Kama kuna viumbe visivyokuwa na aibu ni hawa Viongozi wa Simba, embu waisikie Sauti ya wanasimba waondoke tu kwani hawakuwa na kazi zao, Ni upuuzi kuendelea kukaa na hawa mbulula 🎉🎉
Simba ubovu unaanzia kwa mashabiki na wanachama ndiomaana hata viongozi wanajuwa wanaongoza maiti sababu kunamashabiki tunajielewa ndio kama hivo gb64 ila kunawengine hawajitambui ukisema kuhusu viongozi wao wanakupiga vita sasa siupumbavu huwo
@@SimbaNaali-fw3zz aujalewa ninapokuambia hawajitambui sababu hawajui jinsigani ya kufikisha ujumbe pia wanachama hawajui hakiyao kikatiba ubovu unaouona kwaviongozi umeanzia kwenye matawi viongozi wote wa matawi wanashindwa kujua nini chakufanya wanachama wa matawi pia hawajui chakufanya ukija kwa mashabiki awajui jinsigani ya kufikisha ujumbe unajuwa kulalamika kwenye media wala siodawa ndiomaana kiselekali kunakitu kinaitwa maandamano kwenye mpila kunakitu kinaitwa kususia mchezo mashabiki wa simba wangejitambua wangesusia baadhi ya mechi tena mechi kubwa na kwakuamasishana wote wasiende viwanjani ujumbe ungewafikia ila mashabiki wa simba hovyo kabisa awajui wafanye nini ww ukisema tugomee mchezo linatokeakundi linakuambia tunapaswa twende unaona apo wanajitambua? kwa wanachama walipaswa waanze kusafisha matawi yao kuwaondoa viongozi waliowaweka sababu wamekuwa machawa wa viongozi ili waweke watu wengine hao wengine wakutane wawe na jibu moja wakuandika barua kwenda pale simba pale itapokelewa og wataacha pale copy watarudi nayo barua yakuitaji mwenyekiti aitishe kikao cha dharula wafanye hivo mara ya kwanza kama mwenyekiti akikaa kimya wafanye mara ya pili akikaa kimya wafanye mara ya tatu akikaa kimya waende kisutu kufunga kesi mwenyekiti ataandikiwa samansi ataitwa pale watabishana kihoja viongozi wa matawi wakishinda mahakama itamuamuru mwenye kiti kuitisha mkutano wa dharula akishaitisha kwa agizo la mahakama hapo wanachama ndio watakapomvua uongozi nadhani nimekusaidia hapo na nimekutoa matongotongo
@@SimbaNaali-fw3zz mashabiki wenyewe ndio kama ww ulivokuwa pimbi hujui hata jinsi yakufanya ili kuinusuru timu alafu utarajie makubwa kwenye timu pumbavu kabisa
Jeshi la mtu mmoja GB 64 nakubal kwel haupend unafiki ndo maana badhi ya matu wanakuchukia. Ipo hiv Managing na shoga ake. Waondke atiachie Simba sc ikibidi Kama shilia inaruhusu. Wanywongwe. Kwa kuishusha Timu ye2 Sis tunatumia wenyew wanapiga hela tu wanapga hela waongeze wakina pa omer jobe wa3. Kwel. hatukubal msimu huu By MKurya boy u💪💪💪
Jamani wana simba uyuu mtuu ana uchungu na simba yetuu uyuuu ana faa kuwa kiongozi ndani ya simba tuna itaji mtu sahihi jamani uyuu jamaa tumuangalie kwa jicho la pili
GB kiongozi wa.mpira lazima awe mpirani mudawote.hawezikukosa mpirani kwasababu kiongozi wa.mpira ni shabiki mkubwa wa.mpira.ukiona hivyo hao hawapendi Tim ni washenzi
tanzania saiv global hiz zinaharibu sana mpira coz wao saiv wanaamua kuhoji kila mtu hata asiekua na taaluma ya mpira na wengne wanaugonv wao t na viongoz bc wanarpoka wanavyotaka uhuru wa kujieleza umepitiliza unaharibu kila kitu
Unaongea ukweli tupu anayebisha ajibu. Mr GB 64 na Dr Mohamed kwa comments zenu pengine zinaweza zikaiokoa Simba Sc. Hawa viongozi wa Simba Sc wamemtimua Barbara ili wapige pesa. Lakini kila kitu kina mwisho, sheria itafuata mkondo wake tu.
