KIMENUKA; KIGOGO AMTAJA KIONGOZI MKUBWA AMBAE SIO MTANZANIA ANASUKA NJAMA KALI ZA KUA RAIS 2030

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • KIMENUKA; KIGOGO AMTAJA KIONGOZI MKUBWA AMBAE SIO MTANZANIA ANASUKA NJAMA KALI ZA KUA RAIS 2030
    #kigogo2014 #mkuuwamajeshi

Комментарии • 91

  • @CrispoSeko
    @CrispoSeko 7 месяцев назад +3

    Ni hatari kuliko watu wanavyofikiria,lazima wote wavuliwe (fished)

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 7 месяцев назад +8

    Hasa Rwanda wapo kwenye Taifa letu , DRC, Burundi, wapo kwenye uongozi, ndani ya Taifa, mmoj yupo Uganda alikuwa mwanasheria mkubwa, mikoani Wapo wengi ndani ya serikali aibu kubwa sana ndani ya Taifa letu, ndani ya siasa wapo

    • @davidlyamboko7477
      @davidlyamboko7477 7 месяцев назад +1

      Siku wanatugeuzia kibao ndo tutajua hatujui. Cha muhimu wawepo hapa nchini kihalali, haikatazwi kuja na KUISHI. Hivi unaweza kwenda kwa Kagame ukaingia tu hivi hivi, thubutu.

    • @felixmugambi2237
      @felixmugambi2237 3 месяца назад

      Wewe ni mwenda wazimu ,kiongozi anaweja Toka popote,kwani inchi ni yako kwasababu urijariwa hapo unafikiria inchi ni yako,Kila mtu Ako na haki yakufanya kazi popote nduniani.

  • @dicksonshenkalwa5470
    @dicksonshenkalwa5470 6 месяцев назад +2

    Tatizo uongozi wa juu wanawaza ufisadi tu safari nyingi kwenda nje. Akili za kuuweka chi salama hamna. Mungu tusaidie.

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 14 дней назад

    Yaani mna maanisha January Makamba atarudi Burundi?

  • @BlessAdili
    @BlessAdili 6 месяцев назад

    Jarib kupunguza maneno toa hoia pls

  • @mohammedihamisi3493
    @mohammedihamisi3493 6 месяцев назад +1

    mama kapendeza sana

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 7 месяцев назад +4

    Mbona kule znz wapo watanganyika mpaka rais wa mkuranga alaa kumbe nyie kweni inawauma sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 месяцев назад +1

    Hivi kwa nini hamtaji huyo mtu? Kama mnamficha jina mna maana gani? Huo ni unafiki, Kama mtu amefanya visivyo anatajwa kwa majina kwa nini tunamficha?

  • @GeraldMartin-kp2yz
    @GeraldMartin-kp2yz 6 месяцев назад

    Hatupo makini siku zote! Huku Karagwe wakimbizi walitutangulia kupata Kadi za NIDA, na wenyeji wengi wao hawajazipata hata sasa.

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 6 месяцев назад

    MAJUNGU !! @MAJUNGU

  • @KhalidyHamisi
    @KhalidyHamisi 6 месяцев назад +2

    kama babu yake kazaliwa burundi au congo au Rwanda baba ake kazaliwa Tanzania mwache aongoze inchi kwani kunaubaya gani?

    • @OnesmoSimon-
      @OnesmoSimon- Месяц назад

      8:40
      Ndo apo Sasa ushangae ..
      Mtu kazaliwa Tanzania kasoma Tanzania Elimu zote mpaka akawa waziri mlikuwa wapi..

  • @samweldoe5750
    @samweldoe5750 6 месяцев назад

    Kwa nini hammtaji huyo kigogo, imebaki kigogo kigogo majungu tu.

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 14 дней назад

    Nchi zinazo endelea duniani mambo kama hayo hayakuwagi tena wapo Watanzania kote duniani baadhi wanafanya kazi sehemu nyeti za serekalini.

  • @PrivaAgust
    @PrivaAgust 2 месяца назад +1

    Wataje.

