Mwanaume amuua mpenziwe Kinangop

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Wenyeji wa kijiji cha Weru eneo la Kinangop, kaunti ya Nyandarua wamepigwa na butwaa baada ya kijana mmoja kudaiwa kumuuwa mpenziwe kwa kumdunga visu mara kadhaa. Mwanamume huyo Allan Musila mwenye umri wa miaka 25 na mwendazake Consolata Wambui wanadaiwa kuwa na mzozo wa kimapenzi kabla ya tukio hilo jana usiku. Kwa mujibu wa nduguye marehemu ambaye ni jiraniye pia alisikia kelele kutoka nyumbani mwao na alipowasili anadai alimkuta mshukiwa na kisu mkononi.

Комментарии • 7