JAPHET ZABRON - FT AMBWENE MWASONGWE -MANENO MAZURI (SMS SKIZA 5430280 TO 811)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 838

  • @gospotv
    @gospotv 4 года назад +408

    Moja kati ya nyimbo zitakazoishi muda mrefu zaidi ni pamoja na huu. Gonga like kama umeelewa!

    • @liliankiondo4457
      @liliankiondo4457 4 года назад +4

      Jamani umenigusa Sana naomba kama unao kwa wastap hata kuulipia nko tayar.0713592849

    • @johnmbonge1627
      @johnmbonge1627 4 года назад +3

      hiyo Ni kweli kabisa

    • @isackobadiah484
      @isackobadiah484 4 года назад +1

      Kwelii Kabsaa 🙏🙏🤝🤝

    • @evetamakoi9856
      @evetamakoi9856 4 года назад +1

      Nabarikiw mnooooo nanyimbo zako kaka

    • @eddahjulius1115
      @eddahjulius1115 4 года назад

      @@liliankiondo4457 umeshaupata nikupe

  • @neymafrancis6219
    @neymafrancis6219 3 года назад +15

    Huu wimbo utaishi milele na mikele kama unakubaliana nami piga like za kutosha

  • @highzacknnko4002
    @highzacknnko4002 4 года назад +71

    Ambwene mwasongwe ni msanii mwenye karama ya ajabu sana ,akiimba kidogo tuu anafunika sana...naomba like za kutosha hapo kama unakubaliana na mimi

    • @gervasally6979
      @gervasally6979 3 года назад +1

      Na lazma ue.Na akili kubwa na utulivu wa kiroho ili ueze kuelewa Nyimbo zake.
      Ambwene since day one nakumbuka sana.Nyimbo yake ya Tai huyu jamaa nilimuelewa tangia hapo

    • @medalinauswege7117
      @medalinauswege7117 3 года назад

      Na wimbo lazima ukuguse yaan nyimbo zake ni tiba 👏👏

    • @dansonmapuli2984
      @dansonmapuli2984 Год назад

      Hakuna ambae ameshamfikia Abwene utungaji wake w nyimbo is very amaizing

    • @gracebuyuya4349
      @gracebuyuya4349 Год назад

      Mm mwenyewe nabarikiwa sana kwa nyimbo zake

  • @joskyshams4758
    @joskyshams4758 4 года назад +137

    Kama kuna watu wanapenda mziki wa injili wa Tz ni sisi wakenya. Napendaaasss💃💃💃

    • @samdan4591
      @samdan4591 4 года назад +5

      Wasabato weka like zenu hap

    • @sarahwawuda5164
      @sarahwawuda5164 3 года назад +2

      Hujakosea

    • @joskyshams4758
      @joskyshams4758 3 года назад +1

      @@samdan4591 mziki ni mziki kusema wasabato ndio kusema nini?

    • @lynnfavor6058
      @lynnfavor6058 Год назад

      Josky umepatikana huku🙏🙏💗

    • @FemidaMaila
      @FemidaMaila Месяц назад

      Thank you dear kwa niaba ya tz

  • @mohoniajoseph9067
    @mohoniajoseph9067 4 года назад +263

    Nilichovutiwa nacho zaidi ni kuwa, kumbe Msabato na Mlokole wanaweza kuungana na wakaimba wimbo mmoja na ukapendeza hakika. Huu ndiyo Ukristo, tupinge ubaguzi wa Madhehebu ndani ya Ukristo. Hongereni sana kwa wazo hili.

    • @mariamidrisa1359
      @mariamidrisa1359 4 года назад +33

      Imeandikwa sio dini itakayokupeleka mbinguni bali kuishi maisha yampendezayo Mungu . Zaidi ni Neema yake Bwana.

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 4 года назад +9

      Tunapishana tu siku ya kuabudu na sikukuu za kidini hapo ndipo pana kelele ,maana msabato kashika sheria na mlokole kashika wokovu na siku ya kufufuka Yesu

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 4 года назад +4

      @@mariamidrisa1359 hakika na si siku ya kuabudu

    • @lizzynkifu4179
      @lizzynkifu4179 4 года назад +4

      Wote tu watu wa Mungu

    • @christophermshuza5648
      @christophermshuza5648 4 года назад +15

      "Msalaba" hauna mipaka,ukijua thamani ya msalaba utofauti wa madhehebu si kitu,yesu aliwahi kuulizwa,"mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jinalako,yesu akajibu,"wasio kinyume nanyi mpo pamoja nao.