  • @MajdiChowe
    @MajdiChowe Месяц назад

    Tunataka aongee mwenyewe saut yake ya kigogo

  • @charlesphilipo3533
    @charlesphilipo3533 7 месяцев назад +5

    Mtaje watu wajue ,,,,umbea hatutaki ,,,,,watajeeeee

    • @davidlyamboko7477
      @davidlyamboko7477 7 месяцев назад

      Katavi tarehe xy/2020, mkimbizi alikamatwa na mtambo wa kutengeza silaha. Anajiita RAMBO, Big up KUU Katavi kwa kumnusa. Ipo You tube

  • @JoblessMillionaireMakolo-jb7xo
    @JoblessMillionaireMakolo-jb7xo 7 месяцев назад +3

    Serikali nchi imeshawashinda hii bora waanzishe serikali ya mseto kubaini maovu,nashangaa nchini kwetu mtu mzima anaenda uhamiaji apate japo namba ya NIDA wakati nchi za wenzetu mtoto akizaliwa tu anapewa namba ya NIDA kwenye cheti chake cha kuzaliwa ilimradi tu km wazazi wa mtoto huyo wamepeleka vyeti vyote na uhamiaji kuhakiki kuwa wazazi wa mtoto huyo ni watanzania halali.

  • @radjabuabunidalrachid1200
    @radjabuabunidalrachid1200 6 месяцев назад

    Nahofuya inchi inaanza kutayarisha mikakati ya vita ,je mnajuwa vitæ kwani hizi nikauli za Wana siyasa ilikuwagiribu raiya wawe na changa moto ya kupiga kelele kwa viongozi unataja vigogo bila majina ilikuficha ufisadi ,kwa kuhofiya hata nduguyo asije kuinguya katika genge lenyewe

  • @radjabuabunidalrachid1200
    @radjabuabunidalrachid1200 6 месяцев назад

    Kinasikitisha kuona hata Leo ndiyo mna anza kuzungumuziya swali la ugeni kuwa viongozi inchini je mnaweza kunipa histori ya viongozi wa jamhuri Walo tanguliya kama nyinyi ni wakweli? Acheni kulagai wanainchi

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 6 месяцев назад

    Mim sasa iv naikubar kaul ya mh ruto ukitaka kuichezea kenya chagua kwenda Jera au hama kenya au usafir kwenda mbingun ata wewe mama najua mama mna huruma lakin hiyo maneno inakufaa vip mama uongoze inch kwa kubembeleza mtu kaleta ujinga ata kama wazir mshughulikie bira huruma

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 6 месяцев назад

    Kwanza ndio maana Hawa midia fek walifukuzwa katika uzinduz wa Tren wanaangalia sana pesa kuliko masilah ya wanainch

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Kweli huu ni ulevi mkubwa sana. Nadhani Inchi hii tena hata sasa hivi mnawapa shida watanganyika hata Bungeni mnawanyanyasa wakina Mpina. Lakini wasomali wana nafasi kubwa hata kumfukuza Mpina bungeni. Sisi hatukuwepo wakati wajukuu wetu watakapo wanateswa na wakimbizi wanaweza hata kinyang'anywa hata Inchi na kuwageuza wawe wakimbizi. CCM najua sasa hivi mnawapigania hao wakimbizi kwa nguvu kubwa kwa sababu wako wageni katika awamu hii mtashangazwa mtakapo endelea na hao wageni kutawala mtakapo tupwa injea kama wakina Mpina ndiyo mtatafakari na itakuwa too late. Wanajeshi tafadhali msiache hili kuwa na mizizi Inchini ni hatari sana. Nadhani mnayaona kwa macho yenu.

  • @JohnMahu-f1g
    @JohnMahu-f1g 7 месяцев назад

    Hzo ni umbea kiongozi hauawe bali mungu anawaua Kwan hawataki haki kwa raia

  • @NimrordEmanuel
    @NimrordEmanuel 6 месяцев назад

    Mbona Waha wa mkoa wa Kigoma mnatuandama lakini Wamakonde wa Mtwara hamuwasemi?

