MAPYA KUMBE BINTI ALITOROSHWA KWAO |KESI IMEFUTWA |SAFARI ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 779

  • @ibrahimadam4272
    @ibrahimadam4272 4 года назад +7

    All the way from 001county mambasani.Dada kumlipa si hoja ashamuharibiya maisha yake.mbeleni itakuja kumpa msonga Wa mawazo.

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 4 года назад +9

    Penye uzito na wepesi pia upo subuhnallah mungu akujalie maisha mazuli amina🙏🙏🙏

  • @zainabmkomwa2064
    @zainabmkomwa2064 4 года назад +15

    Wakwanza naombeni like zenu.Zahir Allah akujaalie umri mrefu zaid unafanya mambo makubwa Allah akufanyie wepesi.

  • @yvonnemhadu3698
    @yvonnemhadu3698 4 года назад +3

    Najihisi kukupenda we mtangazaji kwakweli mungu akusimamie vema ktk kazi zako

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +1

      Asante kwa upendo wako..amen mungu mwema ubarikiwe sana

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 4 года назад

      Dadayakenimzuri

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 4 года назад

      Nyie watu munaomani unyamawotehuo alofanyiwa mpakamitisehemuyasiri km kaumiandani kwandani je

  • @AishaAisha-rh1fc
    @AishaAisha-rh1fc 4 года назад +2

    Dah hawa watoto wana hatari kubwa mno .....Ungekufa je!
    Ahsante sana dada mungu akupe moyo huo

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 4 года назад

      Watoto wetu wanamitihaya wallah

    • @AishaAisha-rh1fc
      @AishaAisha-rh1fc 4 года назад +1

      @@Ryoof-qo7if sanaaa yaani watoroka kizembe ndio maana madanguro hayaishi kwa kweli

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Год назад

    Subhanna Allah 😭😭 unamsamehe mtu alioatarisha maisha yake mmmmh inasikitisha kweli eti laki mbili duuuh

  • @mariamdjae9825
    @mariamdjae9825 4 года назад +11

    Subhanallah, kweli huyo dada aje ahongwe lakini mbili afute kesi, kweli hana uchungu na nduguye, inaonesha hata yy ataenda kumtesa kwanza kamuacha ana miaka miwili hajui uchungu wa nduguye kudhalilishwa hata kutiwa majiti, akuchukulie poa basi angekua mwanawe yy angekua mwanawe angechukulia poa, Zahir hii kesi ifike sehemu husika kwa wanotwte haki za wtt, huyo dada na hao serikali ya mtaa hawakumtendea haki huyo mtt. Huyo muajiri kuachiwa hivi bila hata kufunguliwa mashtaka serekali lazima imchukulie hatua nimfalifu hata wtt wake anyanganywe na asiruhusiwe kuwa na mfanya kazi maishani mwake, nafikiria dada huyo kachukua umuzi bila hata wazee kuwajulisha na kuwaelezea yalomsibu mtt wao siamini kama wangechukulia poa kama huyo dada kwa laki mbili. Na huyo anofanya traffic ya kutorosha wtt wa wt lazima serikali imfuatilie afunguliwe mashtaka.

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +2

      Tatzo familia imeshalumaliza..na rushwa imetendeka Sasa mm hapo nguvu nitatolea wapi

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 года назад

      @@maximumtvonline SAA nimeumia saana najua ungempeleka ww kwao pangeniga saana wotewangechukuliwa hatua natamaniuyo dada an gen yang many auto mdogowake asiendenaenaana pesa zimemchanganya

  • @jaggaludegula6826
    @jaggaludegula6826 4 года назад +46

    Dada MTU pungu yaani kaona laki mbili pesa nyingi tofauti na maumivu ya MDOGO wake yaani kaniuzi balaa

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад +2

      Hawa ndio wale madada hawajashika pesa wako manyumbani Tu hawajui thamani za pesa atamimi nimeudhika zaidi napia inaonekana huyu dadake hanaupendo na mdogowake

    • @AishaAisha-rh1fc
      @AishaAisha-rh1fc 4 года назад +3

      Mbaya zaidi yy kachukua nyingi muhusika kapewa kidogo khaaaa kufa kufaana WALLAH

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 года назад +2

      Mwenzenu huyo dada umeniudh vby mno yaan hata huyo mtoto anajibu tu lkn hayo maneno nahis kafundishwa mm jmn lidada lijinga mno mdogo wako kabikiriwa na majiti lkn unayafukia hajui thamani ya bikra hawa shungi lileeeee

    • @evachriss5906
      @evachriss5906 4 года назад +3

      Dada uyu siyo mxima wallah

    • @user-jz8sj5us1h
      @user-jz8sj5us1h 4 года назад +1

      Pesa ndogo sana uyu dada ajierewi

  • @carstuslucas4248
    @carstuslucas4248 4 года назад +1

    Bora mwenyez mungu akunyime vyote akupe hakili hakyanani.

