BONGO STAR SEARCH DAILY SHOW MWANZA MONDAY
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Развлечения
Jamaa wa Africa beauty ni nomaa nilitaman aimalizie iyo nyimboo ( i likee
ommy uko vizuri sana sana wanajifanyaje waingereza>kiingereza chenyewe hawakijui>tujitahidi kuunga mkono kiswahili chetu,na tukitangaze kimataifa.
Bongo Star Search Njooni Kigoma kuna vipaji vya Hatari OG.
We mkaka unatuliza tu ukitukumbusha kiongozi wetu shupavu ametutoka tukiwa bado tunamuhitaji, eee mungu mlaze mahalipema peponi amen 🤲😭.
Minza umetisha🔥🔥🔥 mimi sukuma pia
Mpo vizur sana bongo star search
Helen, the must have spirit
Salama ujui mziki wallah kuanzia leo naacha kufuatilia bongo star search unaua vipaji ww
Angalia alivyoimba minza vizuri kuliko hata hao munaowachukua nyie ufala huo
Minza ariludie
Jamaa anae chana na guitar, is a great artist kapigwa
Sana ana muondoko flani hiv adim hapa bongo ndio maana cc tunaockiliza hipop tunaelewa kaonewa
Kabisa aise jamaa ana kitu
Mnanikosha sana sikuhizi @bongo star search
Mmemuonea Minza...this girl has a power house vocal she just needed a brush off...jeeeez🙌😤
Dada wamemzulumu
Huyo salama anataka mtu aimbe vip mbona Minza kaimba vizuri tu
Kila mtu hukosea ndio maana wewe umeandika kizungu na cc hatujui wote nyie uzungu mwingi (yunoo yunoooo yunoooo)shida tupu
Ila Mdada Minza Mkulima Anaimba Jamani sanaaa tu, Salama Una tabia Chafu
Wanafelii sasa minza alichokosea nn shame on you Judges 😏
Wamenzurumu
Majaji mnakata Sana duu Kuna sister kaimba vzl mmemkata Moto kaimba nyimbo ya rubi
Amechanganya nyimbo mbili kwa pamoja
nyie majaji mnazingua alafu pia tafuteni watu wanaojua maana ya mziki maana hakuna mnachojaji mna masihara kupitiliza na kuna watu wanajua mnawakwamisha kuna huyo jamaa wa hiphop kelvin mlivyomjaji sijapendezwa
minza kaimba vzr sema mmemkazia2
Huyu salama hayuko fair kabisaaa
M Salam nampenda tuuu
Salama anamasifa tu huyu jamaa anajua salama Bure kabisa surambovu tuu
Kweli, usikute hata kuimba hawezi
Na akizeeka atakua mwanga huyu mdada😂
@@rosemzava5149 hahaha ilajaman simpend anamisifa
yaani huyu dada sio salama ni SALUMU HANA HATA BOYFRIEND umri huu DUIME DUME mmmmh
Uyo Salama huwa ananikera
nina jambo moja ninyi ma examiner ambao ni wanamuziki msiwaonee hawa vijana hasa wanao perform live wapeni haki zao kwasababu miongoni mwenu hamna uwezo wa kuperform LIVE .so ondoeni inferiority complex.AMEN,mungu awabariki.
Ila salama ananifurahisha da huendi
Huo mshiriki529,anafaa kuwa muhubiri au mwanasiasa
We dada nakupenda, na nimekupenda zaid
Minza uko vizur
Madharau sana ma judges uff
Salama huyo ana roho mbaya kinyama mshenzi tu utazani yeye anajua sanaaaa wakati mkundu tu
Minza mmemkazia dah mbona anajua sana tu... Ajipange aende mkoa mwengine alafu aimbe ile nyimbo ya kisukuma...
