko kimara bonyokwa ndio usiseme ana m ijumba kibao yani h uyu ana mabaa ana mabiashara yani an a vitu vya dhamani sana ila simtu wa m aringo
nimekuja kugunduwa huyu jama pesa anayo baada yw kuiyona baar yake ya manzese namkuta anakuka nyama choma kwenye bar yake nikauliza hivi yule si muigizaji nikajibiwa ndio na ile ni bar yake