  • @hijjahbintmardhya6613
    @hijjahbintmardhya6613 4 года назад +8

    Asalaam aleykum warhmatullah wabarakatuh... Natumai uko mzima kabisa! kwa Kweli Zahir babaa. hawajamtendea haki kabisa huyo mtoto Maana mtoto ajapata vipimo Bali wameangalia tu nakutathin kwa maelezo nakumpa dawa za maumivu bila vipimo je kama huyo mtoto kaathirika ndani kwa ndani itakuaje na hapo wamemaliza kesi kutokana na ufinyu wa kifkra wa dada hajui kujieleza sio kosa lake alikua anaitaji mwenye uwezo wa fikra zaid kumsaidia huyo Dada but yashakuwa ila kwa ushauri wangu ungewezekana huyo Dada angeojiwa na atiwe adabu ili iwe funzo hata kwa wengine kwa Kweli kuna watu ni roho mbaya sana hata shetan anawaogopa wanatumia pesa zao kunyanyasa walio chini yao 😭 ila Mwenyezi Mungu atamlipia yeye mwenyewe Hatomwacha atese mwengine Tena

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 4 года назад +19

    Kama wenyewe wamesamehe sisi kama wajumbe tunaomba Serikali uchukue mkondo wake kuhusu huyo Boss mtu maana atawanyanyasa na wengine watakao kuja kufanya kazi bora angeadhibiwa kisheria ili iwe fundisho kwa maboss wengine.

  • @fatmakigula8634
    @fatmakigula8634 4 года назад +1

    Dhahir cc hatujakubali kes iendelee

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +1

      Wenye kesi wameifunga ndo tatzo..unaweza fungua na mtoto hayupo

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan7769 4 года назад

    Duh hela gn iyo na kipigo juu mm nilijuwa milion naaaaa

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan7769 4 года назад

    zahir asante sana kwa muendelezo

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 8 месяцев назад

    Ingekuw ni ndug yangu mbon tungefikishan mbali tajir wakituy gan

  • @halimaswaheli1495
    @halimaswaheli1495 4 года назад

    Kwanza pole mtangazaj mana uyo Dada sijui anadaiwa vikoba ndug yako kapotea miez mitatu unashukul mungu mh ay

  • @zinjbaroman4831
    @zinjbaroman4831 4 года назад +1

    Masha Allah kama pacha mungu awa weke dada pole na mitiani

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +10

    Dunia inaelekea mwisho jamani,ivi kama umemshindwa mtoto wa mtu siumrudishe kwao..

    • @ayeshal4395
      @ayeshal4395 4 года назад

      Kbsa

    • @niachiemahehee2523
      @niachiemahehee2523 4 года назад

      Dada tako lako lakushoto huna akili kabisa mwehu wewe .ningekuambia karibu ningekupa Kofi la hatari .umeona hpo umepewa hela nyingi .mpuuzi wewe mavi yko .hujawahi shika hta elf hamsini yakwako mwenyewe ndio Mana umechanganyikiwa na na hela ya kijora mpuzi .kwanza umeishia darasa langapi sijajua mavi yako

    • @ayeshal4395
      @ayeshal4395 4 года назад

      @@niachiemahehee2523 sn aki naukiangalia mtu hujui alvyo umia ela shetani mshenzi kuma vuzi unathamin ela kuliko dadko mburu kenge jifunze kuongea stupid

  • @salmamohammed5623
    @salmamohammed5623 4 года назад +2

    Duuh huyu dada kweli kakaa Zanzibar. Sie tuna moyo wa huruma tu kwa kila kitu. Mtu wa bara hapo asingekubali na hiyo 245,000. Allah atawafanyia wepesi na atawapa zaidi.

