mamawema hongera mamangu nimekupenda sana na nimejifunza kitu kama mzazi umenipa shule zuri sana kiukweli mama pole pia na yote uliyo pitia maana wazazi maranyigi tunabeba madhaifu ya watoto wetu kana kwamba hatuwa fuatilii kumbe ni akili zao tu lakini mwisho wasiku anatulia na wale waliokusema wanakuwa marafiki zake mungu akukngoze vema mamangu
Wabongo tunakuwa wanafiki sana na of course unafiki ndo tunaouweza, ila ukweli unabaki pale pale kuwa Wema ni real bongo superstar na tunamkubali. Sijaona zaidi ya wema bongo!!!
MAMA USISEME MENGI, WEMA YUPO JUU SANA MI MWENYEWE NAMWONEA WIVU, KWANI NANI HAPENDI KUWA MAARUFU? BIG UP WEMA, EVEN THE SUN IS JEALOUS OF THE WAY YOU SHINE!!!
Being a parent is hard work but you did a great job mom, fame comes with its own pain but having a mom like you made it work for Wema, God bless your family na mwendelee hivo hivo kumcha Mungu. Lots of love for you .
Kama mama yeyote anavyomwazia mwanae mema....Mama Wema hata mimi ningesema hivyo hivyo....nawatakia heri, na endelea kumuombea Mwanao Mungu amwepshe na mabaya
Diamond was her true love though (for better or worse)....if it was just the two of them in an island, without interference and camera TV, I saw that look I saw in my husbands eye the day he married me. This on a tape theirs' not around. A kind of caught off the guard moment. Mother. New clashing with old traditions. Now I understand Wema.... and I understand her mother too. Marriage changes everything. I am not a mother yet; so I will not speak on that. But I have had my true love snatched away from me by family ....and god .... oh god! The pain. You cannot sleep at night like a crackhead looking for a fix.. Diamond disses are not from his heart. But I know it is too late. I Know.. Real women know.To us those married Cheers! To those trying...keep hope alive. We were there before you... look around and see the "Scarlet Maidens", Princes holding their hand.
Old fashion! Relax bi mkubwa Dunia inabadilika, lazima tuende nayo sambamba Its abt show business mum! Watu wanafanya vitu ambavyo wanajisikia vitawapa furaha. Its about them (kids) na siyo sisi wazazi. Si tatizo kumvisha pete jukwaani coz Wema ni mtu wa jukwaani Diamond alike. So kwa wao doing that its the best way to show to their funs & ppl like suprises. Lakini mama una-complain saaaaana sema basi mazuri ambayo watu wamemfanyia wema mfano Kanumba (RIP) Pata councelling ili moyo utulie mama!
Leave her the f alone. When I 1st saw these series of videos I had no idea who wema was. I then did my research and now i'm in the know. First of all there is oohing wrong with her
mamawema hongera mamangu nimekupenda sana na nimejifunza kitu kama mzazi umenipa shule zuri sana kiukweli mama pole pia na yote uliyo pitia maana wazazi maranyigi tunabeba madhaifu ya watoto wetu kana kwamba hatuwa fuatilii kumbe ni akili zao tu lakini mwisho wasiku anatulia na wale waliokusema wanakuwa marafiki zake mungu akukngoze vema mamangu
Wabongo tunakuwa wanafiki sana na of course unafiki ndo tunaouweza, ila ukweli unabaki pale pale kuwa Wema ni real bongo superstar na tunamkubali. Sijaona zaidi ya wema bongo!!!
MAMA USISEME MENGI, WEMA YUPO JUU SANA MI MWENYEWE NAMWONEA WIVU, KWANI NANI HAPENDI KUWA MAARUFU? BIG UP WEMA, EVEN THE SUN IS JEALOUS OF THE WAY YOU SHINE!!!
Team wema tuko MUNGU amjalie neema.
Esther Sarai tupoooooooooooooo tim wema maaaadam
🙏 🙏 🙏
Asante sana Mama kwa mashauri I have learnt alot
jmn mama wema pole San ila kwaupande wangu wema anatabia nzuri tu nampnda
maneno yako mama yamenitoa machozi
Mama wema unaongeaukweli Kbx Rafiki wakweli ni mama kbx🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮💓
woow mommy wallah inasikitisha sana tuu lkn wema yupo juu siku zote we love u kenya ukiona hawakutak huko njoo kenya utafurah
Mama ukosahih nmekupenda sana mama yetu jmn unaongea maisha ambayo yapo kila siku.
True
Being a parent is hard work but you did a great job mom, fame comes with its own pain
but having a mom like you made it work for Wema, God bless your family na mwendelee
hivo hivo kumcha Mungu. Lots of love for you .
Vero Shebabe yo
you
usijali mother kula Bata tu .Mtoto katengeneza noti .lazima aandikwe hata watu weupe wana roho mbaya Mother.
Kama mama yeyote anavyomwazia mwanae mema....Mama Wema hata mimi ningesema hivyo hivyo....nawatakia heri, na endelea kumuombea Mwanao Mungu amwepshe na mabaya
Diamond was her true love though (for better or worse)....if it was just the two of them in an island, without interference and camera TV, I saw that look I saw in my husbands eye the day he married me. This on a tape theirs' not around. A kind of caught off the guard moment. Mother. New clashing with old traditions. Now I understand Wema.... and I understand her mother too. Marriage changes everything. I am not a mother yet; so I will not speak on that. But I have had my true love snatched away from me by family ....and god .... oh god! The pain. You cannot sleep at night like a crackhead looking for a fix.. Diamond disses are not from his heart. But I know it is too late. I Know.. Real women know.To us those married Cheers! To those trying...keep hope alive. We were there before you... look around and see the "Scarlet Maidens", Princes holding their hand.
mama kumbe maneno yako yametokea ukweli. Mama kweli
pole mama mbona twamkubali wema kwa vyovyote vile
NOTHING CN BE HIGHER DAN MAM LAVYU.
Nampenda sana wema
Old fashion! Relax bi mkubwa Dunia inabadilika, lazima tuende nayo sambamba Its abt show business mum! Watu wanafanya vitu ambavyo wanajisikia vitawapa furaha. Its about them (kids) na siyo sisi wazazi. Si tatizo kumvisha pete jukwaani coz Wema ni mtu wa jukwaani Diamond alike. So kwa wao doing that its the best way to show to their funs & ppl like suprises. Lakini mama una-complain saaaaana sema basi mazuri ambayo watu wamemfanyia wema mfano Kanumba (RIP) Pata councelling ili moyo utulie mama!
mhh...mbona wema mwenyewe alikubali kuvishwa hiyo pete ..na mama Diamond naye asemeje?
Leave her the f alone. When I 1st saw these series of videos I had no idea who wema was. I then did my research and now i'm in the know. First of all there is oohing wrong with her
akuna kamara yenye inaweza record bili mtu ma bila mtu kuruhusu tusidanganyane
🤪
eish wewe mama wema unasema mingi,,,,kuwa mpole,,mengine hayafai kusemwa
Tabia zawema n zakila mtu na n zakila mtoto sema znakua na uzito kutokana na ustaw
today we see
problem is u bleaching
wewe mpambuv niny wa r u talking about ?