Na lazma ue.Na akili kubwa na utulivu wa kiroho ili ueze kuelewa Nyimbo zake. Ambwene since day one nakumbuka sana.Nyimbo yake ya Tai huyu jamaa nilimuelewa tangia hapo
Nilichovutiwa nacho zaidi ni kuwa, kumbe Msabato na Mlokole wanaweza kuungana na wakaimba wimbo mmoja na ukapendeza hakika. Huu ndiyo Ukristo, tupinge ubaguzi wa Madhehebu ndani ya Ukristo. Hongereni sana kwa wazo hili.
Tunapishana tu siku ya kuabudu na sikukuu za kidini hapo ndipo pana kelele ,maana msabato kashika sheria na mlokole kashika wokovu na siku ya kufufuka Yesu
"Msalaba" hauna mipaka,ukijua thamani ya msalaba utofauti wa madhehebu si kitu,yesu aliwahi kuulizwa,"mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jinalako,yesu akajibu,"wasio kinyume nanyi mpo pamoja nao.
The place that you Zabron use to shoot your songs looks gorgeous keep it up atleast you are showing that our God is not poor mugu awabariki na awape hekima
Furahini pamoja na wafurahio.. pia lieni pamoja na wwliao .... Kubarini kushuhurishwa na mambo manyonge.. chozi la aliae Kwa mwenye huzuni Lina thamani ... Kuliko cheko la achekae na achekae aijue huzuni. Ya mnyonge humaanisha kuliko achekae na mwenye furaha🙏🙏🙏🙏🙏 Nabarikiwa na fungu hili...
Kweli tunafaa kumsifu mungu kila wakati pia wakati huu mgumu duniani nzima la janga la corona tumweke mola mbele kwa sababu Bibibilia husema ya kwamba naweza fanya kila kitu juu mola ndiye hunipa nguvu.Asnteni sana kwa kusoma ujumbe wangu na mola awabariki nyote.Thanks
Watasema Kenyans will die due to coronavirus but the last word about Kenya is kenya belongs to God,Rwanda belongs to God, Nigeria belongs to God ,Africa belongs to God. Even if you hear somebody saying we shall die tell them no no we belong to God. Be blessed
Nimekuja kumtambua Japheth hivi majuzi, jamani aliye karibu nayeye amwambie Wakenya tunampenda Sana. Afikishiwe salamu zetu. This is what Christianity is all about. Feel loved from Kenya. I really love your music, voice and everything. You are blessed beyond measure.
Muliyahesabu makosa ya mtu, ehh Mungu nipenguvu 😭😭😭😭 kiukweli wimbo huu unazungumuziya Maisha yangu yaaani hakuna tofauti😭😭, Mungu uwe nani siku zote😢😢. Asante kwa wimbo muzuri wimbo wakutiya nguvu. Mungu wangu akuinuwe zaidi🥰🥰🥰🥰
Hivi mziki huwa una nini jaman??, kuna saa unahamia mahali kwa muda kama vile sio duniani, unahisi aman hata kama uko katikati ya magumu, kuna saa unasikia kasauti kazuri kanashusha mizigo mizito moyoni aaaaah na hiyi melod na bit composer imegusa sana moyo wangu. Mbarikiwe sana na Mungu. Nyimbo zenye ujumbe wa hv ni chache sana siku hizi. Mungu azidi kuwatumia. Glory to God.
