TANASHA akamatwa na kuwekwa ndani, Aponzwa na TAJIRI huyu wa Kenya, Atashitakiwa kwa makosa haya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 202

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 года назад +4

    Pole sana Naseeb junior mum 😭😔

  • @thureyaseif7143
    @thureyaseif7143 4 года назад +13

    Huyu msichana ana ujinga sana, wala hawezi kulea mtoto, chibu afanye haraka akamchukuwe mtoto wake, otherwise mtoto anateseka.

    • @lewalewa7509
      @lewalewa7509 4 года назад

      Nakubalia Tanasha sio mlezi . Hana time na mtoto kabisa maskini Tom kaka 😷

    • @albs1448
      @albs1448 4 года назад

      Arudishe mtoto

  • @OmanOman-iu7jf
    @OmanOman-iu7jf 4 года назад +3

    Tanasha malaya kweli si anashinanda na daimondi daimondi humuezi mama tuli uleee mwanao muangaliee mwezi zari katulia kweli zari atakuwa mshindi tu

  • @kwejajunior1679
    @kwejajunior1679 4 года назад +16

    siku hizi Mnaongea sana, Stori ya Dakika 3 mnaifanya mpaka 10 - 12 Minutes...

    • @reenesa
      @reenesa 4 года назад +4

      Kweja Junior This is so true, mpaka ina bore.Wanarudiarudia sana.

    • @fisjaykitamuliko1183
      @fisjaykitamuliko1183 4 года назад +3

      Kwelikabisa

    • @MohammedAli-vq2dk
      @MohammedAli-vq2dk 4 года назад +2

      Mm sikilizagi mpk mwisho

    • @aishamsofe3274
      @aishamsofe3274 4 года назад +2

      Kweja Junior mpk inakera kabisaa

    • @kwejajunior1679
      @kwejajunior1679 4 года назад +1

      @@MohammedAli-vq2dk Mimi Pia, wanaongea sana halafu hawana Script na wanajiongelea tu, ila Bro Sky ana uzoefu hua anaongea stori maneno hayajirudii...

  • @hellennjeri2431
    @hellennjeri2431 4 года назад +18

    Amekaa tz akasahao serekali ya Kenya 🇰🇪 aitaki mchezo 😂😂 niulizeni mimi kutoka msa 😭😭😭

    • @mabyserolouchcraig2431
      @mabyserolouchcraig2431 4 года назад

      Atatoka kednya nipesa tu everthing is imposble

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад +1

      Nani kasema Tz serikali inataka mchezo??? Unamjua Magufuli au unamsikia tu

  • @halima23862
    @halima23862 4 года назад +3

    Tanasha amezidiiiii kuhaika Tangia kuachana na Daimond

  • @perrybenson7188
    @perrybenson7188 4 года назад +3

    Iknew she will land her self in trouble coz shez trying to prove

  • @Kanicynjuguna
    @Kanicynjuguna 4 года назад +12

    Ignored people 😒..Kaa ndani sasa. Kihele hele.🤣🤣🤣.wow..kenya wako serious sasa👏👏

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 4 года назад +5

    Lkn nae aliyataka kwa nn alijipost?? Pengine police walimuacha sasa akajiumbua mwenyewe.🤔🤔🤔

  • @norawilliamshoo2588
    @norawilliamshoo2588 4 года назад +1

    Never mind, but be careful next tym.

  • @mtumwaharunaally7255
    @mtumwaharunaally7255 4 года назад

    Safi sana jeshi la polis Kenya uzuri wakwake fanyeni kazi kuwaokoa wakenya wengi kuliko huyu mmoja.

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 года назад +13

    🤔🤔🤔🤔🤔🤔inshallah ili naloo litapita 🙏🙏🙏

    • @ano959
      @ano959 4 года назад

      In shaa Allah

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 4 года назад +7

    Na hyo mfanya biashara aliye waalika pia akamatwe yeye ndo sababu

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 4 года назад +2

    Ashukuru mungu ni Kenya ingekuwa Uganda angechapwa hadi asahau ustar wake.

  • @risperjerotich8127
    @risperjerotich8127 4 года назад +2

    not true

  • @therealafricana1372
    @therealafricana1372 4 года назад +2

    😂😂😂Hajakamatwa wacheni uongo..Hebu angalieni mwenye birthday.hakuna kukamatwa hapo.ni wachochezi tu.

