SAKINA - Latest Swahili Movie | Adam Leo | Bongo Movie
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- SAKINA - Latest Swahili Movie | Adam Leo | Bongo Movie
#adamleobongomovie #mauricesamtv #swahilimovies
This amazing movie will make you want to fall in love, Very emotional and interesting.
A must watch for all the singles.
#bongomovie #swahilimovies #bongoseries #nollywoodmovies #nigerianmovies #africanmovie #2024movies
Karibu tutengeze msafara tuandamane kaka Adam 😅 umetueka sana ila filamu njema kweli🎉🎉🎉 tamaa mbaya
Endelea ku enjoy
pole kaka adam mungu atakupa mwengingine umpendae insha allah
Ameen
Kazi nzuri sana Adam leo,,ww unajua sana kaka big up na enjoy nikiwa saudia arebia ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shukrani
Adam nakukubali sn ku film zako zote
Shukrani
Mamuzi magumu yanataka moyo❤ safi sana Adam
Shukrani sana
Move kali sana ila mnamuumiza Adam wetu😊
Wananitesa mno😀
Kazi nzuri sana inafundishaa hongereni sana kwakutuelimishaaaas
Asante sana
Hongera sana kazi zuri wadada wenye tamaa wamejifunza nilikumic sana❤❤❤❤❤❤
Shukrani
Hongera sana my brother adamu lakini hao watu wasiwe wanakuumiza hivo maana mimi sifurahii kukuona ukiumia hivo❤❤❤
Sawa aisee
Nakufata kutoka Australia. Huge big up br Adam
Movie nzuri saana hasa ukicheza na huyu dada hata muliipocheza naye movie ya wake wenza
Nipe Namba yake jamani
Je, itaendelea
Itaendelea!
Hujawahi kutukosea fans wako kazi nzuri sana hongera kaka🎉🎉🎉
Shukrani
Hongera san Adam huna Kaz mbovu nakukubali from burundi
Shukrani
jaman masikini wa mungu adam niko hapa
Shukrani
Adam tulikumiss sana ❤❤❤🎉
Nimerudi sasa
Waaooo wa kwanza leo like zangu
Enjoy mkuu
Kazi nzuri from Oman brother Adam.
Ila sakina alikuwa sahihi kutafuta ndowa kwa njia iyo
Yaani😔
Hatimaye baada ya kusubiri kwa muda mrefu🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥
Shukrani
Mmmh ni mda nilimiss move zenu🎉🎉🎉
Shukrani endelea kuenjoy
Kazi nzuri sana❤❤❤🎉🎉 ila mnaniumizia Adam wangu jamani😢😢😢😢
Yaani 😂😂😂
Movie nzuri sana hongera sana kaka 🎉🎉 huo wimbo sasa ukiwa umeumizwa unaweza kulia hadi ukazimia😅😅😅🤣
Nomaa🥲
Mwendelezo kaka storry nzuri pia inaruhusu kuendelea kama vip sakini aolewe ma mansuri akapate kipigo huko mpaka akukumbuke mara miatano we unaonaje 😂
Hahhha yaani ngoja tuone!
Adamo kaka yangu Mapezi ni Game🎉🎉🎉🎉🎉😮😮😮
Mnoo
Nakubali sana move zako unajuwa sana
Shukrani sana
Hongera sana bro na mim naomba nafas ya kuigiza
0652393960 whatsapp
Huuu sakina atajuta baadaae😂😂😂
Umeona eh
Ma sha allah keep it up adam❤
Thanks
Dada anafanana sana Chizi Alichi wa Nigeria. Nampenda sana. Kenya, Nairobi
Shukrani
Adam nakupenda sana na napenda sana kaz zako lakini unatucheleweshea 😢usitufanyie ivo pls 🙏😢
Sawa tutajitahidi kuwahi!
Leo umetisha Adam ❤❤❤❤
Shukrani sana sana
Iyo noma sana kbs
Endelea ku enjoy
Heko kwa kazi nzuri Adamu
Shukrani!!!
Nakukubali sana mwanangu sikupingi
Shukrani sana
Kazi nzuri 🇧🇮
Asante
Nakukubali ❤
Asante
Move nzuri sana Kazi nzuri sana kaka Adam 🎉🎉🎉❤❤
Shukrani sana sana
P1 sana @@AdamLeoStudios
From Germany 🇩🇪 watching
Thanks
Jaman i song inayoimba umu inaitwaje
Mapenzi yanauma
Kali🙌❤️
Asante
Kazi nzuri sana nawafatilia nikiwa Sweden 🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪see By Nepanepa Comédien 🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝💥🙏❤
Shukrani sana sana
NZuri❤❤❤❤❤
Asante
Leo nimekuwa wa kwanza kutoka Gauteng Pretoria
Enjoy mkuu
Good Kaka 🎉🎉
Thanks
Very nice
Thanks🙏
Nizuri sana ❤❤
Shukrani sana sana🙏🙏
Zinapendeza hizi filamu
Asante
❤❤❤ from 🇧🇮
🙏🙏🙏
Eee eeeeh Adam hongera 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shukrani
jamni, nilipotea nimerudi tena kwa Adam
Asante
Kweli adam dar yote umekosa sakina mwingine
Upendo tu huu mwenzio🥲
Brother mim ni Fan wako sana na hizi movies zako za mapenzi.
