Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
😂😂😂mkojani na tin mkikutana ni full kucheka aise nawapongeza kwa kazi nzuri Oso mko vizuri wasipowapa tuzo ndo nitajua bongo nyoso
Kwel kabisa
1st to comment naombeni likes zenu from+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Karibu TANZANIA Kaka pace and love
Jmn hamjawah kunipa at like moja jamn namim leo naombeni
Bado ngp
Movi nzuri sana
Nakupenda
Naomba mmoja aniambie jmn ety hizi like wanaombaga zinafaida gn sory maana naweza acha chance kumbe wanzangu wanapata kitu jibu jmn tafadhali sana
Oya bwana ee mmecheza bonge la move
Noma hii mie kaikubali kinoma yani
Yaan mm kwenye hiz movie zen asipokuwepo mkojan aki siangalui🤣🤣🤣
Najikuta nacomment kabla ya kuangalia hii movie 😂😂😂😂😂😂😂😂 Wenda wazimu Hawa dah😅😅😂😂
Zunde unajua kunasiku utakuja kuuwa mtu na kicheko mbavu zote zkatoka😂😂😂
Shukran oso ndani ya damam city
Much respect broo
😂😂😂😂😂 Yani nyie Mnajua kuumiza mbavu za watu
Muko vizuri sana
Mkojani🔥🔥🔥🔥😆 atal sana
Imekaa poa sna
From USA +1
Kazi nzur
Nyie wapumbavu mtatuvunja mbavu 🤣🤣🤣🤣
FURAHA YANGU hadi leo kimya hamjaweka
Oso mtu mbad na mkojan hamjawai kutuangusha keep it up guyz
Urasa kumbe mwajuma naomben like ata 10
Tin vs mkojani mmeuwa🔥🔥
Unanitepwelesha ulete janaume😆😆mkojan bhana
Mkojani hajawahi fanya kitu kukwama,mtaalamu 🔥🔥🔥
Sio Siri mabroh huwa mnanifuraisha sana! Nawaelewa kinomaa
Oyoooo
Wa Kwanza naomba like zenu
💖 oso eee nyie hamn mpizani
Nakubal Sana mkojani🙏🙏
Oso huyu dem mke wamkojani anajua sana
Tunashkuru sana on behalf
Nataka kujua huyu ni mzanzibar 😂😂😂kweli AMA anaigiza tu
Anaigiza tu
oso,upande wangu kama vile sauti iko chini sana kaguweni inayo fwata
😄😄😄😄😄😄😄😃 huku nahuku kofi
Mkojani:Poleni jamani jamani poleni sahani shemeji 😂😂😂😂😂😂 tin:ebana twende naona apa so sawa
Lakn part 3 to 4 zina goma sana sj kwa nn
Jaman mzee ulasa huyo kwiooo
nzur sana
Hahahahaaa mkojaniiiì
Finally am home after three good months of line on duty I can finally watch my favourite comedy show,much love from 254 kenya.
Thanks for your support
Shuuubaaamiiitiiii 😂😂😂 walivyo gawanyika jamaa utazani kuna njia panda kila mtu kachukua njia yake 😁😁😁 mijusi ya salamanda...Oya wewe usione mimi sina akili kama una mwanamume wako kamlete basi haya siendi sasa kamdanganye bebeeeruuuu....!!!!
