Emungu naomba unifungue Kwa damu ya yes naomb emungu umfungue baba yang Kwa damu ya yes na umfungue kiuchumi nakomboa nyota yake Kwa damu ya yesu,naomba mungu wafungue wadogo Zang Kwa damu ya yesu,naomba mungu unipe kibali ndani ya family yangu na Kwa watu naomba mungu Sema na ndoa yangu
Najiungamanisha na Madhabau hii mungu wa mbingu na nchi anaetendea watu miujiza anitendee na mimi, nipate kazi niliyoiomba kwa muda mrefu pia niinuke na kukua kiuchumi😢
Meu casamento acabou até meus filhos não vive mais com migo não consigo fazer nada de jeito por favor pastor ajuda me em nome de senhora Jesus Cristo 🙏
Mungu nisaidie nito pepo la kiroho lakinifungua na madeni yaishe yote na mugu unilinde mungu nisaidie
Kwa imani kwa kupitia komboa familia hii naamin uchumi wangu umepona na kazi yangu nzuri nimepata na mtaji wangu nimepata kilaisi 🙏🙏
Naamuru nguvu, kicheko na upako kwenye makazi ya Ester katika jina la Yesu Kristo Amen 🙏
Nafunguliwa Mimi na familia yangu katika jina la YESU
Emungu naomba unifungue Kwa damu ya yes naomb emungu umfungue baba yang Kwa damu ya yes na umfungue kiuchumi nakomboa nyota yake Kwa damu ya yesu,naomba mungu wafungue wadogo Zang Kwa damu ya yesu,naomba mungu unipe kibali ndani ya family yangu na Kwa watu naomba mungu Sema na ndoa yangu
Mungu kuanzia leo nifungue tiziki zangu xote na biashara yangu mungu nisaidie
naomba mungu amponye baba angu nakaka Angu namdogo wangu namuwezeshe kweda shule
Mungu nakuomba mhezo huu nilio upanishad ushe salama na usiwe na matatizo mungu nisaidie
Kesi ya majina mabaya kwenye maisha yangu inaisha leo
Mungu baba nakuomba nilindie biashara yangu popote mtu yyt anaekuja kwa lengo bayaya nungu mzalikishe na watu wamune mungu nisaidie
Mungu baba nakuomba kwenye maxabao hii zidikumiletea wateja wengi km mvua niuze nimalize mungu nisaidie
Mungu nikutanishe na familia yangu mungu nisaidie
Naomba Mungu babu apone uludi hali yake ya kawaida kwa jina la yesu Ameen
Mungu muweza yote napokea kufunguliwa kwangu leo, ninakuamini sana
Mungu nakuomba nipate ela nyingi na nikamilishe mambo yangu mungu nisaidie
Mungu nifugue mn na famikia yangu kutuwekea ulinzi mungu nisaidie
Mungu niketee mume alie bora namungu nakuomba nikamilishe zoezi langu la kinunua kitanda godoro na viti vingine vya ndani mungu nisaidie
Mungu nisaidie kunitoa pepo la kiroho la hofu ba kuogopa naomba nipe nguvu ya ujasiri wa kupambana mungu nisaidie
Kupitia mtume Boniface mwamposa naamini uchumi wangu umefunguliwa
Asante mungu kwakuniponya kichwe changu saizi 🙏🙏
Kwakufatilia komboa familia naomba mungu Binti yangu afunguliwe kiuchumi na biashala.yake ziende vizuli
Napokeaa kwa jina la yesu😊
Nafunguliwa mm na watoto wangu sifika saidati rajabu mariamu na Joshua wote wanafunguliwa kwajina la yesu
Leo napokea Roho ya maombi nataman sana kuomba Mungu nisaidie
Kwa imani name nime fungululiwa uchumi wangu na kwanzi sasa wateja wata ni mimi nikia amini