  • @OmanOmani-x5i
    @OmanOmani-x5i 7 месяцев назад

    Habari Ambazo hazina ukweli na ushahidi msizirushe mtandaoni maana huo ni uchochezi na MTU huyo ni nani mbona hamumtaji?

  • @kandoyamitoyababeliministr9745
    @kandoyamitoyababeliministr9745 6 месяцев назад

    Angaisho saaana kesho mtakuwa kama sisi wa Congolese

  • @JoshuakaruJoshuakarumna
    @JoshuakaruJoshuakarumna 6 месяцев назад

    Nikweli k as bisa kamanda chukua atua chap mwishowasku tutaanza kuishi kama kongo

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 7 месяцев назад +1

    Kinana, au ?

    • @davidmkanda9300
      @davidmkanda9300 7 месяцев назад

      𝐾𝑖𝑛𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑖 𝑚𝑎𝑗𝑖 𝑦𝑎 𝑗𝑖𝑜𝑛𝑖

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw 7 месяцев назад

    Makamba au bashe

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 7 месяцев назад +3

    kwani hata watu nwa bara wakiwa zanzibar sini wakimbizi kwani hilo vipi

  • @ThadeyMwacha
    @ThadeyMwacha 6 месяцев назад

    Dah ni hatari sana

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 7 месяцев назад +3

    Channel ina uongo mwingi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Na huyo waziri hata kama simjui hata muonekano wake au mionekano yao inaonyesha wazi. Wanyarwanda wajulikana mpaka wanauza maparachichi mabarabarani humu Dar. Hata kama baba yake alizaliwa hapa kwa nini hawakufanya halalisha kisheria lakini wanajipenyeza kwani nia nini?

  • @hajikadoma1652
    @hajikadoma1652 7 месяцев назад

    Kigogo wa sasa muongo hakuna wakumteka akilihapa

  • @abdallavictory6723
    @abdallavictory6723 7 месяцев назад

    Mbona alipopewa Ukatibu Mkuu K hamkusema?

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 7 месяцев назад

    Kigogo acha uongo sasa hata wewe Babu wa Babu Yako ni mkimbizi tu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 7 месяцев назад

    WENYEWE WAMELALA 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 7 месяцев назад +1

    We ni fala achaga uongo

  • @KhalidyHamisi
    @KhalidyHamisi 7 месяцев назад +1

    Babu yake na babu wameishi hapa inchini baba kazaliwa hapa tanzania mimi mwanae nikazaliwa hapa tanzania mimi nikasoma nikajiliwa sihurusiwi kugombea urais?

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 6 месяцев назад

    Kwanza mim naona yeyote aongoze ata kama katoka mbingun kwani waliopo mbona hamuwatak mnataka kuongozwa na nan au malaika Obama mpaka Leo anakumbukwa na america

  • @felixmugambi2237
    @felixmugambi2237 3 месяца назад

    Ninawaurumia sana Watu weusi mtaerevuka lini , kiongozi unaweja toka popote mbora awe na roho ya untu , na akili timamu,hanaweja toka popote nduniani,

    • @OnesmoSimon-
      @OnesmoSimon- Месяц назад

      Hongera Sana ndugu kwa ujumbe mzurii

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 6 месяцев назад

    Mwenye hii midia nadhan ni mtu anaye filana na mama yake maana story zake nyingi ni za uchochozi

  • @eatlawe
    @eatlawe 6 месяцев назад

    Propaganda tu hizi! CDF atasemaje eti kuna njama badala ya kuzimaliza kimya kimya?

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 7 месяцев назад +1

    Na hawa ndyo hawana uzalendo na hawana huruma na watanzania

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 7 месяцев назад

      Jakaya ni mtanzania mbna sio mzalendo ni fisadi na mafia hatari

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 7 месяцев назад

    Watoto hao, huwa siyo wao. Baba wa mtoto huwa anatoka Nchi aliyotoka mama yake. Hatafanya kosa la kuzaa na wewe.