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 4 года назад +1

    Maabinti was siku.hizi umeondoka kwa mwanaume na mtoto wenu.unarudi kwenu matako hayakai chini.kama kiti kinamoto utaleaje mtoto ? Sasa hapo Diamond platinumz akitaka anaweza kuchukua full custody ya Nasseb Jnr na akashinda kesi Maana Tanasha toka smerudi Kenya Usiku yupo kwenye ma birthday party Hii Niya 2hata Eric Omondi alimuuliza Sasa nyie hamuogopi corona ? Mtoto siyo toy full time job Halafu bado mdogo sana .It's sad

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 года назад

    Alafu karantini Kenya naskia ni 9k per day after 14 days anadaiwa 126k ndo atajua hajui

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 4 года назад

    Pole dada

  • @Juma_Content
    @Juma_Content 4 года назад +8

    Kama wewe ni shabiki wa konde gang bonyeza link na usikose ku subcriberuclips.net/video/ChTDGnwQMCM/видео.html

  • @officialpriscillakiloko9811
    @officialpriscillakiloko9811 4 года назад +1

    Pole cute girl yatapita tu

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 4 года назад +2

    Ndo maana kaachwa una mtoto mdogo ju yanini usibaki nyumbani ukachunge mtoto wako?? Njomaana bi Sandra alikukata wamekatataa kutembeya ila kwa maana nitabiya yako yakuzurura ona leo kuzaaa nawapita njia ndo hasara zao izo hawakuwagi wanajitambuwa

  • @josephinelittle6623
    @josephinelittle6623 4 года назад +2

    Hajatulia huyu msichana, ameshauliwa Sana atulie hasikii, anafanya Kila kitu kujionyesha na kutaka aonekane Ana life kumbe tunamuona mshamba furani huyo msichana Hana mafundisho mazuri, mama dagote alisema ukweli, mtu mzima Mama mwenye hekima, aliona mapema

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 4 года назад +2

    Atatoka tu kenya ukiwa na pesa everthing is impossible na hafungwi atalipa fin tu atoke.....vitu kwa ground ni tofauti....karatin atakaa tu kwake..

    • @islandgirl4578
      @islandgirl4578 4 года назад

      Nyooo kwa pesa gani Hanna pesa yoyote anaranda tu

    • @princess-uf5ux
      @princess-uf5ux 4 года назад +1

      @@islandgirl4578 wew unayo pesa fuck you Acha roho mbay

    • @islandgirl4578
      @islandgirl4578 4 года назад

      @@princess-uf5ux Yani nimfanyie roho mbaya tanasha we vip aaache mbwembwe ajidai mjuaji kumbe paka tu

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 года назад +1

    Duh mtihan kweli

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns 4 года назад +1

    Ndo hayo mambo ya kupost kila kitu... Yeye kama mtu maarufu wakimuacha watu wataiga sasa ni kiherehere chake cha kupost.!
    Vitu vingine vya kukausha wewe unapost aya aende kupumzishwa akili ikae sawa.

  • @esadkulovic6777
    @esadkulovic6777 4 года назад +1

    Usiku huo na mtoto bado mdgo,kunani dia usikae ukapare na mwanao hm,wakati utapita utapari mpka useme basi,huyo mtt wako nae ala ngumu maskini mola saidia,amezaliwa hukukaa mbio studio,umeshaachana na dye umerudi hm hujitulizi,vituko punguza hta kma uko depressed utaleta shda hta kwa mtt hapati malezi ya kutulia,tyri ashakosa baba nawe mama wajitia mtahiriko,jitulize usikose yote.

  • @najma3268
    @najma3268 4 года назад

    Stress zimemponza huyu dada, ukweli ni kuwa tanasha ana stress toka waachane, hakuna mahusiano ambayo yanaweza kuvunjika halafu eti mtu unajifanya huna mawazo Na hufikirii chochote hiyo ni uongo, ogopa sana mtu anaeumia huku anacheka , mtu wa hivyo anaumia sana kuliko yule anaeonyesha , sasa yy anafanya shoo of ya kuwa yupo sawa lakin hayupo sawa huyu dada

  • @sismnfamily3426
    @sismnfamily3426 4 года назад +4

    Aliyekuambia wasani wananyonyesha ni nani? Mungu saidia tu!

