BONGO STAR SEARCH DAILY SHOW MWANZA MONDAY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 159

  • @davidkauki9797
    @davidkauki9797 3 года назад +12

    Jamaa wa Africa beauty ni nomaa nilitaman aimalizie iyo nyimboo ( i likee

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 3 года назад +8

    ommy uko vizuri sana sana wanajifanyaje waingereza>kiingereza chenyewe hawakijui>tujitahidi kuunga mkono kiswahili chetu,na tukitangaze kimataifa.

  • @abimaelkilasi2946
    @abimaelkilasi2946 3 года назад +5

    Bongo Star Search Njooni Kigoma kuna vipaji vya Hatari OG.

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 3 года назад +1

    We mkaka unatuliza tu ukitukumbusha kiongozi wetu shupavu ametutoka tukiwa bado tunamuhitaji, eee mungu mlaze mahalipema peponi amen 🤲😭.

  • @AnethJoseph-x6t
    @AnethJoseph-x6t 2 месяца назад +1

    Minza umetisha🔥🔥🔥 mimi sukuma pia

  • @stallonesamba6571
    @stallonesamba6571 3 года назад +1

    Mpo vizur sana bongo star search

  • @henrymapunda4602
    @henrymapunda4602 3 года назад +6

    Helen, the must have spirit

  • @roi2554
    @roi2554 3 года назад +5

    Salama ujui mziki wallah kuanzia leo naacha kufuatilia bongo star search unaua vipaji ww
    Angalia alivyoimba minza vizuri kuliko hata hao munaowachukua nyie ufala huo

  • @Az__2012
    @Az__2012 3 года назад +7

    Jamaa anae chana na guitar, is a great artist kapigwa

    • @immaculatejohn9906
      @immaculatejohn9906 3 года назад

      Sana ana muondoko flani hiv adim hapa bongo ndio maana cc tunaockiliza hipop tunaelewa kaonewa

    • @Dienacademy
      @Dienacademy 3 года назад

      Kabisa aise jamaa ana kitu

  • @stallonesamba6571
    @stallonesamba6571 3 года назад +1

    Mnanikosha sana sikuhizi @bongo star search

  • @beatricedaudi8233
    @beatricedaudi8233 3 года назад +20

    Mmemuonea Minza...this girl has a power house vocal she just needed a brush off...jeeeez🙌😤

    • @roi2554
      @roi2554 3 года назад +2

      Dada wamemzulumu

    • @kibabysaid6692
      @kibabysaid6692 3 года назад +2

      Huyo salama anataka mtu aimbe vip mbona Minza kaimba vizuri tu

    • @erastonicholas5589
      @erastonicholas5589 3 года назад +1

      Kila mtu hukosea ndio maana wewe umeandika kizungu na cc hatujui wote nyie uzungu mwingi (yunoo yunoooo yunoooo)shida tupu

  • @winnermariah
    @winnermariah 3 года назад +12

    Ila Mdada Minza Mkulima Anaimba Jamani sanaaa tu, Salama Una tabia Chafu

    • @innøvator-611
      @innøvator-611 3 года назад +1

      Wanafelii sasa minza alichokosea nn shame on you Judges 😏

    • @roi2554
      @roi2554 3 года назад +1

      Wamenzurumu

  • @rehemaathuman6669
    @rehemaathuman6669 3 года назад +4

    Majaji mnakata Sana duu Kuna sister kaimba vzl mmemkata Moto kaimba nyimbo ya rubi

    • @tusmokinana3836
      @tusmokinana3836 3 года назад

      Amechanganya nyimbo mbili kwa pamoja

    • @emanueleleutel5741
      @emanueleleutel5741 3 года назад

      nyie majaji mnazingua alafu pia tafuteni watu wanaojua maana ya mziki maana hakuna mnachojaji mna masihara kupitiliza na kuna watu wanajua mnawakwamisha kuna huyo jamaa wa hiphop kelvin mlivyomjaji sijapendezwa

