SIMBA KUVUNJA RECORDS WAMEZOEA MANARA ANALETA PROPAGANDA ZA KITOTO SIMBA WAPEWE MAUWA YAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036

Комментарии • 70

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Месяц назад +4

    Manara ,,tango pori anajitekenya na kucheka mwenyewe😅😅,,,Hana Cha kusema,,,,,Ajuwe SIMBA wamejipanga Ahamedi mmakonde ,,,hamuwezi😂😂😂😂🎉

  • @dominickiungulia1016
    @dominickiungulia1016 Месяц назад +1

    Haji Mnara ana laana ya kuisaliti Simba ! Hilo litamsumbua sana ktk maisha yake . Haji hapendi ukweli nahaizungumzia Club yetu mazuri hata siku Moja. Kumkomesha Manara ni Simba kuifunga Young misimu ijayo. Ili kutimiza hayo Viongozi wetu wajazie Yale mapungufu kwenye nafasi muhimu. Inshallah tutafanya maajabu sisi Simba..

    • @ramadhanimrungu5806
      @ramadhanimrungu5806 Месяц назад

      Kwani Simba ni baba yak au mama yk nyinyi vp acheni udunduka

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +1

    UBAYA UBWELA🎉🎉🎉❤❤

  • @SamuMushi-gk7jy
    @SamuMushi-gk7jy Месяц назад

    Uyo mzungu ana wengee san

  • @issaomari5297
    @issaomari5297 Месяц назад +1

    Tofaut ya mashabiki weng wa Simba nilichojifunza wanapenda mpira sana wanajua pia mpira

  • @InnocentMwakyange
    @InnocentMwakyange Месяц назад +2

    Umeongea vizuri manara ni chizi tu

  • @user-wr7wp9sl2p
    @user-wr7wp9sl2p Месяц назад +1

    Yaan uyo manara alifkiri yy kuhama SIMBA basi itadorora...kumbe ndo kwaaanza inashamiri

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk Месяц назад

    Yanga washamba sana

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Месяц назад +1

    Manaraa kwa saiv hana mvuto bora angewachia vijanaaa

  • @195941233
    @195941233 Месяц назад +2

    Acha uongo hata mechi zingine washabiki wanaenda kwenye mchezo. Simba Day ni ya kipekee huwezi kufananisha na mechi zingine

  • @user-mn2sb5tq5v
    @user-mn2sb5tq5v Месяц назад +1

    Nakukubali sanaaaa

  • @tanzaniamzalendo9615
    @tanzaniamzalendo9615 Месяц назад +1

    Mashabiki wa Simba ni MATAJIRI

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe Месяц назад

    👊👊 umeongea point sana. Ila kwenye kuhudhuria kila mech hapo hapana tuna majukumu pia

  • @user-wp9wf3et1n
    @user-wp9wf3et1n Месяц назад

    Ni Simba pekee maliooo kaka Simba Simba ikamjadili omemwaga dula ,makabila abakie uko uko nyuma ,mwiko tunataka wa ukweli km j, makini na wengineyo Simba nguvu , Moja

  • @georgekapondo
    @georgekapondo Месяц назад

    Wewe ni kilaza simba day ni maalumu mashabiki wanaojaza uwanja siku hiyo haiwezi kufanana na mechi za ligi . Mbona wanajaza za kimataifa

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 Месяц назад

    Manara hana ushawishi tena bora aendelee na mambo ya mapenz tu.

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Месяц назад

    Makabira atuache kabisa sisi ni Simba atuna njaa

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu Месяц назад

    tatizo la yanga uongozi wamewazoeza vibaya nandokwamana wanakuwa wagumu kulipia hivi wanasuburi uongozi utoe zilekauli ambazo wamezizoea za kuingizwa bure yanihapo wanadeshi wanasubiri mseleleko.

  • @valentinemagige1840
    @valentinemagige1840 Месяц назад

    Huyu jamaa hajielewi. Yaani kila mechi wanasimba wote waende uwanjani? Ikicheza Kagera wote waende, Lindi wote waende, Tanga wote waende, itawezekana? Acha ushamba.

  • @yagwishamajige1324
    @yagwishamajige1324 Месяц назад

    Acha ushamba bro...Simba day huwezifananisha na normal games..lile ni tukio broooo....Lugano mtu hawez kuhudhuria mechi zote za dar kweny Simba matches akitokea kigoma....

