Mrisho Mpoto asimulia jinsi Rais JK alivyohisi wimbo wa 'mjomba' unamsema yeye
HTML-код
- Опубликовано: 19 окт 2024
- Mrisho Mpoto alipata nafasi ya kukaa kwenye Interview na Mtangazaji wa Radio na blogger Millard Ayo na kueleza mambo mengi ikiwemo maisha na historia yake ila kwa leo utafahamu jinsi wimbo wa Mjomba ulivyomkutanisha Mrisho Mpoto na Rais Kikwete.
safi sana Mjomba,endelea kudumisha na utamaduni,has a Wa lugha a'dhimu kiswahili.
Mjomba, kazi yako ni nzuri
Nice
Mrisho uko juu sana
thanx bg good love a love u mpoto
Mm pia Nikati Ya Mashabiki Wako Mjombaaa Unajua
Nakukubali sana
big up mjomba..
January is good philosopher!
duuuhhh!!! kilemba kirefuu
Mjomba yuko pw
Daaa, mimi nimemwonea huruma Millard kidogo nikijua kuwa mjomba huenda akasema maphalsafa magumu. ila mr Ayo ni jembe
mjomba pia umemsema vyema mh: Kikwete!
juu tuu kuwa niko Kenya na nitakupigia kura sana mjomba, nimeaha2ma kama mara3 hivi tayari. nitacdisha
Sina komente kwa huyu
Mambo yako yana hekima na Busara saana, hata DRC tunakujua kama mutu wa Hekima na busara na kweli kufikiri saana
kwakweli mjomba umefundisha kitu kikubwa sana
safi mjomba ila ongea kiswahili naona km unachanganya ni kingereza kdg haiko poa sana
iko poa sana, kuchamganya inaonesha ni jinsi gani alivyojingiza na maculture mbalimbali. ..
JAMAA ANJUA XAN
ebuye ebuye
iko poa,
eti kiremba kama gorofa😂😂😂😂
"Sinsoje" itamfikia JPM maana ndo mgeni wetu
Komaa mjomba nko pamoja nawe
uko vizuri mpoto
Watu wenye hekima kwangu ni wewe mrisho na afande sele, 20pacent, daz baba... sababu wote ni rasta watu wa amani sana.
Mjomba uko poa sana
ukitaka kutingisha kichwa unasema "smh" tu maana hiko kilemba kama ghorofa
Abuu Konda, hehehe
ulipo ingia studio umepiga magoti ndo ukapita hpo mlangoni maana hcho kilemba kirefu sana
mambo vp mdad
+Philipo James poa philipo
+Anita Philip pande zp
😁😁
Komaa mjomba nko pamoja nawe
mjombaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! iv ulitaaalamishwa na nan au kipaji tuuuuuj