😂😂😂😂mijusi
et kuzaliwa tanga isiwe sababu😅..mtuachee one love bro tinn
Baxi ni nisipo rudi leo naweza rudi keshoo😂akapewa siku tano 😂kagoma
Mi nimependa kilemba cha tin jamani 🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiii
Iyo kali Sana kk Tini white
Mkojani and Tim White your the best keep up 🇬🇧🇬🇧
Nimefurahi Sanaaaaa Daaaaa
Habithil amal😁
Hahaha noma sana
Tondoke hapa syo sehemu salama 🤣🤣🤣🤣Tin utaniua🙌
Shukran OSO Johannesburg 🇿🇦🇿🇦i 🔥🔥
ruclips.net/video/AtUbtKzREsQ/видео.htmlWivu
Thanks for the compliment
Mama mkojani fundi sana
Wazee wa kazi
Nomaa sanaa wakwanza leo
Mkojani unatuangaisha mashabiki zako jinsi ya kupat movie zako imekua tatizo
Hhhh dah 🤣🤣🤣
Yani mkojan tin samof nawengin nyot kak nyiny munavipaj nasis tunawapenda san
Mkojani na ten mko vizur unanogesha move
Ndo naanza jamani hapa ni full kuceka tu
Kuna zawadi gani ukiwa wa 1 kucomment
Mkojaniiiiiiiii
Kuna watu wanaharibi kaz zenu oso jitahidini filams zenu zisivuje
Eeeh wanaziandika majina mengine ukiangalia kushaiona
hahahahaaaa kazi nzuri mkojani na tin white nawapenda
mwajuma mwenyewe sas😃😃😃
Nimecheka hadi basi🤣🤣😭😭
Tupen vitu jaman tunawamic mmekua kimya
Uchawi nisiujue😂😂
Muko one 🔥🔥🔥
Aiseeee tin na kipupwe nyie ndio majemedali wa bongo move saiz ,nawakubali Sana
Hatari muko fire
XoXo
Bora ata mmetoa, nlikua nimewamiss vichaa wangu 😂😂😂
Eti je kungekuwa na barani za kulipua mabom si angelipua
Part2 naisubiri kwa ham
Tayari na nyingine tunaziweka zote.thanx for your support
@@OSOONLINETV Ringo vip mfanye kumjoin
Kumbe ng'ombe hunijui enhh enhh
Tin na mkojani noma
Tuna miss Ringo 😒🤬
Sure bro umeongea point ujue
0so nyie ni habari nyingine kabisa
Thanks boss..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkojaniiii
Nzuri
Mngebadilishana ingependeza zaidi
Aliyecheka tini alipo guswa mgongoni a like apa
Namkubali saana kidoti dada yangu
😁😀😀😀like kwa Mzee ulasa
kamdanganye beberuu...msemo wa kitaambo 😁😁
Kamdanganye beberu...
Jamn tumemmc ringo,,jamn oso vp mnariangaloaje hili
Tinwhite all day 👊🏾
😘😘😘💕🔥🔥🔥
Maaluni ng'ombe wewe
Mungu awape ujuzi mwingi
Siondokiii 😂😂
Mzeee Urassa
mkojani bin darwesh bin tarbush
🤗🤗🤗
😍😍😘
Mnafurahisha sana tena sana mawazo yanatuppungua
Kweli kabisa😂😂😂
Aaaah watatuua hawa watu jaman
Jaman Tin kwa kunyatia
🤣👍👍👍👍👍
Part 4 please 🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
TIN bwana!!! eti sasa kama kungekuwa na batan za kuripua mabomuu!!
😂😂😂mkojani na tin mkikutana ni full kucheka aise nawapongeza kwa kazi nzuri Oso mko vizuri wasipowapa tuzo ndo nitajua bongo nyoso
Kwel kabisa
1st to comment naombeni likes zenu from+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Karibu TANZANIA Kaka pace and love
Jmn hamjawah kunipa at like moja jamn namim leo naombeni
Bado ngp
Movi nzuri sana
Nakupenda
Naomba mmoja aniambie jmn ety hizi like wanaombaga zinafaida gn sory maana naweza acha chance kumbe wanzangu wanapata kitu jibu jmn tafadhali sana
Oya bwana ee mmecheza bonge la move
Noma hii mie kaikubali kinoma yani
Yaan mm kwenye hiz movie zen asipokuwepo mkojan aki siangalui🤣🤣🤣
Najikuta nacomment kabla ya kuangalia hii movie 😂😂😂😂😂😂😂😂 Wenda wazimu Hawa dah😅😅😂😂
Zunde unajua kunasiku utakuja kuuwa mtu na kicheko mbavu zote zkatoka😂😂😂
Shukran oso ndani ya damam city
Much respect broo
😂😂😂😂😂 Yani nyie Mnajua kuumiza mbavu za watu
Muko vizuri sana
Mkojani🔥🔥🔥🔥😆 atal sana
Imekaa poa sna
From USA +1
Kazi nzur
Nyie wapumbavu mtatuvunja mbavu 🤣🤣🤣🤣
FURAHA YANGU hadi leo kimya hamjaweka
Oso mtu mbad na mkojan hamjawai kutuangusha keep it up guyz
Urasa kumbe mwajuma naomben like ata 10
Tin vs mkojani mmeuwa🔥🔥
Unanitepwelesha ulete janaume😆😆mkojan bhana
Mkojani hajawahi fanya kitu kukwama,mtaalamu 🔥🔥🔥
Sio Siri mabroh huwa mnanifuraisha sana! Nawaelewa kinomaa
Oyoooo
Wa Kwanza naomba like zenu
💖 oso eee nyie hamn mpizani
Nakubal Sana mkojani🙏🙏
Oso huyu dem mke wamkojani anajua sana
Tunashkuru sana on behalf
Nataka kujua huyu ni mzanzibar 😂😂😂kweli AMA anaigiza tu
Anaigiza tu
oso,upande wangu kama vile sauti iko chini sana kaguweni inayo fwata
😄😄😄😄😄😄😄😃 huku nahuku kofi
Mkojani:Poleni jamani jamani poleni sahani shemeji 😂😂😂😂😂😂 tin:ebana twende naona apa so sawa
Lakn part 3 to 4 zina goma sana sj kwa nn
Jaman mzee ulasa huyo kwiooo
nzur sana
Hahahahaaa mkojaniiiì
Finally am home after three good months of line on duty I can finally watch my favourite comedy show,much love from 254 kenya.
