MUHAMMAD NABII WA UWONGO//a must watch.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 77

  • @chikuiddy9946
    @chikuiddy9946 26 дней назад +5

    Mkimkataa sisi tunamkubali tena tunampenda sanaaaa ❤❤❤❤

    • @karimuabdala3234
      @karimuabdala3234 20 дней назад

      😅😅😅😂😂😂

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 15 дней назад

      brainwashed kukubali uongo!!

    • @ABUUALLY-u6x
      @ABUUALLY-u6x 13 дней назад

      Hawa wakristo wanaona wakimkataa mtume muhammad ety wanamkomoaa 😂😂😂 mtume muhammad hadhuriki na kitu Kwa sababu duniani Kuna mabillion ya watu wanamuamini na wanampenda ❤ atadhurika na kuchukiwa na wanyamwezi kama nyinyi musojielewaa ata kiswahili hamukijuii 😂 😂

    • @ABUUALLY-u6x
      @ABUUALLY-u6x 13 дней назад +2

      Kwa sababu nyinyi sio wa kwanza kumkanushaa na Wala nyinyi sio wa mwisho kumkanushaa 😂😂 yeye hadhuriki na kitu ,Allah pekee anatosha kuwa ni shahidi na sisi tunaemuamini na kumpenda 😂❤

    • @ABUUALLY-u6x
      @ABUUALLY-u6x 13 дней назад

      ​@@wakeshojanawaongo ni nyinyi musojielewa nyinyi ata musipo muamini mtume muhammad hadhuriki na kitu Wala hapati hasara yoyote Ile musipomuamini 😂

  • @isaackarisa-ek5nu
    @isaackarisa-ek5nu 9 дней назад +1

    Muhammad c nabii wa Mungu jana ,,leo ,,na hata milele

  • @Khalidmghosi
    @Khalidmghosi 13 дней назад +1

    Nyinyi wakristo ata Yesu hakuacha ukristo

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 10 дней назад

      Hujielewi ndugu.....Ukristo ni kuwa mfuasi wa Yesu Kristo...sio dini kama uislamu...ni imani kwa Kristo!!....kwa hiyo Yesu hangeweza kujiacha!!

    • @Khalidmghosi
      @Khalidmghosi 10 дней назад

      @ nishaelewa kumbe akuna dini huitwa ukristo dini ni moja tu uislam

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 10 дней назад +2

      @@Khalidmghosi
      Umeelewa makosa!! Dini ni kiarabu na kiswahili ni njia!!
      Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia(DINI) na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu."
      HAKUNA DINI/NJIA MBADALA YA KWENDA PEPONI BILA KUPITIA KWA YESU KRISTO!!

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 10 дней назад

      @
      Ukisoma story ya mwanamke mkananayo(mwenye imani sawa na muislamu) Matt 15:21- 28 kilichomsaidia sio DINI bali ni IMANI KWA YESU KRISTO!!

    • @Khalidmghosi
      @Khalidmghosi 10 дней назад

      @ njia ziko aina nyingi kasome kingereza kama itakuambia aje hio njia yako kama itasema religion

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 9 дней назад

    Ngamia alikatazwa baadae aliruhusiwa zakaria 14- 15 nenda kasome acha chuki na dini yamanabii❤

  • @Skeletonking2116
    @Skeletonking2116 День назад

    Hoja nyepesi nyepesi.fanya mdahalo ufundishwe usijifungie ghetto pekeyako

  • @twahahamisi9924
    @twahahamisi9924 20 дней назад

    Njaa kitukibaya sana hasa ikiingia kichwani

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 15 дней назад

      wacha bangi lete hoja ya utelimishe "nasi" ni akina nani???

  • @wadimtwana7286
    @wadimtwana7286 11 дней назад +1

    Nyie makafiri muko katika mtihani mkubwa iyo nasi ni majestic plural elewa ndugu

  • @jumaruhinda9987
    @jumaruhinda9987 14 дней назад +1

    Wewe huna elimu ya dini ya kiislam nenda kasome

  • @jumaruhinda9987
    @jumaruhinda9987 14 дней назад +1

    Wewe hujasoma Injili wala Quruani

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 9 дней назад

      Shida nyie waislam waongo sana mnayakumbatia majini mnafikir ntakuwa naakir vizur kwr mud nabii wa uwongo nyie endeleeni kumswaria mudy uko misikitini

  • @abbytaurus652
    @abbytaurus652 25 дней назад +1

    😂😂ebu mtafute DK.sule acha kuchambua kwa ubongo wako mdgo

  • @PrinceAaron-n1c
    @PrinceAaron-n1c 2 дня назад

    swali Mwalimu. HUYU MUHAMMAD KUNA USHAHIDI WOWOTE NDANI YA QURAN KUWA KATAHIRIWA kama manabii na mitume wengine ama hiyo Aya Allah kaisahau???

