Maabinti was siku.hizi umeondoka kwa mwanaume na mtoto wenu.unarudi kwenu matako hayakai chini.kama kiti kinamoto utaleaje mtoto ? Sasa hapo Diamond platinumz akitaka anaweza kuchukua full custody ya Nasseb Jnr na akashinda kesi Maana Tanasha toka smerudi Kenya Usiku yupo kwenye ma birthday party Hii Niya 2hata Eric Omondi alimuuliza Sasa nyie hamuogopi corona ? Mtoto siyo toy full time job Halafu bado mdogo sana .It's sad
Ndo maana kaachwa una mtoto mdogo ju yanini usibaki nyumbani ukachunge mtoto wako?? Njomaana bi Sandra alikukata wamekatataa kutembeya ila kwa maana nitabiya yako yakuzurura ona leo kuzaaa nawapita njia ndo hasara zao izo hawakuwagi wanajitambuwa
Hajatulia huyu msichana, ameshauliwa Sana atulie hasikii, anafanya Kila kitu kujionyesha na kutaka aonekane Ana life kumbe tunamuona mshamba furani huyo msichana Hana mafundisho mazuri, mama dagote alisema ukweli, mtu mzima Mama mwenye hekima, aliona mapema
Ndo hayo mambo ya kupost kila kitu... Yeye kama mtu maarufu wakimuacha watu wataiga sasa ni kiherehere chake cha kupost.! Vitu vingine vya kukausha wewe unapost aya aende kupumzishwa akili ikae sawa.
Usiku huo na mtoto bado mdgo,kunani dia usikae ukapare na mwanao hm,wakati utapita utapari mpka useme basi,huyo mtt wako nae ala ngumu maskini mola saidia,amezaliwa hukukaa mbio studio,umeshaachana na dye umerudi hm hujitulizi,vituko punguza hta kma uko depressed utaleta shda hta kwa mtt hapati malezi ya kutulia,tyri ashakosa baba nawe mama wajitia mtahiriko,jitulize usikose yote.
Stress zimemponza huyu dada, ukweli ni kuwa tanasha ana stress toka waachane, hakuna mahusiano ambayo yanaweza kuvunjika halafu eti mtu unajifanya huna mawazo Na hufikirii chochote hiyo ni uongo, ogopa sana mtu anaeumia huku anacheka , mtu wa hivyo anaumia sana kuliko yule anaeonyesha , sasa yy anafanya shoo of ya kuwa yupo sawa lakin hayupo sawa huyu dada
Sasa kakamatwa peke yake? Mwenye party vepeee na waalikwa?. Yuko Quarantine kwa friend juzi alikua live na nandy akasema yuko huko . Ataachiwa tuu in sha Allah.
Hamna uakika na izi story coz tanasha alikuwa live jana usiku mchana yote amekuwa akipost😂😂😂 hivi iyo quarantined ni ya aina gani acheni story za uongo
Hata watu wengine mbli,anaeza muambukiza na mtt nae bado mdgo mungu asijaalie yarrabi,mwaka wenyewe umetuingilia vbya na korona na ww wauzidisha,jitulize bby.
Apana cheza na serikali ya kenya NILIKAMATWA ETI KISA NILIPITA NJIYA TAFAUTI NA HIGHWAY NIKAFUNGWA 10HOURS SINTOSAHAU😝😅siku hiyo nilitetemeka aise lol ..NIKATOWA PESA NAKUACHWA BADA YAHAPO NIKAHAMA KENYA.....
fake news style up sns .. mushaanza na nyinyi kuleta fake news without getting the facts..she is not arrested you should try to bring us the true story
Pole sana Naseeb junior mum 😭😔
Huyu msichana ana ujinga sana, wala hawezi kulea mtoto, chibu afanye haraka akamchukuwe mtoto wake, otherwise mtoto anateseka.
Nakubalia Tanasha sio mlezi . Hana time na mtoto kabisa maskini Tom kaka 😷
Arudishe mtoto
Tanasha malaya kweli si anashinanda na daimondi daimondi humuezi mama tuli uleee mwanao muangaliee mwezi zari katulia kweli zari atakuwa mshindi tu
siku hizi Mnaongea sana, Stori ya Dakika 3 mnaifanya mpaka 10 - 12 Minutes...
Kweja Junior This is so true, mpaka ina bore.Wanarudiarudia sana.
