MJUE KIONGOZI WA UPINZANI NCHINI SENEGAL ANAYEIKOSESHA USINGIZI SERIKALI YA RAIS MACKY SALL
HTML-код
- Опубликовано: 15 авг 2023
- Ousmane Sonko, kiongozi mkuu wa upinzani nchini Senegal, ameshtakiwa kwa makosa mbalimbali, na chama chake kuvunjwa. Wafuasi wake wanaamini mashtaka yote dhidi yake yana msukumo wa kisiasa - kumzuia asigombee katika uchaguzi wa mwaka ujao, jambo ambalo mamlaka imekanusha.
Ndii wazirii mkuu kwa sasa
Natamani kuwa kama osumani sonko