TAKE ONE 19/June Pt2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 41

  • @elizabethyamy2705
    @elizabethyamy2705 6 лет назад +9

    mamawema hongera mamangu nimekupenda sana na nimejifunza kitu kama mzazi umenipa shule zuri sana kiukweli mama pole pia na yote uliyo pitia maana wazazi maranyigi tunabeba madhaifu ya watoto wetu kana kwamba hatuwa fuatilii kumbe ni akili zao tu lakini mwisho wasiku anatulia na wale waliokusema wanakuwa marafiki zake mungu akukngoze vema mamangu

  • @kevinkayumba1418
    @kevinkayumba1418 12 лет назад +4

    Wabongo tunakuwa wanafiki sana na of course unafiki ndo tunaouweza, ila ukweli unabaki pale pale kuwa Wema ni real bongo superstar na tunamkubali. Sijaona zaidi ya wema bongo!!!

  • @kevinkayumba1418
    @kevinkayumba1418 12 лет назад +3

    MAMA USISEME MENGI, WEMA YUPO JUU SANA MI MWENYEWE NAMWONEA WIVU, KWANI NANI HAPENDI KUWA MAARUFU? BIG UP WEMA, EVEN THE SUN IS JEALOUS OF THE WAY YOU SHINE!!!

  • @esthersarai9703
    @esthersarai9703 5 лет назад +5

    Team wema tuko MUNGU amjalie neema.

  • @kerencikuru6039
    @kerencikuru6039 2 года назад

    Asante sana Mama kwa mashauri I have learnt alot

  • @onesmobabu9164
    @onesmobabu9164 6 лет назад +6

    jmn mama wema pole San ila kwaupande wangu wema anatabia nzuri tu nampnda

  • @aminashq1181
    @aminashq1181 5 лет назад +3

    maneno yako mama yamenitoa machozi

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 2 года назад

    Mama wema unaongeaukweli Kbx Rafiki wakweli ni mama kbx🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮💓

  • @hafswasaidi1595
    @hafswasaidi1595 8 лет назад +8

    woow mommy wallah inasikitisha sana tuu lkn wema yupo juu siku zote we love u kenya ukiona hawakutak huko njoo kenya utafurah

    • @marywazabanga7097
      @marywazabanga7097 5 лет назад

      Mama ukosahih nmekupenda sana mama yetu jmn unaongea maisha ambayo yapo kila siku.

  • @hadijaabdallah444
    @hadijaabdallah444 5 лет назад +3

    True

  • @veroshebabe3653
    @veroshebabe3653 11 лет назад +3

    Being a parent is hard work but you did a great job mom, fame comes with its own pain
    but having a mom like you made it work for Wema, God bless your family na mwendelee
    hivo hivo kumcha Mungu. Lots of love for you .

  • @janethpastormtonyi4843
    @janethpastormtonyi4843 11 лет назад +6

    usijali mother kula Bata tu .Mtoto katengeneza noti .lazima aandikwe hata watu weupe wana roho mbaya Mother.

  • @Mariia279
    @Mariia279 12 лет назад +5

    Kama mama yeyote anavyomwazia mwanae mema....Mama Wema hata mimi ningesema hivyo hivyo....nawatakia heri, na endelea kumuombea Mwanao Mungu amwepshe na mabaya

  • @blaqrose4832
    @blaqrose4832 10 лет назад +4

    Diamond was her true love though (for better or worse)....if it was just the two of them in an island, without interference and camera TV, I saw that look I saw in my husbands eye the day he married me. This on a tape theirs' not around. A kind of caught off the guard moment. Mother. New clashing with old traditions. Now I understand Wema.... and I understand her mother too. Marriage changes everything. I am not a mother yet; so I will not speak on that. But I have had my true love snatched away from me by family ....and god .... oh god! The pain. You cannot sleep at night like a crackhead looking for a fix.. Diamond disses are not from his heart. But I know it is too late. I Know.. Real women know.To us those married Cheers! To those trying...keep hope alive. We were there before you... look around and see the "Scarlet Maidens", Princes holding their hand.

  • @mariammwiso8955
    @mariammwiso8955 8 лет назад +6

    mama kumbe maneno yako yametokea ukweli. Mama kweli

  • @itisrima4297
    @itisrima4297 8 лет назад +3

    pole mama mbona twamkubali wema kwa vyovyote vile

  • @amirihamisi6913
    @amirihamisi6913 10 лет назад +3

    NOTHING CN BE HIGHER DAN MAM LAVYU.

  • @esthermoindi7097
    @esthermoindi7097 4 года назад

    Nampenda sana wema

  • @msafiri85
    @msafiri85 12 лет назад +3

    Old fashion! Relax bi mkubwa Dunia inabadilika, lazima tuende nayo sambamba Its abt show business mum! Watu wanafanya vitu ambavyo wanajisikia vitawapa furaha. Its about them (kids) na siyo sisi wazazi. Si tatizo kumvisha pete jukwaani coz Wema ni mtu wa jukwaani Diamond alike. So kwa wao doing that its the best way to show to their funs & ppl like suprises. Lakini mama una-complain saaaaana sema basi mazuri ambayo watu wamemfanyia wema mfano Kanumba (RIP) Pata councelling ili moyo utulie mama!

  • @nurukhamis2126
    @nurukhamis2126 12 лет назад +4

    mhh...mbona wema mwenyewe alikubali kuvishwa hiyo pete ..na mama Diamond naye asemeje?

  • @SwahiliSpicE
    @SwahiliSpicE 12 лет назад +3

    Leave her the f alone. When I 1st saw these series of videos I had no idea who wema was. I then did my research and now i'm in the know. First of all there is oohing wrong with her

  • @moaluchinga6075
    @moaluchinga6075 11 лет назад +3

    akuna kamara yenye inaweza record bili mtu ma bila mtu kuruhusu tusidanganyane

  • @kizajack381
    @kizajack381 4 года назад +2

    🤪

  • @sashwere8312
    @sashwere8312 12 лет назад +4

    eish wewe mama wema unasema mingi,,,,kuwa mpole,,mengine hayafai kusemwa

  • @honeymakeovertzmakeupartis3451
    @honeymakeovertzmakeupartis3451 3 года назад

    Tabia zawema n zakila mtu na n zakila mtoto sema znakua na uzito kutokana na ustaw

  • @namivaqueen1084
    @namivaqueen1084 9 лет назад +4

    today we see

  • @fatiafat3475
    @fatiafat3475 7 лет назад +3

    problem is u bleaching

  • @brayton92
    @brayton92 11 лет назад +2

    wewe mpambuv niny wa r u talking about ?