KIMENUKA; KIGOGO AMTAJA KIONGOZI MKUBWA AMBAE SIO MTANZANIA ANASUKA NJAMA KALI ZA KUA RAIS 2030
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- KIMENUKA; KIGOGO AMTAJA KIONGOZI MKUBWA AMBAE SIO MTANZANIA ANASUKA NJAMA KALI ZA KUA RAIS 2030
#kigogo2014 #mkuuwamajeshi
Ni hatari kuliko watu wanavyofikiria,lazima wote wavuliwe (fished)
Hasa Rwanda wapo kwenye Taifa letu , DRC, Burundi, wapo kwenye uongozi, ndani ya Taifa, mmoj yupo Uganda alikuwa mwanasheria mkubwa, mikoani Wapo wengi ndani ya serikali aibu kubwa sana ndani ya Taifa letu, ndani ya siasa wapo
Siku wanatugeuzia kibao ndo tutajua hatujui. Cha muhimu wawepo hapa nchini kihalali, haikatazwi kuja na KUISHI. Hivi unaweza kwenda kwa Kagame ukaingia tu hivi hivi, thubutu.
Wewe ni mwenda wazimu ,kiongozi anaweja Toka popote,kwani inchi ni yako kwasababu urijariwa hapo unafikiria inchi ni yako,Kila mtu Ako na haki yakufanya kazi popote nduniani.
Tatizo uongozi wa juu wanawaza ufisadi tu safari nyingi kwenda nje. Akili za kuuweka chi salama hamna. Mungu tusaidie.
Yaani mna maanisha January Makamba atarudi Burundi?
Jarib kupunguza maneno toa hoia pls
mama kapendeza sana
Mbona kule znz wapo watanganyika mpaka rais wa mkuranga alaa kumbe nyie kweni inawauma sana
Huyu mama ni mtanganyika?
Zanzibar ni Tanzania
Hata huku Tanganyika wapo wa Unguja na Pemba nao ni wakimbizi?
Hivi kwa nini hamtaji huyo mtu? Kama mnamficha jina mna maana gani? Huo ni unafiki, Kama mtu amefanya visivyo anatajwa kwa majina kwa nini tunamficha?
Hatupo makini siku zote! Huku Karagwe wakimbizi walitutangulia kupata Kadi za NIDA, na wenyeji wengi wao hawajazipata hata sasa.
MAJUNGU !! @MAJUNGU
kama babu yake kazaliwa burundi au congo au Rwanda baba ake kazaliwa Tanzania mwache aongoze inchi kwani kunaubaya gani?
8:40
Ndo apo Sasa ushangae ..
Mtu kazaliwa Tanzania kasoma Tanzania Elimu zote mpaka akawa waziri mlikuwa wapi..
Kwa nini hammtaji huyo kigogo, imebaki kigogo kigogo majungu tu.
Nchi zinazo endelea duniani mambo kama hayo hayakuwagi tena wapo Watanzania kote duniani baadhi wanafanya kazi sehemu nyeti za serekalini.
Wataje.
Tunataka aongee mwenyewe saut yake ya kigogo
Mtaje watu wajue ,,,,umbea hatutaki ,,,,,watajeeeee
Katavi tarehe xy/2020, mkimbizi alikamatwa na mtambo wa kutengeza silaha. Anajiita RAMBO, Big up KUU Katavi kwa kumnusa. Ipo You tube
Serikali nchi imeshawashinda hii bora waanzishe serikali ya mseto kubaini maovu,nashangaa nchini kwetu mtu mzima anaenda uhamiaji apate japo namba ya NIDA wakati nchi za wenzetu mtoto akizaliwa tu anapewa namba ya NIDA kwenye cheti chake cha kuzaliwa ilimradi tu km wazazi wa mtoto huyo wamepeleka vyeti vyote na uhamiaji kuhakiki kuwa wazazi wa mtoto huyo ni watanzania halali.