  • @sporahsende4187
    @sporahsende4187 3 года назад +6

    minza kaimba vzr sema mmemkazia2

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 3 года назад +11

    Huyu salama hayuko fair kabisaaa

  • @zainabali3793
    @zainabali3793 3 года назад +1

    M Salam nampenda tuuu

  • @omarathuman5813
    @omarathuman5813 3 года назад +18

    Salama anamasifa tu huyu jamaa anajua salama Bure kabisa surambovu tuu

    • @Zainablicious
      @Zainablicious 3 года назад +2

      Kweli, usikute hata kuimba hawezi

    • @rosemzava5149
      @rosemzava5149 3 года назад +1

      Na akizeeka atakua mwanga huyu mdada😂

    • @kuruthumuissa5539
      @kuruthumuissa5539 3 года назад

      @@rosemzava5149 hahaha ilajaman simpend anamisifa

    • @bimumaulid1171
      @bimumaulid1171 3 года назад

      yaani huyu dada sio salama ni SALUMU HANA HATA BOYFRIEND umri huu DUIME DUME mmmmh

    • @MwashaMwash
      @MwashaMwash Год назад

      Uyo Salama huwa ananikera

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 3 года назад +5

    nina jambo moja ninyi ma examiner ambao ni wanamuziki msiwaonee hawa vijana hasa wanao perform live wapeni haki zao kwasababu miongoni mwenu hamna uwezo wa kuperform LIVE .so ondoeni inferiority complex.AMEN,mungu awabariki.

  • @immaculatejohn9906
    @immaculatejohn9906 3 года назад +1

    Ila salama ananifurahisha da huendi

  • @emilykaimuri8378
    @emilykaimuri8378 2 года назад

    Huo mshiriki529,anafaa kuwa muhubiri au mwanasiasa

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 3 года назад +1

    We dada nakupenda, na nimekupenda zaid

  • @buges6145
    @buges6145 3 года назад +1

    Madharau sana ma judges uff

  • @hamiskadogo8665
    @hamiskadogo8665 2 года назад

    Salama huyo ana roho mbaya kinyama mshenzi tu utazani yeye anajua sanaaaa wakati mkundu tu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 года назад +4

    Minza mmemkazia dah mbona anajua sana tu... Ajipange aende mkoa mwengine alafu aimbe ile nyimbo ya kisukuma...

  • @saumuimeda5181
    @saumuimeda5181 3 года назад +2

    Madamu Rita huwa ananivunja mbavu sana 🤣🤣🤣uoga wake huwa unaniacha hoi

  • @rubenibernald6138
    @rubenibernald6138 2 года назад

    Nardiaa tenaaa Salam mbwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa pumbafuuuuuuuuuuu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @tanuatvcomedy9923
    @tanuatvcomedy9923 3 года назад +4

    Huyu Jamaa wa kumugiza Magu ajua saaaaaaaanaaaaa

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 3 года назад +2

    Minza ni wazi sana mmemdhulum kabisa...sometimes hamko fair kabisa

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 3 года назад +4

    Salama hafai kuwa jugde akasomee na kujifunza kuongea na vijana kama hao hata kama hawajui kuimba sio inavo takiwa kuwaondosha kama hivo wape moyo pole pole sio unawatolea maneno usiwadharau hao ndo mustakbal wa watanzania

    • @hammedfatma8727
      @hammedfatma8727 3 года назад

      Ushasema yote. Kuna maongezi mengine unaeza ambia mtu umkufishe moyo hadi ashikwe na depression.