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Месяц назад +2

    Manara ni mkundu kama mkundu wa kawaida.

  • @musakihama7205
    @musakihama7205 Месяц назад

    Yaaani,wewe ni kilaza kweli kweli.

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 Месяц назад

    Sasa manara anasema tiketi ni za ulanguzi Sasa na yeye alangue hizo za yanga tuone yaani manara kifungo kimemlevya mtu Kama manara sikutegemea kwa kalia yake kuongea vitu vya hovyo kiasi hicho langua zenu hizo tuone😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu Месяц назад

    Mpira wa afrika akuna klabu ambayo inaweza ikajaza uwanja kilamechi ya ligikuu.

  • @jonasmalima9143
    @jonasmalima9143 Месяц назад +1

    Huyu kweli kichwa maji sasa kila mechi mtu atoke mkoani asafiri si atakuwa hana kazi ya kufanya

  • @SarahSalumu-x6b
    @SarahSalumu-x6b Месяц назад

    Leo hiii nafuta nyimbo zake zote nasitaskliza tena msenge hyooo msanii hajsom hyo

  • @jumamngazija4321
    @jumamngazija4321 Месяц назад

    Kuna mtu anatafuta kiki. Huwezi kupambana na SIMBA

  • @tanzaniamzalendo9615
    @tanzaniamzalendo9615 Месяц назад

    Amezeeka uyo Manara hana lolote
    Zama zake zilishapita

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 Месяц назад

    Mimi nitoe ushauli kwa tff waweke bajeti wakusanye wanamgambo wa cyti badala ya kuwasakawamachinga wawasake mashabiki wa yanga nyumba Hadi nyumba mtaa kwa mtaa hapo wakiwa na bakola kuhakikisha wanaenda uwanjani😅😅😅😅😅😅😅😅😅😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @jacksonmtenga1276
    @jacksonmtenga1276 Месяц назад +1

    Hujafanya utafiti, Simba day Kuna mashabiki wa mikoani wanajiandaa mwaka mzima.

    • @user-cp2do9pd5k
      @user-cp2do9pd5k Месяц назад

      Haya Sasa machizi kumbe mko wengi kwani nyie hamna mashabiki wa mikoani haaa siku nyingine usiongee kabla hujafiki

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Месяц назад

    Hao ni kuma tu🐸🐸🐸🐸

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 Месяц назад

    Smart minded people always do things by planimg first.talkers always doing nothing but talking much.The king of jungle,always doing things in smartiest way.We always adore Simba, but don't care about hyenas,because they do things emotionally not by planing first.

  • @SaidiShafii-um2ez
    @SaidiShafii-um2ez Месяц назад

    Sasa kaka kama hatuj uwanjani mbona simba imepata hela nyingi imetoka wapi kama sio mashabiki

  • @user-qq2eb5js1z
    @user-qq2eb5js1z Месяц назад

    Umelipwa

  • @sadih5333
    @sadih5333 Месяц назад

    Wewe kuma usiite washabiki washamba , watu wana majukumu mbali mbali ya kimaisha , Simba day mfanyakazi anaweza kuomba off kwa ajili ya kujitoa na mengineo

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Месяц назад

    Yanga awana mashbk yang ni TU im ya siasa simba ni tim ya biashala na sio ya siasa

  • @user-cn2fd7wp1n
    @user-cn2fd7wp1n Месяц назад

    Shekhe simba day nitamasha lakil mwaka mara moja lkn mechi za uwanja wahome zipo mechi 17 sasa mtu mtoe mkoani kila jumamosi?

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo Месяц назад

    Mashabiki wa simba ni wazalendo❤❤❤

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo Месяц назад

    Mashabiki wa utopolo wapo kwenye kupinga tu basi

  • @thembarikiwa
    @thembarikiwa Месяц назад

    Kadiri unavyozungumza ndicho unavyokwenda hapo Manara hayuko tayari Zaylisa wamkaribishe Dulla

  • @Stanleysolomon-z7m
    @Stanleysolomon-z7m Месяц назад

    😅Simba nguvu moja

  • @user-cg4gi3no7r
    @user-cg4gi3no7r Месяц назад

    Wewe Simba wameongoza kwa mapato ata mechi za kawaida watu wanakuja mjomba

  • @AshaShariff-lr6ry
    @AshaShariff-lr6ry Месяц назад

    Kwani ht ukiwa uwanjani km timu inafunngwa itafungwa na mchezaji wa 12 kwa nbc ?

