Tuko kwa Ngoma Light house 12 August 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 20

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 29 дней назад +2

    Allaah Awaswameeeh wazazii maasuuliyaaa kwenu na muna hesabu zenu kwa mwenyezimngu Abu shureim Awatakiya memaa na kuwazuuliyaa watoto wenu majumbanii mupatee kizazi kizuri nawoo waenelee na choo ..

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 29 дней назад +2

    Subhana llah wallah yasikitisha sana mtoto aje huku usiku akiwa na miaka 15 hupita wkti Wallah mungu atuongoze sisi na vizzi vyetu vyote

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 27 дней назад

    Poleni sana 😢😢😢😢umefaya kuwaonesha 🎉🎉🎉 wa ysone hayo ya usiku siwapawa pamiti yakufaya😂😂😂😂😂

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y 29 дней назад +4

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY BROTHER FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY DUA MY ALLAH PROCTER OUR ISLAM ☪️ CHILDREN AND BOYS WITH BAD THINGS 😢😢😢😢😢😢😢😢 WE WANT TO PRAY FOR THEM AMEEN SUMA AMEEN 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @saadali838
    @saadali838 29 дней назад +2

    Wazazi wenyewe wako kwenye gati na mongokaa,what do we expect.

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 28 дней назад +1

    Viongozi wwnyewe wanaleta wasanii,

  • @mohammedali1645
    @mohammedali1645 27 дней назад

    Ustadh wala tajassasu wavuka mipaka.

    • @musakibwana4596
      @musakibwana4596 27 дней назад

      hili jambo liko hadharani hajachungulia chumba cha mtu

  • @abdallatwaha4884
    @abdallatwaha4884 29 дней назад +2

    Makosa ni wazazi....

  • @sabrinapogal9463
    @sabrinapogal9463 29 дней назад +2

    Allah mustaan

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 28 дней назад

    SUB HAANALLAH.
    HASBUNALLAH WA NI'IMAL NASWIIR.

  • @HajiKazungu-mv3ff
    @HajiKazungu-mv3ff 28 дней назад +1

    sasa mbona mumeruhusu kule Ngoma hapo

  • @awadhmbarak8380
    @awadhmbarak8380 29 дней назад +2

    Naona hii corona bado haijatia watu adabu

  • @mohamednurmohamed8812
    @mohamednurmohamed8812 28 дней назад

    Mbunge wa Mombasa ni nani?He was supposed to be there also pia shukran Abu Shuraim kufikisha Ujumbe shukran

  • @husseinshatry938
    @husseinshatry938 28 дней назад

    Na ikija adhabu itatutanganya sote hii ni akher zaman mngu atusalim salama

  • @Mohamed-qz7yp
    @Mohamed-qz7yp 29 дней назад +3

    Abu shuraim wajisumbua bure na kuharibu ur time na watu wa mombasa. Just leave them wajua what is right and what is wronge no pressure wacha jahaxi izame wata jijuu.kila moja Ata beba his own cross.Enjoy ur life Hawa washa potea long time.wana sababu zao pia siwezi kuwaalaaumu pengine most baba hayuko home anai lea ni mama this is the problem. Noone to blame

    • @democracy480
      @democracy480 29 дней назад +7

      That’s against the teachings of our beautiful religion.Ukiona Baya-Stop it,Kama huezi ongea and shed light on what’s going on

  • @amirmohamed2729
    @amirmohamed2729 29 дней назад +1

    Si wazazi tu mugesimamisha hio isifanyike watoto hawangekuja

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 29 дней назад +1

    Hiyo ndo Tourism. Utalii. Acha watu watengeneze pesa kupitia Usanii na Sanaa. Mwenye tabia chafu ni yeye tu na Hata asipokuja hapo atafanya tu uchafu wake