I'm glad to see no kenyan who typed anything bad and envious 🤗lakini sisi wakenya tukioneshana konza city watz wanajaza matusi na uwivu jamani majirani weee😢😅lakini hata hivyo hongera sana
I like it because you're thinking great stuff, the project is huge and quite encouraging this is the way to go coming up with morden cities and its structures, a big hand to the people of Tanzania, from Zambia.
Don't be shocked may friend this is how we do in TZ we do things slow but sure that's why we use to say in our language (polepole ndio mwendo)or you can say (mdogo mdogo)that is TZ
Kuna mtumishi alishasema kwanini Tanzania tupo kama ivi tulivyo akasema MNYAMA ANAEWAKILISHA NCHI NDO JINSI INCHI ILIVYO HATA WANANCHI WAKE NDO WALIVYO muhangalie twiga sifa zake zote utakuja gundua hata watanzania ndo tulivyo kwanzia upole ukarimu,kuala majani ya juu na hata upeo wetu wakuona mbali ila kulifnyia kazi tunayo ona mbali ni taratibu
Waao, super video. Love it. Are you using latest Gopro 12? Very clear video. Editing is perfect and above all Magafuli was a hero. Tanzania shall be great 👍
Ni wachache sana wanaofaham kuwa myaka m5 ijayo Dodoma utakuwa mji wa pili kutoka mwanza, Dodoma ni kubwa sana hata wenyeji inawachangaya, kwa mgeni inabidi uzunguushwe nje ya mji kuanzia klomita 25 hadi 40 ndo utaelewa
dodoma inahitaji train ya mjini maana mji wa serikali, bunge,mahakama, ikulu, soko, stand, airport mpya na taasisi za serikali ziko mbali mbali kweli kwaio train inahitajika!
Commuter Train is much needed in these cities Dodoma , Dar es salaam , Zanzibar, Arusha and Mwanza . It will help a lot grow our economy & beautify our cities and become competitive in AFRICA . Viva Tanzania 🇹🇿
I have seen like 10 office buildings with the same design. That's boring. Each institution should its unique design and the designs should be complementary for the city's uniqueness. But thanks for the video.
Street lights hazivutii, bus stand hazivutii pia viko vidogo na sio standard sijui nani ame design uchafu huo, njia ziko nyembamba wangeenda kujifunza Ivory Coast na Abuja Nigeria , Kwa nini wasingejenga commuter trains
Abuja toka ianzishwe inamiaka 33. Huwezi kulinganisha na dodoma . Give it time. Pia maendeleo ya miundombinu ya mji yanaendana sambamba na population ya watu.
Abuja nje ya mji ndiyo kuna superhighways e.t.c lakini katikati ya mji au katika CBD huwezi kuweka dual carriageway pana kama hapo mtumba.Kwa maoni yangu wapo sahihi kwenye barabara za ndani ya mji kunatakiwa kuwa na walkways ,parks e.t.c.Hata hivyo kuna ring roads tatu zinajengwa Dodoma ambazo ni dual carriageways kama outer ring road, middle ringroad na inner ring road ambazo zitakua pana sana.
Le Corbusier would be proud. Yikes, looks really awful and spread out. Can’t walk anywhere and everywhere is nowhere. Maybe it will get better as more buildings are finished and transit is provided for people,. Are those curbs going to be bike lanes? Or bus lanes? 🤔
@@explorewithbertin it will be interesting to see once people have made taken the houses and made them homes. Have taken the space and made it a *place*.
❤ hongereni ndugu zetu. Kenya tuige
TANZANIA is growing and developing so fast. Bravo to late Magufuli and current gvt.
I'm glad to see no kenyan who typed anything bad and envious 🤗lakini sisi wakenya tukioneshana konza city watz wanajaza matusi na uwivu jamani majirani weee😢😅lakini hata hivyo hongera sana
Absolutely, this is a great achievement. Around of applause to the people of Tanzania 🇹🇿
For sure
I like it because you're thinking great stuff, the project is huge and quite encouraging this is the way to go coming up with morden cities and its structures, a big hand to the people of Tanzania, from Zambia.
Thanks and welcome to Tanzania
Don't be shocked may friend this is how we do in TZ we do things slow but sure that's why we use to say in our language (polepole ndio mwendo)or you can say (mdogo mdogo)that is TZ
Sure
Kuna mtumishi alishasema kwanini Tanzania tupo kama ivi tulivyo akasema MNYAMA ANAEWAKILISHA NCHI NDO JINSI INCHI ILIVYO HATA WANANCHI WAKE NDO WALIVYO muhangalie twiga sifa zake zote utakuja gundua hata watanzania ndo tulivyo kwanzia upole ukarimu,kuala majani ya juu na hata upeo wetu wakuona mbali ila kulifnyia kazi tunayo ona mbali ni taratibu
Unafanya kazi njema sana mdogo wangu..🫡👏🏾👏🏾👏🏾❤️🙏🏾
Ahsante sana Dada Bertha
I love Tanzania couse its the country of my grandfather
You are welcome
nimekulia dodoma video hii imenigusa sana
Kazi nzuri Sanaa ndugu. Pongezi kwa uzalendo wa dhati. Salaam toka mwanza 🐟.