  • @jameszephaniajames7299
    @jameszephaniajames7299 6 месяцев назад

    Si

  • @SarahSwale
    @SarahSwale 6 месяцев назад

    ujinga

  • @imanimulumbilwa6056
    @imanimulumbilwa6056 7 месяцев назад

    Channel yenu ina udaganyifu mwingi

  • @deputyjeez3629
    @deputyjeez3629 7 месяцев назад

    Mnachekesha sana nyie wa Tz na hili swala la uraia. Kwani nyie ndio wa kwanza kuwa na viongozi wasio wazawa serikalini? Mbona hili swala ni la kawaida sana? Mfano: Mu7 ni mzawa wa Rwanda ila ni rais wa Ug.

  • @MwakabiZumo
    @MwakabiZumo 7 месяцев назад

    Kwanini msiwataje majina mnaficha nini Sasa Ina maana gani kufaamisha wananchi

    • @CrispoSeko
      @CrispoSeko 7 месяцев назад

      Wanaficha kwa nini,uwazi n ukweli ili wajitetee,tuwataje kuanzis leo n wasimamishwe kazi kupisha uchunguzi.

    • @CrispoSeko
      @CrispoSeko 7 месяцев назад

      Wanaficha kwa nini,uwazi n ukweli ili wajitetee,tuwataje kuanzis leo n wasimamishwe kazi kupisha uchunguzi.

  • @MariamuHussen-s4y
    @MariamuHussen-s4y 7 месяцев назад +1

    Aondolew mapem

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 7 месяцев назад +1

    Ama kigogo unautka ww urais??usione tabu tuambie tujue

    • @joshuamfizi4816
      @joshuamfizi4816 7 месяцев назад

      Ligogo naliona ivo,au linatumiwa.Mbona halimtaji au kuwataja

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 7 месяцев назад

    Kk

  • @ezrommoshi9409
    @ezrommoshi9409 7 месяцев назад

    Summary kuwa TISS kutwa wako sokoni na mikusanyiko mingine kutafuta taarifa juu ya wananchi kuandamana haki yao na kuacha tobo wakimbizi.kugombania nafasi kubwa za madaraka inaleta shida hata uchaguzi rahisi kati ya mizaha na mambo mazito ya nchi. Mpaka hapo tumepigwa tayari labda tofsuti ni msgoli tu.

  • @clifftonkamau4439
    @clifftonkamau4439 7 месяцев назад

    Maneno kama hayo ni yakupandikiza mbegu ya utengano kwenye fikra na maneno ya Wananchi ideological subversion Tanzania ni Mti uliopandwa kwa nia yakuleta umoja na kungana ili kuleta famila ya uwanadamu pamoja na kuwa kitu kimoja....

  • @AlanMbilinyi
    @AlanMbilinyi 6 месяцев назад

    HII YOTE YANATOKEA KUTOKUSIKILIZA MAONI YA WANANCHI NA BADO HAYA YATATOKEA DP WOULD NANI ATALAUMIWA ? MAMBO MAKUBWA YATATOKEA KAA VILE WAFANYAKAZI WA BANDARI WATAFUKUZWA KAZI.NK.

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 7 месяцев назад

    Hii media ya kipumbavu sana, tafuteni habari za uhakika kuliko kufuatisha matamko ya watu yasiyo na tafiti Kuma nyie

    • @davidlyamboko7477
      @davidlyamboko7477 7 месяцев назад +1

      Lisemwalo lipo, jiulize pia aliyesema , sio mtu wa mzaha mzaha. Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama ndg.

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 7 месяцев назад

      Amesema wapi mkuu wa majeshi si waweke picha inayomuonyesha akiongea?? Hii media ya kipumbavu sana

  • @johalimustahiq1766
    @johalimustahiq1766 7 месяцев назад

    Kuna msomali

  • @NaomiKauzeni-zq9rs
    @NaomiKauzeni-zq9rs 7 месяцев назад

    ACHA uzushi wewe

  • @kandoyamitoyababeliministr9745
    @kandoyamitoyababeliministr9745 6 месяцев назад

    Angaisho saaana kesho mtakuwa kama sisi wa Congolese