Uyu jamaa story yake ya maisha ukiskia lazima itakupa muinuko mkali wa imani na kupambana bila kujua wapi umetoka alishakataliwa mpaka na mama yake mzazi alomzaa ivo kumkataa wewe haina mashiko kwake
Bado mchanga usianze mabif ,araf usimzungumzie mtu vibaya kwenye inter v,waandish wa habari wana maswari ya uchonganishi usipojielewa utaongeza maadui siku baada ya siku,hata kama mtu kakutenda malizana nae mwenyewe usikimbilie vyombo vya habari ,utapunguza mashabib
Usiwe muongeaji sana bado sana wewe,pambana kwanza miaka kumi mbele ndo uanze kuongea mimi shabik yako usipotulia ukaanza mabif,kitu kidogo unalopoka ntakukataa mwanaume kuwa na kaba sio kila maumivu uyatangaze
Moja kati ya Dancer Anayejitambua kinoma
Nakukubali sana nyori piano, TEAM NYORI PIANO and me nmekujua kupitia nyimbo hy ya soup❤
Nakubali kaka "Afande Mura " mkali wa hizi kazi Jackson Masumbuko Wambura is watching
Uyu jamaa story yake ya maisha ukiskia lazima itakupa muinuko mkali wa imani na kupambana bila kujua wapi umetoka alishakataliwa mpaka na mama yake mzazi alomzaa ivo kumkataa wewe haina mashiko kwake
Ww smart sana kijana
Ila mondi jameni mungu akubaliki sana maana we unasaidia wengi
Chino ni mkubwa sana❤❤❤❤
CHINO WANA MAN🔥🔥🔥
Komaa mwana utatoboa 2"
😮
Nazidi kuamini kuwa maisha yanawezekana ukiamua ni jinsi ulivyojiweka tuu
Meja akikusikia atakuvutia ki2
Jamaa wa samakisamaki
Mmmh chino Hana hizo pigo Kwa hapo mmh
Dogo anajichanganya sanaaaa😂
Beach boe we mshamba tuuu😂😂
Piano we zombie 🧟♂️
Bado mchanga usianze mabif ,araf usimzungumzie mtu vibaya kwenye inter v,waandish wa habari wana maswari ya uchonganishi usipojielewa utaongeza maadui siku baada ya siku,hata kama mtu kakutenda malizana nae mwenyewe usikimbilie vyombo vya habari ,utapunguza mashabib
Uyu kijana hana akili
Hajui maana ya give back to sponsor
Kwaiyo mtu akikosea Hana akili
Mutembelee channel yangu
Usiwe muongeaji sana bado sana wewe,pambana kwanza miaka kumi mbele ndo uanze kuongea mimi shabik yako usipotulia ukaanza mabif,kitu kidogo unalopoka ntakukataa mwanaume kuwa na kaba sio kila maumivu uyatangaze
Kuma sana uyu mtoto hakumbuki alipotokea
Huyo dogo nikama harmonize hakumbuk fadhila
dogo gani watz weng wasenge mtu asfany kazi bure akale wapi
@@kelvinwilfred-p2e msenge niww na mama yako aliekuzaa mtoto kicha kikubwa hakili mavi ya choon😂😂😂😂
Acha hizo sasa mtu kisa umemsaidia ndio afanye kazi yako bure
Usitukane ongea na umshauri.
We dogo na wewe fala sana
Dah safiiiii jamaa nmependa Kitu Toka kwake Yuko REAL sio FAKE 🤜
Chino mpumbavu,ustar umemjia vibaya
Ulikuwa una elfu sita mara ukatunzwa mara hela ulikuwa unaweka kwenye kapet mbona uongo
Nakumbuka .alivyojielexea alikataliwa mpaka na mama yake
Sema dogo ulikaa kwa mwamba mwezi mzima! Chino kajipata recently tu mbona
Unajua man
Nyori anajua kuji eleza
Kuwa makini kijana
Kipindi hiko chino alikuwa anajitafuta saivi yupo vizuli
Mhhhhhh kumekucha jamn traffic nini tena jamn
Wivu tu
Mkali wa misimu yote❤❤❤❤
Huyu nae ampige nan kabla hajapigana nae chino ngoja nije mie kwanza tukutane mbaraga njia ya ng`ombe sio mbaya
Kupigana ni mambo ya kizamani.Akipata matatizo mjue mnafuatwa?
uko wapi nkufate tupigane