Magu mungu akupe punzko jema
Vizuri sana kazi ienderee
beautiful
woow,this is amazing
Sure...thanks for watching
Nice video Bertin
Thanks Mkuu
Beultiful magufuli city😊😊
Nice video man 🎉🎉🎉🎉
Thanks mkuu
Great video Kaka Asante sana
Thanks mkuu
Kazi nzr sana Bertin
Ahsante sana mkuu
U have finally delivered on ur promise. Nice work Bertin.P'se cover for us NCC-Link area,where public institutions are being built.
Coming soon stay tuned...that are is called NCC-link..or Tambukareli
@@explorewithbertin Exactly...
Waao, super video. Love it. Are you using latest Gopro 12? Very clear video. Editing is perfect and above all Magafuli was a hero. Tanzania shall be great 👍
I was using the phone. Google pixel. Currently I am using DJI pocket 3.
Ni wachache sana wanaofaham kuwa myaka m5 ijayo Dodoma utakuwa mji wa pili kutoka mwanza, Dodoma ni kubwa sana hata wenyeji inawachangaya, kwa mgeni inabidi uzunguushwe nje ya mji kuanzia klomita 25 hadi 40 ndo utaelewa
Ni kweli Dodoma ni kubwa sana....
Itazidi mwanza
@@chamajosephbaada ya miaka 5, mwanza na Arusha, ni cha mtoto kwa Dodoma!!
Appreciation to you 🎉 toka kitambo nakufuatilia hatimae umefika jiji la asili yangu . Lini utakuja Kilimanjaro?
Soon nitafika huko...Ni mkoa kwa mkoa....hadi watu waijuie Tanzania yote
Well planned,, the city will be big and morden
I can't see any different between Tanzania and Nigeria
Nigerian cities and Tanzanians are the same
I will need to visit Lagos and abuja to prove this
Safi sana
Very educational experience. Now it is no more PWD ( public Works Division)
Nice video kwakweli .......
Thanks Robby
dodoma inahitaji train ya mjini maana mji wa serikali, bunge,mahakama, ikulu, soko, stand, airport mpya na taasisi za serikali ziko mbali mbali kweli kwaio train inahitajika!
Kabisa...niliona pia wanampango huo wa kujenga trams na njia za BRR
Commuter Train is much needed in these cities Dodoma , Dar es salaam , Zanzibar, Arusha and Mwanza . It will help a lot grow our economy & beautify our cities and become competitive in AFRICA . Viva Tanzania 🇹🇿
@explorewithbertin Wow 😮 They are planning to build trams there? Where did you here this?
Safi sana❤
I have seen like 10 office buildings with the same design. That's boring. Each institution should its unique design and the designs should be complementary for the city's uniqueness. But thanks for the video.
There is another city called NCC link behind the parliament of Tanzania. It has different archtectures
The Capital since 1973, officially 1977
Extremely good!
Huu mji wawekezaji binafsi wataruhusiwa kwa mfano modern hotels
Gde su ljudi?
Still under construction
Fenced walls why?Why not making gardens?
Lets wait and see...
It is a GOVERNMENT CITY, and All Assets belongs to Government should all be protected. I think they do so to make a Proper Management of their Assets.
Mmh our “Dodomangton” shaping up 😅. Seems like well planned
Sure it is well planned
Washington DC then here it is Dodomangton DC.
@manenorobert7029 🤣🤣
ongea vizri kingereza
Don't be shoked this is how
🤣🤣🤣Hapo kwenye i am talking too much sasa, mtangazaji una ua kinoma😂😂😂
Street lights hazivutii, bus stand hazivutii pia viko vidogo na sio standard sijui nani ame design uchafu huo, njia ziko nyembamba wangeenda kujifunza Ivory Coast na Abuja Nigeria , Kwa nini wasingejenga commuter trains
Hebu tuwape muda kwanza....
Abuja toka ianzishwe inamiaka 33. Huwezi kulinganisha na dodoma . Give it time. Pia maendeleo ya miundombinu ya mji yanaendana sambamba na population ya watu.
Kuna watu wao wameumbwa kukosoa tu na kuringanisha na wengine yaani akili zako ni mgando
@@explorewithbertin Achana nae huyo
Abuja nje ya mji ndiyo kuna superhighways e.t.c lakini katikati ya mji au katika CBD huwezi kuweka dual carriageway pana kama hapo mtumba.Kwa maoni yangu wapo sahihi kwenye barabara za ndani ya mji kunatakiwa kuwa na walkways ,parks e.t.c.Hata hivyo kuna ring roads tatu zinajengwa Dodoma ambazo ni dual carriageways kama outer ring road, middle ringroad na inner ring road ambazo zitakua pana sana.
Fika Bukoba City😅
One day...
nitafika huko...ni mikoa yote itakuwa explored
Le Corbusier would be proud. Yikes, looks really awful and spread out. Can’t walk anywhere and everywhere is nowhere. Maybe it will get better as more buildings are finished and transit is provided for people,. Are those curbs going to be bike lanes? Or bus lanes? 🤔
The city is Still under construction
@@explorewithbertin it will be interesting to see once people have made taken the houses and made them homes. Have taken the space and made it a *place*.
THIS TOWN IS BUILD BY CHENESE INGENNEERS OR TANZANIANS
Tanzanians.... through the building agency of the country known as TBA... Tanzania Building Agency
And National Housing Corporation (NHC)... Chinese Firm has just 2 out of 25 buildings in this government city...
Ukuvizuri kaka
Ahsante mkuu