YANGA YAAPA KUENDELEZA UBABE MBELE YA MTIBWA SUGAR LEO MANUNGU TURIANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Timu ya YANGA SC imeapa kuendeleza ubabe wa kjuondoka na alama tatu muhimu mbele ya timu ya MTIBWA SUGAR katika mchezo wao unaotarajiwa kutimua vumbi desema 31 mwaka huu katika dimba la Manungu Turiani majira ya saa kumi za jioni.
    Wakizungumza na waandishi wa habari viongozi wa timu wamesema wanawaheshimu Mtibwa kwa kuwa ni timu kongwe, na kusisitiza iwe jua iwe mvua lazima alama tatu muhimu zipatikane.
    Kwa upande wao viongozi wa timu ya Mtibwa Sugar wamesema wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanapambana na Yanga na kuhakikisha wanazibakisha alama tatu nyumbani licha ya Yanga kuwa na kikosi imara na msimu bora.
    WAZUNGUMZAJI.
    YUSUPH ATHUMAN, mchezaji wa Yanga.
    SOUD SLIM, kocha wa magolikipa wa Yanga.
    AWADH JUMA, kocha msaidizi wa Mtibwa Sugar.
    RAZACK RAMADHAN, mchezaji wa Mtibwa.

Комментарии •