YESU NI MWEMA -Kirumba Adventist Choir. A Live Performance from Kirumba Hymns Festival Season II.
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Yesu Anabaki kuwa Mwema kwetu na mwenye haki kwa wote waliitalo Jina Lake. Ni Mungu wa Nuru, Ni mwenye Rehema, ni Mponyaji,
Ungana na Wanakwaya hawa wa KAC katika mfululizo huu wa Matamasha unaokujia kila mwaka kutoka Kirumba SDA Church na hutabaki mkiwa.
Barikiwa.
Am a catholic, but' wow❤
Amina! Karibu upande huu, kwaya za kupendeza na ujumbe wa nyakati hizi🙏Mungu akubariki🤝
In sick bed,but you uplift my spirit
Nimebarikiwa sana na aina ya music mnaoufanya, kiukweli unatusogeza karibu na Yesu. Kuna nyakati za maisha tunapitia nyakati ngumu za machozi lakini bado tunakumbushwa kuwa YESU NI MWEMA🙏🏿 Mbarikiwe mnapoendelea kuiponya mioyo iliyovunjika
Amen
God is glorified through your songs.❤❤❤
Yesu ni mwema, wimbo umeimbwa kwa ustadi mkubwa, Mbarikiwe sana KAC🙏
Amina ubarikiwe
🌟🌟🌟
Bwana awabariki sana nabarikiwa sana na uimbaji wenu endeleeni kufanya kazi ya Bwana,🙏🙏
Mbarikiwe sana, KAC music wenu unaonyesha how you are devoted to God and your submission of self.... Nabarikiwa sana na nyimbo zenu .... HALLELUJAH
🙏🙏mnatuheshimisha sana
Kirumba Mungu, azidi kuwatumia. Mbarikiwe sana kwa uimbaji huu.
Yesu kweli ni MWEMA... Barikiweni KAC
Amen
🌟🌟🌟
Mbarikiwe nyote
Amen
I love worship songs.,..
😁🤝
Nabarikiwa sana
Mbarikiwe mno
Amen
Kirumba you are a blessing to me you hymns are really touching my soul on my sick bed but when I listen to this hymns I feel healed be blessed and continue serving the Lord.
Ooh May the Lord heal you in Jesus Name Amen. We are praying for you and be blessed Liz.
Amen and amen saints 🙏
Que hino maravilhoso nos louva ele aqui no Brasil que bencao parece coro celestial gloria a Deus smos da mesma fe um dia vamos cantar juntos no ceu
Ameeeen.. stay blessed
Kwakweli nabarikiwa na wimbo huu. Mungu atukuzwe sana
Amina
Amina
Well done my senior brothers n sisters ❤❤❤
Amen
Utukufu kwa BWANA Mungu wetu
Hili ni OMBI la kwa BWANA kwa ajili ya huyu binti yetu mdogo "Mungu ampe hekima huyu binti aliyesolo adumu kuwa mwaminifu kwa BWANA Mungu wake pasina kuijaza namna ya dunia maisha yake ya kiroho na kimwili. Bwana AWABARIKI kwa uimbaji wenu makini na mzuri🙏"
Waoh they are so blessing
Yaani Leo nitalala vizuri. Mnajuwa kutufurahisha na kutuburudisha moyo. Praise to God!!
Amen
Fairest Lord Jesus.. Amen!
Amen
🌟🌟🌟
Amina
🙏
Amina kubwa, endeleeni kumtukuza Mungu kwa kutumia uimbaji huu
Amen
Amen amen amen
Hongereni sana wana kwaya wa Kirumba
Duh Tayo daughter kanigusa sana mbarikiwe sana Kirumba
Amen
Amina.Nabarikiwa kwa nyimbo hizi toka KAC .Moyo unaguswa,Akili inaitikia.
Amen
Nibarikiwa sana na nyimbo hizi za kirumba Mungu Awabariki sana
Amen and amen.
Mungu awabariki mnazidi kumwinua juu.
Amina, barikiwa
Mungu awabariki sn KWa uwimbo mzuri na mtamu sana
Barikiwa
Beautiful songs that has revive my life.God bless his people
Mzidi kumuimbia Mungu. Mbarikiwe sana🙏🙏
Aminaa
Ninabarikiwa sana na hii kwaya ya kac
Marvelous song and voices. Mkahubiri watu waokolewe.
Bwana awabariki kac
mungu awabariki sana kwa nyambo zeno nzuri
Amina
Amen Amen. Bwana awabariki sana
Amen
🤩🤩🥰🥰 barikiwa sana
Amina
MUNGU AWABARIKI sn
😋😋😋
🙏
🙌🙌🙌 Mungu awabariki sana 😊
Amina
Kirumba mungu awabariki
Aminaa
Am proud to be SDA Member
Mungu awabariki sana
Amen
Nice song may God bless you
Amen
This is good music. May God bless you
Amen
Nazidi kubarikiwa. Mungu awabariki mno
Kazi nzuri sanaaaa
Fairest lord Jesus ❤ very beautiful song you have done. Blessings
So inspiring.. continue praising blessings upon each and everyone of you
Amen
Kirumba SDA Church is in Tanzania in Mwanza city
Mungu awabariki sana
Amina
🎉🎉
🙏
❤❤❤
🙏
Woow
Amen
God bless you guys
Amen
Keep blessed my lovely choir
Amen
Amina 🙏
Kweliii kabisaaa
What a masterpiece
Amen
Where is Kirumba SDA church in Kenya? But thanks for the music so organized give God the glory
Kirumba is found in Tanzania in Mwanza city
Your warmly welcome
We pray for you
Amen
Awesome !
Amen
Amen 🙏❤
Kweli Yesu ni mwema sana
Mbarikiwe sana
Amen
Bwana awabariki sana
Amina
Amina
Amen
Amen
Amina
Amina
Amen
Amen