Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Wooooow umenipendeza kabisa Steve mimi ni mmunyarwanda Naishi China mungu akubaliki sana
Wow, nzuri sana kabisa kusikiya historia ya lile koti la Steven.
😂😂😂😂 mashaa Allah... Kumbe unaongea tu vizuri Steve, na kumbe ww n mtu tu wakawaida bro hongera sana kwa kazi zako bro mi n fan wako sana. na Kenya ndio home
Nahiyo shati ya bechi umeanza kuvaa litakufikisha mbari kama hiyo koti hongera kwakazi nzuri from burundi
Enyewe hiyo koti ni ya kitambo sana,,, lkn steve pole wamekukozea 😂😂😂😂
Daah heri limetuondokea Steve tunakupenda toka kenya 😍😍
Hahahaaa
Maaaakosaa..eh!hii inaitaji dj afro toka kenya😂😂😂Steve pumbavu zangu nini😅
Watching from Saudi Arabia, pole Kwa koti kuraruliwa nunua nyingine kama hio
Atimae leo koti limechanwa 😂😂😂😂😂😂
Mi mwenyewe nilifikilia kuhusu koti Hilo kkkk🥰dealy dealy koti
Dulla dulla dulla nimekuita mara 3 unajua umekosea sana 😂😂😂kuchana ilo koti 😂😂😂nimeuziwa na mtu wangungu 😂😂😂😂😂😂utalaaniwa
Waah 😂😂 pamoja Steve comedy zako kali na ninazifuatilia pia strong
😂😂😂😂 Steve nakukubali sana 😅😅 we ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
waooooh leo me ndy wakwanza naombeni like hata5
Ni kheri wangekuchana Nywele 😂😂😂😂😂😂....Koti ulivae kama shangA 😂
😂😂😂 kwel kak wamchane nywelé tyuu
Hi
Kweli
Watching from Uganda,,,,,,,,, jamani koti la Steve wangu😅😅😅
❤❤❤hi
Mamboo,.
❤❤❤,.
Steve koti lako hatutaiona tena 😂😂😂😂 but Ur so funny
Safi Sana stev my bro in crist nakutabuwa baya sana❤❤❤😂😂😂 kicheko tu
Steve napenda sana kazi zako mwenyezi Mungu akubariki sana
😂😂😂 Steve koti rimeenda hutaliona Tena 😂😂😂😂
Watching from Qatar,,,, you're really making my day enjoyable ,,,Steve mweusi
Tafuta koti lingine Steve Kama hiyo tuu😂😂😂😂😂
Allah akujaalie zaid, hakika unatuburudisha sana steve
Watching from rwanda 🇷🇼😂 Steven pole
Mimi mwenyewe nilikuwa nimelichoka sana 😂😂😂😂
Pole stevu wetu kwa koti kuchanwa😂😂😂😂
Iro koti kitambo sana ety nakumbuka irikua siku moja urikuta wamekuwekea ugari Dogo sere akakufurisha nguo kwanza😁😁😁😁😁😁
Jamani ndio mpasue,,,sijapentaa😭😭😭sasa steve tutamjuaje bila koti
Nywele zake
😂😂😂😂😂😂😂hiyo ni Kali sana ❤❤❤❤from 🇰🇪🇰🇪
Ni kweli Hilo koti nalikumbuka la samani but Steve tunawependa sana kutoka Kenya 🇰🇪
Rachidi gutoka Kenya, stv namkubari kinyama
Pole sana Steve kwa marehemu koti mzike salama kama mzee pombe
Kwa kweli STEVE maamuzi ya kulichana hilo koti siyo sahihi kwasababu washabiki wako tunakupenda kwa character ya hilo koti ❤😢😅🙏💕👏
Kachana Ili achange character ya hilo hilo koti lilikua la mda mrefu ni kwaajili ya scene mpya za mbele
Daaaaaa kitambo kweli 2017 mwezi wa tatu tarehe 8 mmmmm Hongera kwa kutunza vizuri na amini una history nzuri kuhusu hilo
😂😂kumbe Steve unaeza ongea vzuri hivi ❤❤❤
Dulla bora umechana ,lishamlipa😅😅😅LILIKUWA linanikera na mimi
Kukera kidogo ni afadhali limepumzika pema 😂😂
Watching from BurundiTunawapenda sana 💚💚
Jaman Kwann lkn ilo koti mwenyew akilivaa ndo lanchekesha pia😭