    • @roi2554
      @roi2554 3 года назад

      Salama afai

    • @mimikiki8225
      @mimikiki8225 3 года назад

      Kuna mmoja kwenye American got talent alijifatyua na gani akafaa sababu hii

  • @lynucelutta1471
    @lynucelutta1471 3 года назад +1

    kweli judges mna kazi yakufanya

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 3 года назад +3

    Yule Dada aliyeimba wimbo wa rubi yuko Vzr bhn mmembania Tu
    Mwanangu Salama Ecejay Acha Ukorofi Ila Nakukubali Sana
    Ila Hii Nchi Ina Vijana Wa Hovyo Sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @yureboytv6209
    @yureboytv6209 3 года назад +2

    Hip hip hop unajua

  • @makatym6151
    @makatym6151 Месяц назад

    Judges wako na dharau sana!

  • @dalilahamadi3894
    @dalilahamadi3894 3 года назад +3

    Nimejuwa kucheka kwenye corona

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 3 года назад +3

    Salama hajui kila mtu kwake hajui sasa anamtafuta nani basi aimbe yeye kumamamayo

  • @jacquesmulalirya1704
    @jacquesmulalirya1704 2 года назад

    Huyo alieye imba nyimbo ya ommy mume mkosea jamn

  • @sharrifidris3422
    @sharrifidris3422 2 года назад

    Hawa majudge wenyewe mashuzi tu,wananiboo kweli.ebu angalia leo harmonize ni vile walimsema hajui leo kawadhibitishia sio kweli.

  • @rubenibernald6138
    @rubenibernald6138 2 года назад

    Salama pumbafuuuuuuuuuuu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 3 года назад +1

    Huyo msela wa mwisho mmemvumilia mnooo...
    Kafeli

  • @heavenlightlyimo4725
    @heavenlightlyimo4725 3 года назад +1

    Mnahitaj kukubali na watt wenye vipaj wapo tu wanateketea

  • @abdirahimabdullahi7633
    @abdirahimabdullahi7633 3 года назад +1

    "DAR uendi lakini" Rita 😅🤣

  • @pizzobrand3539
    @pizzobrand3539 3 года назад +1

    NIce

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 3 года назад +2

    Huyo lucky dube alivyoingia nikajua mganga😂😂😂

  • @kanabenjamani1635
    @kanabenjamani1635 3 года назад +7

    BSS mrudisheni IDRISS SULTAN awe Host wenu ananogeshaga mashindano

  • @eduwadylelya
    @eduwadylelya 3 года назад +2

    Vituko bwana ommy kazi anayo😂😂😂😂😂

  • @kessymnumbile7540
    @kessymnumbile7540 3 года назад +1

    Bange hizo

  • @heavenlightlyimo4725
    @heavenlightlyimo4725 3 года назад +1

    Nimeuona uwepo wa pepesuka kinkikaka

  • @mshokela
    @mshokela Год назад +1

    Minza ndo amenichekesha

  • @esterromanus6213
    @esterromanus6213 Год назад

    Muwe mnakuja kututembelea songea

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 3 года назад

    Hereni we noma

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 3 года назад

    Yaani nyie judges mnaleta raha sanaaaa😂😂😂

  • @ydtv9167
    @ydtv9167 3 года назад

    Me yes

  • @mercyomondi8682
    @mercyomondi8682 3 года назад

    😁😁😁😁046 umepaka mafuta mengi usoni

  • @anamariayuba5457
    @anamariayuba5457 3 года назад +2

    madamu ritha wewe ni mama uko poa sana

  • @oratracymugisha6126
    @oratracymugisha6126 3 года назад +1

    Du jama wa rasta bangi inafanya kazi

    • @remmytv1058
      @remmytv1058 3 года назад

      Umeona eeeh😂😂😂😂😂

  • @official2kbill650
    @official2kbill650 Год назад

    Huyu salama anakuanga na roho mbaya na hajui kitu jisura tu🤣

  • @henrymapunda4602
    @henrymapunda4602 3 года назад +2

    Minza deserves a second chance, a bit of instructions.. Minza apewe nafasi tena...