Kwelikabisa
Mm sikilizagi mpk mwisho
Kweja Junior mpk inakera kabisaa
@@MohammedAli-vq2dk Mimi Pia, wanaongea sana halafu hawana Script na wanajiongelea tu, ila Bro Sky ana uzoefu hua anaongea stori maneno hayajirudii...
Amekaa tz akasahao serekali ya Kenya 🇰🇪 aitaki mchezo 😂😂 niulizeni mimi kutoka msa 😭😭😭
Atatoka kednya nipesa tu everthing is imposble
Nani kasema Tz serikali inataka mchezo??? Unamjua Magufuli au unamsikia tu
Tanasha amezidiiiii kuhaika Tangia kuachana na Daimond
Iknew she will land her self in trouble coz shez trying to prove
Ignored people 😒..Kaa ndani sasa. Kihele hele.🤣🤣🤣.wow..kenya wako serious sasa👏👏
the word is ignorant
Lkn nae aliyataka kwa nn alijipost?? Pengine police walimuacha sasa akajiumbua mwenyewe.🤔🤔🤔
Never mind, but be careful next tym.
Safi sana jeshi la polis Kenya uzuri wakwake fanyeni kazi kuwaokoa wakenya wengi kuliko huyu mmoja.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔inshallah ili naloo litapita 🙏🙏🙏
In shaa Allah
Na hyo mfanya biashara aliye waalika pia akamatwe yeye ndo sababu
Ashukuru mungu ni Kenya ingekuwa Uganda angechapwa hadi asahau ustar wake.
😂😂😂😂😂😂Hhhhhh
hahaa
not true
😂😂😂Hajakamatwa wacheni uongo..Hebu angalieni mwenye birthday.hakuna kukamatwa hapo.ni wachochezi tu.
Maabinti was siku.hizi umeondoka kwa mwanaume na mtoto wenu.unarudi kwenu matako hayakai chini.kama kiti kinamoto utaleaje mtoto ? Sasa hapo Diamond platinumz akitaka anaweza kuchukua full custody ya Nasseb Jnr na akashinda kesi Maana Tanasha toka smerudi Kenya Usiku yupo kwenye ma birthday party Hii Niya 2hata Eric Omondi alimuuliza Sasa nyie hamuogopi corona ? Mtoto siyo toy full time job Halafu bado mdogo sana .It's sad
Alafu karantini Kenya naskia ni 9k per day after 14 days anadaiwa 126k ndo atajua hajui
Pole dada
Kama wewe ni shabiki wa konde gang bonyeza link na usikose ku subcriberuclips.net/video/ChTDGnwQMCM/видео.html
Pole cute girl yatapita tu
Ndo maana kaachwa una mtoto mdogo ju yanini usibaki nyumbani ukachunge mtoto wako?? Njomaana bi Sandra alikukata wamekatataa kutembeya ila kwa maana nitabiya yako yakuzurura ona leo kuzaaa nawapita njia ndo hasara zao izo hawakuwagi wanajitambuwa
Hajatulia huyu msichana, ameshauliwa Sana atulie hasikii, anafanya Kila kitu kujionyesha na kutaka aonekane Ana life kumbe tunamuona mshamba furani huyo msichana Hana mafundisho mazuri, mama dagote alisema ukweli, mtu mzima Mama mwenye hekima, aliona mapema
Atatoka tu kenya ukiwa na pesa everthing is impossible na hafungwi atalipa fin tu atoke.....vitu kwa ground ni tofauti....karatin atakaa tu kwake..
Nyooo kwa pesa gani Hanna pesa yoyote anaranda tu
@@islandgirl4578 wew unayo pesa fuck you Acha roho mbay
@@princess-uf5ux Yani nimfanyie roho mbaya tanasha we vip aaache mbwembwe ajidai mjuaji kumbe paka tu
Duh mtihan kweli
Ndo hayo mambo ya kupost kila kitu... Yeye kama mtu maarufu wakimuacha watu wataiga sasa ni kiherehere chake cha kupost.!
Vitu vingine vya kukausha wewe unapost aya aende kupumzishwa akili ikae sawa.
Usiku huo na mtoto bado mdgo,kunani dia usikae ukapare na mwanao hm,wakati utapita utapari mpka useme basi,huyo mtt wako nae ala ngumu maskini mola saidia,amezaliwa hukukaa mbio studio,umeshaachana na dye umerudi hm hujitulizi,vituko punguza hta kma uko depressed utaleta shda hta kwa mtt hapati malezi ya kutulia,tyri ashakosa baba nawe mama wajitia mtahiriko,jitulize usikose yote.