Pia mm,,,wamemkosea sana 😂
Koti lifanyiwe maziko ,Steve wewe😂😂 naomba subscribers @CHAKILA TV ❤
ukiachana na koti huyu mdada mzuri Sana yaani
From Kenya 🤣🤣 love you great guys
Steve tunakuangalia na kukufurahia from Netherlands
😂😂😂😂😂😂😂 Tumelizowea koti lake 😢😢😢
imekuwa mareemu koti ya steve😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂kwahyo hatumuoni tena Steve na hilo koti au atalishona😅😅😅😅😅😅
Stive mweusi unajuwa sana jamani mungu akuongezee kuvuma bwana nakufataga sanaa kbs
Apo safi Safi iiiii sana aisee hahahaha aaaaaaa
Koti Baya aisee ilikuwa nikiliona aise noma bora mzee ushapata umaarufu Sasa twende kazi
😂story nzuriii,
Na nywele mkateniiiii steve😂😂😂😂
😂😂,yesu wangu 😂
😂😂😂😂😂hatutaliona tena wacha lilale salama😂😂😂😂😂😂😂
Uyu buda amekua addict na comedy adi akibonga kitu serious inakaa comedy tuu...but ana bamba sana, big up bro👊
Watching from Qatar 🇶🇦. A big fan of Steve🙌💎
Habibi
😂😂😂Koti iyoo
@@dericko10 🙌
@@didierniyomukiza29 won't see it again.
@@hardworkeroverworked4940 oyah uko wapi
Sawa kaka kwa kutupa historia FUPI ya marehemu 😅😅
😂😂😂
Nampenda dulla jamani 😂😂😂
Dah hilo koti Steve ilikua ni moja ya bland yakutuchekesha Sasa vip 😂😂😂😂 lichukue ukalishone sisi tumelipenda pia
Jamani ivi nkwel koti limechanwa😂😂😂 lakn nakupenda wachekesh sana yaani
Asante mwanangu dullah mzee wa kupata moto sana😅😂😂umenisaidia ilo koti tangu januar n moj tu mvua jua analo Bora ulivyolichana
Pole sana kwakilio Cha koto Yako I love you from Kampala
Koti linanuka kama beberu....🤣🤣🤣🤣🤣
Pole sana mwanetu
Bado ndala izo zinanikera ,dulla kata😅😅
😂😂😁😁😁😂🤣😂😁😂😂😁ushauri wangu umefanyiwa kazi leo😂😂😂😂
Kabisa Nami piya nashukuru kwani hiyo koti ilikuwa imenikwaza piya kabisa
Hahaha eti moyo wa stive ulikuwa unamfanyia nini?🤣🤣🤣
Yaani tutajuaje steven bila jacket! Ooh my God!
Yani wamekose sana mm kila nilipo kuwa naliona koti hili ata awe anatoka mbal najua mwamba anakuja asa itakuwaje
Dahhhh ila huyo Dada wa kuitwa Hajira kafungasha syo mchezo yaan kajistili vizuri ila bado akikimbia ndani prukushani😋😋
Always Trust your instincts next time Steve...🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au nilivyo toka na wewe baba ulitoka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂maskini steve pengo la koti halitazipika,,ohhh
Kwaiyo nitembee na mwili ambao auna blood😅😅😅😂
Daah steve nakukubali isee hatakama sina senti kwa wiki lazima nitafute bundles ili nifurahie mambo zako good job kaka hiyo kali
we fala sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀
Iyo nikweli baba chana mbele ilo koti ,n'a mimi Nime lichoka 😂
I just love the lady ❤
Steve hivi unaombolezea koti kiukweli limekustiri sana❤
Nayitwa ejide iyi story nzuri Niko burundi
Hajra wee❤️❤️Swaum takatifu mummy 🥰🥳
🤣🤣🤣🤣lile koti limekfnya nn ata ulichane😂😂😂😂
Nadhani apa ndo ule wimbo ulitokea 😂😂😂😂😂
Hongera na asante kwa historiya ya jacket
Maishatu kaka mwanaume mti wamuogo usijali ❤❤
Yesu wangu 😭😭 kilio cha koti !!!!