    • @lipymuscat4779
      @lipymuscat4779 4 года назад

      ameen..ukimsamehe mtu duniani Allah atakusamehe akhera..

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 4 года назад +7

    Yukowapi huyo muaji wallah
    Ety wapokea lak 2 mimi ningempereka jela na fidia juu

  • @mwanashaabani613
    @mwanashaabani613 4 года назад +4

    Mm kama mama nimeumia saaana kuona hii kesi imeishia hivi Huyu mwenyekiti hakupaza sauti juu ya udhalilishaji wa watoto sjui km hajahongwa..MUHESHIMIWAJOHN POMBE MAGUFULI tunaomba utusaidie juu ya hili jambo mm nimechukia nimechukia nimechukia haki haijatendeka na nimeumia kama mama.shenz type wee mama

  • @sweetaromakitchen8194
    @sweetaromakitchen8194 3 года назад

    Aisee angkuwa mdg wangu hata million sichukui namuweka ndan kbs upuuz gan yn laki mbl wkt ht mshahara wangu wa mwez n mara tatu yake dada mjinga sana

  • @mariamramadhani8012
    @mariamramadhani8012 4 года назад +8

    Dada punguani tena linachekelea, we mwenyekiti cjui nani nae hamnazo

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan7769 4 года назад

    Duh shirikisho yn wanadanganuwa Dar kuna maisha mazur wanakubar

  • @nadineshimirimana7483
    @nadineshimirimana7483 4 года назад +19

    huyu dada mjinga kweli hovyo kanibowa 😕

  • @zawadijumaa1867
    @zawadijumaa1867 4 года назад +1

    Dah kaka zahir mungu akulinde sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +6

    Kweli pesa mbaya,pesa kidogo hiyo inafanya unasahau suluba aliyopitia ndugu yako?hapana hiyo kesi haitakiwi kuisha kienyeji ivo..uyo ni mfanyakazi mmoja,waliopita je?watakaokuja?

    • @khadijaangore4408
      @khadijaangore4408 4 года назад +2

      Nashangaaa

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад

      Eti laki Mbili wamewadharau Sana alifa kulipa mshahara wa kazi aliofanya kando na pesa yengine kumfariji huyu msichana aliye pitaya mateso ila namlaumu Sana dadake

    • @mariamfritsi9761
      @mariamfritsi9761 4 года назад

      Hata mimi nimeshangaa kwa kweli,kwa mtindo huu ukatili hauwezi kuisha,hiyu dada sio mzima.

    • @suhysulym7710
      @suhysulym7710 4 года назад

      Yan haitakiwi kabisa kuisha kihvyo

    • @naomymzumilo9783
      @naomymzumilo9783 4 года назад

      Dada huna akili mdogo wako angeuwawa shule nxuri alikochokonolewa akaoza fara we we

  • @ashamohamed8197
    @ashamohamed8197 3 года назад

    Kenge huy dada nataman kumlukia huy dada shenz kbs

  • @zuwenajuma2927
    @zuwenajuma2927 4 года назад +18

    Zahir ningekuwa karibu ningemtia vibao huyo Dada

    • @suhysulym7710
      @suhysulym7710 4 года назад

      Tena mm ningempiga sanaa Yan mtu apigwe adhalilishe hiyo halafu kirahisi tu anasamehe na malipo madogo hayo haki mbingu huyu dada haendi

    • @tynahstanley2766
      @tynahstanley2766 4 года назад

      Yan nais ww ungemchezea iyo miti ya mbelen ningemtia uyo dada mpumbav wa mwisho

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +2

      Kweli kabisa..anakera

    • @mohdbest9488
      @mohdbest9488 4 года назад +2

      @@maximumtvonline kwa nini usingekaa nae pembeni ukamshauri arudishe hiyo pesa sheria ichukue mkondo wake kaka
      Mjinga sana huyu dada halafu bado anasema anataka asaidiwe dah niimeumia kias natamani ningekuwa karibu nae nimshtue hata kibao tu

    • @aminamohammed2299
      @aminamohammed2299 4 года назад +1

      Anakera Sana Mimi naona huyo dada mtu na huyo muhalifu wote wawekwa ndani wafunge

  • @mmmmhmakaveli3503
    @mmmmhmakaveli3503 3 года назад

    Kaka upo vizur nimekupend buleeeee

  • @aminasalamalekumamina6217
    @aminasalamalekumamina6217 3 года назад

    Salam alekum

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 4 года назад +13

    Shukrani sana kk Zahri..ila uyo dd wa bint kazingua ni pesa gani sasa iyo ya kumfanya yy kufuta kesi..

