MKOJANI _AMFANYA VIBAYA BINAMU YAKE | INASIKITISHA SANA DUNIA IMEKWISHA [ BINAMU Eps 1].
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2021
- Karibu kuitazama hii Full movie itakayokua na Episodes 4 humu MKOJANI Ameonyesha roho mbaya sana kwa mpwae GALASA lakini pia Penzi la SAUDA na GALASA la fikia patamu wakati SAUDA nae akipitia wakati mgumu sana na Shangazi yake.
#Mkojani #Binamu #Galasa Развлечения
mkojani eeeeh huyu dada yupogo vizuri sana aseeee namkubali hajawahi kukuangusha kwene sin yoyote
Aliye sikia tunanua smart phone tunakaa vizur tunapiga mamaj mamaj 😂😂😂😂 mkojan nyoko kweli
Team mkojani nyote kazi nzuri
Eagerly waiting
Mke mangwa kafanya na madebe huyu dada nakuaminia sana mrembo👊
Nzuri saana tunaomba muendelezo mngewaisha
Nakuli nakubl
hhaha mamajei mamajei😂😂😂😂
Safi sana
KENYA TWAWAPENDA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sawa umetisha sana . Kupasha vipolo moto
Eti tunatafuta smartphone tunapiga moja, mama j mama j hahaa😂😂😂
Nakuona mkojani
Hahahah mwanya Kam uchochoro🤣🤣🤣🤣😂
Asanteeee sanaaa kwa kazi hii nzuri
Safi sana
Utajiri wa punje daah umenikumbusha mbali sanaa mkojani eti maji ya jioni nistiri samaki wataozaa
😂😂😂😂😂 mkojani ww ni 🔥🔥 🔥 et tunapasha kiporo
Nimekipenda Sana'a hichi kibinti kilicho suka mabutu kinasula nzurii.mmwaaaa
Haaaaa haaaaaa Nitamfikishia salamu za kupendwa
Nimecelewa ila munaweza aice nice
Kenya Twawapenda
Upudooo chang'ombe HØØĎ
Sheria kali mzee wangu Upudo
🔥🔥🔥
Nawapenda jamn Mmwaaa
Moto mkubwa sana
Wajera jera 😂😂😂#original
Hahahaa maji ya jioni samaki wataoza mkojanii wee wanimaliza
Tamu
kazi safi Rai tv
Hahaha kina diamond jux marioo
Nzuri
🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aki nimechek wallah jamn like zangu jmn
Aki izo nguo za mkonjani ni noma 😂😂😂😂
Maji ya jioni samaki wataoza bhana tupeni maan tusio jua
Mkojani.fala Sana eti tupashe kipolo 😃😃😃😃
SCRIPT IMETULIA SANA...BIG UP KWA DIRECTOR NA WAIGIZAJI WOTE.
Asnt kaka
Nataka nchanganye damu,maji ya jioni samaki wataoza hao,njoo tupashe kiporo moto😂😂😂😅🤣
💥💥💥💥💥💥💥💥💥
sauda mzuriii mwaaa
😂😂😂😂 mkojani ataka kuekwa
Maji ya jioni sio 😂😂
Kukokeana moto
V6 PRO
Show show
Binaaaaaaam haaa haaa
Nakukubali mwangu unajua sana
Ckuping family kubw mchaw chumvi2 ap mwanang
Baba j na mama j
M mechoka kushusha mijiwe juu ya bati.🤭😅😅😅 galasa
🤗
Maji ya jioni samaki wataoza😂😂😂
Sema huyu Sauda me namuelewaaa !!!.
Balaa zito
Akili kubwa Galasa
Muendelezo vp mbona sijaupataa
Kina #Baruti
😍😍😍😍
Ahahaha
Siyo mkaa umenituma maji acha kuiga umenituma maji😄😄😄😄😄
Unakotora mhhhhhhhhh
😂😂😂😂😂
Mambo mengine mko poa kabisa
Mambo engine moo poa kabisa
Ma nunu
Nisitil maji ya jion samaki wataoz
Movie nzuri sang ila RAI TV mnaboa kila bada ya kama sekunde 20 mna weka tangazo lenu kwa kweli mnaboa jitaidini kuwa profesional ila mambo mentine mio poi kabina
@Fazoo Hayo matangazo yanwekwa na youtube sio mimi
@@raitv2690 siyo kweli matangazo ya rai subscribe
Sasa hayo Boss yanakukera nayo Duuh haya asant tunalifanyia kazi
Tutakua hatuek
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha tupoze kiporo moto ichoo samaki wataoza haoo😂😂😂😂
😂😂😂
Ww
Manunu
🔥🔥🔥🔥🔥
Muendelezo vp mbona sijaupataa