  • @makamelila
    @makamelila Месяц назад

    Manara ni chizi hana la kusema ajuisimba nu kubwa kulikowao wanahangaika kutafuta rekodi wanaganda yim inamakonbe mengi lakini washabiki haina aibuuuuuuuuuuu

  • @mjukuuhotelitv7736
    @mjukuuhotelitv7736 Месяц назад

    Ndo madhala ya kugawa ticket waache ufala Sold out this is Simba sports club

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Месяц назад

    Oyaoya mama yako msenge wewe achana na sisi mbwa kokoi k yako kubwa

  • @MbendaHalfan
    @MbendaHalfan Месяц назад

    Simba day inaplomotiwa mechi zingine hazifanyiki hivyo kwahiyo mashabiki sio washamba

  • @MichaelSimba-lf2bs
    @MichaelSimba-lf2bs Месяц назад

    wewe ndoo mshamba kuma wewe unatukana watu

  • @JawaBakari
    @JawaBakari Месяц назад

    Wamezoea kuigizwa bule hao

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu Месяц назад

    Acha ujinga

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx Месяц назад

    Mh ukosaw lakini siokusemaushamba

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    Kwani Yanga wanachama wao wakiingizwa bure
    Si Tajiri amenunua tiket zoote na kuwaambia watu wake

    • @user-cq4lp5rv1l
      @user-cq4lp5rv1l Месяц назад

      Ukisema bure maan yke ni michezo ya ndondo na kiuhalisia ndondo pia Ina hamasa saiv

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Месяц назад +1

    Wewe pimbi uwe na lungha Nzuri hivi Unajua Maana ya Ushamba wewe

    • @sadih5333
      @sadih5333 Месяц назад

      Mwambie huyo kuma anayeita watu washamba, mkundu wake

  • @hamisitoky6724
    @hamisitoky6724 Месяц назад

    Ubaya ubwela t

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo Месяц назад

    PROPAGANDA ZAKE SISI HAZITUTOI KWENYE NJIA HUYO MANARA.
    KAMA KARUDI KUJA KUUONGELEA MPIRA AONGELEE MPIRA TU.
    ILA AKITAKA FUJO SISI PIA TUNALIJUA SANA.
    AJIPANGE ILA ASIJE KUTAFUTA HURUMA KWA MAMA TU

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p Месяц назад

    Lugano unakosea ĥatuwezi kusafiri toka mwanza mbeya kagera Mtwara kuja Dar kuangalia KMC AZAM JKT Haiewezekani Simba ikija mikoani tunajaa hujaona tukicheza Simba na Yanga tunajaa? Hatutafanya kazi zetu mikoani tufuate Dar KMC Azam Jkt? Wewe ndio mshamba hizo timu ulizozitaja walete mech mikoani Tutaisurpot sio lazima tuje Dar.

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    Yanga ni Matajiri
    Na kuingizwa mashabiki wa Yanga uwanjani haikuanza leo
    Toka enzi wa MANJI watu wanaingizwa bureeee

    • @user-cq4lp5rv1l
      @user-cq4lp5rv1l Месяц назад

      Izo real na kina manchester siyo matajir mpira ni biashara

    • @sadih5333
      @sadih5333 Месяц назад

      Na wataingizwa kweli bila mate, hasa kwa vile wanavyo penda supu.

    • @IlhamKhalid-mt3jp
      @IlhamKhalid-mt3jp Месяц назад

      Yanga wezi wa mali za Taifa ndio wanawo leta umasikini

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Месяц назад

    Ndugu yangu hayo unayongea ni mfumo wa Smba kizamani ujuwe hivyo siku hizi Yanga wanaenda na mfumo wa kisasa wa ki Dicktali mambo yote malipo yamo kwenye Card yako wewe getini unapanchi Card yako tu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Месяц назад

    Haukuchez mpira wewe , mchezaji anayejuaanajua tu ata akicheza mechi moja tu so ilo swala lamuunganiko nikutafuta tu sehemu yakutoke