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад

      Daah we acha tu

    • @aishachambo3293
      @aishachambo3293 4 года назад +2

      Uyo dada mshenzi sana angeingizwa yy miti mbeleni angejisikiaje sura kama kikaango😏

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 года назад +1

      Yani hatamm kaniudhi saana yani uyo mama angetoa milioni mbili kweupe

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 года назад

      @@maximumtvonline najua kaka umejitioa saana naimekuuma saana ilauyodada kaboa saana

    • @mrsliverpool4235
      @mrsliverpool4235 4 года назад

      @@fatemaligalawa4151 milioni2 pia kidogo kuanzia 5 huko

  • @lipymuscat4779
    @lipymuscat4779 4 года назад +2

    mungu atalipa..sisi wazanzibar Allah tumemuweka mbele..

  • @teresiahaule2383
    @teresiahaule2383 4 года назад +1

    Wewe dadake fala sana tena jinga kubwa

  • @oliverkyando9897
    @oliverkyando9897 4 года назад +9

    We dada hiyo pesa na utu sio, haviendani mbona mmechukulia poa sana😏😏😏

  • @johakheri9678
    @johakheri9678 4 года назад +16

    Jaman hapana huyu dada hajielewi hata kidogo

    • @evachriss5906
      @evachriss5906 4 года назад +1

      Kabisa uyu Dada cyo mxima wallah

    • @johakheri9678
      @johakheri9678 4 года назад

      Kabisaaa

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 4 года назад +1

      Yani sema wewe maana bora Hata angempeleka mabusu uyo bosi na kuacha kuchukua hiyo pesa

    • @zubedanyamsha1971
      @zubedanyamsha1971 4 года назад

      Mi nmewatch saiv ,uyu mdada n taira + punguan hana uchungu kbsaa na ndugu yakeee ,iv angemkutaa marehemu jee

    • @johakheri9678
      @johakheri9678 4 года назад

      @@zubedanyamsha1971 acha tu

  • @angelpritchard9399
    @angelpritchard9399 3 года назад

    Dah zair pole sana jamn najua utakuwa ulichukia sana ila kiukweli huyo dada siyo mtu mzur hata hiyo hela ata mnyang, an, gany wakitoka hapo

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 4 года назад +6

    Mateso yote hayo alfu mnamuachia huyo mama 😢😢😢pesa yenyewe ni ndogo kulingana na tukio. Zahir hebu mtafute huyo mama umhoji ajieleze kwanini anawatendea vibaya wafanya kazi

    • @dianahussein8934
      @dianahussein8934 4 года назад

      Ivi we unaakili au aunauchungu na mdg ako u atamaaa naroho mbaya

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 4 года назад +1

      Mungu atamlipa nshallah

    • @marthasumaye6017
      @marthasumaye6017 4 года назад +1

      Ukute ni mke wa kigogoo ndo maana ananynyasa watu ila Mungu atampiga na uzao wake

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад

      @@marthasumaye6017 ameena

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад +2

      Hapo kuna njama ya kishenzii Sana inaonekana wametishiwa Mahali hakuna kuridhika yoyote iliofanyika hapo ati laki Mbili Tu na haliiniiile he angeuuwa

  • @dianahussein8934
    @dianahussein8934 4 года назад +1

    Mwenyeki mungu anasema km ilotukio lingekua kwamanao uliemzaa

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 4 года назад +9

    Dah musingekubali kupokea hiyo pesa, mungepeleka kesi mbele, huyo mtt nae anamsamehee vipi.
    Ahh munaudhi.
    Hapo mungelipwa million 5-10 huko

  • @zennernurdin6995
    @zennernurdin6995 4 года назад +1

    Huyo Dada choko

  • @asinakassim1548
    @asinakassim1548 3 года назад

    Angekuwadadangu Hutu mdadaa huyomamaangekoma jinsiningemtingishaa aisay naona angeopa huyo mdada...yanihuyu dada Kayoyo mno kapewahela kalainika 1😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +4