  • @winfridamwita3370
    @winfridamwita3370 3 года назад +1

    Nyie majudge sio watu wanavipaj bhna achn kuwaktsha tamaa

  • @mdkkomba8225
    @mdkkomba8225 3 года назад +1

    Majaji wanazingua nao

  • @roi2554
    @roi2554 3 года назад +1

    Kuna jamaa apo mwishon kachanganya madawa 😆

  • @giftlyamuya
    @giftlyamuya 3 года назад +1

    Eti achanganye kijambo madude yasigande

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад +1

    Uyu anayemuiga magu mashaa allah🥰🥰😭

  • @MM23_MUSIO
    @MM23_MUSIO Месяц назад

    Salama mchawi tuu

  • @rehemaathuman6669
    @rehemaathuman6669 3 года назад +2

    Mhhh majaji nyie duu

  • @ChillumbaEdward-nz9xr
    @ChillumbaEdward-nz9xr Год назад

    Uyu dada halieimba nyimbo ya lubi hapewe nafas tena

  • @esterandrea1645
    @esterandrea1645 3 года назад

    Jamani sarama

  • @aliyasinzakir3889
    @aliyasinzakir3889 3 года назад +2

    Huyu rastaman ha ha bangi mbaya

    • @ladytatu2139
      @ladytatu2139 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wallah nimecheka

  • @jamalmohamed4058
    @jamalmohamed4058 3 года назад +1

    Kuweka ma judge wazembe ni kuleta shida kweli... Hawa majudge wangepelekwa kwa mafunzo

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 3 года назад

    Salma ana roho mbaya hajui kusema anajifanya sura mbovu mchoyo hajui kuongea anajifanya boss kuwafukuza hao vijana kama wafanyakazi wake wanyumban

  • @bahatimboya3224
    @bahatimboya3224 3 года назад +2

    Yani madam rita wewe macho kama unaaga

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 2 года назад

    Sasa huyu 0529Kaja kuimba ama

  • @mchovu4761
    @mchovu4761 3 года назад

    0135 amenikumbusha mbiliabel

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 3 года назад +1

    Ma judge hamjui kiukweli,

  • @visualservices8897
    @visualservices8897 3 года назад

    Sema nahisi ili bss iwe nzuri zaidi hawa watu wa jokes wasionyeshwe kwenye clip watu walio seriously tu wapate nafasi ya clip

  • @nrsound7351
    @nrsound7351 3 года назад +3

    Kagera wanafika ?

  • @theblessedone7526
    @theblessedone7526 3 года назад +8

    The judges are so tough eish

    • @azizamohd5728
      @azizamohd5728 3 года назад

      Bila.hivyo hawaendi hao wengine viburi vimewazidi safi sana Salama anavyowanyoosha

  • @Emmamusiccmb
    @Emmamusiccmb 3 года назад +2

    *NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA🇰🇪💥🔥🔥💥🇹🇿*

  • @McT-m1m
    @McT-m1m Месяц назад

    Omari kanichekesha alivoona anaboronga akakimbia

  • @njeyaduniatv
    @njeyaduniatv Год назад

    MAJAJI WANAPITIA KAZI NGUMU----🤣😅😅

  • @ibrahimjuma7338
    @ibrahimjuma7338 3 года назад

    Hil Salama asa lina sifa

  • @ramalugogo7671
    @ramalugogo7671 3 года назад +5

    Salama anawakazia saana vijana. Yaani ako na attitude mbaya saana..
    Wangemregesha Christian Bella wakamuacha huyu salama mkavu saana

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 3 года назад +4

      Sasa ukiruhus kila m2 apitee gharama zinazozid utawalipiaaa ...wanaidadi wanayooitaka

    • @ramalugogo7671
      @ramalugogo7671 3 года назад +2

      Sijasema waruhusu wote brother. Attitude ndio Salama ako nayo. Kuna vyenye ukimuambia mtu hajui na afanye bidii anakuelewa. Kama kibri flani na jeuri

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 3 года назад +2

      @@ramalugogo7671 of course unayosemaa ni ukwell m2 uwez jisikiaa poaaa kama ukiimbaa najinsi atakavyo kujudge .. Ilaaa washirk wengine miyeyushoo ataa m2 ukitazamaa unajuaa tyu uyu kajaa kuznguaa ...