  • @CatherineSinyinza-qq6cf
    @CatherineSinyinza-qq6cf 11 дней назад +1

    Binandam hana jem mungu awabalik kwa huu wimbo mzur 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Bless638
    @Bless638 10 дней назад +2

    Who is here 2024 october🥰🥰.. From Kenya we are proud of you Tzs🥰🎉

  • @vincentsiangwe9288
    @vincentsiangwe9288 4 года назад +109

    Wimbo mzuri,wenye funzo ,,,na ujumbe Bora ...sijabaki nyuma kurepresent Kenya🇰🇪...barikiwa...

  • @georgeoduor9233
    @georgeoduor9233 Месяц назад +2

    The place that you Zabron use to shoot your songs looks gorgeous keep it up atleast you are showing that our God is not poor mugu awabariki na awape hekima

    • @georgeoduor9233
      @georgeoduor9233 Месяц назад +1

      Mungu awabariki na awape nguvu na hekima

  • @sisdell1779
    @sisdell1779 3 года назад +19

    Who is still here watching, gonga like tuwanenee watu maneno mazuri🥰🥰🥰

  • @ephrahimmasiko9873
    @ephrahimmasiko9873 4 года назад +199

    wap,,,,team ambwene,,,weka like yako

  • @chimbokiswaga8662
    @chimbokiswaga8662 3 года назад +3

    Abwene kaka hayo mashaili yako mungu anakuona kwa kweli yanagusa na yanaponya

  • @goodluckleonard1581
    @goodluckleonard1581 3 года назад +1

    Oh Ambwene unatuliza watu wazimaa

  • @thelightofjerusalem4309
    @thelightofjerusalem4309 2 года назад +3

    Furahini pamoja na wafurahio.. pia lieni pamoja na wwliao .... Kubarini kushuhurishwa na mambo manyonge.. chozi la aliae Kwa mwenye huzuni Lina thamani ... Kuliko cheko la achekae na achekae aijue huzuni. Ya mnyonge humaanisha kuliko achekae na mwenye furaha🙏🙏🙏🙏🙏 Nabarikiwa na fungu hili...

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo Месяц назад +1

    Wimbo mzuri na unaonitia moyo wakati nipo chini, ata Kama mimi ni mtumishi kwa njia ya uimbaji huu wimbo ni sehemu ya maisha yangu. 👏🙏

  • @hadijasalimu5481
    @hadijasalimu5481 4 года назад +17

    🗣Nimerudia huu wimbo Mara 50 nahuu ndio wimbo wangu bora wa mwaka🔥🔥🔥🔥

  • @annastasiamueni6986
    @annastasiamueni6986 Год назад +1

    Congratulations brooo

  • @shedrackdaudi3403
    @shedrackdaudi3403 4 года назад +88

    Mafund wa injil wamekutana ama kwl Mungu ni mwm nawaombea kwa Mungu wafke vwango vya juu zaid amen

  • @josephsamuel1073
    @josephsamuel1073 4 года назад +119

    Huu wimbo ni tiba ya corona, jaribu kuinenea nchi MANENO MAZURI ,,,wagonjwa watabona soon

    • @divadeusi9530
      @divadeusi9530 4 года назад +2

      Fadhili Mtei amen

    • @eddierwega2012
      @eddierwega2012 4 года назад +1

      Amina

    • @saladaniel9274
      @saladaniel9274 4 года назад +1

      Amina

    • @cyrusndungu3909
      @cyrusndungu3909 4 года назад +1

      Kweli tunafaa kumsifu mungu kila wakati pia wakati huu mgumu duniani nzima la janga la corona tumweke mola mbele kwa sababu
      Bibibilia husema ya kwamba naweza fanya kila kitu juu mola ndiye hunipa nguvu.Asnteni sana kwa kusoma ujumbe wangu na mola awabariki nyote.Thanks

    • @cyrusndungu3909
      @cyrusndungu3909 4 года назад +1

      Watasema Kenyans will die due to coronavirus but the last word about Kenya is kenya belongs to God,Rwanda belongs to God, Nigeria belongs to God ,Africa belongs to God.
      Even if you hear somebody saying we shall die tell them no no we belong to God. Be blessed

  • @verokigabo9570
    @verokigabo9570 4 года назад +8

    Miyamba miwili imekutana barikiweni sana watumishi

  • @AudaxBenedictor-vh6nq
    @AudaxBenedictor-vh6nq Год назад

    Wimbo nzr jamn nikiusikiliza nafarijika ndani ya moyo wangu Mungu awabariki watumishi watu bwana

  • @rahabujohn2691
    @rahabujohn2691 4 года назад +2

    Mbinguni hakuna myahudi wala myunani

  • @wambuialice5987
    @wambuialice5987 2 года назад +16

    Nimekuja kumtambua Japheth hivi majuzi, jamani aliye karibu nayeye amwambie Wakenya tunampenda Sana. Afikishiwe salamu zetu. This is what Christianity is all about. Feel loved from Kenya. I really love your music, voice and everything. You are blessed beyond measure.