    Mtangazaji nimekupenda bure,umeuuliza huyu dada haswa,sababu mimi naona kama hajielewi..
    Na kama ulivyosema iyo ni pesa ndogo sana,kwanini wewe mwandishi hukuhakikisha unafuatilia hii kesi wakati inasusuhishwa?kutakuwa na jambo hapo,sio bure...huko serikalini huko kuna mambo chini.ya kapeti

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад +1

      Ukweli kabisa Zahir ungelifuatilia hadi huko walipoongea hapo kuna njama ya ushenzi kupewa laki 2 na mateso yote hayo jee anguuuwa ama ampe jiraha la maisha useless Sister Hanamaana huyu dadake

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +1

      Asante kwa upendo wako

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +1

      Nimeenda baada ya kupata taarifa kuwa huyo dada anakuja dar nikijua akifika moja kwa moja watanipigia Mimi ili ikiwezekana tupate kushsurisna lakin Cha ajabu amefika dar wamekutana na mtuhumiwa..kadanganywa Sana na Sana na mwisho napigiwa Mimi kukutana nao ndo WALIKUWA wanaenda Zanzibar sa hapo nitafanya nn..ikabid nifanye kipindi BARABARANI hapo dar live mbagala Kisha nikakiweka hapa

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly 4 года назад +1

      @@maximumtvonline aaaah jamani,yaaani dunia hii.
      Hawajafanya fair kabisa,hata mtoto unaona kuna vitu hajamwambia,usikute aliona tu hata haina haja sababu dada yake labda hata hakuongea nae,alianza kuongea na hao watuhumiwa na kuja huku kumshawishi tu mtoto.
      astaghfirullah Dah! nimeskitika sana mwandishi,basi tena inna lillah
      Lipo nje ya uwezo wenu tena,kama wao wamesema hamna kesi tena basi nyinyi hamuwezi tena kuendelea nalo.
      Mungu aendelee kuwatia nguvu na moyo kutatua uonevu ,manyanyaso na mikimiki yote iliyoko ndani ya uwezo wenu.
      Mnafanya kazi nzuri sana Maxmum Tv Online👏👏👏👏👏👏👏

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 4 года назад +1

    Hamna adabu sana nyinyi wazazi. Yaani kambikiri kwa miti halafu kamlipa laki moja umefuta kesi. Sheria ichukue mkondo wake

  • @zuwenajuma2927
    @zuwenajuma2927 4 года назад +5

    We Dada umzm kweli umefuta kesi hujui hiyo mijit aliyochomwachomwa bdy ikiwa shida utamlilia nani,umeniuz kwakweli ngeu hizo hajapona unasamehe kirahis kweli

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад

      Inaudhi Sana laki Mbili wanafananisha na maisha ya mtu kwasabu angemuuwa msichana wawatu ingekuaje huyu dadake Hana thamani mshenzi hajielewi duhhh

    • @leylahleylah4599
      @leylahleylah4599 4 года назад +1

      Yaani nimestàajabu...kawavunja moyo majirani wote waliojitokeza kumsaidia huyu mtoto...Majirani walionyesha uchungu kuliko hata huyu ndugu yake...laki 2...pesa sio kila kitu huyo mtoto aweza pata tatizo mda wowote afu hata huko chini hamkumfanyia uchunguzi itakuwaje ukifika zanzibar naukamkuta mdogo wako kaumizwa sana na majiti unadhani hiyo laki 2 ni nyingi? Isee bora mungu akunyime mali akupe akili...Dada umetuvunja moyo sana loooh...kama mambo yalivyotoka hadahani ungemtafuta mwandishi huyuhuyu mambo yaishie hadharani na majirani nao waridhike yaani mmenda kumaliza kimyakimya astaqafurullah.

    • @mariamfaki1166
      @mariamfaki1166 4 года назад

      Mungu atawalipia inshallah haina haja mungu atamuhukum huyo mdada

    • @dafrozasangi3038
      @dafrozasangi3038 4 года назад

      Huyo Dada mtu kwakweli ni mtambo saana yani mtoto kafanyiwa unyma kiasi hicho mbaka mtoto kuingiziwa mijiti sehem za sili alfu yeye anasema eti kamfanyia ubinadam ubinadam upi. Kwa mfano nichenga sana

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 4 года назад +3

    Zahir God bless you more.

