MKWE KAROGWA Ep 1... (Love story 💕💕)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 110

  • @Swaumuabubakary
    @Swaumuabubakary 2 месяца назад +3

    Hongera kipenzi changu salha ❤️❤️🔥🔥🔥

  • @BabyeSaumu
    @BabyeSaumu 2 месяца назад +6

    Huyu Happy kiboko yake ni SHEISHEI na NORAH wamkomeshe

  • @BrendaKenzie
    @BrendaKenzie 2 месяца назад +1

    Wow ni nzuri sana much love from kenya congrats❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MajaliwaJuma-c5g
    @MajaliwaJuma-c5g 2 месяца назад +1

    Hongeleni sana kwakazi nzur munayo ifanya kuelimisha jamii niwajibu

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 2 месяца назад

    Hongeleni sanaa kwa kazi nzur sanaa pokea mauwa yako 🎉❤❤❤😂😂

  • @maryamfahmi9750
    @maryamfahmi9750 2 месяца назад

    kazi nzuri muendelezo bas uschelewe sana

  • @VanesaBenardk-bl8ul
    @VanesaBenardk-bl8ul Месяц назад

    Mwendelezo

  • @neemakoi6635
    @neemakoi6635 2 месяца назад +2

    Waaah hii move kali mwendelezo kwa haraka

    • @MarwanNassor
      @MarwanNassor 2 месяца назад +1

      Musijali hii haichelewi shea na marafiki zako tufike kwenye malongo ili sehemu yapili tuachie jumapili🙏

  • @GraceLucas-yp9tn
    @GraceLucas-yp9tn 2 месяца назад +1

    Hongera kipenzi chalah wangu

  • @alexmhaiki
    @alexmhaiki 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri salha pambana kipenzi

  • @Ezraloyibobo10
    @Ezraloyibobo10 2 месяца назад

    Duuu happy sikwa roho mbaya hiyo kumbuka Dunia ni muzunguko leo uko nacho kesho hauna 😢😢😢😢❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @madymag6926
    @madymag6926 2 месяца назад

    Kazi nzuri sana❤❤❤😢😢😢

  • @MahadyaKibwana
    @MahadyaKibwana 2 месяца назад +1

    Kaz nzur sana sarungi leta muendelezo

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 2 месяца назад

    Mke huna hapo

  • @fguy2687
    @fguy2687 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LucyChengo
    @LucyChengo 2 месяца назад

    😂😂😂 happy hiyo roho mbaya haijengi kipenzi bali inavunja moyo wa mwanaume utaachwa

  • @ZawadiSeif-d9j
    @ZawadiSeif-d9j 2 месяца назад

    iko pw sana ❤❤

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 2 месяца назад

    Next 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LinetOpio-uj2eb
    @LinetOpio-uj2eb 2 месяца назад +2

    Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @aksamchalo
      @aksamchalo 2 месяца назад +2

      Roho mbaya huyo

    • @LinetOpio-uj2eb
      @LinetOpio-uj2eb 2 месяца назад

      @@aksamchalo 🙆🙆🙆🙆🙆 sisemi kitu

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 2 месяца назад

    Wewe mzuri una nguvu mpige uyu mwamke

  • @PendoMsangwa-x7z
    @PendoMsangwa-x7z 2 месяца назад

    Familia ya mzee kicheche

  • @AishaNasra
    @AishaNasra 2 месяца назад

    Hongereni kazi nzuri ila happy hio sio tabia kabisa ya kukaa nayo Kwa mume buana rekebika aiiii unamjib mume kama vile umemzaaa relly

    • @RukiaDzombo-uf7wp
      @RukiaDzombo-uf7wp 2 месяца назад

      Hawa ni wale wanawake wanaovunja ndoa zao Kwa mikono Yao,,Tena yote miwili

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko 2 месяца назад

    Hyo tabia yako happy kua makini usiwe uhalisia❤❤❤❤❤

  • @eliphasethobias1133
    @eliphasethobias1133 2 месяца назад +1

    Mwanaume hatutakiwi kuishi hivyo na Wake zetu kua msimamo kama mwanaume

  • @zeinabuAchiengOkara
    @zeinabuAchiengOkara 2 месяца назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @suedswedgotagota9732
    @suedswedgotagota9732 2 месяца назад