Anajuaaa kaka dah it pain
Kweli wamemuonea
Madamu Rita huwa ananivunja mbavu sana 🤣🤣🤣uoga wake huwa unaniacha hoi
Nardiaa tenaaa Salam mbwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa pumbafuuuuuuuuuuu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Huyu Jamaa wa kumugiza Magu ajua saaaaaaaanaaaaa
Minza ni wazi sana mmemdhulum kabisa...sometimes hamko fair kabisa
Salama hafai kuwa jugde akasomee na kujifunza kuongea na vijana kama hao hata kama hawajui kuimba sio inavo takiwa kuwaondosha kama hivo wape moyo pole pole sio unawatolea maneno usiwadharau hao ndo mustakbal wa watanzania
Ushasema yote. Kuna maongezi mengine unaeza ambia mtu umkufishe moyo hadi ashikwe na depression.
Salama afai
Kuna mmoja kwenye American got talent alijifatyua na gani akafaa sababu hii
kweli judges mna kazi yakufanya
Yule Dada aliyeimba wimbo wa rubi yuko Vzr bhn mmembania Tu
Mwanangu Salama Ecejay Acha Ukorofi Ila Nakukubali Sana
Ila Hii Nchi Ina Vijana Wa Hovyo Sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sure
@@255_apollo26 Mda Mwingine unajiuliza Wanataka Mtu Wa Aina Gani
KWELI KABISA JAMANI
@@winnermariah yap
Wamembania tu yule Minza
Hip hip hop unajua
Judges wako na dharau sana!
Nimejuwa kucheka kwenye corona
Salama hajui kila mtu kwake hajui sasa anamtafuta nani basi aimbe yeye kumamamayo
Lol 😂 😂
Huyo alieye imba nyimbo ya ommy mume mkosea jamn
Hawa majudge wenyewe mashuzi tu,wananiboo kweli.ebu angalia leo harmonize ni vile walimsema hajui leo kawadhibitishia sio kweli.
Salama pumbafuuuuuuuuuuu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Huyo msela wa mwisho mmemvumilia mnooo...
Kafeli
Mnahitaj kukubali na watt wenye vipaj wapo tu wanateketea
"DAR uendi lakini" Rita 😅🤣
NIce
Huyo lucky dube alivyoingia nikajua mganga😂😂😂
Hahaha sure
BSS mrudisheni IDRISS SULTAN awe Host wenu ananogeshaga mashindano
Hapana ana misifa
Vituko bwana ommy kazi anayo😂😂😂😂😂
Bange hizo
Nimeuona uwepo wa pepesuka kinkikaka
Minza ndo amenichekesha
Muwe mnakuja kututembelea songea
Hereni we noma
Yaani nyie judges mnaleta raha sanaaaa😂😂😂
Me yes
😁😁😁😁046 umepaka mafuta mengi usoni
madamu ritha wewe ni mama uko poa sana
Lkn Kuna vtuko watu wanavumilia
Du jama wa rasta bangi inafanya kazi
Umeona eeeh😂😂😂😂😂
Huyu salama anakuanga na roho mbaya na hajui kitu jisura tu🤣
Minza deserves a second chance, a bit of instructions.. Minza apewe nafasi tena...
Nyie majudge sio watu wanavipaj bhna achn kuwaktsha tamaa
Majaji wanazingua nao
Kuna jamaa apo mwishon kachanganya madawa 😆
Eti achanganye kijambo madude yasigande
Uyu anayemuiga magu mashaa allah🥰🥰😭
Salama mchawi tuu
Mhhh majaji nyie duu
Uyu dada halieimba nyimbo ya lubi hapewe nafas tena
Jamani sarama
Huyu rastaman ha ha bangi mbaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wallah nimecheka
Kuweka ma judge wazembe ni kuleta shida kweli... Hawa majudge wangepelekwa kwa mafunzo
Salma ana roho mbaya hajui kusema anajifanya sura mbovu mchoyo hajui kuongea anajifanya boss kuwafukuza hao vijana kama wafanyakazi wake wanyumban
Yani madam rita wewe macho kama unaaga
😅😅😀😀🙌
@@karamanazareno1556 😋😋
😎😎😎😎
Sasa huyu 0529Kaja kuimba ama
0135 amenikumbusha mbiliabel
Ma judge hamjui kiukweli,
Sema nahisi ili bss iwe nzuri zaidi hawa watu wa jokes wasionyeshwe kwenye clip watu walio seriously tu wapate nafasi ya clip
Kagera wanafika ?