Imajin koti moja
Unyama kaka sema lilikuwa tamu. 😅😅😅😅
Jamani huyu kaka anatuvunja mbavu
Da jaman steve una kipaji mungu alikujalia kwa kwl
Rip koti la Steven maana nilikuwa Nisha lichoka😂😂😂😂😂
Kumbe wewe Dula ndie ulie chana koti ya stive ndo tena simuonake ana ivaa😅😅😅
Daah RIP jaket la mwamba tulilipenda😭😭😭😭😭
Pole mwanangu stiven natokaya Congo
😅😅stive anapenda kujichocha ni mwoga😮😮😮😮
Ah roho ina nyuma sana nazaidi namimi naliya n🇨🇩😭😭 koti koti
Wangap wanamtambua steve....wapi likes wadau
Ni kiliokwa Stive😊😅😢😢
Steve m2 hatar sana asee 😂😂😂😂😂
Watching all the way from Minnesota USA 🇺🇸
Ok
❤❤❤
Mjomba ni mama 😅😅
Jamn kotiiii kotiiii la stiv RIP hatutakuona tena 2017 duuh mpk saiv umri wa mtu ndo mana naona saiv hanaa jamooon duuh
Hajra em tuambie umehisi arufu gn imetok hapo kwny hilo kot
Na hio ndio eulogy ya marehemu koti😂
Mamboo❤❤❤,.
Aiseeee Bora lilivochanwa 😂😂😂😂 n zile za kitenge zichanwe jmn
Wooooow umenipendeza kabisa Steve mimi ni mmunyarwanda Naishi China mungu akubaliki sana
Wow, nzuri sana kabisa kusikiya historia ya lile koti la Steven.
😂😂😂😂 mashaa Allah... Kumbe unaongea tu vizuri Steve, na kumbe ww n mtu tu wakawaida bro hongera sana kwa kazi zako bro mi n fan wako sana. na Kenya ndio home
Nahiyo shati ya bechi umeanza kuvaa litakufikisha mbari kama hiyo koti hongera kwakazi nzuri from burundi
Enyewe hiyo koti ni ya kitambo sana,,, lkn steve pole wamekukozea 😂😂😂😂
Daah heri limetuondokea Steve tunakupenda toka kenya 😍😍
Hahahaaa
Maaaakosaa..eh!hii inaitaji dj afro toka kenya😂😂😂Steve pumbavu zangu nini😅
Watching from Saudi Arabia, pole Kwa koti kuraruliwa nunua nyingine kama hio
Atimae leo koti limechanwa 😂😂😂😂😂😂
Mi mwenyewe nilifikilia kuhusu koti Hilo kkkk🥰dealy dealy koti
Dulla dulla dulla nimekuita mara 3 unajua umekosea sana 😂😂😂kuchana ilo koti 😂😂😂nimeuziwa na mtu wangungu 😂😂😂😂😂😂utalaaniwa
Waah 😂😂 pamoja Steve comedy zako kali na ninazifuatilia pia strong
😂😂😂😂 Steve nakukubali sana 😅😅 we ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
waooooh leo me ndy wakwanza naombeni like hata5
Ni kheri wangekuchana Nywele 😂😂😂😂😂😂....
Koti ulivae kama shangA 😂
😂😂😂 kwel kak wamchane nywelé tyuu
Hi
Kweli
Watching from Uganda,,,,,,,,, jamani koti la Steve wangu😅😅😅
❤❤❤hi
Mamboo,.
❤❤❤,.