Huwa unafanya nakumbuka mambo mengi sana ya kitambo but.
Also hii song umetumia hapa imebeba hii movie kabisa yaani 10/10.
Share please this song if you don't mind brother ❤
Niko tayari hata kulipia hiyo song brother
Tutaiweka RUclips kaka
Sakina weeee kakosa mwana na maji ya moto😂😂😂
Yaani
🎉🎉❤adam leo
🙏🙏
Mama mdogo mweusi 😂😂😂
Yaani
Nakubali bro adam
Asante sana
Mimi leo wakwaza naomba like zenu😅😅😅😅
Endelea ku enjoy
Adam umenimaliza kwa hii movie nimeiregerea mara kumi
Asante sana
Nimekua wakanza kwa dakika moja 😅
Shukrani
❤❤❤c cool 🇨🇩🇨🇩
Thanks
Na Kwann sakina 😂😂😂😂😂 nacyo fatuma?
Hahaha mwenye Sakina umefikiwa😂😂
@@AdamLeoStudios ahaaaa sijapedraaaaa🤣🤣🤣
My adam🎉🎉🎉❤❤❤
Naam rachel❤️
Nzuri+camera iko clean sana
Asante
Itakuwa na mwendelezo bila shaka maana naona inaishia patam jamani
Hahaha tusubiri tuone!
😂😂😂mama ake mdogo mweusi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ from oman
❤️❤️❤️❤️
❤
🙏🙏🙏
Unajua xna Adam Mpka basi bro..... ufanye mpango utowe na Amanda hua mwaua xna....hilo vibe twali mis cc mashabiki😅
Sawaa
Yooo mapenzi yanauma jmn
Sana
🎉
🙏🙏
Wanawake mbona wanatumia hisia sana kuliko kutumia akili😢😢😢
Mama kasemaa🥲
@@AdamLeoStudios baadaye ndo wanakuja kugundua kwamba maamuzi waliofanya sio sahihi wanajutia nuxi wenyewe ndo maana waolewi
Araka araka haina baraka sakina ume feri sana
Umeona wh
Good job brother
Thank you so much
Part 2
Soon
🎉🎉🎉😂😂❤
🙏🙏🙏
❤ 😂😂
🙏🙏🙏
Kitanda kibovu Cha sakina😅😅😅😅
Hahaha umeona eh
Ukiachwa achika!
Jamani hata kama unampenda
@@AdamLeoStudios kabisa! Mimi nimepitia hiyo hali,nikajihisi dunia kapasuka.
@silaokal2074 pole sana mkuu
@@AdamLeoStudios Asanti! kweli filamu zako zakufana Sana,Tena ya kuburudisha na yenye mafunzo tele.Unafana Sana rafiki yangu mmoja Kule Mombasa Kenya.
Kaka ukopoa❤🎉
🇶🇦🇶🇦👋👋
🙏🙏
Kaka tunakutegemea pumbafu aca pombe
Kabisa yaani😂😂
Wakwanza leo naombeni like ata 5
Karibu sana
Haya nimewahi leo
Mariam from saudia
@فاطمهكينيا-ذ8ش enjoy
@@AdamLeoStudios kazi nzuri sana bro
Good job 👍👍
Fundi wa hizi kazi
Usiache kunshare
Ila broo Adam unaongoz kuachwa why broo
Yaani sielewi
tunahitaji sehem ya pili
Sawa
𝑾𝒂𝒏𝒂𝒖𝒎𝒆 𝒂𝒘𝒂𝒏𝒂𝒈𝒂 𝒗𝒊𝒏𝒚𝒐𝒏𝒈𝒐 𝒊𝒍𝒂 𝒊𝒏𝒈𝒆𝒌𝒖𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒉𝒂𝒑𝒐 𝒏𝒅𝒚 𝒘𝒂𝒔𝒊𝒏𝒈𝒆𝒛𝒊𝒌𝒂𝒏𝒂 𝒕𝒆𝒏𝒂
Umeona eh
Part 2
Soon
😂😂😂mama ake mdogo mweusi