Japhet uchoje na maneno mtumikie mungu yy ndo fungo yetu nyimbo zako zinanipa matumaini na walla usiumie na Mambo ya wanadamu maana mungu anajuwa unachofanya mpendwa wa mungu atubaliki unachobkifanya
The very best song among the best with deep meaning which need Holy Spirit interpretation. I came to understand yesterday 12.5.24 that the words Abwene sang are in Romans 12 the last verses. That's always my joy when we sing scripture based song,it carries a big revelation. Songs Helps in understanding the Bible more. More love from 🇰🇪🇰🇪God bless you and continue worshipping Him in truth and Spirit. Amen
Mtunzi Mungu akuzidishie miaka yenye kheri na hekima, maneno ya wimbo huu ni mazito, na machungu yanauma sana wanadam tumekuwa wakulaum na kusemana vibaya hasa kwa madhaif hakuna faraja ukiwa hai,mtunzi nataman sku moja nkushike mkono tu ili nifurahi na kufarijika kwa ujumbe huu🙏🙏
Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwapandisha viwango vyake, nawapenda sana Hawa watu maneno mazur na wimbo umetuliaaa, umeimbika vizur sana sauti pamoja Melody iko safi sana. Mungu aeendelee kuwabariki muendelee kumuimbia.
Kwakweli huu wimbo ni mzuri una ujumbe mzuri Sana Mungu awabariki Sana watumishi na endeleeni na unyenyekevu huohuo hakika Roho mtakatifu atukuzwe Sana
Wimbo huu hakika Utaishi siku zote hakika hakika Bwana Ametenda Nanyi Wana WA Mungu Mkuu Mwenye Enzi Zote Kwa Damu Ya Masii Kristo Mfalme Yesu WA Uweza Na Uzima
Heee ama kweli huu wimbo nimeisha usikiliza zaidi ya mara 10 hadi nime amuwa kuacha andiko ! Mmhhh kwakweli dunia watu wapo tayari kupoteza uhai wa mtu ili nafsi zenu zi furai eeh yesu tu sameh 😌😟😟😟😟
Romans 12:18 "As long as it depends on you live peaceably with all men" in every situation you're in strive to choose peace and kindness irregardless of what has been done to you or what you feel
That lyrics i met my self in heaven already playing with Angels, dancing wow so amazing, unfortunate I realise am still on Earth having stay home challenge, gooosh even this will be over in Jesus name, thnx you made my day.
Moja kati ya nyimbo zitakazoishi muda mrefu zaidi ni pamoja na huu. Gonga like kama umeelewa!
Jamani umenigusa Sana naomba kama unao kwa wastap hata kuulipia nko tayar.0713592849
hiyo Ni kweli kabisa
Kwelii Kabsaa 🙏🙏🤝🤝
Nabarikiw mnooooo nanyimbo zako kaka
@@liliankiondo4457 umeshaupata nikupe
Huu wimbo utaishi milele na mikele kama unakubaliana nami piga like za kutosha
Ambwene mwasongwe ni msanii mwenye karama ya ajabu sana ,akiimba kidogo tuu anafunika sana...naomba like za kutosha hapo kama unakubaliana na mimi
Na lazma ue.Na akili kubwa na utulivu wa kiroho ili ueze kuelewa Nyimbo zake.
Ambwene since day one nakumbuka sana.Nyimbo yake ya Tai huyu jamaa nilimuelewa tangia hapo
Na wimbo lazima ukuguse yaan nyimbo zake ni tiba 👏👏
Hakuna ambae ameshamfikia Abwene utungaji wake w nyimbo is very amaizing
Mm mwenyewe nabarikiwa sana kwa nyimbo zake
Kama kuna watu wanapenda mziki wa injili wa Tz ni sisi wakenya. Napendaaasss💃💃💃
Wasabato weka like zenu hap
Hujakosea
@@samdan4591 mziki ni mziki kusema wasabato ndio kusema nini?
Josky umepatikana huku🙏🙏💗
Thank you dear kwa niaba ya tz
Nilichovutiwa nacho zaidi ni kuwa, kumbe Msabato na Mlokole wanaweza kuungana na wakaimba wimbo mmoja na ukapendeza hakika. Huu ndiyo Ukristo, tupinge ubaguzi wa Madhehebu ndani ya Ukristo. Hongereni sana kwa wazo hili.
Imeandikwa sio dini itakayokupeleka mbinguni bali kuishi maisha yampendezayo Mungu . Zaidi ni Neema yake Bwana.