Sawa hawa walio ifanya vizur hawapo huwo mpito tu msifulunge kwenye midia itisheni vikao mjadili mnaongea sana shauli viongozi wanalalamika wanachama mnalalamika na wakushauriana
waondoke bwana hawa si viongozi..na shauri yao ukiongoza hizi team za kariakoo CV yako ya maisha inaweza ikafa au ikainuka,sasa za hawa kina Try again na wenzie inazama
hahahaaaa...!LEO GB 64 eti anasema ukwel yaan mtu anapiga kelele mbaka anatiwa ndani jaman HII NCHI NIWAPI TUNAELEKEA JAMAN....? TATIZO LIPO KWA WATANZANIA WENYEWE ..... TUTACHELEWA SANA KUTOBOA HAHAHAHA...!
Ña wewe usituongopee huyo Mkude hamna kitu alipikuwa Simba hakabi na alikuwa anatumika kuihujumu simba ndiyo maana alupoachwa yanga wakamchukua kulipa fadhila
Mkude kacheza dakik 180 bila kuruhusu goli vs mamelod na ndo alilinda beki line ya yanga yote haya huyu ngoma na alahaly ikawaje anasema ukweli tumemwacha mkude tukamchukua ngoma halafu ikawaje Kuna shida kule viongoz ukweli usemwe hatuna namba sita kariba ya mkude lkn unamwacha tuuu bure ujinga huo mamelod haikupata goli mbele ya yanga inonga anajiumiza hakutaka kucheza uongoz uongo uongo mwingi sn wanaahid kitu kwa wachezaji hawawatekelezei kwa NN wasichukie
Kama kuna viumbe visivyokuwa na aibu ni hawa Viongozi wa Simba, embu waisikie Sauti ya wanasimba waondoke tu kwani hawakuwa na kazi zao, Ni upuuzi kuendelea kukaa na hawa mbulula 🎉🎉
Kama kuna viumbe visivyokuwa na aibu ni hawa Viongozi wa Simba, embu waisikie Sauti ya wanasimba waondoke tu kwani hawakuwa na kazi zao, Ni upuuzi kuendelea kukaa na hawa mbulula 🎉🎉
Gb upo sahihi kabisa
Gb 64 uko sahihi viongoz wasimba wanatudharai sana mashabik
Tunawachekea ety watu wakupiga mawe t wale sis tunaogea kwa midomo t wapumbavu
Gb kaka yangu Simba ndiyo by by hatuna team kabisa ya ushindani daah Simba ya kishingo haipo Tena Wala Simba ya uchebe kwishinehi daah inauma sana
GB ukopoa sana tatizo lipo kwa viongoc sio wachezaji
Gb kwakwer tunaumia Simba inapotea
Kama kuna viumbe visivyokuwa na aibu ni hawa Viongozi wa Simba, embu waisikie Sauti ya wanasimba waondoke tu kwani hawakuwa na kazi zao,
Ni upuuzi kuendelea kukaa na hawa mbulula 🎉🎉
Simba ubovu unaanzia kwa mashabiki na wanachama ndiomaana hata viongozi wanajuwa wanaongoza maiti sababu kunamashabiki tunajielewa ndio kama hivo gb64 ila kunawengine hawajitambui ukisema kuhusu viongozi wao wanakupiga vita sasa siupumbavu huwo
Washabiki ndo wanacheza washabiki ndo wanasajili washabiki ndo viongoz acha umatako we pimbi