    • @wambanisheilah8199
      @wambanisheilah8199 Год назад

      Much love the songs really bless me it of alow tone good to understand and easy to know the message

  • @officialsuzzy9540
    @officialsuzzy9540 4 года назад +19

    Muliyahesabu makosa ya mtu, ehh Mungu nipenguvu 😭😭😭😭 kiukweli wimbo huu unazungumuziya Maisha yangu yaaani hakuna tofauti😭😭, Mungu uwe nani siku zote😢😢. Asante kwa wimbo muzuri wimbo wakutiya nguvu. Mungu wangu akuinuwe zaidi🥰🥰🥰🥰

  • @nivaandulile
    @nivaandulile Год назад

    yaan dah nazikubali sana nyimbo zenu hongera kwa kazi ya bwana

  • @monicacosmas6313
    @monicacosmas6313 4 года назад +40

    Hakika wimbo unaujumbe mzuri mbarikiwe mwende mbali ila msipotee yani nimeona wimbo umekuwa mfupi cjui Kwa sababu ni mzuri sana

  • @magrethchande-hm7xz
    @magrethchande-hm7xz Год назад

    Mungu akutunze nyimbo zakozina upako Sanaa adi raha

  • @namsifucalleb6239
    @namsifucalleb6239 4 года назад +7

    Hivi mziki huwa una nini jaman??, kuna saa unahamia mahali kwa muda kama vile sio duniani, unahisi aman hata kama uko katikati ya magumu, kuna saa unasikia kasauti kazuri kanashusha mizigo mizito moyoni aaaaah na hiyi melod na bit composer imegusa sana moyo wangu. Mbarikiwe sana na Mungu. Nyimbo zenye ujumbe wa hv ni chache sana siku hizi. Mungu azidi kuwatumia. Glory to God.

  • @justusmyelloofficial2773
    @justusmyelloofficial2773 3 года назад +2

    Ndivyo walivyo watu. Asante kwa wimbo wenye maadili

  • @NeemaSamwel-q6t
    @NeemaSamwel-q6t 19 дней назад

    Japhet uchoje na maneno mtumikie mungu yy ndo fungo yetu nyimbo zako zinanipa matumaini na walla usiumie na Mambo ya wanadamu maana mungu anajuwa unachofanya mpendwa wa mungu atubaliki unachobkifanya

  • @japhetmalambi4525
    @japhetmalambi4525 4 года назад +6

    Nimependa wimbo nimebarikiwa MUNGU awe nanyi hadi ukamirifu wa dahari

  • @apolnarychristopher7573
    @apolnarychristopher7573 4 месяца назад +2

    Huu wimbo unanitoa machozi maana ujumbe ninaoupata ndani yake upo katika maisha yangu.

  • @heavenlyprincess1122
    @heavenlyprincess1122 4 года назад +18

    Wimbo huu una upako zaidi,MUNGU awatumie zaidi na zaidi kwa ajili ya utukufu wake🇰🇪🇰🇪

  • @AmosObanda23Thursday16Nov8am
    @AmosObanda23Thursday16Nov8am 5 месяцев назад +1

    The very best song among the best with deep meaning which need Holy Spirit interpretation.
    I came to understand yesterday 12.5.24 that the words Abwene sang are in Romans 12 the last verses.
    That's always my joy when we sing scripture based song,it carries a big revelation.
    Songs Helps in understanding the Bible more.
    More love from 🇰🇪🇰🇪God bless you and continue worshipping Him in truth and Spirit. Amen

  • @elizabethpaschal8218
    @elizabethpaschal8218 4 года назад +8

    Nimebarikiwa sana kwa wimbo, nimebarikjwa zaidi kuwaona role models wangu wakiwa wamefanya collaboration...Hakika najifunza