    Movie nzur san ila happy unalembua sana dooh mpka naogopa 😳😳😳

  • @RukiaMbarak-s2k
    @RukiaMbarak-s2k 2 месяца назад

    Movie nzuri kwelii ila munaiweka fupi mnoo huyo Happy unadekeza ndio kakuregeshea kofi safi😂😂😂

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 2 месяца назад +2

    Tunaaza

  • @aviciimalekano1388
    @aviciimalekano1388 2 месяца назад

    Kazi nzuri Salha

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he 2 месяца назад

    Kazi tamu

  • @zedyabdallah
    @zedyabdallah 2 месяца назад

    Good job by zedy Abdallah

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад

    Mama p ❤❤

  • @kinananyuni9732
    @kinananyuni9732 2 месяца назад

    Happy mwenyewe viguu ka vijiti rohoo mbaya tuuu😂😂😂

  • @GraceLucas-yp9tn
    @GraceLucas-yp9tn 2 месяца назад

    Upo vzr chalah

  • @DIANAANDREW-bq6no
    @DIANAANDREW-bq6no 2 месяца назад

    Mwanamke gan huyo hatashep yakwendea choon han

  • @aisha-g3j
    @aisha-g3j 2 месяца назад

    Happy umu naona upo vibaya mara hii

  • @AgabaAsnath
    @AgabaAsnath 2 месяца назад

    Mwendelezo tafathar huy appy hatar

  • @salmanadjibu
    @salmanadjibu 2 месяца назад

    Kazi nzur nawapenda from saudia

  • @zuberibiyussa5913
    @zuberibiyussa5913 2 месяца назад

    Nakubal saaaaana chala tz ni mda wako sasa

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 2 месяца назад

    Tabia mbaya happy wageni ndio wamefika maskini wamechoka hauwaruhusu kukaa

  • @KassimMakame-dq6nq
    @KassimMakame-dq6nq 2 месяца назад

    kijiti media nguvu moja 🤝🙏💯

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад

    Nc

  • @فاطمهال-ص7ت
    @فاطمهال-ص7ت 2 месяца назад

    Waaa happy umeshindikana😂😂😂😂 muendelezo plz msicheleweshe kama ile ya gubu la mawifi😢