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад

    Zari iko wapi yeèee babaaaa tanasha amuashiye zari.hajabu kweli maisha haya

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 4 года назад +2

    Sasa kakamatwa peke yake? Mwenye party vepeee na waalikwa?. Yuko Quarantine kwa friend juzi alikua live na nandy akasema yuko huko . Ataachiwa tuu in sha Allah.

    • @babyhamisi5331
      @babyhamisi5331 4 года назад +1

      Ameshikwa usiku wakati MD WA kuwa nnje ushaisha wakampata barabarani

  • @aminajuma2981
    @aminajuma2981 4 года назад

    Si kweli

  • @kiokorenei2623
    @kiokorenei2623 4 года назад

    No one is above the Law. She would have kept it mum...

  • @nashnelly4717
    @nashnelly4717 4 года назад +1

    Hamna uakika na izi story coz tanasha alikuwa live jana usiku mchana yote amekuwa akipost😂😂😂 hivi iyo quarantined ni ya aina gani acheni story za uongo

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 4 года назад +1

    Anapenda ku jionyesha uyo nae kwani asinge endesha gari bila ku jiposti?

  • @frorenceetoile3016
    @frorenceetoile3016 4 года назад +1

    Usiku ni mda wa mama na mtoto kusikiana kifukuto ila yeye usiku kuzulula akae ndani sasa ashukur awakumuchapa sawa sawa

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 4 года назад +2

    Atafumgwa kavana mwenyewe alifumgwa miaka kumi yani watu wakenya wanadharau sana mungu akutangulie

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 4 года назад +2

    WHAT??

  • @najma3268
    @najma3268 4 года назад

    Kawaponza wenzake , wote hao ndo kinadiva wanajua wanawazalilisha watu wao kumbe wanajizalilisha wao

  • @elizabethambani5896
    @elizabethambani5896 4 года назад

    A mega wedding madam ....

  • @islandgirl4578
    @islandgirl4578 4 года назад +2

    Sipati picha wakisikia kinajuma lokole na esma

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff 4 года назад +2

    Mh huyu alikiua anataka kumkompa mtu ila imekua tofauti na matarajio yake

  • @halima23862
    @halima23862 4 года назад +1

    Tanasha anajiuona kuwa ni Star Sasa ataweka makalio yake chini

  • @masibosvlogmasibos9738
    @masibosvlogmasibos9738 4 года назад +2

    Tnsh chil kiss 😍💪

  • @munaibrahim8829
    @munaibrahim8829 4 года назад +1

    Akome asofunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu nabado lock imekuhusu😂😂😂 ungekaa uka nyonyesha mwanao wala yasinge kukuta

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 4 года назад +1

    Wangem'beba wcb akabaki huko carantini yote labda mondi angemchungiya mtoto.

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад +1

    Apo Diamond ajifuze kitu ju ya faida ya watoto wake leo alijuwa junior atakuwa furaha yake kube anamuweka muchida .hatarisana

  • @leticiaelias7543
    @leticiaelias7543 4 года назад

    Pole tannasha

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 4 года назад

    Acha bwana kumkejeli mwenzako mambo yake gani😀😃😄

  • @sabinadede9138
    @sabinadede9138 4 года назад +4

    Tanasha hajielewi jamani alafu dharau ni lingi sana kwake

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 4 года назад +1

    Ni madogo hayo.... Tanasasha yuko self

  • @thuwaibaabdallah6880
    @thuwaibaabdallah6880 4 года назад +1

    Mh jamani amejisahau huyo anazani bado tupo Tz pole yake 😏

  • @funnyshitl673
    @funnyshitl673 4 года назад +2

    First place baby

  • @esadkulovic6777
    @esadkulovic6777 4 года назад

    Hata watu wengine mbli,anaeza muambukiza na mtt nae bado mdgo mungu asijaalie yarrabi,mwaka wenyewe umetuingilia vbya na korona na ww wauzidisha,jitulize bby.