Tunapishana tu siku ya kuabudu na sikukuu za kidini hapo ndipo pana kelele ,maana msabato kashika sheria na mlokole kashika wokovu na siku ya kufufuka Yesu
@@mariamidrisa1359 hakika na si siku ya kuabudu
Wote tu watu wa Mungu
"Msalaba" hauna mipaka,ukijua thamani ya msalaba utofauti wa madhehebu si kitu,yesu aliwahi kuulizwa,"mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jinalako,yesu akajibu,"wasio kinyume nanyi mpo pamoja nao.
Binandam hana jem mungu awabalik kwa huu wimbo mzur 🙏🙏🙏🙏🙏
Hujambo 😊
Who is here 2024 october🥰🥰.. From Kenya we are proud of you Tzs🥰🎉
Me ❤
Wimbo mzuri,wenye funzo ,,,na ujumbe Bora ...sijabaki nyuma kurepresent Kenya🇰🇪...barikiwa...
Nyimb nzur
The place that you Zabron use to shoot your songs looks gorgeous keep it up atleast you are showing that our God is not poor mugu awabariki na awape hekima
Mungu awabariki na awape nguvu na hekima
Who is still here watching, gonga like tuwanenee watu maneno mazuri🥰🥰🥰
wap,,,,team ambwene,,,weka like yako
Tupoooooo
Mungu azdi kukupa kipawa nmeipenda umebarki miyo wangu
@@happymsaki1720 💛
Hongera san kwa kazi ya bwana
Ambwene mashaili yake mungu anamuona yanagusa kwakwel
Abwene kaka hayo mashaili yako mungu anakuona kwa kweli yanagusa na yanaponya
Oh Ambwene unatuliza watu wazimaa
Furahini pamoja na wafurahio.. pia lieni pamoja na wwliao .... Kubarini kushuhurishwa na mambo manyonge.. chozi la aliae Kwa mwenye huzuni Lina thamani ... Kuliko cheko la achekae na achekae aijue huzuni. Ya mnyonge humaanisha kuliko achekae na mwenye furaha🙏🙏🙏🙏🙏 Nabarikiwa na fungu hili...
Wimbo mzuri na unaonitia moyo wakati nipo chini, ata Kama mimi ni mtumishi kwa njia ya uimbaji huu wimbo ni sehemu ya maisha yangu. 👏🙏
🗣Nimerudia huu wimbo Mara 50 nahuu ndio wimbo wangu bora wa mwaka🔥🔥🔥🔥
Congratulations brooo
Mafund wa injil wamekutana ama kwl Mungu ni mwm nawaombea kwa Mungu wafke vwango vya juu zaid amen
Amen
@@rachelmwikali9790 Amina wimbo huu umenibariki
Na kweli mafundi wamekutana
Hakika
Shedrack daudi amen
Huu wimbo ni tiba ya corona, jaribu kuinenea nchi MANENO MAZURI ,,,wagonjwa watabona soon
Fadhili Mtei amen
Amina
Amina
Kweli tunafaa kumsifu mungu kila wakati pia wakati huu mgumu duniani nzima la janga la corona tumweke mola mbele kwa sababu
Bibibilia husema ya kwamba naweza fanya kila kitu juu mola ndiye hunipa nguvu.Asnteni sana kwa kusoma ujumbe wangu na mola awabariki nyote.Thanks
Watasema Kenyans will die due to coronavirus but the last word about Kenya is kenya belongs to God,Rwanda belongs to God, Nigeria belongs to God ,Africa belongs to God.