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 4 года назад +1

    Wewe azimio mungu akulaani

  • @memisaphusseni7190
    @memisaphusseni7190 4 года назад +2

    Mmmmmh makubwaa nayo aya aya pole mdogo wangu

  • @daishajumanne5990
    @daishajumanne5990 4 года назад +4

    Kabisa zahiri umemuumbua sana uyo dada yake tahira ume mkatiza kauli eti usaidiwe vp pesa kapewa na kalizika😁

    • @ramlamburi9743
      @ramlamburi9743 4 года назад

      😂😂😂

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад +1

      Hanaata aibu unaridhikaje na pesa ndogo kwaajili ya maisha ya mdogoako inaonekana Hana upendo kabisa na huyo mdogoake maajabu haya

    • @daishajumanne5990
      @daishajumanne5990 4 года назад

      @@lovvy854 😃😃😃 na maajabu kweli wallah Abdul

    • @daishajumanne5990
      @daishajumanne5990 4 года назад

      Tamaa tu

  • @mamoulovecherry5121
    @mamoulovecherry5121 4 года назад +1

    Subhannallah yn uyu dd mjinga wakweli kbs

  • @esterester5612
    @esterester5612 4 года назад +1

    Dada jinga kweli

  • @mayryamsaid7038
    @mayryamsaid7038 3 года назад

    kaniudhi uyu dada yaan nikifkiria hivo akimpa mates ujinga mtupu uyu dada sie hafai serikali tunaiomba ilitizame hili swali zahir pleas huu ni udhalilishaji mkubwa sana pleas roho.inaniuma

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 4 года назад +13

    Muko careless mtoto mdogo huyo alitoroka hata report polisi musitoe hamujali Kabisa,so sad

  • @gracejoseph3336
    @gracejoseph3336 4 года назад

    Wew dada kweli mjnga ungeoewa hata milion

  • @zahraalhabsi7931
    @zahraalhabsi7931 4 года назад

    Zahir kazi unayo,pasua kichwa

  • @josephinemrope4565
    @josephinemrope4565 4 года назад +1

    Laki 2 sio hela kwa ukatili huo ingefaa hata niliona moja napo kwa huruma sana

  • @hadiyaalamri9541
    @hadiyaalamri9541 4 года назад +1

    Uhitaji mbaya jaman laki mbili kaiyona nyingi

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 4 года назад

    Hy dd ni mpuuzi sana,ss hl gn hiyo. Hapo hapo eti pa1 na mshahara i duh 🤭 🤭 🤭

  • @muheza19
    @muheza19 4 года назад +1

    Uonevu mkubwa sana. Hata mwenye kiti amekubali hayo makubaliano 😳😳😳😳

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 4 года назад

    Huyu dada ni mjinga sanaa laki mbili kwa kipigo chote hicho pumbavu

  • @reginajustin2432
    @reginajustin2432 4 года назад

    Hii lidada lipumbv kwel

  • @johntay8813
    @johntay8813 4 года назад +1

    Ukweli kaka yangu mtangazaji Allah akupe umri mrefu kwaufatiliaji wako uyo dada kaniudhi ule boss lazma angekanywa asirudi uyama uyo kwa yoyote atae muajiri

    • @teresiapamfili281
      @teresiapamfili281 3 года назад

      Huyo dada kakosea, huyo mama ni heri fisi, anamfanyia ubaya Kama huo, anastahili onyo kali. Msamaha baada ya onyo

  • @halimaomar3280
    @halimaomar3280 4 года назад +1

    Mmhh

  • @umranim5854
    @umranim5854 4 года назад +1

    Umekosea sana bora ungeacha watu wakasaidia angepata pesa nzuri na boss angeshishwa adabu asingerudia tena udhalilishaji

  • @suzanechristopher4631
    @suzanechristopher4631 4 года назад

    We Dada kichaa dogo kaumia wew unafurahia laki 2

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania3089 4 года назад +4

    Mmmmmm mbona mumemchekeya jamani kwa nn asifungwe uyo mshenzi atarudiya tena na ela ndogo sana uyo atamfanyia mtu mwengine

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад

      Huyu dadaake ni mkunbavu Hana haya ata laki 2 ela ndogo sana angetakiwa ampe ata Lakii Tano ama nne ila huyu dadaake mkunbavu wa mwisho

    • @ayeshal4395
      @ayeshal4395 4 года назад

      Afungwe ama auliwe hyo hlo j ama Halina akili

  • @hawasaid2566
    @hawasaid2566 4 года назад +1

    Kabadilisha kiswahili kama mpemba mpumbavu huyu Dada jitu LA iringa shamba hili

  • @maryamabdul1335
    @maryamabdul1335 4 года назад +2

    Huy Dada akili hana kathamini kitu kuliko utu majuto nimjukuu atajuta badae

    • @mimiwewe6617
      @mimiwewe6617 4 года назад

      Kweli kabisa na anaweza pata madhara baadae, sijui watamlilia nani?