@@SimbaNaali-fw3zz aujalewa ninapokuambia hawajitambui sababu hawajui jinsigani ya kufikisha ujumbe pia wanachama hawajui hakiyao kikatiba ubovu unaouona kwaviongozi umeanzia kwenye matawi viongozi wote wa matawi wanashindwa kujua nini chakufanya wanachama wa matawi pia hawajui chakufanya ukija kwa mashabiki awajui jinsigani ya kufikisha ujumbe unajuwa kulalamika kwenye media wala siodawa ndiomaana kiselekali kunakitu kinaitwa maandamano kwenye mpila kunakitu kinaitwa kususia mchezo mashabiki wa simba wangejitambua wangesusia baadhi ya mechi tena mechi kubwa na kwakuamasishana wote wasiende viwanjani ujumbe ungewafikia ila mashabiki wa simba hovyo kabisa awajui wafanye nini ww ukisema tugomee mchezo linatokeakundi linakuambia tunapaswa twende unaona apo wanajitambua? kwa wanachama walipaswa waanze kusafisha matawi yao kuwaondoa viongozi waliowaweka sababu wamekuwa machawa wa viongozi ili waweke watu wengine hao wengine wakutane wawe na jibu moja wakuandika barua kwenda pale simba pale itapokelewa og wataacha pale copy watarudi nayo barua yakuitaji mwenyekiti aitishe kikao cha dharula wafanye hivo mara ya kwanza kama mwenyekiti akikaa kimya wafanye mara ya pili akikaa kimya wafanye mara ya tatu akikaa kimya waende kisutu kufunga kesi mwenyekiti ataandikiwa samansi ataitwa pale watabishana kihoja viongozi wa matawi wakishinda mahakama itamuamuru mwenye kiti kuitisha mkutano wa dharula akishaitisha kwa agizo la mahakama hapo wanachama ndio watakapomvua uongozi nadhani nimekusaidia hapo na nimekutoa matongotongo
@@SimbaNaali-fw3zz mashabiki wenyewe ndio kama ww ulivokuwa pimbi hujui hata jinsi yakufanya ili kuinusuru timu alafu utarajie makubwa kwenye timu pumbavu kabisa
na wewe ni bwege nenda kwa mangungu
Jamani na we Gb64 husiongee kingereza unaongea ma broken mno,'where do you from with this team?' Unawapa wa kenya nafasi yakutucheka bwana aaaah!
😂😂
Mwamba kwel kwel❤❤
❤❤ni kweli ila sasa wachumia tumbo wamekaa tu happ yaan hawatak kujua .Aisee Aibu,Aibu, Aibu, ila. Hawa vionqoz Munqu anawaona
Jeshi la mtu mmoja GB 64 nakubal kwel haupend unafiki ndo maana badhi ya matu wanakuchukia. Ipo hiv Managing na shoga ake. Waondke atiachie Simba sc ikibidi Kama shilia inaruhusu. Wanywongwe. Kwa kuishusha Timu ye2 Sis tunatumia wenyew wanapiga hela tu wanapga hela waongeze wakina pa omer jobe wa3. Kwel. hatukubal msimu huu By MKurya boy u💪💪💪
Jamani wana simba uyuu mtuu ana uchungu na simba yetuu uyuuu ana faa kuwa kiongozi ndani ya simba tuna itaji mtu sahihi jamani uyuu jamaa tumuangalie kwa jicho la pili
GB kiongozi wa.mpira lazima awe mpirani mudawote.hawezikukosa mpirani kwasababu kiongozi wa.mpira ni shabiki mkubwa wa.mpira.ukiona hivyo hao hawapendi Tim ni washenzi
tanzania saiv global hiz zinaharibu sana mpira coz wao saiv wanaamua kuhoji kila mtu hata asiekua na taaluma ya mpira na wengne wanaugonv wao t na viongoz bc wanarpoka wanavyotaka uhuru wa kujieleza umepitiliza unaharibu kila kitu
We ndio fala kweli, achana na mpira, kwa hiyo yanayofanyika Simba alaumiwe nani, jinga kweli wewe
Uko sahihi GB
Unaongea ukweli tupu anayebisha ajibu.
