UNITAKI LYRICS Future Pacheko midundo Vitamin Music forever Inaama ndio unitakii (nalia mama aah) Sms huzionii (nalia mama aah) Simu haupokeii (nalia mama aah) Naukipokea hauongei (nalia mama aah) Inaama ndio unitakii (nalia mama aah) Sms huzionii (nalia mama aah) Simu haupokeii (nalia mama aah) Naukipokea hauongei (nalia mama aah) Aahh Kamwe sitoacha kukusumbua Hata ukinivimbia nitavumilia Kamwe sitoacha kukusumbua Hata ukinivimbia nitavumilia Aaa Wewe ndio umefanya nikayajua aya Mwaya wewe akili yangu ukaitimua aya Mwaya wewe nilipopenda ndo nilipo bugi mie Uaminifu wangu ndio umeniponza mie Kama chupa limeamka na chai nashtuka Sijiwezi nipo hoi Kwani mi kuyajua nimechelewa Ama kwa penzi lake nimenogewa Kwani mi kuyajua nimechelewa Ama kwa penzi lake nimenogewa Eti kama kambale nateleza peke yangu We upo mbali sikuoni my wangu Eti kama kambale nateleza peke yangu We upo mbali sikuoni my wangu weeeh Inaama ndio unitakii (nalia mama aah) Sms huzionii (nalia mama aah) Simu haupokeii (nalia mama aah) Naukipokea hauongei (nalia mama aah) Inaama ndio unitakii (nalia mama aah) Sms huzionii (nalia mama aah) Simu haupokeii (nalia mama aah) Naukipokea hauongei (nalia mama aah) Maumivu uliyonipa donda lisopona Nahisi nitazikwa aah nimekoma Maumivu uliyonipa donda lisopona Nahisi nitazikwa aah nimekoma Nikiuliza vip anajibu utajua ujuii Kwani vipi inamaana hanitambuii Inamaana sauti yangu haijuii Ama mi ndio sipendwii sijuii Inamaana sauti yangu haijuii Ama mi ndio sipendwii sijuii Mudy K shemeji yenu anijui Hata nikimtazama usoni hanitambuii We msizwaa shemeji yenu anijui Hata nikimtazama usoni hanitambuii (nilipopenda ndo nilipo bugi mie Uaminifu wangu ndio umeniponza mie)
UNITAKI LYRICS
Future
Pacheko midundo
Vitamin Music forever
Inaama ndio unitakii (nalia mama aah)
Sms huzionii (nalia mama aah)
Simu haupokeii (nalia mama aah)
Naukipokea hauongei (nalia mama aah)
Inaama ndio unitakii (nalia mama aah)
Sms huzionii (nalia mama aah)
Simu haupokeii (nalia mama aah)
Naukipokea hauongei (nalia mama aah)
Aahh
Kamwe sitoacha kukusumbua
Hata ukinivimbia nitavumilia
Kamwe sitoacha kukusumbua
Hata ukinivimbia nitavumilia
Aaa
Wewe ndio umefanya nikayajua aya
Mwaya wewe akili yangu ukaitimua aya
Mwaya wewe nilipopenda ndo nilipo bugi mie
Uaminifu wangu ndio umeniponza mie
Kama chupa limeamka na chai nashtuka
Sijiwezi nipo hoi
Kwani mi kuyajua nimechelewa
Ama kwa penzi lake nimenogewa
Kwani mi kuyajua nimechelewa
Ama kwa penzi lake nimenogewa
Eti kama kambale nateleza peke yangu
We upo mbali sikuoni my wangu
Eti kama kambale nateleza peke yangu
We upo mbali sikuoni my wangu weeeh
Inaama ndio unitakii (nalia mama aah)
Sms huzionii (nalia mama aah)