Nahofuya inchi inaanza kutayarisha mikakati ya vita ,je mnajuwa vitæ kwani hizi nikauli za Wana siyasa ilikuwagiribu raiya wawe na changa moto ya kupiga kelele kwa viongozi unataja vigogo bila majina ilikuficha ufisadi ,kwa kuhofiya hata nduguyo asije kuinguya katika genge lenyewe
Kinasikitisha kuona hata Leo ndiyo mna anza kuzungumuziya swali la ugeni kuwa viongozi inchini je mnaweza kunipa histori ya viongozi wa jamhuri Walo tanguliya kama nyinyi ni wakweli? Acheni kulagai wanainchi
Mim sasa iv naikubar kaul ya mh ruto ukitaka kuichezea kenya chagua kwenda Jera au hama kenya au usafir kwenda mbingun ata wewe mama najua mama mna huruma lakin hiyo maneno inakufaa vip mama uongoze inch kwa kubembeleza mtu kaleta ujinga ata kama wazir mshughulikie bira huruma
Kwanza ndio maana Hawa midia fek walifukuzwa katika uzinduz wa Tren wanaangalia sana pesa kuliko masilah ya wanainch
Kweli huu ni ulevi mkubwa sana. Nadhani Inchi hii tena hata sasa hivi mnawapa shida watanganyika hata Bungeni mnawanyanyasa wakina Mpina. Lakini wasomali wana nafasi kubwa hata kumfukuza Mpina bungeni. Sisi hatukuwepo wakati wajukuu wetu watakapo wanateswa na wakimbizi wanaweza hata kinyang'anywa hata Inchi na kuwageuza wawe wakimbizi. CCM najua sasa hivi mnawapigania hao wakimbizi kwa nguvu kubwa kwa sababu wako wageni katika awamu hii mtashangazwa mtakapo endelea na hao wageni kutawala mtakapo tupwa injea kama wakina Mpina ndiyo mtatafakari na itakuwa too late. Wanajeshi tafadhali msiache hili kuwa na mizizi Inchini ni hatari sana. Nadhani mnayaona kwa macho yenu.
Hzo ni umbea kiongozi hauawe bali mungu anawaua Kwan hawataki haki kwa raia
Mbona Waha wa mkoa wa Kigoma mnatuandama lakini Wamakonde wa Mtwara hamuwasemi?
Habari Ambazo hazina ukweli na ushahidi msizirushe mtandaoni maana huo ni uchochezi na MTU huyo ni nani mbona hamumtaji?
Angaisho saaana kesho mtakuwa kama sisi wa Congolese
Nikweli k as bisa kamanda chukua atua chap mwishowasku tutaanza kuishi kama kongo
Kinana, au ?
𝐾𝑖𝑛𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑖 𝑚𝑎𝑗𝑖 𝑦𝑎 𝑗𝑖𝑜𝑛𝑖
Makamba au bashe
kwani hata watu nwa bara wakiwa zanzibar sini wakimbizi kwani hilo vipi
Hii ni Jamuhuri ya muungano wa Tanzania cyo ukimbizi
Kwa hiyo hata Wa unguja na Pemba wakiwa bara ni wakimbizi sio?
Dah ni hatari sana
Channel ina uongo mwingi
Na huyo waziri hata kama simjui hata muonekano wake au mionekano yao inaonyesha wazi. Wanyarwanda wajulikana mpaka wanauza maparachichi mabarabarani humu Dar. Hata kama baba yake alizaliwa hapa kwa nini hawakufanya halalisha kisheria lakini wanajipenyeza kwani nia nini?
Kigogo wa sasa muongo hakuna wakumteka akilihapa
Mbona alipopewa Ukatibu Mkuu K hamkusema?
Kigogo acha uongo sasa hata wewe Babu wa Babu Yako ni mkimbizi tu
WENYEWE WAMELALA 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
We ni fala achaga uongo
Babu yake na babu wameishi hapa inchini baba kazaliwa hapa tanzania mimi mwanae nikazaliwa hapa tanzania mimi nikasoma nikajiliwa sihurusiwi kugombea urais?