Stress zimemponza huyu dada, ukweli ni kuwa tanasha ana stress toka waachane, hakuna mahusiano ambayo yanaweza kuvunjika halafu eti mtu unajifanya huna mawazo Na hufikirii chochote hiyo ni uongo, ogopa sana mtu anaeumia huku anacheka , mtu wa hivyo anaumia sana kuliko yule anaeonyesha , sasa yy anafanya shoo of ya kuwa yupo sawa lakin hayupo sawa huyu dada
Aliyekuambia wasani wananyonyesha ni nani? Mungu saidia tu!
Mè 1
😂😂😂😂😂😂
Sa wanafanyaj????
Zari iko wapi yeèee babaaaa tanasha amuashiye zari.hajabu kweli maisha haya
Sasa kakamatwa peke yake? Mwenye party vepeee na waalikwa?. Yuko Quarantine kwa friend juzi alikua live na nandy akasema yuko huko . Ataachiwa tuu in sha Allah.
Ameshikwa usiku wakati MD WA kuwa nnje ushaisha wakampata barabarani
Si kweli
No one is above the Law. She would have kept it mum...
Hamna uakika na izi story coz tanasha alikuwa live jana usiku mchana yote amekuwa akipost😂😂😂 hivi iyo quarantined ni ya aina gani acheni story za uongo
Ni fake news😂😂😂😂
Anapenda ku jionyesha uyo nae kwani asinge endesha gari bila ku jiposti?
Usiku ni mda wa mama na mtoto kusikiana kifukuto ila yeye usiku kuzulula akae ndani sasa ashukur awakumuchapa sawa sawa
hahahaa
Atafumgwa kavana mwenyewe alifumgwa miaka kumi yani watu wakenya wanadharau sana mungu akutangulie
WHAT??
Kawaponza wenzake , wote hao ndo kinadiva wanajua wanawazalilisha watu wao kumbe wanajizalilisha wao
A mega wedding madam ....
Sipati picha wakisikia kinajuma lokole na esma
Mh huyu alikiua anataka kumkompa mtu ila imekua tofauti na matarajio yake
Tanasha anajiuona kuwa ni Star Sasa ataweka makalio yake chini
Tnsh chil kiss 😍💪
Akome asofunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu nabado lock imekuhusu😂😂😂 ungekaa uka nyonyesha mwanao wala yasinge kukuta
Wangem'beba wcb akabaki huko carantini yote labda mondi angemchungiya mtoto.
Apo Diamond ajifuze kitu ju ya faida ya watoto wake leo alijuwa junior atakuwa furaha yake kube anamuweka muchida .hatarisana
Pole tannasha
Acha bwana kumkejeli mwenzako mambo yake gani😀😃😄
Tanasha hajielewi jamani alafu dharau ni lingi sana kwake
Ni madogo hayo.... Tanasasha yuko self
Mh jamani amejisahau huyo anazani bado tupo Tz pole yake 😏
First place baby
Hata watu wengine mbli,anaeza muambukiza na mtt nae bado mdgo mungu asijaalie yarrabi,mwaka wenyewe umetuingilia vbya na korona na ww wauzidisha,jitulize bby.
Duh pole yake
Sns it's a lie she is fine don't believe everything you see
Anahangailka sanaaaaaaaa
Daah pole yake
Apana cheza na serikali ya kenya NILIKAMATWA ETI KISA NILIPITA NJIYA TAFAUTI NA HIGHWAY NIKAFUNGWA 10HOURS SINTOSAHAU😝😅siku hiyo nilitetemeka aise lol ..NIKATOWA PESA NAKUACHWA BADA YAHAPO NIKAHAMA KENYA.....
😂😂😂pole kaka ila kenya kwetu hatuna mchezo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tatizo kanajifanya kumuiga Zari kwamba kanaweza kufanya kila kitu, katapata tabu sana.
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Ila watu nyie jmn
Zarau ndiy zimemponza uyo ukiwa unajiona wewe ndiy mremb wa taifa kila mtu umtawale ndiy ayo sasa
hatari kweli
Yakujitakia hayana pole😂😂😂😂yajao yafurahisha hivi na kwenya mnataka sifa kama wabongo🤣😉😭mgawe tu huyo mtoto maana kuputwa huku😂😂😂kwedraaaa2020🙄🙄🙄
Nipo hapa
Viherehere karantini zitawahusu sana watulie wakiweza viongozi hawana masihara na corona
SIFA zinaponzaa mimwenyew nilijiuliza cfa zishamtokea matakoni...nanyie punguzeni kuongea....mshakuwa mnachoshaaa....