Even if you hear somebody saying we shall die tell them no no we belong to God. Be blessed
Miyamba miwili imekutana barikiweni sana watumishi
Wimbo nzr jamn nikiusikiliza nafarijika ndani ya moyo wangu Mungu awabariki watumishi watu bwana
Mbinguni hakuna myahudi wala myunani
Nimekuja kumtambua Japheth hivi majuzi, jamani aliye karibu nayeye amwambie Wakenya tunampenda Sana. Afikishiwe salamu zetu. This is what Christianity is all about. Feel loved from Kenya. I really love your music, voice and everything. You are blessed beyond measure.
Much love the songs really bless me it of alow tone good to understand and easy to know the message
Muliyahesabu makosa ya mtu, ehh Mungu nipenguvu 😭😭😭😭 kiukweli wimbo huu unazungumuziya Maisha yangu yaaani hakuna tofauti😭😭, Mungu uwe nani siku zote😢😢. Asante kwa wimbo muzuri wimbo wakutiya nguvu. Mungu wangu akuinuwe zaidi🥰🥰🥰🥰
yaan dah nazikubali sana nyimbo zenu hongera kwa kazi ya bwana
Hakika wimbo unaujumbe mzuri mbarikiwe mwende mbali ila msipotee yani nimeona wimbo umekuwa mfupi cjui Kwa sababu ni mzuri sana
Amin Amin
@@ujasiriamalijitegemee345 Mbalikiwe kwujumbe mzur
Mungu akutunze nyimbo zakozina upako Sanaa adi raha
Hivi mziki huwa una nini jaman??, kuna saa unahamia mahali kwa muda kama vile sio duniani, unahisi aman hata kama uko katikati ya magumu, kuna saa unasikia kasauti kazuri kanashusha mizigo mizito moyoni aaaaah na hiyi melod na bit composer imegusa sana moyo wangu. Mbarikiwe sana na Mungu. Nyimbo zenye ujumbe wa hv ni chache sana siku hizi. Mungu azidi kuwatumia. Glory to God.
Amen amen
Ndivyo walivyo watu. Asante kwa wimbo wenye maadili
Japhet uchoje na maneno mtumikie mungu yy ndo fungo yetu nyimbo zako zinanipa matumaini na walla usiumie na Mambo ya wanadamu maana mungu anajuwa unachofanya mpendwa wa mungu atubaliki unachobkifanya
Nimependa wimbo nimebarikiwa MUNGU awe nanyi hadi ukamirifu wa dahari
Huu wimbo unanitoa machozi maana ujumbe ninaoupata ndani yake upo katika maisha yangu.
Wimbo huu una upako zaidi,MUNGU awatumie zaidi na zaidi kwa ajili ya utukufu wake🇰🇪🇰🇪
The very best song among the best with deep meaning which need Holy Spirit interpretation.
I came to understand yesterday 12.5.24 that the words Abwene sang are in Romans 12 the last verses.
That's always my joy when we sing scripture based song,it carries a big revelation.
Songs Helps in understanding the Bible more.