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 2 месяца назад

    Uyu bro ako na kimanz poa lkn nikichizi jmn

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад

    Kaz nzur ila uyu happy shenzi sana😂😂

  • @kipanjitz7411
    @kipanjitz7411 2 месяца назад

    Jaman nimeipenda sanaaaa muendelezo lini jaman? Ety kijungu dah😂😂😂😂

  • @ZubedaShaban-fb2dl
    @ZubedaShaban-fb2dl 2 месяца назад

    Jamaa bwege kweli

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад

    Leta namb 2 kk

  • @DracX_Media
    @DracX_Media 2 месяца назад

    Kaz nzur big bro tupo pmja
    #Graphic designer ni mimi mwenyew❤❤❤❤

  • @AishaNasra
    @AishaNasra 2 месяца назад

    Next episode twaingoja basi

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад

    🎉🎉

  • @HALIMAMOHAMMED-q8b
    @HALIMAMOHAMMED-q8b Месяц назад

    nimecheka sana kibao kma chapati

  • @EmmanuellaBahati-f5m
    @EmmanuellaBahati-f5m 2 месяца назад

    WE Happy mbona ivo

  • @AliNassoro-r9d
    @AliNassoro-r9d 2 месяца назад +7

    Gonga like anae ipend hii movie

  • @BethJackson-r8f
    @BethJackson-r8f 14 дней назад

    Lance Turnpike

  • @ZuhuraWaminani
    @ZuhuraWaminani 2 месяца назад

    Familia

  • @BessyMukami-n7k
    @BessyMukami-n7k 2 месяца назад

    Daah Heppy ana Roho baya qweli

  • @Tatu-b9p
    @Tatu-b9p 2 месяца назад

    Kwa shape gani bc happy 😊😊😊

    • @estaraberd1245
      @estaraberd1245 2 месяца назад

      😄😂😂𝑐 𝑛𝑑𝑜 ℎ𝑎𝑝𝑜 𝑠𝑎𝑠𝑎 𝑗𝑎𝑚𝑛 𝑘ℎ𝑎𝑎😅😅🙌

  • @SuleimanAthumani-m8s
    @SuleimanAthumani-m8s 2 месяца назад

    Chalah tz ❤❤❤❤❤🎉

  • @FabianoJumanee
    @FabianoJumanee 2 месяца назад

    happy roho mbaya hiyooooo

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 2 месяца назад

    Happy Kwan kiuno kilipona..mbona usiwe happy km wa jb acha mdomo.likuwa wafaa sheilla na Norah ndio kiboko chako

  • @BeatriceNanjira-u8x
    @BeatriceNanjira-u8x 2 месяца назад

    Vipi Shei Shei na Norah wako wapi, mbona heppy anajimbeba,sana

  • @SalumKassim-pt3zf
    @SalumKassim-pt3zf 2 месяца назад

    Chalah❤

  • @TumainiUrio-k7o
    @TumainiUrio-k7o 2 месяца назад

    Happy nampemda Bure😂

  • @MaryamNurru
    @MaryamNurru 2 месяца назад

    nime furahi happy kwa kunaswa kibao jinsi huna heshima ume mrudishia kwanini usimuache huyo mwanamke

  • @Nadzuwamangale
    @Nadzuwamangale 2 месяца назад

    ❤❤❤🎉🎉

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 2 месяца назад

    Let's go 😂❤❤

  • @AnjimbaMtambo
    @AnjimbaMtambo 2 месяца назад

    challah mamy

  • @alexmhaiki
    @alexmhaiki 2 месяца назад

    Good job

  • @BlacketSmith
    @BlacketSmith 8 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Fetty-x8m
    @Fetty-x8m 2 месяца назад

    Ww mume bwege mwanamke anakuyawala

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 2 месяца назад

    Eeeeh jamani hata kama niroho mbaya hii imezidi

  • @RoziMeri-yk4pp
    @RoziMeri-yk4pp 2 месяца назад

    Tuletee mwendelezo mapema movie nzur

  • @MarimGodifrey
    @MarimGodifrey 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @smakas7391
    @smakas7391 2 месяца назад

    😂😂hapo kwenye chakula nimecheka kwer

  • @aviciimalekano1388
    @aviciimalekano1388 2 месяца назад

    🔥

  • @maindaafricanbeauty3360
    @maindaafricanbeauty3360 2 месяца назад

    We kaka kijiti ebu jman nas vipaji vipo ukuu jamani

  • @RukiaDzombo-uf7wp
    @RukiaDzombo-uf7wp 2 месяца назад

    Kaka ulikosea kuoa,,pole😢

  • @zuberibiyussa5913
    @zuberibiyussa5913 2 месяца назад

    Ya moto

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад

    😂🎉🎉

  • @alfredomakala
    @alfredomakala 2 месяца назад

    Mbona akuna mwendelezo wa Magic Book Au basi?