  • @neymafrancis6219
    @neymafrancis6219 3 года назад +6

    Huu wimbo nausikiliza kwa siku hata mara 10 the best song ever👋🤲💘💘

  • @AnnaRhobi
    @AnnaRhobi 4 дня назад

    Mungu awalinde nakuwatunza watumishi wake

  • @gladymoshi6738
    @gladymoshi6738 3 года назад +3

    Huu wimbo mmeniinbiaa mm kabisaa Mungu awabariki sana jaman

  • @gabrielndungu9122
    @gabrielndungu9122 Год назад

    Mungu wa mbiguni awabariki nawapenda sana 🙏

  • @judithphiliptvKenya
    @judithphiliptvKenya 4 года назад +1

    Good one japheth napenda kipawa chako

  • @jeannettekeza6434
    @jeannettekeza6434 3 года назад +3

    Ambwene wewe napendaga kukufwata wakati nikiwa na njaa kwa sababu nikisha shiba nyimbo zako sizielewagi ! Wewe ni jembe mungu akuzidishie Asante 100 💯

  • @AlphaDaimon
    @AlphaDaimon Месяц назад

    Sauti za dhahabu,,
    Huu ndio Ukristo, tukatae kutengwa na madhehebu

  • @danielmlanda2546
    @danielmlanda2546 4 года назад +46

    Wimbo bora wa mwaka🕺🏽 pongezi kwako bro Japheti Zabron

    • @evelenev2877
      @evelenev2877 4 года назад +1

      Nice song yanibariki kweli nipo Gulf

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 года назад +8

    Walobarikiwa na huu wimbo na Upendo wa colabu wanipe like 31/5/2020

  • @rejinakobali3464
    @rejinakobali3464 4 года назад +2

    Mungu awaongoze mfike mbali ila msipotee, ukristo hunia mamoja

  • @bettymtaki7038
    @bettymtaki7038 4 года назад +3

    Nimebarikiwa sana na nyimbo hii MUNGU awatunze nyote Japhet na Ambwene

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 4 года назад +3

    Mtunzi Mungu akuzidishie miaka yenye kheri na hekima, maneno ya wimbo huu ni mazito, na machungu yanauma sana wanadam tumekuwa wakulaum na kusemana vibaya hasa kwa madhaif hakuna faraja ukiwa hai,mtunzi nataman sku moja nkushike mkono tu ili nifurahi na kufarijika kwa ujumbe huu🙏🙏

  • @PatriceDakho
    @PatriceDakho 14 дней назад

    Sote baba yetu mmoja haina haja kutengana🇹🇿🙏

  • @JumaSatarajr
    @JumaSatarajr 7 месяцев назад +1

    Mumekata kusimuriya mema ya ngu mimi japo mwayajuwa Mumenyamanza Natamani sikumoja Nikuone live tupeane mikono🤝⌚🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ikupamwaisoba4118
    @ikupamwaisoba4118 4 года назад +7

    Niseme namshukuru Mungu kwa ajili ya vijana wawili hawa wanyenyekevu wimbo huu na uwe manukato mbele za Bwana

  • @esterkyando1765
    @esterkyando1765 3 года назад +1

    Asantee Kwa wimbo mzuri mmenibarisana Japheth na Ambwene Asantee kwakutukuza ki lmani maana nimejikuta nimekuwa jasiri zaidi Kwa ajili ya Mungu

  • @elizasule4944
    @elizasule4944 4 года назад +15

    Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwapandisha viwango vyake, nawapenda sana Hawa watu maneno mazur na wimbo umetuliaaa, umeimbika vizur sana sauti pamoja Melody iko safi sana. Mungu aeendelee kuwabariki muendelee kumuimbia.

  • @BsjbGzioz
    @BsjbGzioz Месяц назад +1

    Nitatoa mwanaume kama huyu japhet wapi mwenye atanisongeza karibu na neema ya Mungu zaidi sio wa kunitoa??ee mungu sikia ombi langu@japhet zabron

  • @faithchepkirui122
    @faithchepkirui122 Месяц назад

    Anyone watching today,I love Zabron singers.Talented family/friends.God bless them for me.Lots of love to you’ll❤❤❤

  • @ngassajuliusmussachallya
    @ngassajuliusmussachallya 4 года назад +14

    From Khon kaen- Thailand nimemtafakari sana Mungu kupitia ujumbe wa wimbo huu kwa machozi. Yesu awabariki sana

  • @sheboenock7677
    @sheboenock7677 4 года назад +2

    Natamani huo mwimbo ungekuwa hata na Dak 10hivi mana unagusa moyo balaa ,,, dah! Sifa za mtu nzuri hunenwa wakati akifa "" Hongera Japhet Zabron