Sina hatia juu ya maisha yangu ya kushindwa kufanikiwa kiuchumi
Mungu muweza yote namuweka Amelia mikononi mwako, mponye, mfungue , mtunze awe salama siku zote
Mungu muweza yote napokea uponyaji kamili leo
Ameen
Ee mungu naomb ujifungue familia yet n mam ang mkubwa awz kipon mach kwa njia rhs😊
Napokea kwa jina la yesu
Najiungamanisha na Madhabau hii mungu wa mbingu na nchi anaetendea watu miujiza anitendee na mimi, nipate kazi niliyoiomba kwa muda mrefu pia niinuke na kukua kiuchumi😢
Mungu nisaidie leo mtu yyt anae nidai akija kwangu aside mkali nitakacho mwambia anielewe darazia mama sele dada wamashuka dependo mwajuma Jolie ewe mungu nisaidie wanivumilie niwatafutie nitaeapa
Napokea furaha ya mwz wa saba❤❤
Mungu muweza yote namuweka Ester mikononi mwako , mfungue kiafya, kiroho na kiuchumi ee bwana , ninakuamini unamfungua
Kwa ajili ya mazabao hii naamini biashara yangu itakua na nitapata ela na uchumi utongezeka mungu nisaidie
Kesi ya mama angukunywapombe imekwixha❤❤❤
Naomba ku funguriwa kesi yangu iishe
Mimi naitua Benazir Francisco j Silva sai ,nakaa Moçambique
Naamuru mafanikio na ulinzi wa kimbingu juu ya maisha ya Ester na watoto wake wote
mungu naomba uniokoe nadunia hii
Najiunganisha na ibada yareo naomba mungu ni funguriwa kira vifungo vyote
Meu casamento acabou até meus filhos não vive mais com migo não consigo fazer nada de jeito por favor pastor ajuda me em nome de senhora Jesus Cristo 🙏
napokea uponyaji amina
Katika jina la yesu siku ya Leo nakwenda kufanikiwa kwa kias kikubwa zaidi
Nimefunguliwa kwa imani
Leo nafunguliwa kwajina la yesu
Kesi za Binti yangu zimalizike
mungu nikomboe namanteso haya mangojwa umasikini
Leo historia yangu lazima ibadilile
Aneen
Amém
Boa Tarde
Mungu muweza yote mrejeshe Brian kwa mama yake kwa haraka
Ester anapokea upako wa kufunguliwa kiafya na kiuchumi na kiroho leo
Napokea furaha isiyo na kikomo
Napokea utajiri na heshima leo
Ester anafunguliwa kiafya kiroho kiuchumi leo hii
Napokea muonekano mzuri leo
Napokea harufu njema leo
Napokea kufunguliwa leo
🙏🙏🙏🙏🙏
Napokea upako wa kufunguliwa leo
Naamuru mwili wa Ester kufunguliwa leo
❤
Naamuru pesa za Ester kurudishiwa na aliyechukua pesa zake
Kesi ya vifungo imekwisha leo
Kesi ya kukataliwa inaisha leo
Napokea kufunguliwa kwa Briani leo
Napokea upako leo
Kila tatizo la mali za Ester linaisha leo
Leo nafunguliwa kiuchumi
Napokea uponyaji wa Amelia leo
Naamuru nafsi ya Amelia kupokea upako na uponyaji kamili leo
Napokea kuinuka na kuangaza leo
Napokea uponyaji wa afya ya Amelia leo
Naamuru nafsi ya Ester kupokea upako na uponyaji leo
Naamuru kibali kwa amelia leo
Kesi ya kikohozi inaisha leo
Napokea kufunguliwa kwa Amelia leo
Amelia pokea uponyaji wa afya yako na tabia njema leo
Mali zote za Ester zinapokea upako leo
Watoto wa Ester wanafunguliwa leo
Mungu nikumbuke namm pamoja na uzaa wangu
Ameen
Napokea manukato mazuri leo
Napokea heshima leo