  • @ZayAwazi
    @ZayAwazi 2 месяца назад

    Nimekuwa wa 11

  • @KhalidAshjaie-cz7vg
    @KhalidAshjaie-cz7vg 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад

    😂😂

  • @lindauma982
    @lindauma982 2 месяца назад

    Hyu ni mwanaume suruari yani amekaliwa chapati ndio maana wana mwaibisha mbele ya wagen nkt😢

  • @yuui1878
    @yuui1878 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JanethEmmanuel-mr5le
    @JanethEmmanuel-mr5le 2 месяца назад

    kak mfunze mkeo ana adabu anapgaj mwanaume

  • @LuciaMallya
    @LuciaMallya 2 месяца назад

    Jamaa c achape makofi aise😅😅

  • @MariamKitsao-z9l
    @MariamKitsao-z9l 2 месяца назад +1

    𝑀𝑠𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑖𝑜 𝑠𝑖𝑜 𝑡𝑎𝑏𝑖𝑎 𝑛𝑧𝑢𝑟𝑖 𝑘𝑢𝑚𝑝𝑖𝑔𝑎 𝑚𝑚𝑒𝑜 😢ℎ𝑎𝑝𝑝𝑦 𝑢𝑛𝑎𝑟𝑜ℎ𝑜 𝑚𝑏𝑎𝑦𝑎 𝑠𝑎𝑛 😢😢

  • @Riziki-ek3ko
    @Riziki-ek3ko 2 месяца назад

    Kwani gubu la mawifi imeisha jamani

  • @AaAs-u8i
    @AaAs-u8i 2 месяца назад

    Kali sn hii movie twende nalo

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 2 месяца назад

    Hatari

  • @estaraberd1245
    @estaraberd1245 2 месяца назад

    𝐷𝑢𝑢ℎ 𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑢 𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑣𝑖𝑡𝑢𝑘𝑜 𝑑𝑢𝑛𝑖𝑎𝑛𝑖 𝑎𝑖𝑠𝑒𝑒😂😂ℎ𝑎𝑝𝑜 𝑘𝑤𝑒𝑛𝑦 𝑐ℎ𝑎𝑘𝑢𝑙𝑎 𝑛𝑖𝑛𝑔𝑒𝑘𝑢𝑤𝑎 𝑚𝑚 𝑛𝑑𝑜 𝑚𝑔𝑒𝑛 𝑛𝑖𝑠𝑖𝑛𝑔𝑒𝑗𝑖𝑧𝑢𝑖𝑎 𝑘𝑢𝑐ℎ𝑒𝑘𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑚𝑎𝑧𝑢𝑟𝑖😄😏𝑖𝑙𝑎 𝐻𝑎𝑝𝑝𝑦 ℎ𝑎𝑝𝑎𝑛𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖🙌🙌

  • @Irankundasadiki-yx1vf
    @Irankundasadiki-yx1vf 2 месяца назад

    𝐻𝑎𝑝𝑝𝑦 𝑟𝑜ℎ𝑜𝑦𝑎𝑘𝑜 𝑢𝑚𝑒𝑦𝑖 𝑜𝑘𝑜𝑡𝑎 𝑎𝑚𝑎 𝑢𝑚𝑒 𝑗𝑖𝑎𝑧𝑖𝑚𝑎? 𝑚𝑏𝑜𝑛𝑎 𝑢𝑛𝑎𝑒𝑧𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑖𝑠ℎ𝑎 𝑛𝑖𝑠𝑖𝑜𝑤𝑒 𝑡𝑒𝑛𝑎 ℎ𝑎𝑚𝑢 𝑦𝑎𝑘𝑢𝑜𝑤𝑎 𝑖𝑚𝑒𝑝𝑜𝑡𝑒𝑦𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑏𝑜𝑟𝑎 𝑛𝑖𝑏𝑎𝑘𝑖 𝑏𝑖𝑙𝑎 𝑚𝑢𝑘𝑒 𝑘𝑢𝑙𝑖𝑘𝑜 𝑘𝑢𝑚𝑝𝑎𝑡𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑤𝑒𝑤𝑒😂

  • @LucyChengo
    @LucyChengo 2 месяца назад

    😂😂😂 happy hiyo roho mbaya haijengi kipenzi bali inavunja moyo wa mwanaume utaachwa

  • @PendoMsangwa-x7z
    @PendoMsangwa-x7z 2 месяца назад

    Familia ya mzee kicheche

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 2 месяца назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉🎉