Mrisho Mpoto asimulia jinsi Rais JK alivyohisi wimbo wa 'mjomba' unamsema yeye

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • Mrisho Mpoto alipata nafasi ya kukaa kwenye Interview na Mtangazaji wa Radio na blogger Millard Ayo na kueleza mambo mengi ikiwemo maisha na historia yake ila kwa leo utafahamu jinsi wimbo wa Mjomba ulivyomkutanisha Mrisho Mpoto na Rais Kikwete.

Комментарии • 33

  • @zeypagale2719
    @zeypagale2719 8 лет назад

    safi sana Mjomba,endelea kudumisha na utamaduni,has a Wa lugha a'dhimu kiswahili.

  • @austinmabele3132
    @austinmabele3132 4 года назад

    Mjomba, kazi yako ni nzuri

  • @cheupemwanga3326
    @cheupemwanga3326 3 года назад

    Nice

  • @goodtimerashidi8216
    @goodtimerashidi8216 8 лет назад +1

    Mrisho uko juu sana

    • @aliali189
      @aliali189 8 лет назад

      thanx bg good love a love u mpoto

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 6 лет назад +1

    Mm pia Nikati Ya Mashabiki Wako Mjombaaa Unajua

  • @rikjohn1762
    @rikjohn1762 6 лет назад

    Nakukubali sana

  • @selemanibrahim5781
    @selemanibrahim5781 8 лет назад

    big up mjomba..

  • @daudhenry913
    @daudhenry913 6 лет назад

    January is good philosopher!

  • @nurayusuph3088
    @nurayusuph3088 8 лет назад

    duuuhhh!!! kilemba kirefuu

  • @mwambarockmwambarock739
    @mwambarockmwambarock739 5 лет назад +1

    Mjomba yuko pw

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 8 лет назад

    Daaa, mimi nimemwonea huruma Millard kidogo nikijua kuwa mjomba huenda akasema maphalsafa magumu. ila mr Ayo ni jembe
    mjomba pia umemsema vyema mh: Kikwete!
    juu tuu kuwa niko Kenya na nitakupigia kura sana mjomba, nimeaha2ma kama mara3 hivi tayari. nitacdisha

  • @josephtairo7810
    @josephtairo7810 2 года назад

    Sina komente kwa huyu

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 7 лет назад +3

    Mambo yako yana hekima na Busara saana, hata DRC tunakujua kama mutu wa Hekima na busara na kweli kufikiri saana

  • @yohananoah6628
    @yohananoah6628 6 лет назад

    kwakweli mjomba umefundisha kitu kikubwa sana

  • @عبداللهالإسماعيلي-ظ6ن

    safi mjomba ila ongea kiswahili naona km unachanganya ni kingereza kdg haiko poa sana

    • @sirialemmy37
      @sirialemmy37 8 лет назад

      iko poa sana, kuchamganya inaonesha ni jinsi gani alivyojingiza na maculture mbalimbali. ..

  • @hallunamajany1161
    @hallunamajany1161 8 лет назад

    JAMAA ANJUA XAN

  • @GogoGogo-ts6er
    @GogoGogo-ts6er 8 лет назад

    ebuye ebuye
    iko poa,
    eti kiremba kama gorofa😂😂😂😂

  • @hafidhabdul7350
    @hafidhabdul7350 8 лет назад

    "Sinsoje" itamfikia JPM maana ndo mgeni wetu

  • @mathiasedward8657
    @mathiasedward8657 8 лет назад +2

    Komaa mjomba nko pamoja nawe

  • @captenndunga9385
    @captenndunga9385 5 лет назад

    Watu wenye hekima kwangu ni wewe mrisho na afande sele, 20pacent, daz baba... sababu wote ni rasta watu wa amani sana.

  • @stevenpaul4818
    @stevenpaul4818 6 лет назад

    Mjomba uko poa sana

  • @abukondo5330
    @abukondo5330 8 лет назад

    ukitaka kutingisha kichwa unasema "smh" tu maana hiko kilemba kama ghorofa

  • @anitaphilip2070
    @anitaphilip2070 8 лет назад

    ulipo ingia studio umepiga magoti ndo ukapita hpo mlangoni maana hcho kilemba kirefu sana

  • @mathiasedward8657
    @mathiasedward8657 8 лет назад

    Komaa mjomba nko pamoja nawe

    • @haydarrashid1376
      @haydarrashid1376 8 лет назад

      mjombaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! iv ulitaaalamishwa na nan au kipaji tuuuuuj