  • @neemasabure9061
    @neemasabure9061 4 года назад +1

    Aisee kwl dunia imeishaa kabisaa kirahisii hivyoo tu kesii imeishaa ama kwl unyama autaishaa kabisaa

  • @goodgood9370
    @goodgood9370 4 года назад +2

    Huyo tajiri wa binti mungu atamlipa double price

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +1

      Tajiri wapi Hana lolote

    • @goodgood9370
      @goodgood9370 4 года назад

      @@maximumtvonline amemtendea mtoto wa wenyewe unyama m mbaya sana ..ila ajue na Yeye amezaa

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania3089 4 года назад +2

    Uyu dada kaniuzi kweli kaka zahri yani sijui ajasoma uyu aliye fanya ikikitendo alikuwa afungwe ndiyo ingekuwa dawa pumbaaavuuuuu uyu dada wa binti

  • @mamounmamoun7877
    @mamounmamoun7877 3 года назад

    Kaka Zahir haki za kijinsi hazikuchuliwa ila kwa kuwa dada kaamua kumsamehe bc tuseme Inshaallah Mungu ndie mlipaji ila mabos waache kutunyanyasa na kututesea watoto wetu kupata kwao isiwe pigo kwa wengine

  • @djamilathiam4663
    @djamilathiam4663 4 года назад +2

    Uyo dada ni mujinga kabisa laki mbili kweli apana wangemupa ata million 10 wallah mujinga na ujinga wake😢😢😢

    • @dotosalim5090
      @dotosalim5090 4 года назад

      Atamm na ngaatuu

    • @dotosalim5090
      @dotosalim5090 4 года назад

      Kapagawa na laki mbili duuuu pesa ya sigaratu

    • @heneryofficial638
      @heneryofficial638 4 года назад

      Amnaa no mambo ya kawaidaatu elaa sio kituu boraa uhai mtoto kapatikana

  • @sylviaqatarqatar8361
    @sylviaqatarqatar8361 4 года назад +1

    Hili jidada fisadi tuu pesa ndogo wamruka mdogo wako..na shukuru kwa ukurutu wangu ndugu Zangu hawajai ni wacha.

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h 4 года назад +3

    Wamefanana masha allah

    • @oliverkambanga5085
      @oliverkambanga5085 3 года назад

      Huyo dada kaona laki mbili pesa kuliko mateso na kutokulipwa mdogo wake mshahara miezi 3, au hiyo ni faini tu?.

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 4 года назад

    Sema dada umekubali kupokea pesa ndogo sana

  • @evachriss5906
    @evachriss5906 4 года назад +1

    Ivi uyu Dada msengeee eeeh

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 4 года назад +2

    Na mm nataka nikakae Zanzibar niwe na roho km ya hy dada

  • @naimaseleman6868
    @naimaseleman6868 4 года назад

    HUYO DADA KAHONGWA

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 8 месяцев назад

    Kwanza huyo bos angepigika vibaya mno mjinga san

  • @princessbatul7449
    @princessbatul7449 4 года назад +9

    Sijawai ona dada ambae hna uchungu na mdogo wake😑

    • @hajirarashid7520
      @hajirarashid7520 4 года назад

      Namtamani huyo Dada chuzi

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 4 года назад

      Hana uchungu hata robo ,Tena sijui kaona sifa tu kuongea na mic.ila sio kosa lake,nahisi shule haipo.