More love from 🇰🇪🇰🇪God bless you and continue worshipping Him in truth and Spirit. Amen
Nimebarikiwa sana kwa wimbo, nimebarikjwa zaidi kuwaona role models wangu wakiwa wamefanya collaboration...Hakika najifunza
Huu wimbo nausikiliza kwa siku hata mara 10 the best song ever👋🤲💘💘
Mungu awalinde nakuwatunza watumishi wake
Huu wimbo mmeniinbiaa mm kabisaa Mungu awabariki sana jaman
Mungu wa mbiguni awabariki nawapenda sana 🙏
Good one japheth napenda kipawa chako
Amen Judith
Ambwene wewe napendaga kukufwata wakati nikiwa na njaa kwa sababu nikisha shiba nyimbo zako sizielewagi ! Wewe ni jembe mungu akuzidishie Asante 100 💯
Sauti za dhahabu,,
Huu ndio Ukristo, tukatae kutengwa na madhehebu
Wimbo bora wa mwaka🕺🏽 pongezi kwako bro Japheti Zabron
Nice song yanibariki kweli nipo Gulf
Walobarikiwa na huu wimbo na Upendo wa colabu wanipe like 31/5/2020
Mungu awaongoze mfike mbali ila msipotee, ukristo hunia mamoja
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii MUNGU awatunze nyote Japhet na Ambwene
Mtunzi Mungu akuzidishie miaka yenye kheri na hekima, maneno ya wimbo huu ni mazito, na machungu yanauma sana wanadam tumekuwa wakulaum na kusemana vibaya hasa kwa madhaif hakuna faraja ukiwa hai,mtunzi nataman sku moja nkushike mkono tu ili nifurahi na kufarijika kwa ujumbe huu🙏🙏
Sote baba yetu mmoja haina haja kutengana🇹🇿🙏
Mumekata kusimuriya mema ya ngu mimi japo mwayajuwa Mumenyamanza Natamani sikumoja Nikuone live tupeane mikono🤝⌚🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Niseme namshukuru Mungu kwa ajili ya vijana wawili hawa wanyenyekevu wimbo huu na uwe manukato mbele za Bwana
Asantee Kwa wimbo mzuri mmenibarisana Japheth na Ambwene Asantee kwakutukuza ki lmani maana nimejikuta nimekuwa jasiri zaidi Kwa ajili ya Mungu
Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwapandisha viwango vyake, nawapenda sana Hawa watu maneno mazur na wimbo umetuliaaa, umeimbika vizur sana sauti pamoja Melody iko safi sana. Mungu aeendelee kuwabariki muendelee kumuimbia.
Nitatoa mwanaume kama huyu japhet wapi mwenye atanisongeza karibu na neema ya Mungu zaidi sio wa kunitoa??ee mungu sikia ombi langu@japhet zabron
Anyone watching today,I love Zabron singers.Talented family/friends.God bless them for me.Lots of love to you’ll❤❤❤
From Khon kaen- Thailand nimemtafakari sana Mungu kupitia ujumbe wa wimbo huu kwa machozi. Yesu awabariki sana
Natamani huo mwimbo ungekuwa hata na Dak 10hivi mana unagusa moyo balaa ,,, dah! Sifa za mtu nzuri hunenwa wakati akifa "" Hongera Japhet Zabron
Moja ya nyimbo za injili zinazowaleta watu kwa
Bwana.utukufu apewe
Bwana wetu
Yesu
Kristo amina
Kwakweli huu wimbo ni mzuri una ujumbe mzuri Sana Mungu awabariki Sana watumishi na endeleeni na unyenyekevu huohuo hakika Roho mtakatifu atukuzwe Sana
Nyimbo ninayoisikiliza bila kuichoka.nimeiangalia bila kuhesabu ni Mara ngapi,naona mpya kila siku😘😘👌👌😍
Hiii kweri tibaa ya corona Barikiwa saaaaana watumishi
Mungu akubariki kwa wimbo huu umenitia moyo sana.
Mungu akubariki Sana unanibariki sana
Ubalikiwe kwa huduma
@@michaelkamaghe5046 l
Muwanenee watu wenu maneno mazuri.... woow... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wao wimbo mzuri sana barikiweni aaimbaji na mnaosikia wore sifa kwa Mungu Mkuu!!!
Kaka kazi hii imetulia hata wewe umeona 😁
Wimbo mzuri sana huu
A good song indeed, what an emotional melody. Pass my Congratulations to the beat composer.
Kaka hongera sana, huu nikiusikiliza najifunza kitu, na ni wimbo wa kufikirika, Big up bro
Amen mungu azidi kuiinua sauti yako wengi wakibarikiwa kaka
Chozi la aliaye kwa mwenye huzuni lina thamani. God bless these words. Wisdom.