Mr GB 64 na Dr Mohamed kwa comments zenu pengine zinaweza zikaiokoa Simba Sc.
Hawa viongozi wa Simba Sc wamemtimua Barbara ili wapige pesa.
Lakini kila kitu kina mwisho, sheria itafuata mkondo wake tu.
Sio kujitathimini waondoke tu manina zao
Simba mamivi
Nakukubali GB uongozi sio
Upo sahihi kaka Gb 64,kimsingi viongozi hatuna ,ni wababaishaji tu waondoke wapishe watu wenye ueledi na uchungu na timu
Hy jamaa ana kitu aisee simba wangekuwa fare angepewa nafas frani hapo simba lla kwakuwa wakweli hawatakiwi wanampuuza tu uwongozi mbovu mamae waende
Ila viongozi wa Simba majeuri ht kuita press kuongea na Wana Simba..wapo kimyaa😢
Ndio kujifunza mwanzo mgumu,,, rudi nyuma ulizaliwa na kujua kuongea😅😅😅😅😅😅
Mangungu aondoke
Sawa hawa walio ifanya vizur hawapo huwo mpito tu msifulunge kwenye midia itisheni vikao mjadili mnaongea sana shauli viongozi wanalalamika wanachama mnalalamika na wakushauriana
waondoke bwana hawa si viongozi..na shauri yao ukiongoza hizi team za kariakoo CV yako ya maisha inaweza ikafa au ikainuka,sasa za hawa kina Try again na wenzie inazama
Nilikujubali toka siku yakwanza naanza kukuikiliza uko sawa sana Gb 64
Apo nimekubali umesema kweli gb viongozi wa simba wabovu
GB 64 tuombe mkutano wanachama wote na viongozi hiki ndio kitu muhimu
Hawezi kufanya hivyo fala huyu
Et ad leo nawasiliana na Robertinho, analaani mmeniharibia maisha 😂😂🙌
hahahaaaa...!LEO GB 64 eti anasema ukwel yaan mtu anapiga kelele mbaka anatiwa ndani jaman HII NCHI NIWAPI TUNAELEKEA JAMAN....? TATIZO LIPO KWA WATANZANIA WENYEWE ..... TUTACHELEWA SANA KUTOBOA HAHAHAHA...!
Kwa ufupi tu viongozi wa simba sio watu wa football wapo pale kwa sababu ya njaa lakin sio watu football
Kweli bro kiukweli duuuh kweli aiseee
uongozi wajitasmini tumewachoka
Uongozi mbovu kaka umeongea point rekebisheni uongozi
Sio wajitasmini wajiudhulu kujitaxmini wajitasmini misimu mi3 yote?
Daaah
Nawewe ni mbovu vilevile unaweza kuingia nusu ya Champion na Ocra namkude kama sio ubovu ulio nao.
Engineer ni mtumishi wa GSM Tofauti na Try Again Acha kubwabwaja
Haki ya mungu ameongea mpaka machozi yananitoka ivi simba hii ya mangunguu😅😅
Wachumia tumbo hakuna mwenye kupenda mpira kwenye uongozi wa Simba SC wamefuata maokoto tu
Waondoke wanatuzingua tu akuna kuwabembeleza wezi tu
Mangungu ondoka
Ukweli unauma sn bro umeongea ukweli unauma balaaa
Viongozi wameetuangusha wakitathamini wasirejee makosa
Me ninachoon mashabiki 2skilizwe ndo2naoumiy ss sio wengine
Viongozi..nimamiuki..wa..yangu...
Sema baba
Angalia GG64 sasa hivi watakupeleka segerea
10% mzee,,,,
Fikiria...mkude.....okra...firi..