Thanks for your support
Shuuubaaamiiitiiii 😂😂😂 walivyo gawanyika jamaa utazani kuna njia panda kila mtu kachukua njia yake 😁😁😁 mijusi ya salamanda...Oya wewe usione mimi sina akili kama una mwanamume wako kamlete basi haya siendi sasa kamdanganye bebeeeruuuu....!!!!
😂😂😂😂mijusi
et kuzaliwa tanga isiwe sababu😅..mtuachee one love bro tinn
Baxi ni nisipo rudi leo naweza rudi keshoo😂akapewa siku tano 😂kagoma
Mi nimependa kilemba cha tin jamani 🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiii
Iyo kali Sana kk Tini white
Mkojani and Tim White your the best keep up 🇬🇧🇬🇧
Nimefurahi Sanaaaaa Daaaaa
Habithil amal😁
Hahaha noma sana
Tondoke hapa syo sehemu salama 🤣🤣🤣🤣Tin utaniua🙌
Shukran OSO Johannesburg 🇿🇦🇿🇦i 🔥🔥
ruclips.net/video/AtUbtKzREsQ/видео.html
Wivu
Thanks for the compliment
Mama mkojani fundi sana
Wazee wa kazi
Nomaa sanaa wakwanza leo
Mkojani unatuangaisha mashabiki zako jinsi ya kupat movie zako imekua tatizo
Hhhh dah 🤣🤣🤣
Yani mkojan tin samof nawengin nyot kak nyiny munavipaj nasis tunawapenda san
Mkojani na ten mko vizur unanogesha move
Ndo naanza jamani hapa ni full kuceka tu
Kuna zawadi gani ukiwa wa 1 kucomment
Mkojaniiiiiiiii
Kuna watu wanaharibi kaz zenu oso jitahidini filams zenu zisivuje
Eeeh wanaziandika majina mengine ukiangalia kushaiona
hahahahaaaa kazi nzuri mkojani na tin white nawapenda
mwajuma mwenyewe sas😃😃😃
Nimecheka hadi basi🤣🤣😭😭
Tupen vitu jaman tunawamic mmekua kimya
Uchawi nisiujue😂😂
Muko one 🔥🔥🔥
Aiseeee tin na kipupwe nyie ndio majemedali wa bongo move saiz ,nawakubali Sana
Hatari muko fire
XoXo
Bora ata mmetoa, nlikua nimewamiss vichaa wangu 😂😂😂
Eti je kungekuwa na barani za kulipua mabom si angelipua
Part2 naisubiri kwa ham
Tayari na nyingine tunaziweka zote.thanx for your support
@@OSOONLINETV Ringo vip mfanye kumjoin
Kumbe ng'ombe hunijui enhh enhh
Tin na mkojani noma
Tuna miss Ringo 😒🤬
Sure bro umeongea point ujue
0so nyie ni habari nyingine kabisa
Thanks boss..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkojaniiii
Nzuri
Mngebadilishana ingependeza zaidi
Aliyecheka tini alipo guswa mgongoni a like apa
Namkubali saana kidoti dada yangu
😁😀😀😀like kwa Mzee ulasa
kamdanganye beberuu...msemo wa kitaambo 😁😁
Kamdanganye beberu...
Jamn tumemmc ringo,,jamn oso vp mnariangaloaje hili
Tinwhite all day 👊🏾
😘😘😘💕🔥🔥🔥
Maaluni ng'ombe wewe
Mungu awape ujuzi mwingi
Siondokiii 😂😂
Mzeee Urassa
mkojani bin darwesh bin tarbush
🤗🤗🤗
😍😍😘
Mnafurahisha sana tena sana mawazo yanatuppungua
Kweli kabisa😂😂😂
Aaaah watatuua hawa watu jaman
Jaman Tin kwa kunyatia
🤣👍👍👍👍👍
Part 4 please 🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
TIN bwana!!! eti sasa kama kungekuwa na batan za kuripua mabomuu!!