  • @PaschalKiteaKitea
    @PaschalKiteaKitea 15 дней назад

    Hafai kuwa mtume hata kwa dakika.

  • @ABUUALLY-u6x
    @ABUUALLY-u6x 13 дней назад +1

    Wewe njaaa tu inakusumbuaa Kwa sababu kumkataa kwako muhammad hapati hasara yoyote ilee asa ulivyo kuwa mnyamwezi kiswahili hukijui kazi kuzuaa tuu huna hata hayaaa ,njaa tu inakusumbua 😂

  • @Khalidmghosi
    @Khalidmghosi 13 дней назад

    Ata wew ukitendenda makosa ukishitakiwa na hujafanya kosa shaidi wako atakua ni nani

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 18 дней назад

    Uko Sawa mwalimu kbsaaaa hata wakiruka juu chini endelea kutoka elimu

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 10 дней назад

      😂aendelee kutoa elimu au anapoteza mda

    • @PhilipoBonifes
      @PhilipoBonifes 9 дней назад

      Wee ushapotea na muhamadi wako​@@ZayyanaBamuni

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf 17 дней назад +1

    Wacha uongo soma biblia vizuri utaona utume wa Muhammad peace be upon him kwenye biblia

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 15 дней назад

      kwa biblia walitabiriwa manabii wa uongo....mo ni mmoja wao

  • @jumaruhinda9987
    @jumaruhinda9987 14 дней назад

    Toa aya wacha kubwabwaja.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 9 дней назад

    Nini mkojo wa ngamia, walikunywa hata mkojo wa Muhammad.😂😂😂

  • @UkwishakaNathan-lj1ev
    @UkwishakaNathan-lj1ev 18 дней назад +1

    Nenda ukasome hujui tafsiri ya Qoran nenda ukatafute tafsiri ya hizo Ayat uachane na ujinga

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 15 дней назад

      ayat iko wazi.....hao "nasi: ni akina nani????

  • @mohamedsoud3225
    @mohamedsoud3225 8 дней назад

    Huna hoja it's mjadala wanaume tukupandie na vitubu tukusomeshe nyinyi wagumu wa kuelewa

  • @tobiaswabwoba3805
    @tobiaswabwoba3805 19 дней назад

    Mlikosana na ndacha ama

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 18 дней назад +1

    Yes it's true muhamadi is not a prophet of God,listen to that quran 4 ;89 read carefully

  • @ZayyanaBamuni
    @ZayyanaBamuni 10 дней назад

    Ata waislamu tunaamini Paulo ndio mtume wa uongo,kwa mujibu wa maandiko kwenye biblia

  • @sleymankassim4332
    @sleymankassim4332 12 дней назад

    baadhi ya viongozi wa kikrosto wanapenda kutoa mafundisho ya uwongo kuhusu uislam, jaribuni kuongea mutoe na ushahid wa vitabu vya Mungu na sio lopolopo

    • @isaackarisa-ek5nu
      @isaackarisa-ek5nu 9 дней назад

      Ni ropo ropo c lopo lopo kaza ulimi wwe Kenya utafinywa

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 9 дней назад

    Kwa kuoa mtoto wa miaka 6 na kumuingilia akiwa na miaka 9, huyo hawezi kuwa mtume wa Mungu kabisa, ni mshenzi tu.

    • @Skeletonking2116
      @Skeletonking2116 День назад

      Fuatilia uone bikira Maria mama wa Yesu aliolewa akiwa na umri Gani.

  • @ABUUALLY-u6x
    @ABUUALLY-u6x 13 дней назад +1

    😂😂😂 kwani unapomkataa mtume muhammad s.a.w je anadhurika na kitu?? Au mukimkataaa ndo hakuna wanaomuamini??? Kwahiyoo kumkataa mtume muhammad haimaanishi pia kuwa sio nabii wa mwenyezimungu ,mwenyezimungu anatosha kuwa shahidi ya kwamba muhammad ni mtume wake kwahiyo naona unajitesaa tu maana unapomkanushaa Kuna mamillion wa watu ulimwenguni wanamuamini usipoo muamini wewe mnyamwezi hadhuriki na kitu 😂

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 19 дней назад

    Kuna watu sasa naona wanatfta views na comments kwa mitadaoni...sasa jitu kama hili nalo pia eti kaongelea Muhammad ili kutafta tu umaarufu

  • @254trends
    @254trends 19 дней назад

    Kasina kweli umeishiwa na hoja hizi ni hoja za kitambo tukianza muhadhara unatafuta kiki na Muhammad

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 15 дней назад

      "Nasi" ni kina nani wacha kuropoka!!

