LIVE: Sukari Tamu na Power BreakFast

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Sakata la Sukari mengi yamezingumzwa na wengi wametoa mitazamo yao, kuanzia kwa raia wa kawaida hadi huko Mjengoni (Bungeni), Mjini Dodoma, mambo yalikuwa mazito.
    Umoja Wa Wazalishaji Wa sukari nchini nao wameibuka huku wakikanusha tuhuma za kuficha Sukari ili kuongeza bei kwa faida yao binafsi.
    Wakati Kila upande ukitoka ufafanuzi wake ipi hatma ya sakata hili, Je Nini kifanyike ili upepo wa Sakata la Sukari utuwame, na hata upatikanaji wake na gharama zake kuwa rafiki...?
    Kwenye #PBCloudsFm tutakuwa na Walter Nguma- Mchambuzi Wa masuala ya Uchumi..
    #Tumekuverify

Комментарии • 1

  • @mahungoamirisalehe4980
    @mahungoamirisalehe4980 2 месяца назад

    Dr slaa ni kiongozi muwazi sana na mkweli na ndio kinacho muangusha mbele ya medani ya siasa ndani ya viongozi wa siasa tanzania