  • @isayajohn-u9l
    @isayajohn-u9l Год назад +1

    Moja ya nyimbo za injili zinazowaleta watu kwa
    Bwana.utukufu apewe
    Bwana wetu
    Yesu
    Kristo amina

  • @ceciliamndeme7441
    @ceciliamndeme7441 4 года назад +2

    Kwakweli huu wimbo ni mzuri una ujumbe mzuri Sana Mungu awabariki Sana watumishi na endeleeni na unyenyekevu huohuo hakika Roho mtakatifu atukuzwe Sana

  • @lightnesspaul8950
    @lightnesspaul8950 3 года назад +1

    Nyimbo ninayoisikiliza bila kuichoka.nimeiangalia bila kuhesabu ni Mara ngapi,naona mpya kila siku😘😘👌👌😍

  • @graveengrave2936
    @graveengrave2936 4 года назад +1

    Hiii kweri tibaa ya corona Barikiwa saaaaana watumishi

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 4 года назад +75

    Mungu akubariki kwa wimbo huu umenitia moyo sana.

  • @kleinmnibi132
    @kleinmnibi132 4 года назад +21

    Muwanenee watu wenu maneno mazuri.... woow... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @RizikiMpallateongoogle
    @RizikiMpallateongoogle 4 года назад +37

    A good song indeed, what an emotional melody. Pass my Congratulations to the beat composer.

  • @davidonlinetv1989
    @davidonlinetv1989 4 года назад +14

    Kaka hongera sana, huu nikiusikiliza najifunza kitu, na ni wimbo wa kufikirika, Big up bro

  • @NancyAdhaimbo
    @NancyAdhaimbo 12 дней назад

    Amen mungu azidi kuiinua sauti yako wengi wakibarikiwa kaka

  • @DorisMudeizi-z3n
    @DorisMudeizi-z3n Месяц назад

    Chozi la aliaye kwa mwenye huzuni lina thamani. God bless these words. Wisdom.

  • @jesuschristtvworldwideM1000
    @jesuschristtvworldwideM1000 3 года назад +2

    Wimbo huu hakika Utaishi siku zote hakika hakika Bwana Ametenda Nanyi Wana WA Mungu Mkuu Mwenye Enzi Zote Kwa Damu Ya Masii Kristo Mfalme Yesu WA Uweza Na Uzima

  • @derickkulwa8595
    @derickkulwa8595 4 года назад +2

    Hakika wimbo unaujumbe mzuri sana mwenyezi mungu hawabariki kwa vipawa vyenu vizidi kusonga mbele hadi mwisho wa maisha yenu

  • @alicemwakaselo2431
    @alicemwakaselo2431 4 года назад +1

    Nyimbo nzuri nimebalikiwa sana

  • @zuberimtemba2104
    @zuberimtemba2104 4 года назад +1

    Mbarikiwe na Mungu wa tumishi wa Bwana

  • @hadijamlokakuzenza2146
    @hadijamlokakuzenza2146 2 года назад +3

    Nabarikiwa nikiwa Oman Asante wapendwa kwa ujumbe

  • @merinachikondo2053
    @merinachikondo2053 4 года назад +1

    Mungu awabariki muendelee kuwaponya watu

  • @manasemoses6922
    @manasemoses6922 3 года назад +2

    Maneno ni baraka tujitahidi kuzichunga ndimi zetu
    Mungu awabariki kwa ujumbe huu

  • @robertlusweti2423
    @robertlusweti2423 4 года назад +2

    Hongera kwa hekima ya kuungana na kuimba wimbo huu unao ujumbe wa Yesu Christo mkombozi wa watu wa tabaka mbalimbali. Mungu akusidizie hekima.

  • @seleman-MW
    @seleman-MW 4 года назад +17

    I show love💕 from rwanda 🇷🇼

  • @PamelaMillimoOfficial
    @PamelaMillimoOfficial 3 месяца назад

    Mtumishi Umebarikiwa.. natumai Siku moja nitatumikia Mungu pamoja nawewe..