Utarudi kwa baba wa baba yako mnk sio Mtanzania.
Kuzaliwa Tanzania tu haitoshi vigezo vya kuwa raia wa Tanzania.
🤣🤣🤣🤣
Kuzaliwa haitosh kuwa raiya
Kwanza mim naona yeyote aongoze ata kama katoka mbingun kwani waliopo mbona hamuwatak mnataka kuongozwa na nan au malaika Obama mpaka Leo anakumbukwa na america
Ninawaurumia sana Watu weusi mtaerevuka lini , kiongozi unaweja toka popote mbora awe na roho ya untu , na akili timamu,hanaweja toka popote nduniani,
Hongera Sana ndugu kwa ujumbe mzurii
Mwenye hii midia nadhan ni mtu anaye filana na mama yake maana story zake nyingi ni za uchochozi
Propaganda tu hizi! CDF atasemaje eti kuna njama badala ya kuzimaliza kimya kimya?
Na hawa ndyo hawana uzalendo na hawana huruma na watanzania
Jakaya ni mtanzania mbna sio mzalendo ni fisadi na mafia hatari
Watoto hao, huwa siyo wao. Baba wa mtoto huwa anatoka Nchi aliyotoka mama yake. Hatafanya kosa la kuzaa na wewe.
Si
ujinga
Channel yenu ina udaganyifu mwingi
Mnachekesha sana nyie wa Tz na hili swala la uraia. Kwani nyie ndio wa kwanza kuwa na viongozi wasio wazawa serikalini? Mbona hili swala ni la kawaida sana? Mfano: Mu7 ni mzawa wa Rwanda ila ni rais wa Ug.
Sisi ndo hatutaki tunatak waTz halisi
Kwanini msiwataje majina mnaficha nini Sasa Ina maana gani kufaamisha wananchi
Wanaficha kwa nini,uwazi n ukweli ili wajitetee,tuwataje kuanzis leo n wasimamishwe kazi kupisha uchunguzi.
Wanaficha kwa nini,uwazi n ukweli ili wajitetee,tuwataje kuanzis leo n wasimamishwe kazi kupisha uchunguzi.
Aondolew mapem
Ama kigogo unautka ww urais??usione tabu tuambie tujue
Ligogo naliona ivo,au linatumiwa.Mbona halimtaji au kuwataja
Kk
Summary kuwa TISS kutwa wako sokoni na mikusanyiko mingine kutafuta taarifa juu ya wananchi kuandamana haki yao na kuacha tobo wakimbizi.kugombania nafasi kubwa za madaraka inaleta shida hata uchaguzi rahisi kati ya mizaha na mambo mazito ya nchi. Mpaka hapo tumepigwa tayari labda tofsuti ni msgoli tu.
Maneno kama hayo ni yakupandikiza mbegu ya utengano kwenye fikra na maneno ya Wananchi ideological subversion Tanzania ni Mti uliopandwa kwa nia yakuleta umoja na kungana ili kuleta famila ya uwanadamu pamoja na kuwa kitu kimoja....
Na wewe ndo mmoja wao sio
Hyo nae ndo wale wale
HII YOTE YANATOKEA KUTOKUSIKILIZA MAONI YA WANANCHI NA BADO HAYA YATATOKEA DP WOULD NANI ATALAUMIWA ? MAMBO MAKUBWA YATATOKEA KAA VILE WAFANYAKAZI WA BANDARI WATAFUKUZWA KAZI.NK.
Hii media ya kipumbavu sana, tafuteni habari za uhakika kuliko kufuatisha matamko ya watu yasiyo na tafiti Kuma nyie
Lisemwalo lipo, jiulize pia aliyesema , sio mtu wa mzaha mzaha. Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama ndg.
Amesema wapi mkuu wa majeshi si waweke picha inayomuonyesha akiongea?? Hii media ya kipumbavu sana
Kuna msomali
Huyo waziri wa kilimo ni msomali
ACHA uzushi wewe
Angaisho saaana kesho mtakuwa kama sisi wa Congolese