Simu haupokeii (nalia mama aah)
Naukipokea hauongei (nalia mama aah)
Inaama ndio unitakii (nalia mama aah)
Sms huzionii (nalia mama aah)
Simu haupokeii (nalia mama aah)
Naukipokea hauongei (nalia mama aah)
Maumivu uliyonipa donda lisopona
Nahisi nitazikwa aah nimekoma
Maumivu uliyonipa donda lisopona
Nahisi nitazikwa aah nimekoma
Nikiuliza vip anajibu utajua ujuii
Kwani vipi inamaana hanitambuii
Inamaana sauti yangu haijuii
Ama mi ndio sipendwii sijuii
Inamaana sauti yangu haijuii
Ama mi ndio sipendwii sijuii
Mudy K shemeji yenu anijui
Hata nikimtazama usoni hanitambuii
We msizwaa shemeji yenu anijui
Hata nikimtazama usoni hanitambuii
(nilipopenda ndo nilipo bugi mie
Uaminifu wangu ndio umeniponza mie)
Msomaliii🙌🙌🙌
Goma nalikubali sana mwanangu sana💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
kaka ww nomasana ❤❤
Daah 2024 tujuaneee💔🙏
Vitamin forever tunaishi kwa roho saaafi pamoja mpaka kwenye malengo
Kaka unaweza kuomba halafu unasauti zuli hakika mungu aijalie kazi yako
Unajua san msomali nakupenda mnoo❤
Huyu mwamba namkubali kinoma❤❤
Msomaliii big up ❤🎉🎉 forever
Unajua Sana msomali jaman nakupenda sana❤❤❤
Unajua bwana😅😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤
Oyah! Msomalii👊👊👊👊👊
noma shekh♥♥♥
Bro unajua ❤❤❤
Broo una weza na unajuwa kwanza saut unayo big up
Ii ngoma kali sana kak
Iko vzr🔥🔥🔥🔥❤️
Tunaishi kwa roho saaafiiiii
✍🏼✍🏼 D Love Mc 📞
Unajuwa sana msomali
Ngoma Kali sana kak unajua kuimba
Tunaish kwa roho safi🤝
Umetixha jeshi
Unajua sana kaka by natoria
Tunaishi Kwa Upendo ❤️
Tajiri Fareed🥂
Unajua mwanetu ongeza bidii
Umetish kk pamoj xan vitamin muxic phorever
bonge la ngoma
Nakubali sana kaka
Bonge la ngom msomali umetixh xan
Daah kaka mwanao meme ndo nahisi umeniandikia ili nimuimbie shemejiako daaah an nikifikilia
Mwanangu unajua mno
Cjawai kukupinga💥💥💥
I put you on my wallpaper 🎉
Oooooy bro wewe nifundi San mno
YAN WW N WA KIPEKEE SAN KKA UNAJUA SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
respect broo sikupingi unajuaaa
Hii nyimb n Kal knm on trending
🎉🎉🎉
Unajuwa kuimb san
Ni ukalii mzee
Safi sana blood
Mabalaa🔥🔥🔥🙌
Unyama ni mwingi
Ma gee 🔥🔥🔥🔥
Ngoma Kali m
Msomal 🔥🔥
Broo unajua xana
Kaka unajua
Uwezo mkubwa kizazi
Unajua ckupingi for lever brow
👊🏿👊🏿👊🏿
Blood
Tamuuu
Pure Talent🔥🔥🫡
❤❤❤
Kama hakutaki muache aende
Kwani mimi kuyajuwa nime chelewa
Bega kwa bega
Msomali kideo ngom nilikuw naisikiliz xan
Oh VP kk
Pamoja kk
Noma
🔥🔥🔥🔥
Makini
🔥🔥🔥
Producer ndo kaharibu ka play key ya chini sana alitakiwa akufate tu maana una pitch ya juu ila fresh tu
Salute
12/10/2024
good kk
😢
Sorry brather he can happen to a wan
💥💥
Mkn
🤘💥💥💥
👏👏👏👏
Bonge la chupa kaka big up🧡✌🏾
Seyeee
fir
Unajua san msomali nakupenda mnoo❤
🔥🔥🔥🔥