Wimbo huu hakika Utaishi siku zote hakika hakika Bwana Ametenda Nanyi Wana WA Mungu Mkuu Mwenye Enzi Zote Kwa Damu Ya Masii Kristo Mfalme Yesu WA Uweza Na Uzima
Hakika wimbo unaujumbe mzuri sana mwenyezi mungu hawabariki kwa vipawa vyenu vizidi kusonga mbele hadi mwisho wa maisha yenu
Nyimbo nzuri nimebalikiwa sana
Mbarikiwe na Mungu wa tumishi wa Bwana
Nabarikiwa nikiwa Oman Asante wapendwa kwa ujumbe
Mungu awabariki muendelee kuwaponya watu
Maneno ni baraka tujitahidi kuzichunga ndimi zetu
Mungu awabariki kwa ujumbe huu
Hongera kwa hekima ya kuungana na kuimba wimbo huu unao ujumbe wa Yesu Christo mkombozi wa watu wa tabaka mbalimbali. Mungu akusidizie hekima.
I show love💕 from rwanda 🇷🇼
Mtumishi Umebarikiwa.. natumai Siku moja nitatumikia Mungu pamoja nawewe..
Naupenda sana nyimbo zako Japheth
Heee ama kweli huu wimbo nimeisha usikiliza zaidi ya mara 10 hadi nime amuwa kuacha andiko
! Mmhhh kwakweli dunia watu wapo tayari kupoteza uhai wa mtu ili nafsi zenu zi furai eeh yesu tu sameh 😌😟😟😟😟
Romans 12:18 "As long as it depends on you live peaceably with all men" in every situation you're in strive to choose peace and kindness irregardless of what has been done to you or what you feel
mkubali kushughulishwa na mambo manyonge,,,,wimbo mzur sana mbalikiwe sana
0:40 Vile Bass guitar imeingia plus harmony on the vocals 🔥🔥🔥
Kabura hata sijasikiriza hi nyimbo nimejikita ninaamani gafla mbarikiwe watumishi wamungu
That lyrics i met my self in heaven already playing with Angels, dancing wow so amazing, unfortunate I realise am still on Earth having stay home challenge, gooosh even this will be over in Jesus name, thnx you made my day.
Hakika ni vyema kusema mazuri ya mtu angali hai kuliko kusubiri aondoke duniani.
Mungu awape viwango zaidi na zaidi
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu. Zinaniweka karibu na Mungu
Zabron Singers ni kwaya Nzuri sana!!!!!!!!!! Hongera sana kwa kipaji mlichonacho cha kumtukuza Muumba wetu!
NICE song's blessing listening to you guys here in Kenya
Jamani kristo azidi kuwabariki watumishi. Wa krsto asanteni sana
Kwaupako uleoko ndan ya huu wimbo nimeuona wimbo umeisha haraka..mbarikiwe daima
I love Japheth you are all song God bless u everyday I don't know siwezi kaa bilaa kusikiliza nyimbo zako🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mbalikiwe saana jaman wimbo mzuri sana Mungu awatie nguvu mzidi kuitangaza injiri
Wimbo huu ni mubaraka saba kwangu, siwezichoka kuisikiliza,,,,Mungu akujalie kwenye utunzi huu
Nyimbo zako zina i jenga imani yangu sana mno. Mbarikiwe na Bwana. Nawapenda sana toka Goma, DRC 🇨🇩 ❤
This song ni tiba ina maneno adimu yanayoponya ikizingatiwa, nimebarikiwa, Mungu azidi kukubariki😍😍
Amen
Kwel mung yuko pamoja nayi mbarikiwe
Nyimbo inanimalizia Mb hii jamani
niliachaga kuangalia na kusikiliza gospel hapa kwa hii nimerudi tena kwa kundi
Mwimbo huu utaishi na tutaendelea kupona kupitia wimbo huu, barikiwa kaka ambwene na japhet
Wimbo wangu pendwa
Mubarikiwe watumishi wa Mungu🙏🙏
Huu wimbo unastahili kubeba tuzo.
MUNGU akukumbuke kama unavyo mtumikia kwa njia ya nyimbo "ZENYE MATUMAINI" hongera sana.