Many places overseas on garbage day you can shop anything. People throw stuff they dont want because there is no one to give. Wazungu hawana relatives hawataki story. You can get furniture, cooker, fridge, microwave, TV anything. Some spanish guys usually pass by with pickup and load stuff . My brother in London shops on the Street on garbage day.
Peninah, uliangukia rice cooker ya nguvu sana.....and we know you ain't pretending juu hizo ma-Ghai zako zinasound genuine pia....😂....hivyo ndivyo baraka zingine hutumwa..... me I think nakakuja kuishi huko first time round, naweza dedicate a whole week iwe ya mrando ya kutafuta vitu poapoa zenye zimetupwa - it would save A LOT!....thanks for sharing as always na ninawapenda tu sana....
Hi..thenk you for encouraging and giving us more insight about us,,,would you advise me whether it's advisable to apply f1 visa for CNA program,or try adn?
Waoh Peninah si unisendie hiyo ungoje nyingine utapata rahisi, anyway thank God always for taking you to a promised land where you can get something as good as that and pick , huku kwetu kupata hata plastic imetupwa ni noma.
Many places overseas on garbage day you can shop anything. People throw stuff they dont want because there is no one to give. Wazungu hawana relatives hawataki story. You can get furniture, cooker, fridge, microwave, TV anything. Some spanish guys usually pass by with pickup and load stuff . My brother in London shops on the Street on garbage day.
Hahaha 😂😂😂 you will kill me one day 😅😅ATI shopping 🛍 kwa garbage 🗑 ❤❤thanks sis
When I watched RUclips back in Kenya didn't believe vitu huokotwa marekani now I'm here ndo najua sasa it's real
It's real most people here huanza life na vitus za kupkota 😂😂😂
Wow rice cooker iko sawa brand new
Kabisa thanks Val 😊 🙏
Peninah aki pole kwa homa kali. God is really good yaani unaangukia rice cooker yenye imeweza just like that😊😊😊😊
😂😂😂❤❤ hadi TV zinatupwa
Na vile Iko na design nzuri ya kikombe I love it.
😂😂wacha tu ❤❤❤😂
Chukua maramoja, hiyo ni bahati yako Peninah👏🏼👏🏼👍🏽❤️🇰🇪
Thanks mom yes niliichuakua cz hata sinanga rice cooker 🥰🥰🥰
Get well soon siz... En way thanks for showing us
Thanks ❤❤❤
Aki Pesh unanishibishanga😂😂😂 nimekaa jikoni Hadi rice ikaiva tukakula kwa nyama,,YUMMY ❤❤❤
Haha thanks sis ❤❤❤
My people
@@FaithKanyaga sasa faith
Hi,penny tume like kama ni huku mpaka iwe scrap meta😂😂
Thanks so much 🙏 ❤❤❤margery
Welcome
Hello dear I am just waiting for it.
Thanks ❤❤
Your always on my prayers siz. God bless you more and more
Thanks so much ❤❤ bless you too sis❤❤
Wah penina we hunibamba venye huishi ,,,,simple African life in America,,,,hakuna kutupa kitu. Kitu itumiwe mpaka iishe😅
Kabisa thanks brother 🙏 ❤️ 💙 kuishi according na your standards nashukuru mungu🥰🥰
Wow,I enjoyed watching this vedio.
Thanks mwendwa you reminded me of my late sis alikuwa anaitwa mwendwa may she rest in peace 🙏 🪦
The rice cooker iko sawa❤
Kabisa ❤❤
Peninah, uliangukia rice cooker ya nguvu sana.....and we know you ain't pretending juu hizo ma-Ghai zako zinasound genuine pia....😂....hivyo ndivyo baraka zingine hutumwa..... me I think nakakuja kuishi huko first time round, naweza dedicate a whole week iwe ya mrando ya kutafuta vitu poapoa zenye zimetupwa - it would save A LOT!....thanks for sharing as always na ninawapenda tu sana....
Utaokota vitus mob Sana hadi matv😂😂❤❤
Watu mnawatch si mpe peninah likes bana
Haki 😂😂❤❤
Hi,you are lucky,secret to cooking rice itokee one grain by one is to soak in hot water before cooking,then rinse it as usual n cook.
Ooh will try that girl thanks sweetheart 😘
Hi..thenk you for encouraging and giving us more insight about us,,,would you advise me whether it's advisable to apply f1 visa for CNA program,or try adn?
tumesubir Wali mpaka umeivaa kisha unakula peke yako 😂
😂😂😂😂❤❤❤
You are real penina ,cudoz you only forget greens in your meal thanks for shearing this 🎉
Haki thanks girl yeah iko too plain right?😅😅
Waiting aki peny😂ati umeokota haisuru
😂😂😂niliwaambia watu hutupa vitus poa ❤❤
Like done waiting
Thanks Val
Waoh Peninah si unisendie hiyo ungoje nyingine utapata rahisi, anyway thank God always for taking you to a promised land where you can get something as good as that and pick , huku kwetu kupata hata plastic imetupwa ni noma.
Hahaha ❤❤❤haki I wish naeza kutumia 😢
❤❤, much love
Thanks ❤❤❤
Na hizo Bata hamuezi chinja mkule?
😂😂😂😂 haki wewe ❤❤
Hi girl hope hurudishi hiyo😂😂iko tu poa
😂😂😂😂
Nice one
❤❤❤❤thanks
Lucky girl.
🥰🥰thanks bro
Imepika vizuri
Kabisa ❤❤❤
Wow,nimeipenda
Thanks so much 🙏 💓 ☺️
As soon as rice boils you should reduce the heat to minimum Penina.
Sijaipikia rice cooker 😂😂 nilitumianga group home ones 😂😂😂
Wow ❤
❤❤❤❤❤
Thanks sana umekawea kabla umake video 😊
Ni Homa kali ❤❤
@@missriungu pole sana get well soon
Nataka zile dollar naskia zinaokotwa,,,,nko karibu kuamini
Hahaha 😆
Sasa tangu ukae new jersy hujaona rice cooker??
Niliiona kwa group home mimi sinanga hakuna haja nindanganye
It’s £83.54 in uk good find Penina sesenigwa.
Thanks so much hata sijaangalia 🥰🥰😅
@@missriungu thanks love. 🤗🙏🏽🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Maybe hio cooker ilipea mwenyewe bill kubwa ya stima akaona atupe😅😅
Hahaha 😂😂😂 nakwambia wacha tu 🤣
Watchin😢😅
Thanks ❤❤❤
Hi, i like ur videos, hizo bata ni za nani?
Ni za kichaka sio za mtu😂😂
You are in Dallas city ama
New Jersey🥰🥰
Baby girl 😂 chukua ❤
Iko kwa nyumba already 😄 🤣 mima
@@missriungu good girl
Very nice❤
Thanks 😊 🫂 🙏
kendi mambo
Poa Sana sweetheart
bytha Peninah i think hujai tufanyia house tour
Yeah sijai I will Dia please 🙏 giv me sometime
Hey next tym don't walk out bilaa warm clothes.....we don't want you to be sick pen❤
OK sheshe I'm always careful thanks 💙💙
nice❤
Thanks Christine 😊 🫂
America Iko na maajabu yake yaani unaokota rice cooker
Haki wacha tu 😘😘