UPOKEE BABA SADAKA TUNAYOTOA - JOSEPH MAKOYE | TANZANIA ORGANISTS SOCIETY (TOS)
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Wimbo - Upokee Baba sadaka tunayotoa
Mtunzi - Joseph Makoye
Organist - Lazarus Patiu
Church/Location - Parokia ya Chuo Kikuu UDSM
Society - Tanzania organists Society (TOS)
Video Credit- Jugo Media
Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa
Lazarus Patiu upo safi kweli
Kaka hongera sana nimependa sana ulivyocheza mashairi.
Mwamba wee ni hatariii
Nimekubaliii huyu mwamba kwenye kinanda ni shida
Naomba nota za wimbo huu
Ntapataje ndg
Congratulations 👏🎉 Lazaro.
Say hi to your twin brother.
Nimeipend hyo bit by Sara from mwanz
Ubarikiwe kaka kwa talanta yako na uongeze we zaidi
Mungu akubariki sana kwa kazi iliyotukuka , umenkumbusha mwaka 1996 huu wimbo
Kazi Yako Inapendeza Sana Kaka
We call it a talent, I call you in the name of Patiu. Congrats Br!!
Mko na shule ya kufunza uchezaji kinanda na iko wapi na malipo ni ngapi..nipo kenya?
safi sana .nafarijika naburudika na ninaelimika
Daah safi sana patiu mashairi ndio balaa
Umenimaliza kwenye mashairi asee safi sana
Safi sana, kafanya vizuri
👏👏👏🙏
Kama umesikia so mi mi fa re gonga 5
Mimi nimesikia mi fa so la so fa mii fa mire mii mii😄
Huu wimbo naupenda sana .
Nitaupataje wakiwa wanaimba ?
Labda Jaribu kusearch online
Razarus patiu unapiga vizuri Kinanda hongera Jugo kwa kumuona naye kama Mwl Rweramila
Amina
@@JugoMedia pamoja sana Lazarus patlu nitakutembelea Siku moja hapo St Cathedral posta
Congratulations bro; that is a nice one. Send me also its notes please.
Naomba msaada Wa kunifundish Kinanda Nitafute kupitia 0744638322
Naomba uje parokiani unifundishie vijana Padre David +254725713881
Sawa fr tumepokea maombi yako, tunakutumia text via whatsapp
We can not find that number via WhatsApp please text us via +255757560764