#Live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • #arisendshinetanzania #2024mwakawakutembeachiniyambinguzilizofunguka #mwamposalive
    #tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
    Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
    From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
    WATCH ARISE AND SHINE TV
    AZAM CHANNEL 469
    STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.

Комментарии • 30

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 7 дней назад

    Mungu inua uchumi wangu zaindi,pia nianze kupendeza kwa lazima,pia wachawi,wanaokaa vikao kunimaliza,waishe wenyewe katika jina la yesu..

  • @NeemaMalendeja
    @NeemaMalendeja 7 дней назад

    Amen napokea katika masomo yangu

  • @NeemaMalendeja
    @NeemaMalendeja 7 дней назад

    MUNGU naomba umpe kibali Mme wangu akatoe mahali katika jina la yesu pia katika uchumi wake

  • @NeemaMalendeja
    @NeemaMalendeja 7 дней назад

    MUNGU napokea uponyaji kwa jina la yesu katika masomo yangu ,wazazi wangu na wadogo zangu katika masomo yake

  • @NeemaMalendeja
    @NeemaMalendeja 7 дней назад

    Amen napokea

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 7 дней назад

    Arise and shine mtume naomba bihashara yangu kufunguliwa,na pia maisha yangu ibadrike nmeishi maisha ya kundanga mie naomba mme, wangu mwenyewe sababu maisha ya shinda nimechoka...

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 7 дней назад

    Mungu wa madhimbao ya mwaposa naomba unizaindie npate fare na mimi kutoka kenya ninje kuchukua miujiza yangu..

  • @zakarialemtya3282
    @zakarialemtya3282 7 дней назад

    Mungu mwambosa naamini nyaonzangu zitakombolewe leo na ndoa yangu itakombolewa emeee

  • @AsiaRamadhan-dr2uu
    @AsiaRamadhan-dr2uu 6 дней назад

    Amen 🙏

  • @MwajumaZuberi-xd4gq
    @MwajumaZuberi-xd4gq 6 дней назад

    NAtaka nipate nafas ya kumuona mungu kiroho najiungamanisha na madhabahu hii Kwa jina la yesu

  • @NeemaMalendeja
    @NeemaMalendeja 7 дней назад

    E MUNGU napokea uponyaji wa kizazi changu napokea 🤰🤰🤰🤰kwa jina la yesu
    Pia uponyaji ndoa zote nilizofungishwa bila kujua kwa jina la yesu

  • @ApsianaMmbago
    @ApsianaMmbago 6 дней назад

    Mtumishi naomba umaombi juyangu mama yangu kapalalaizi mguu namkono naomba katka ibadahii kombowa familia

  • @BarakaMwashambwa
    @BarakaMwashambwa 7 дней назад

    Naomba uniponye kwajina lako niweze kuitwa mama mana nahangaika sana napokea uponyaji

  • @NajmaNajma-rn5pe
    @NajmaNajma-rn5pe 7 дней назад

    Mungu wa mwambosa naomba nisaidie...na watoto wangu unitowe katika maisha magnum

  • @ApsianaMmbago
    @ApsianaMmbago 6 дней назад

    Mtumishi wamungu naomba maombi mm na mama Angu mama kapalalaizi mkono namguu kwamaombi yako mama atatembea Tena kwaimani

  • @NeemaMalendeja
    @NeemaMalendeja 7 дней назад

    Napokea 🤰🤰 girl baby this year in Jesus name

  • @NajmaNajma-rn5pe
    @NajmaNajma-rn5pe 7 дней назад

    Nauganisha mwanagu jumaa na Modi na meju na Richard mungu katika maisha ninaye pitia nisamehe na uniponya na kupigania usiku na mchana

  • @LeahMwambuch
    @LeahMwambuch 7 дней назад

    Napokea kwa jina la Yesu

  • @user-yg3ob6hr6y
    @user-yg3ob6hr6y 7 дней назад

    Napokea kwa jina LA yesu

  • @lilyabel2320
    @lilyabel2320 7 дней назад

    Napokea upako Kwa jina la Yesu kristo

  • @Nyinawabera-cy4be
    @Nyinawabera-cy4be 7 дней назад

    Naomba mungu Kila nae mdai anitafute mwenyewe

  • @LightnessMsifuni
    @LightnessMsifuni 7 дней назад

    Napokey Kwa jina layesu

  • @NeemaMalendeja
    @NeemaMalendeja 7 дней назад

    Napokea uponyaji 🤰🤰

  • @pendorichard6800
    @pendorichard6800 7 дней назад

    Na mm leo napokea🙏

  • @gracenjeri4958
    @gracenjeri4958 7 дней назад

    Naomba mungu wa mathehebu James waithaka na Ruth mwenda waerewa wakae pamoja pila shinda yeyote waithaka anse kumiss Ruth mkewe kesi ya wanawake inje imeisha.atakuwa mume sahihi waerewane visuri na Ruth kabisa.lea wapate furaha ya kama mwanzo

  • @mrskhalfanally
    @mrskhalfanally 7 дней назад

    Najiunganisha

  • @AsiaRamadhan-dr2uu
    @AsiaRamadhan-dr2uu 6 дней назад

    Mukesha uyu sitousahau

  • @Bongolflex
    @Bongolflex 7 дней назад

    Mtume naomba uniombee Nina Fanya KAZI miaka Saba Sasa siendelei

  • @Nyinawabera-cy4be
    @Nyinawabera-cy4be 7 дней назад

    Lazima njripwe madeni yote

  • @NeemaMalendeja
    @NeemaMalendeja 7 дней назад

    E MUNGU naomba uponyaji katika ugovi wa wazazi wangu na ndugu za wazazi wangu