Washukiwa 7 wakiwemo wanawake wanne wakamatwa Naivasha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Maafisa wa polisi mjini Naivasha wamewakamata washukiwa 7 wakiwemo wanawane wanne ambao wamekuwa wakiwatepeli wakaazi wa eneo hilo.

Комментарии • 30

  • @petermbugua138
    @petermbugua138 4 года назад +5

    I hope you take them to jail these time round last year I took two of them in the same police station na waliwachiliwa kwa bail iko kasaro hapo

  • @langamorocco5802
    @langamorocco5802 4 года назад

    hao huwa wanatumia madawa ya kuchanganya mwanainchi,so siku yao ulifika,hatua ichukuliwe ni mataberi wabaya sana.Asante sana kwa kuwa waangalifu.wabaya hao nawataje wenzao

  • @paulnjuguna1671
    @paulnjuguna1671 4 года назад +2

    Mimi mambo na pesa na pesa with strangers out there nilisema sifanyi. I wonder why people tend to believe and trust just anybody cos amedai kuwa mhudumu wa kampuni fulani. Kenyans mtasoma the hard way baada ya kitapeliwa. If yu need services go to the right place and meet the right persons.

  • @hanifaali9526
    @hanifaali9526 4 года назад +5

    Wakamatwe hata Nairobi wamejaa matapeli.

  • @penny4310
    @penny4310 4 года назад

    Wakenya wana tamaa so ni rahisi kutapeliwa

  • @korirjoan7620
    @korirjoan7620 4 года назад

    Wakora ni wengi naivasha

  • @josephinengorwe702
    @josephinengorwe702 4 года назад +2

    Wafungwe kabisaa....wezi wakubwa hawa hata wanawake mmeingia kwa wezi

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 4 года назад

    Sura zao zinaonyesha ni majambazi

  • @rechealmugure9198
    @rechealmugure9198 4 года назад +2

    Wawekwe kwa dege za mizigo watupwe chaina ,na watu wajifudishe kutoa fungu la kumi ukitoa huwezi patana na wakora kama hawa Mungu anakulinda

    • @victoronuko8226
      @victoronuko8226 4 года назад

      Fungu LA kumi cannot protect you if you are walking a life of sin. That is a lie.

    • @angelinpretty3970
      @angelinpretty3970 4 года назад

      @@victoronuko8226 No one and I repeat No one is righteous mbele za mwenyezi mungu ni kwa neema tu tunaishi

    • @rechealmugure9198
      @rechealmugure9198 4 года назад +1

      @@victoronuko8226 kwa thambi siwezi sema mtu ni mwenye thambi sijui vile yeye huongea na Mungu,but pesa kupotea bure bure iko na sababu

  • @bosspeter6259
    @bosspeter6259 4 года назад +2

    Kaa kuna uweso mi wangechomwa akuna hacha ya kuwafunga kenyans tumeteseka sana na mashetani kaa hawa jameni.

  • @elizabethbarasa9217
    @elizabethbarasa9217 4 года назад +1

    Mahayawanii wakubwa

  • @annkoigi6928
    @annkoigi6928 4 года назад +1

    Woi uyo mmoja ako na skirt ya black tumework na yy apa qatar akaresign so io ndo kazi alikam kufanya kenya🤔🤔 we are so much disappointed with her.

  • @ayuushdescssfulldy5235
    @ayuushdescssfulldy5235 4 года назад +1

    Serekali wame fanya kazi nzuri

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 4 года назад

    Kwanza Wana Corona

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 4 года назад

    Wafireni mkundu

  • @magicmind6458
    @magicmind6458 4 года назад

    Wafungwe maisha hawana utu.

  • @danielkaruga7770
    @danielkaruga7770 4 года назад +1

    Si tu wachapwe🚮

  • @TheMackenziesKE
    @TheMackenziesKE 4 года назад

    Too bad