Steve koti lako hatutaiona tena 😂😂😂😂 but Ur so funny
Safi Sana stev my bro in crist nakutabuwa baya sana❤❤❤😂😂😂 kicheko tu
Steve napenda sana kazi zako mwenyezi Mungu akubariki sana
😂😂😂 Steve koti rimeenda hutaliona Tena 😂😂😂😂
Watching from Qatar,,,, you're really making my day enjoyable ,,,Steve mweusi
Tafuta koti lingine Steve Kama hiyo tuu😂😂😂😂😂
Allah akujaalie zaid, hakika unatuburudisha sana steve
Watching from rwanda 🇷🇼😂 Steven pole
Mimi mwenyewe nilikuwa nimelichoka sana 😂😂😂😂
Pole stevu wetu kwa koti kuchanwa😂😂😂😂
Iro koti kitambo sana ety nakumbuka irikua siku moja urikuta wamekuwekea ugari Dogo sere akakufurisha nguo kwanza😁😁😁😁😁😁
Jamani ndio mpasue,,,sijapentaa😭😭😭sasa steve tutamjuaje bila koti
Nywele zake
😂😂😂😂😂😂😂hiyo ni Kali sana ❤❤❤❤from 🇰🇪🇰🇪
Ni kweli Hilo koti nalikumbuka la samani but Steve tunawependa sana kutoka Kenya 🇰🇪
Rachidi gutoka Kenya, stv namkubari kinyama
Pole sana Steve kwa marehemu koti mzike salama kama mzee pombe
Kwa kweli STEVE maamuzi ya kulichana hilo koti siyo sahihi kwasababu washabiki wako tunakupenda kwa character ya hilo koti ❤😢😅🙏💕👏
Kachana Ili achange character ya hilo hilo koti lilikua la mda mrefu ni kwaajili ya scene mpya za mbele
Daaaaaa kitambo kweli 2017 mwezi wa tatu tarehe 8 mmmmm Hongera kwa kutunza vizuri na amini una history nzuri kuhusu hilo
😂😂kumbe Steve unaeza ongea vzuri hivi ❤❤❤
Dulla bora umechana ,lishamlipa😅😅😅
LILIKUWA linanikera na mimi
Kukera kidogo ni afadhali limepumzika pema 😂😂
Watching from Burundi
Tunawapenda sana 💚💚
Jaman Kwann lkn ilo koti mwenyew akilivaa ndo lanchekesha pia😭
Pia mm,,,wamemkosea sana 😂
Koti lifanyiwe maziko ,Steve wewe😂😂 naomba subscribers @CHAKILA TV ❤
ukiachana na koti huyu mdada mzuri Sana yaani
From Kenya 🤣🤣 love you great guys
Steve tunakuangalia na kukufurahia from Netherlands
😂😂😂😂😂😂😂 Tumelizowea koti lake 😢😢😢
imekuwa mareemu koti ya steve😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂kwahyo hatumuoni tena Steve na hilo koti au atalishona😅😅😅😅😅😅
Stive mweusi unajuwa sana jamani mungu akuongezee kuvuma bwana nakufataga sanaa kbs
Apo safi Safi iiiii sana aisee hahahaha aaaaaaa
Koti Baya aisee ilikuwa nikiliona aise noma bora mzee ushapata umaarufu Sasa twende kazi
😂story nzuriii,
Na nywele mkateniiiii steve😂😂😂😂
😂😂,yesu wangu 😂
😂😂😂😂😂hatutaliona tena wacha lilale salama😂😂😂😂😂😂😂
Uyu buda amekua addict na comedy adi akibonga kitu serious inakaa comedy tuu...but ana bamba sana, big up bro👊
Watching from Qatar 🇶🇦.
A big fan of Steve🙌💎
Habibi
😂😂😂Koti iyoo
@@dericko10 🙌
@@didierniyomukiza29 won't see it again.