  • @salehkhalfan1473
    @salehkhalfan1473 4 года назад +1

    Zahir huyo dd katuudhi sn wadau nadhani hajielewi kwahio kama itawezekana kesi ifunguliwe tena hatujaridhika nahilo

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +1

      Ndo bc Tena mm Sina mamlaka ya kufungua kesi

  • @rukiyaa5307
    @rukiyaa5307 4 года назад +1

    Wallah huyo dada punguwani nduguyo kaumizwa hivyo unadanganywa na shilingi hizo ningekuwa mie huyo nahakikisha ananyea debe

  • @husseinparco9640
    @husseinparco9640 3 года назад

    Dada kaa na mdogo maisha hay

  • @fatmamachelenga1887
    @fatmamachelenga1887 4 года назад

    Huyuuu dada mjingaa sanaa

  • @aishamsangi983
    @aishamsangi983 4 года назад +6

    Yaani huyu Dada angekuwa ndugu yangu ningemuweka ndani yeye na huyo mtuhumiwa kwanza ili akili imkae sawa! Laki mbili na 45 unafuta kesi? Maa kweli akili ni nywele 😭😭😭😭

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 4 года назад +1

      Aisha ndio maana kunausemi bora ukose mali hupate hakili ndio huyo mwezetu kaona pesa bora kuliko Utu wa ndugu yake
      Hakili yangu mie angelala mabusu bosi wiki shilingi yake sitaki

    • @mwanaidichambo5983
      @mwanaidichambo5983 4 года назад +1

      Huyo dada jamani hivi hizo hela alizopewa anaona bora kuliko kitendo alichofanyiwa mdogo wake ningekua mimi huyo muajiri ningefika nae mbali aisee huyo dada ametushangaza wengi

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 3 года назад

      Mwendazimu wa wazimu huyo dada nae tena mpuuzi sana hana huruma na mdogo wake

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 4 года назад

    Bac bora angeacha ht hy laki 2

  • @marthasumaye6017
    @marthasumaye6017 4 года назад +1

    Wewe mama utalipia kwa hayo ulomfanyia huyo binti acha kuwaonea watt wakazi kwa kuzizarau familia zao duni,Mungu atakupa unachostahili.

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 3 года назад +1

    Vile mjinga tuu mtoto mdogo lakini serikali imchukulie hatua kwani hâta huyu dada nae hayuko sawa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 года назад +2

    Huyo dads kaona kufatilia kesi, akiwa Zanz itamgharimu, ndiyo maana wameifuta hiyo kesi kimaandazi andazi.

  • @shababygirlshambuwa8388
    @shababygirlshambuwa8388 4 года назад

    Mmmhhhh huyo Dada mtihani sijui imekuwaje mmmhhh hatari

  • @faizafaiza9822
    @faizafaiza9822 3 года назад

    Mgewashirikisha wanaohusika na maswali ya unyanyapaji wa watoto. Ili uyo mama atambulike.kisha na uyo mtoto arudishwe shule.

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 4 года назад

    Pole sana mdogo wangu yote mitihani ya dunia

  • @harrietharriet5443
    @harrietharriet5443 3 года назад

    Dada mjinga sana

  • @catherinefabian2310
    @catherinefabian2310 4 года назад +5

    Dada Hana hkr timamu

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 года назад +12

    That's child trafficking and child abuse

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 4 года назад +1

    Duh pesa mwanaharamu... Kipigo hicho chote mmepozwa na pesa kwelii.. Zahir Mie sijapenda

    • @hjhj6230
      @hjhj6230 4 года назад

      Na kwa pesa gani haswa hapoo

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 4 года назад

      @@hjhj6230 Wallah inasikitisha wameshidwa kuchukua hatua yeyote kukomesha vitendo vya kinyama Kama Hivyo eti wanamalizana kwa laki 2 nimejikuta naumia Kama japo Huyo mtoto simjui..

    • @ayeshal4395
      @ayeshal4395 4 года назад

      Nakwambia mm ciwezi kumusamehe ht kdg kesha atamuuwa bd watafrahi

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 года назад +1

    😪😪😪😭😭😭kuingizwa mti sehemu zasili muuaji huyo mama

  • @ilhamkezilahabi660
    @ilhamkezilahabi660 4 года назад +2

    Mm ndo maana nampendaga geah habibu, anaanzia police mka kinaeleweka

  • @malisamasawe3646
    @malisamasawe3646 4 года назад +1

    Zahir ungetia vibao huyo dada mpumbavu kweli 🙃yaani dada mjinga kweli yaani

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 года назад +1

      NIMEMUACHA tu..mtoto nimeamua kuzama mfukoni mwenyewe na kumnunulia nguo na viatu aende safari Zanzibar

    • @malisamasawe3646
      @malisamasawe3646 4 года назад

      Maximum Tv Online god bless you bro🙌🏻