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota 5 дней назад

    Maneno ya kusema muhamad c mtume wa mungu hata kwenye qurian yapo yaan wew c wa kwanza kusema soma qurian suratil rad aya ya mwisho😂😂😂

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 9 дней назад

    Elimu yako ndogo sana iviwewe nimchungaji wa kondoo au mchunga mbwa?😂

  • @254trends
    @254trends 19 дней назад

    Umekua kama willy paul na diamond tafuta kiki Pole pole

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota 5 дней назад

    Yaan ujinga wako unaanzia ulipotoa ushaid kweny qurian...sasa unaitoa qurian kama ni nin? Na swal ilo limejibiwa sana kwel maswal yameisha

  • @Khalidmghosi
    @Khalidmghosi 13 дней назад

    Kama wew mwalimu tupatie mahali watu wameambiwa waoe wake wa miaka 9

  • @Khalidmghosi
    @Khalidmghosi 13 дней назад

    Eti ni nabii ndio tena hujatoka kwa Mungu wew n elimu huna uko mtupu wewe

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 19 дней назад

    Mnakaataa Muhammad kwa sababu mafundisho yake yanawachoma mpaka hao waume zenu wakizungu..we wafany mchezo..Uislam unakataza maovu mnayoyapenda kufanya

    • @erastusmumba
      @erastusmumba 19 дней назад

      Na ww ni bibi ya mwarabu sio

    • @shabamuhidin634
      @shabamuhidin634 15 дней назад

      @erastusmumba kwa taarifa yenu sasa mnaletewa mpaka wachungaji mashoga kanisani,mkihepa watoto wenu wanakuja kuhubiriwa na lgbtq members,chukua io ilikua hauna

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 15 дней назад

      "Nasi" ni kina nani??
      simple

  • @maspedimaspedi1720
    @maspedimaspedi1720 20 дней назад

    dooh kasina umeishiwa kabisa Marko (3:11) na pepo wachafu Kila walipomwona walianguka mbele yake wakalia wakisema wewe ndiwe mwana wa mungu ? Na wakristo pia wao na pepo wachafu wako sawa😂 wote wanamwita yesu ni mwana wa mungu

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 15 дней назад +1

      Ndugu Biblia bila Roho Mtakatifu huwezi kuielewa!!
      Ni kweli pepo wachafu wanamtambua Yesu ni Mwana wa Mungu....lakini Marko 3:12 aliwaamuru wasimtambulishe kwa watu.
      PEPO WACHAFU HAWASTAHILI KUMUITA YESU MWANA WA MUNGU...JINA SAFI....MANAKE NI NAJISI....KWA HIYO WAISLAMU WAMEKATAZWA KUMUITA MWANA WA MUNGU KWA SABABU NI NAJISI
      NA SHETANI ANALIOGOPA JINA LA YESU...NDIO AKAWABABAISHIA YESU FEKI KWA JINA ISSA BIN MARYAM---- HAWEZI TAJA YESU KRISTO NGUVU ZAKE ZITAISHA!!
      Wafilipi 2:10 ili kwa jina la Yesu, kila goti lipigwe, mbinguni na duniani na kuzimu;

  • @rukiakadzo8053
    @rukiakadzo8053 19 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kwani huwa unalipwa kwa kazi hiii, Fanya bidii upelekwe shakahola na Wewe 😂😂😂😂😂 mnafiki

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 15 дней назад

      "nasi" ni kina nani????

  • @MwasabuniSuleiman
    @MwasabuniSuleiman 18 дней назад

    Sasa wewe unataka tufuate kitabu cha bibilia ambacho kimejaa uongo, Musa ameandika kitabu cha mwanzo na yeye akuwepo.

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 15 дней назад +1

      Hahahahaa 😂 nitafute nikufundishe biblia. Musa aliandika vipi kitabu cha Mwanzo na hakuwepo? Kwa akili yako unaona umetoa bonge la hoja! Kama unataka kujifunza unakaribishwa ila kama unapenda kujilisha ujinga endelea na hoja za aina hii zinakuanika umajinuni wako

    • @MwasabuniSuleiman
      @MwasabuniSuleiman 15 дней назад

      @celestinshayo7295 Ni nani utumfundisha "story" za jaba za ndani ya bibilia za injili ya Luka ambae hakua mwanafunzi wa yesu, luka alikua daktari wa Paulo nashangaa injili yake iko katikati ya injili za wanafunzi wa yesu!!! Pumbavu sana