  • @richardjilles4071
    @richardjilles4071 4 года назад +2

    Duh pole yake

  • @millicentwangu4815
    @millicentwangu4815 4 года назад

    Sns it's a lie she is fine don't believe everything you see

  • @halima23862
    @halima23862 4 года назад +3

    Anahangailka sanaaaaaaaa

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 4 года назад +1

    Daah pole yake

  • @hahmadhabibu2076
    @hahmadhabibu2076 4 года назад +2

    Apana cheza na serikali ya kenya NILIKAMATWA ETI KISA NILIPITA NJIYA TAFAUTI NA HIGHWAY NIKAFUNGWA 10HOURS SINTOSAHAU😝😅siku hiyo nilitetemeka aise lol ..NIKATOWA PESA NAKUACHWA BADA YAHAPO NIKAHAMA KENYA.....

  • @josej9888
    @josej9888 4 года назад +2

    Tatizo kanajifanya kumuiga Zari kwamba kanaweza kufanya kila kitu, katapata tabu sana.

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed4549 4 года назад +2

    Zarau ndiy zimemponza uyo ukiwa unajiona wewe ndiy mremb wa taifa kila mtu umtawale ndiy ayo sasa

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад

    hatari kweli

  • @officialzu3772
    @officialzu3772 4 года назад

    Yakujitakia hayana pole😂😂😂😂yajao yafurahisha hivi na kwenya mnataka sifa kama wabongo🤣😉😭mgawe tu huyo mtoto maana kuputwa huku😂😂😂kwedraaaa2020🙄🙄🙄

  • @eliasl1011
    @eliasl1011 4 года назад +1

    Nipo hapa

  • @mtumwaharunaally7255
    @mtumwaharunaally7255 4 года назад

    Viherehere karantini zitawahusu sana watulie wakiweza viongozi hawana masihara na corona

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 4 года назад +1

    SIFA zinaponzaa mimwenyew nilijiuliza cfa zishamtokea matakoni...nanyie punguzeni kuongea....mshakuwa mnachoshaaa....

  • @imakulatasumaye6818
    @imakulatasumaye6818 4 года назад +5

    Tunataka mtoto wetu dai fanya mpango huyu hawezi kukaa na mtoto

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 4 года назад +1

    Alitaka kiki ajulikane kapata kiki kajulikana sasa anautumiaje umaarufu alioutafuta? Twende kazi yetu masikio na macho.

  • @husnahemed3717
    @husnahemed3717 4 года назад +10

    Pale unataka kumukomoa ex wako unajikuta unaingia matatizoni ujinga shida sana

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar2723 4 года назад

    Hio ndio kenya yetu

  • @hassanramadhani2450
    @hassanramadhani2450 4 года назад +1

    Mmenishtua agh 😩

  • @redibatafulai2583
    @redibatafulai2583 4 года назад

    Mimi kamenisinya tu vile kamekuwa reluctant badala ya kutoa mziki ...nakapenda lakini kamaanza kuniudhi

  • @glorynguma3593
    @glorynguma3593 4 года назад

    huyu si ndo alisifiwaga kuwa hapendi mambo ya mitandao sahiv ndo kiongozi wao😂😂

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 4 года назад

    Kayataka mwenyewe

  • @aminaabdiabdi7112
    @aminaabdiabdi7112 4 года назад +4

    Mmh Kwa Kenya hii vitu Kwa ground ni different pesa ndo kusemaa😂😂😂 labda ATA ametoka

    • @babyhamisi5331
      @babyhamisi5331 4 года назад

      Kwa hii Corona siku 14 zinamuhusu

    • @nashnelly4717
      @nashnelly4717 4 года назад +1

      Hakuekwa ndani tanasha mwenyewe alikuwa live jana usiku😂😂😂 leo yote ashinda kupost video hakuwa kwa nyumba

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 4 года назад

    Kumbe nikuekwa tuu pahali... mmmh...mkanakazi Sanaa wa Tz

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 4 года назад

    Kama si SnS nisingeyajua coz Kenya hakuna media nyingi za umbea. Naibu Gavana alipelekwa Kotini aya nae na ayaone. Sasa na mtoto vp!!!😥😥😥😥😥😥

  • @abigaellapeta7182
    @abigaellapeta7182 4 года назад

    Kila kitu Kina mwanzo na mwisho

  • @masebtommy1863
    @masebtommy1863 4 года назад

    Kwa Kenya walivo Serious huyo lazima awe ana covid19.
    And mashtaka yake lazima yampeleke Gerezani.