Why would they?
The judges are so tough eish
Bila.hivyo hawaendi hao wengine viburi vimewazidi safi sana Salama anavyowanyoosha
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA🇰🇪💥🔥🔥💥🇹🇿*
Nenda BSS wanamajibu yetu
Omari kanichekesha alivoona anaboronga akakimbia
MAJAJI WANAPITIA KAZI NGUMU----🤣😅😅
Hil Salama asa lina sifa
Salama anawakazia saana vijana. Yaani ako na attitude mbaya saana..
Wangemregesha Christian Bella wakamuacha huyu salama mkavu saana
Sasa ukiruhus kila m2 apitee gharama zinazozid utawalipiaaa ...wanaidadi wanayooitaka
Sijasema waruhusu wote brother. Attitude ndio Salama ako nayo. Kuna vyenye ukimuambia mtu hajui na afanye bidii anakuelewa. Kama kibri flani na jeuri
@@ramalugogo7671 of course unayosemaa ni ukwell m2 uwez jisikiaa poaaa kama ukiimbaa najinsi atakavyo kujudge .. Ilaaa washirk wengine miyeyushoo ataa m2 ukitazamaa unajuaa tyu uyu kajaa kuznguaa ...
Salama aache ushamba bwana .... kama jamaa sio mbongo kwani ubaya ukowapi?
Nchi zingine mataifa mbali mbali yapo na wako fresh tu, kama Uganda ukifika utakutana na nchi kibaaaoo tofauti tofauti na wako fresh tu🤔🤔🤔.
Salama mshamba sanaaa yaani....vitu vya zamani sana hivyo.
USA kwenyewe watu kutoka mataifa tofauti yapo kibao sana na wako fresh tu.
Bongo ndiomana hatuendelei kisa ujinga kama huu wakina salama.
Madam Rita baba yake si alikua Mjerumani mbona yupo nae hapo?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Salama aache ujinga huo, dunia imebadilika hii
10:50 so funny
Wamemzurumu
Tulasumbila uyesu
Sjapenda kabisa salama alichofanya Kwa dada minza😡😡😡😡😡😡😡
Salama jabil
Nimemkubali zombie
Tom boy😂😂
Aaah😊
THAT guy rapping with a guiter is on levels ila bahati mbaya judges wako nyuma ya muda na game yake. bullshit Judges
N kweli asee and he is in full confidence. Anajua kiukweli, am really surprised kwamba hawajamuelewa. Judges are really horrible
Afu jamaa mbona ana style nzur
Kwanza kuna baadhi ya watu wanaoweza ndo wanawakata stim!!!daaah...
@@marympango9247 kweli kabsa
@@saigurannekoren7522 wana bore sana
15:37🤣😂😂🤣😂
Huyu Madam Rita izi nywele zake Kwani kanunua Milion1 au? Mana anavyo sishikaga kila video nayo tazama Naona anazirusharusha tu mda ote mkono juu atuliii na nywele😂😂😂😂
Tafuta hela
Huyu kaka.jaman eti Ommy 😂😂😂
Ndo mjue
Magufuli kaua
I do not like how you judge them😏😏
🙋🙅
Mc uuu dady R.I.P Jpm😭😭😭
icho ki Kinga Cha ukimwi Kama akivuti petrol basi anaingia ku judge akiwa kavuta bangi kachanganya na vima,fyuiiiiiiisss shenzi kabisaa
Musipinge