#Live
HTML-код
- Опубликовано: 5 июл 2024
- #arisendshinetanzania #2024mwakawakutembeachiniyambinguzilizofunguka #mwamposalive
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
Mungu inua uchumi wangu zaindi,pia nianze kupendeza kwa lazima,pia wachawi,wanaokaa vikao kunimaliza,waishe wenyewe katika jina la yesu..
Amen napokea katika masomo yangu
MUNGU naomba umpe kibali Mme wangu akatoe mahali katika jina la yesu pia katika uchumi wake
MUNGU napokea uponyaji kwa jina la yesu katika masomo yangu ,wazazi wangu na wadogo zangu katika masomo yake
Amen napokea
Arise and shine mtume naomba bihashara yangu kufunguliwa,na pia maisha yangu ibadrike nmeishi maisha ya kundanga mie naomba mme, wangu mwenyewe sababu maisha ya shinda nimechoka...
Mungu wa madhimbao ya mwaposa naomba unizaindie npate fare na mimi kutoka kenya ninje kuchukua miujiza yangu..
Mungu mwambosa naamini nyaonzangu zitakombolewe leo na ndoa yangu itakombolewa emeee
Amen 🙏
NAtaka nipate nafas ya kumuona mungu kiroho najiungamanisha na madhabahu hii Kwa jina la yesu
E MUNGU napokea uponyaji wa kizazi changu napokea 🤰🤰🤰🤰kwa jina la yesu
Pia uponyaji ndoa zote nilizofungishwa bila kujua kwa jina la yesu
Mtumishi naomba umaombi juyangu mama yangu kapalalaizi mguu namkono naomba katka ibadahii kombowa familia
Naomba uniponye kwajina lako niweze kuitwa mama mana nahangaika sana napokea uponyaji
Mungu wa mwambosa naomba nisaidie...na watoto wangu unitowe katika maisha magnum
Mtumishi wamungu naomba maombi mm na mama Angu mama kapalalaizi mkono namguu kwamaombi yako mama atatembea Tena kwaimani
Napokea 🤰🤰 girl baby this year in Jesus name
Nauganisha mwanagu jumaa na Modi na meju na Richard mungu katika maisha ninaye pitia nisamehe na uniponya na kupigania usiku na mchana
Napokea kwa jina la Yesu
Napokea kwa jina LA yesu
Napokea upako Kwa jina la Yesu kristo
Naomba mungu Kila nae mdai anitafute mwenyewe
Napokey Kwa jina layesu
Napokea uponyaji 🤰🤰
Na mm leo napokea🙏
Naomba mungu wa mathehebu James waithaka na Ruth mwenda waerewa wakae pamoja pila shinda yeyote waithaka anse kumiss Ruth mkewe kesi ya wanawake inje imeisha.atakuwa mume sahihi waerewane visuri na Ruth kabisa.lea wapate furaha ya kama mwanzo
Najiunganisha
Mukesha uyu sitousahau
Mtume naomba uniombee Nina Fanya KAZI miaka Saba Sasa siendelei
Lazima njripwe madeni yote
E MUNGU naomba uponyaji katika ugovi wa wazazi wangu na ndugu za wazazi wangu