  • @DaizyJeptoo-y2g
    @DaizyJeptoo-y2g 12 дней назад

    Naupenda sana nyimbo zako Japheth

  • @jeannettekeza6434
    @jeannettekeza6434 3 года назад +2

    Heee ama kweli huu wimbo nimeisha usikiliza zaidi ya mara 10 hadi nime amuwa kuacha andiko
    ! Mmhhh kwakweli dunia watu wapo tayari kupoteza uhai wa mtu ili nafsi zenu zi furai eeh yesu tu sameh 😌😟😟😟😟

  • @daviesmwashigadi6642
    @daviesmwashigadi6642 4 года назад +26

    Romans 12:18 "As long as it depends on you live peaceably with all men" in every situation you're in strive to choose peace and kindness irregardless of what has been done to you or what you feel

  • @veronicaeliya8291
    @veronicaeliya8291 4 года назад +3

    mkubali kushughulishwa na mambo manyonge,,,,wimbo mzur sana mbalikiwe sana

  • @TheMofierce
    @TheMofierce 4 года назад +6

    0:40 Vile Bass guitar imeingia plus harmony on the vocals 🔥🔥🔥

  • @raymondmnyenyelwa9012
    @raymondmnyenyelwa9012 4 года назад +3

    Kabura hata sijasikiriza hi nyimbo nimejikita ninaamani gafla mbarikiwe watumishi wamungu

  • @wemapanga2108
    @wemapanga2108 4 года назад +8

    That lyrics i met my self in heaven already playing with Angels, dancing wow so amazing, unfortunate I realise am still on Earth having stay home challenge, gooosh even this will be over in Jesus name, thnx you made my day.

  • @amosmalaba5
    @amosmalaba5 4 года назад +2

    Hakika ni vyema kusema mazuri ya mtu angali hai kuliko kusubiri aondoke duniani.

  • @PascalinaHitghe
    @PascalinaHitghe Месяц назад

    Mungu awape viwango zaidi na zaidi

  • @reinfridajohnakangumisa9752
    @reinfridajohnakangumisa9752 Месяц назад

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu. Zinaniweka karibu na Mungu

  • @GeorgeMsonge
    @GeorgeMsonge 4 года назад +5

    Zabron Singers ni kwaya Nzuri sana!!!!!!!!!! Hongera sana kwa kipaji mlichonacho cha kumtukuza Muumba wetu!

  • @sarahnjeri6863
    @sarahnjeri6863 4 года назад +26

    NICE song's blessing listening to you guys here in Kenya

  • @johntunzo8178
    @johntunzo8178 4 года назад +2

    Jamani kristo azidi kuwabariki watumishi. Wa krsto asanteni sana

  • @rosedaniel1981
    @rosedaniel1981 4 года назад +2

    Kwaupako uleoko ndan ya huu wimbo nimeuona wimbo umeisha haraka..mbarikiwe daima

  • @sarahfisoo5689
    @sarahfisoo5689 3 года назад

    I love Japheth you are all song God bless u everyday I don't know siwezi kaa bilaa kusikiliza nyimbo zako🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @anethbuhung7544
    @anethbuhung7544 4 года назад +2

    Mbalikiwe saana jaman wimbo mzuri sana Mungu awatie nguvu mzidi kuitangaza injiri

  • @chrismcks
    @chrismcks 4 года назад +2

    Wimbo huu ni mubaraka saba kwangu, siwezichoka kuisikiliza,,,,Mungu akujalie kwenye utunzi huu

  • @YadadDeus
    @YadadDeus 3 месяца назад

    Nyimbo zako zina i jenga imani yangu sana mno. Mbarikiwe na Bwana. Nawapenda sana toka Goma, DRC 🇨🇩 ❤

  • @victorandrew7755
    @victorandrew7755 4 года назад +15

    This song ni tiba ina maneno adimu yanayoponya ikizingatiwa, nimebarikiwa, Mungu azidi kukubariki😍😍

  • @martinamayala4865
    @martinamayala4865 4 года назад +4

    Nyimbo inanimalizia Mb hii jamani

  • @chrissjoshua4877
    @chrissjoshua4877 4 года назад +2

    niliachaga kuangalia na kusikiliza gospel hapa kwa hii nimerudi tena kwa kundi

  • @RahelKangagha
    @RahelKangagha 5 месяцев назад

    Mwimbo huu utaishi na tutaendelea kupona kupitia wimbo huu, barikiwa kaka ambwene na japhet

  • @DoctorEvarist
    @DoctorEvarist Год назад +1

    Wimbo wangu pendwa
    Mubarikiwe watumishi wa Mungu🙏🙏

  • @johnkabambala6995
    @johnkabambala6995 3 года назад +1

    Huu wimbo unastahili kubeba tuzo.
    MUNGU akukumbuke kama unavyo mtumikia kwa njia ya nyimbo "ZENYE MATUMAINI" hongera sana.