App kuipata ni bure unainstall tu kama app zingine. Police clearance report ni tsh2000 tu Latra nililipa tsh35000 sijui kama ni ile ile au imebadilika. Insurance ya gari za biashara 3rd part tsh180000
Hautakiwi kumuomba mteja akupe 5 star isipokuwa unatakiwa imuelimishe juu ya kutoa feedback kuhusu huduma uliyo mpa...hivyo yeye mwenyewe achague kati ya nyota 1 hadi 5 anadhani nafasi gani itakufaa...ila kumwambia ebu nipe nyota 5 hapo kwa kumuomba nadhani haijakaa sawa....!
Ur so bright women and beautiful one ....thanks for ur class
Thanks for sharing
Thank you
Thank you am starting my bolt driving journey next week
Hongera sana
Asante dada kwa elimu yako imenipa moyo wa kwanza hiyo kazi ya udereva
Very good information dear Asante kwa ku share
Hongera sana🙏 Are you still driving bolt? hope we can have Profile Interview
Kujiunga process zote bei gan kuanzia kulpa vibal vote na kupata iyo aplication kwa mara ya kwanza ... pesa ngap
App kuipata ni bure unainstall tu kama app zingine.
Police clearance report ni tsh2000 tu
Latra nililipa tsh35000 sijui kama ni ile ile au imebadilika.
Insurance ya gari za biashara 3rd part tsh180000
Asante nimejifunza kitu
Karibu kipenzi
I know this video is about two years old ila nashukuru sana imenifundisha maana from next month naanza biashara ya Bolt I hope sijachelewa
Pole lakini 😃
Asante dear ndo kutafuta
Am learning soo much
Am happy to hear that.
Have learnt more frm you , nd still need to learnt more , how can i reach you ? I hv dream for this uber department for long
Thanks for watching.... check me on Instagram @simply_zacky
Dada naomba mawasiliano yako please muhimu sana
Nicheki insta @simply_zacky
Hautakiwi kumuomba mteja akupe 5 star isipokuwa unatakiwa imuelimishe juu ya kutoa feedback kuhusu huduma uliyo mpa...hivyo yeye mwenyewe achague kati ya nyota 1 hadi 5 anadhani nafasi gani itakufaa...ila kumwambia ebu nipe nyota 5 hapo kwa kumuomba nadhani haijakaa sawa....!
Hellow Dada Zacky Naomba nipate namba yako tafadhali. Kuna baadhi ya maswali bimafsi nataka kukuuliza kuhusu hii kazi.
Hello Rodgerz.. nicheki insta tutaongea zaidi @simply_zacky