Asee ata wakuchukiy nawakuchukiy 2 ila huo ndoukweli
MM NAKUELEWA GB ILA KUNA MISHABIKI YASIMBA MIPUMBAVU INATETEA UJINGA UTALIKUTA JITU LINAKWAMBIA MBONA SISI TULIKAA MYAKA MINNE4 PUMBAVU KABISA HUNAKIRI WEWE WALE WALIKAA MYAKA 4 WALIKUA HAWANA MZAMINI KWASASAIVI KILA MTU YUKO VIZURI MASWALA YA MYAKA 4 TENA HAYAPO KILOCHO BAKI NIMAPAMBANOTU SASA TUNAONA TIMU YETU HAIPAMBANI VIONGOZI HAWAPAMBANI HARAFU MKIAMBIWA OOOOOOO MBONA WAO WAMEKAAA MYAKA 4 UNAE SEMA HIVYO HUNA AKIRI NIMPUMBAVU UFIKIRI WAKO NIMDOGO SANA MYAKA 3 YOTE UTUMBO MTUPU HARAFU UNASIMAMA UNATETEA UJINGA MWEHU WEWE BAADA WANASIMBA WOTE TUUNGANE TUWAMBIE VIONGOZI HUU MWENENDO WATIMU YATU HATUTAKI HATUKUBALIANI NAO
Jamani huyu GB ananiumiza maneno yake ananikubusha simba yangu hivi niaibu gani hii hawa viongozi hawajitathiini kwa maneno haya?
Kwaiyo tumrudishe mkude ili tusifungwe miaka 13 Bado unamtaka mkude
Sasa si muwafukuze kila siku ni kulalamika tu, wafukuzeni au kama mumewauzia timu nyamazeni.
mpaka muwekezaji mbona mnaficha mo uichie timu nambwa wke wote siowatu wa soka
NA WW TUTAFUTIE CLIP AMBAYO MESSI KAUMIA ANAPIGA MAZOEZI
Hao wazee wote na kinamangungu wao waondoke ndo tutachukua ubingwa tz
Ña wewe usituongopee huyo Mkude hamna kitu alipikuwa Simba hakabi na alikuwa anatumika kuihujumu simba ndiyo maana alupoachwa yanga wakamchukua kulipa fadhila
Viongozi wanazingua ahsee
Wabovu wote ocra na Mkude.
Gb bado hujakoma tutakueka ndan ww
Huyu fala anatafuta kujulikana kwa vihistoria vyake vya kukariri na kuwaingelea viongozi, timu zote duniani hazina permanent form, mwehu tu
Kuna. Wewe. Usimtukane. GB. Tutakuja. Nikuloge mjinga wewe
@@MashakaMaduhu wewe na huyo shoga mwenzio mnakazwa, na mangungu haondoki kumaniner zenu
Waondoke tuu wanetuangusha pakubwa
Akina mchome mpo wengi
Mapacha watatu waondoke.
SASA WW NAWE UNAKUWA CHIZI UNAMFAIDISHA NANI
Acha unazi mkunde amecheza gemu ngapi acha maeneno
Mkude kacheza dakik 180 bila kuruhusu goli vs mamelod na ndo alilinda beki line ya yanga yote haya huyu ngoma na alahaly ikawaje anasema ukweli tumemwacha mkude tukamchukua ngoma halafu ikawaje Kuna shida kule viongoz ukweli usemwe hatuna namba sita kariba ya mkude lkn unamwacha tuuu bure ujinga huo mamelod haikupata goli mbele ya yanga inonga anajiumiza hakutaka kucheza uongoz uongo uongo mwingi sn wanaahid kitu kwa wachezaji hawawatekelezei kwa NN wasichukie
No rai to spiki😅😅😅jibi mia
Try again ndo alilazimisha acheze manula wajinga kweli try again ni mtu wa ovyo kweli
Kama kuna viumbe visivyokuwa na aibu ni hawa Viongozi wa Simba, embu waisikie Sauti ya wanasimba waondoke tu kwani hawakuwa na kazi zao,
Ni upuuzi kuendelea kukaa na hawa mbulula 🎉🎉
Kama kuna viumbe visivyokuwa na aibu ni hawa Viongozi wa Simba, embu waisikie Sauti ya wanasimba waondoke tu kwani hawakuwa na kazi zao,
Ni upuuzi kuendelea kukaa na hawa mbulula 🎉🎉