  • @IrynPena
    @IrynPena 3 года назад +1

    Salama aache ushamba bwana .... kama jamaa sio mbongo kwani ubaya ukowapi?
    Nchi zingine mataifa mbali mbali yapo na wako fresh tu, kama Uganda ukifika utakutana na nchi kibaaaoo tofauti tofauti na wako fresh tu🤔🤔🤔.
    Salama mshamba sanaaa yaani....vitu vya zamani sana hivyo.
    USA kwenyewe watu kutoka mataifa tofauti yapo kibao sana na wako fresh tu.
    Bongo ndiomana hatuendelei kisa ujinga kama huu wakina salama.
    Madam Rita baba yake si alikua Mjerumani mbona yupo nae hapo?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
    Salama aache ujinga huo, dunia imebadilika hii

  • @dizzboss7526
    @dizzboss7526 3 года назад +4

    10:50 so funny

    • @roi2554
      @roi2554 3 года назад +1

      Wamemzurumu

  • @dollnjosy3210
    @dollnjosy3210 3 года назад +3

    Tulasumbila uyesu

  • @JohnsonFredrickJohn
    @JohnsonFredrickJohn 4 месяца назад

    Sjapenda kabisa salama alichofanya Kwa dada minza😡😡😡😡😡😡😡

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 3 года назад

    Salama jabil

  • @rizikiMwafungo-ge7fh
    @rizikiMwafungo-ge7fh 2 месяца назад

    Nimemkubali zombie

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Год назад

    Tom boy😂😂

  • @helgahussein1413
    @helgahussein1413 3 года назад

    Aaah😊

  • @salum8831
    @salum8831 3 года назад +11

    THAT guy rapping with a guiter is on levels ila bahati mbaya judges wako nyuma ya muda na game yake. bullshit Judges

    • @saigurannekoren7522
      @saigurannekoren7522 3 года назад +1

      N kweli asee and he is in full confidence. Anajua kiukweli, am really surprised kwamba hawajamuelewa. Judges are really horrible

    • @abdillaahirichardkasisi8691
      @abdillaahirichardkasisi8691 3 года назад

      Afu jamaa mbona ana style nzur

    • @marympango9247
      @marympango9247 3 года назад +1

      Kwanza kuna baadhi ya watu wanaoweza ndo wanawakata stim!!!daaah...

    • @salum8831
      @salum8831 3 года назад

      @@marympango9247 kweli kabsa

    • @salum8831
      @salum8831 3 года назад

      @@saigurannekoren7522 wana bore sana

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 3 года назад +2

    15:37🤣😂😂🤣😂

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 3 года назад +2

    Huyu Madam Rita izi nywele zake Kwani kanunua Milion1 au? Mana anavyo sishikaga kila video nayo tazama Naona anazirusharusha tu mda ote mkono juu atuliii na nywele😂😂😂😂

  • @annathomas784
    @annathomas784 Год назад

    Huyu kaka.jaman eti Ommy 😂😂😂

  • @mkalimala3564
    @mkalimala3564 3 года назад

    Ndo mjue

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 3 года назад

    Magufuli kaua

  • @fashadaforoza1703
    @fashadaforoza1703 3 года назад

    I do not like how you judge them😏😏

  • @hussenjaguar9346
    @hussenjaguar9346 3 года назад +1

    🙋🙅

  • @NancyLaurent-gz8ev
    @NancyLaurent-gz8ev Год назад

    Mc uuu dady R.I.P Jpm😭😭😭

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 3 года назад

    icho ki Kinga Cha ukimwi Kama akivuti petrol basi anaingia ku judge akiwa kavuta bangi kachanganya na vima,fyuiiiiiiisss shenzi kabisaa

  • @NiyonzimaPelagie-k9z
    @NiyonzimaPelagie-k9z Год назад

    Musipinge