Tunataka mtoto wetu dai fanya mpango huyu hawezi kukaa na mtoto
Alitaka kiki ajulikane kapata kiki kajulikana sasa anautumiaje umaarufu alioutafuta? Twende kazi yetu masikio na macho.
Pale unataka kumukomoa ex wako unajikuta unaingia matatizoni ujinga shida sana
Husna Hemed 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Nenooo😂😂😂😂😂😂
Hio ndio kenya yetu
Mmenishtua agh 😩
Mimi kamenisinya tu vile kamekuwa reluctant badala ya kutoa mziki ...nakapenda lakini kamaanza kuniudhi
huyu si ndo alisifiwaga kuwa hapendi mambo ya mitandao sahiv ndo kiongozi wao😂😂
Kayataka mwenyewe
Mmh Kwa Kenya hii vitu Kwa ground ni different pesa ndo kusemaa😂😂😂 labda ATA ametoka
Kwa hii Corona siku 14 zinamuhusu
Hakuekwa ndani tanasha mwenyewe alikuwa live jana usiku😂😂😂 leo yote ashinda kupost video hakuwa kwa nyumba
Kumbe nikuekwa tuu pahali... mmmh...mkanakazi Sanaa wa Tz
Sio fresh siku 14 bila mtoto
Kama si SnS nisingeyajua coz Kenya hakuna media nyingi za umbea. Naibu Gavana alipelekwa Kotini aya nae na ayaone. Sasa na mtoto vp!!!😥😥😥😥😥😥
Kila kitu Kina mwanzo na mwisho
Kwa Kenya walivo Serious huyo lazima awe ana covid19.
And mashtaka yake lazima yampeleke Gerezani.
Aa wapi
Yeye ni Staa kushinda Leo Messi mbon anatuliya kwa nyumba 🤦aleye kwanza mtoto 😁😁
🤣🤣🤣wamueke hata miez miwili huko karantini
Ujuaji mingi na ako na mtoi mdogo 😂😂😂😂😂
Change Mindset hahaha jamani
@@veronicadaniel1122 I like her but for this a big no am a mother too no apology.
Pole pole tu tutajua yeye, since we haven't heard the other side of the story. We are only supporting her coz her mum is kenyan sio yeye!
The problem with tanasha is that she is trying to show us that she is okay...
Very true
But she's OK. Hajashikwa. Alikua live jana na alidhibitisha. Na leo ako studio
😄😄😄😄ashukuru Mungu n Kenya ingekuwa uganda angeisoma no ya museven
KENYA KAMA ULAYA TUNAJIKINGA NA CORONA...TZ WANAFICHA.
Hatufichi sie tunajiamini corona chamtoto tu haitushtui
@@Lassana755 wee usiseme ivo, yani usiombee ikupate trust me
Mh jmn asishtakiwe🙆
🤣🤣🤣🤣🤣
Yani anafanya mzaha wakati huu? Mamayangu! Anachukulia huku bongo...wabunge wanajeshi magistrates wenyewe wanakamatwa...huku sio mchezo
Huyu naye anapenda scandal 🤨🙄
Akicheza atapotea. Ni ajitambue na umaharufu alio nao. AnaShida sana
@@aaa64sa13 kabsaa nilidhani ana akili kumbe bado utoto unamsumbua mxiuuuuww 😏
Awe pole litapita hili
Atakua alilewa
Unacheza na Pre.Uhuru wewe
Mie nimesima huyu Tanasha si mlezy anapenda starehe
Aka ka tanasha kataleta makumbwa kwa mtoto wetu wa familia 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤐🤐🤦♂️🤣🤣
😀😀😀😀
mtoto yupi
Judithmelvine Aluchio mtoto wa kaka chibu
fake news style up sns .. mushaanza na nyinyi kuleta fake news without getting the facts..she is not arrested you should try to bring us the true story
It's a lie.uongo. Yuko sawa
Unaona Sasa Umejichanganya Tanasha : Ona Matokeo Yake.
sns
.... those are fake news
Uso lea ww tu na mrango haya ss zani hilo
Gusa link ruclips.net/video/6dhYJpLCkew/видео.html Zarau kasema waziri wa kenya
Uongo, umbea wa tz