@@hardworkeroverworked4940 oyah uko wapi
Sawa kaka kwa kutupa historia FUPI ya marehemu 😅😅
😂😂😂
Nampenda dulla jamani 😂😂😂
Dah hilo koti Steve ilikua ni moja ya bland yakutuchekesha Sasa vip 😂😂😂😂 lichukue ukalishone sisi tumelipenda pia
Jamani ivi nkwel koti limechanwa😂😂😂 lakn nakupenda wachekesh sana yaani
Asante mwanangu dullah mzee wa kupata moto sana😅😂😂umenisaidia ilo koti tangu januar n moj tu mvua jua analo Bora ulivyolichana
Pole sana kwakilio Cha koto Yako I love you from Kampala
Koti linanuka kama beberu....🤣🤣🤣🤣🤣
Pole sana mwanetu
Bado ndala izo zinanikera ,dulla kata😅😅
😂😂😁😁😁😂🤣😂😁😂😂😁ushauri wangu umefanyiwa kazi leo😂😂😂😂
Kabisa Nami piya nashukuru kwani hiyo koti ilikuwa imenikwaza piya kabisa
Hahaha eti moyo wa stive ulikuwa unamfanyia nini?🤣🤣🤣
Yaani tutajuaje steven bila jacket! Ooh my God!
Yani wamekose sana mm kila nilipo kuwa naliona koti hili ata awe anatoka mbal najua mwamba anakuja asa itakuwaje
Dahhhh ila huyo Dada wa kuitwa Hajira kafungasha syo mchezo yaan kajistili vizuri ila bado akikimbia ndani prukushani😋😋
Always Trust your instincts next time Steve...🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au nilivyo toka na wewe baba ulitoka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂maskini steve pengo la koti halitazipika,,ohhh
Kwaiyo nitembee na mwili ambao auna blood😅😅😅😂
Daah steve nakukubali isee hatakama sina senti kwa wiki lazima nitafute bundles ili nifurahie mambo zako good job kaka hiyo kali
we fala sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀
Iyo nikweli baba chana mbele ilo koti ,n'a mimi Nime lichoka 😂
I just love the lady ❤
Steve hivi unaombolezea koti kiukweli limekustiri sana❤
Nayitwa ejide iyi story nzuri Niko burundi
Hajra wee❤️❤️Swaum takatifu mummy 🥰🥳
🤣🤣🤣🤣lile koti limekfnya nn ata ulichane😂😂😂😂
Nadhani apa ndo ule wimbo ulitokea 😂😂😂😂😂
Hongera na asante kwa historiya ya jacket
Maishatu kaka mwanaume mti wamuogo usijali ❤❤
Yesu wangu 😭😭 kilio cha koti !!!!
Imajin koti moja
Unyama kaka sema lilikuwa tamu. 😅😅😅😅
Jamani huyu kaka anatuvunja mbavu
Da jaman steve una kipaji mungu alikujalia kwa kwl
Rip koti la Steven maana nilikuwa Nisha lichoka😂😂😂😂😂
Kumbe wewe Dula ndie ulie chana koti ya stive ndo tena simuonake ana ivaa😅😅😅
Daah RIP jaket la mwamba tulilipenda😭😭😭😭😭
Pole mwanangu stiven natokaya Congo
😅😅stive anapenda kujichocha ni mwoga😮😮😮😮
Ah roho ina nyuma sana nazaidi namimi naliya n🇨🇩😭😭 koti koti
Wangap wanamtambua steve....wapi likes wadau
Ni kiliokwa Stive😊😅😢😢
Steve m2 hatar sana asee 😂😂😂😂😂
Watching all the way from Minnesota USA 🇺🇸
Ok
❤❤❤
Mjomba ni mama 😅😅
Jamn kotiiii kotiiii la stiv RIP hatutakuona tena 2017 duuh mpk saiv umri wa mtu ndo mana naona saiv hanaa jamooon duuh
Hajra em tuambie umehisi arufu gn imetok hapo kwny hilo kot
Na hio ndio eulogy ya marehemu koti😂
Mamboo❤❤❤,.
❤❤❤,.
Aiseeee Bora lilivochanwa 😂😂😂😂 n zile za kitenge zichanwe jmn