  • @chalamossi6656
    @chalamossi6656 4 года назад

    Yeye ni Staa kushinda Leo Messi mbon anatuliya kwa nyumba 🤦aleye kwanza mtoto 😁😁

  • @sharifaabdulla1890
    @sharifaabdulla1890 4 года назад

    🤣🤣🤣wamueke hata miez miwili huko karantini

  • @jackiendambuki4788
    @jackiendambuki4788 4 года назад +13

    Ujuaji mingi na ako na mtoi mdogo 😂😂😂😂😂

    • @veronicadaniel1122
      @veronicadaniel1122 4 года назад +1

      Change Mindset hahaha jamani

    • @jackiendambuki4788
      @jackiendambuki4788 4 года назад +3

      @@veronicadaniel1122 I like her but for this a big no am a mother too no apology.

    • @sismnfamily3426
      @sismnfamily3426 4 года назад +1

      Pole pole tu tutajua yeye, since we haven't heard the other side of the story. We are only supporting her coz her mum is kenyan sio yeye!

  • @francismsami2169
    @francismsami2169 4 года назад

    The problem with tanasha is that she is trying to show us that she is okay...

    • @perrybenson7188
      @perrybenson7188 4 года назад

      Very true

    • @millyiemills
      @millyiemills 4 года назад

      But she's OK. Hajashikwa. Alikua live jana na alidhibitisha. Na leo ako studio

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 года назад

    😄😄😄😄ashukuru Mungu n Kenya ingekuwa uganda angeisoma no ya museven

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 года назад +1

    KENYA KAMA ULAYA TUNAJIKINGA NA CORONA...TZ WANAFICHA.

    • @Lassana755
      @Lassana755 4 года назад

      Hatufichi sie tunajiamini corona chamtoto tu haitushtui

    • @eneolatukio8493
      @eneolatukio8493 4 года назад

      @@Lassana755 wee usiseme ivo, yani usiombee ikupate trust me

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 года назад

    Mh jmn asishtakiwe🙆

  • @Chillaxingpics
    @Chillaxingpics 4 года назад

    Yani anafanya mzaha wakati huu? Mamayangu! Anachukulia huku bongo...wabunge wanajeshi magistrates wenyewe wanakamatwa...huku sio mchezo

  • @mercymwanika9467
    @mercymwanika9467 4 года назад +2

    Huyu naye anapenda scandal 🤨🙄

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 4 года назад

      Akicheza atapotea. Ni ajitambue na umaharufu alio nao. AnaShida sana

    • @mercymwanika9467
      @mercymwanika9467 4 года назад

      @@aaa64sa13 kabsaa nilidhani ana akili kumbe bado utoto unamsumbua mxiuuuuww 😏

  • @bittybitty2712
    @bittybitty2712 4 года назад

    Awe pole litapita hili

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 4 года назад

    Atakua alilewa

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 4 года назад

    Unacheza na Pre.Uhuru wewe

  • @fatimamowa8166
    @fatimamowa8166 4 года назад

    Mie nimesima huyu Tanasha si mlezy anapenda starehe

  • @bibi-yk8ut
    @bibi-yk8ut 4 года назад +2

    Aka ka tanasha kataleta makumbwa kwa mtoto wetu wa familia 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤐🤐🤦‍♂️🤣🤣

  • @mishackjessy6870
    @mishackjessy6870 4 года назад

    fake news style up sns .. mushaanza na nyinyi kuleta fake news without getting the facts..she is not arrested you should try to bring us the true story

  • @millyiemills
    @millyiemills 4 года назад

    It's a lie.uongo. Yuko sawa

  • @itNeza
    @itNeza 4 года назад

    Unaona Sasa Umejichanganya Tanasha : Ona Matokeo Yake.

  • @risperjerotich8127
    @risperjerotich8127 4 года назад

    sns
    .... those are fake news

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад

    Uso lea ww tu na mrango haya ss zani hilo

  • @hushbtz3310
    @hushbtz3310 4 года назад

    Gusa link ruclips.net/video/6dhYJpLCkew/видео.html Zarau kasema waziri wa kenya

  • @janepherkhisa1801
    @janepherkhisa1801 4 года назад

    Uongo, umbea wa tz