Mnaficha sura zenu kwa jina LA mungu,yakini hata shetani alikuwa anajua bibilia,lo ole wao watakao Amini kila mtu Anaya jiita mtumishi😮😮 unasikia anatumia na mifano ya illuminati mara kishirikina,,Ee mungu wangu zidi kunipa macho ya rohoni,hiyo roho inayokuzuia usitoke ni ya kishirikina funguka macho
Mmmmmh, kunachumba chasiri, na majeneza How tu vikawa kwamtumishi wa mungu ilo balahah kweli, Mungu tusahidie sana, yahani watu wanaandaliwa jeneza na kabla hawajafa ilo nijambo lakushangaza!!?.
sasa wew unataka kazi au umekuja kutoa siri za ndani wew fanya kazi upate mshahara wako utoke hapo ukapambane na maisha yako kunamsemo usemao ivi ukiingia hapa uyaonayo uyasikiayo yaache hapa hapa ndani
Isitoshe hata kumwita huyo George Kisambale "Nabii mkuu" ni kumkufuru YESU KRISTO ambaye ndiye mwenye cheo hicho. Tuepuke kumfananisha BWANA YESU na mhuni wa Arusha.
Hii dunia unayo ishi ni vingapi umekula ama mavazi uliovaa ,bila kujua zinatengenezwa na campuny gani,amaumerogwa mara ngapi,yule aliekutetea ndie anaweZa kukutetea
Dogo mwenyewe anajichanganya tuu hana consistency na logic katika arguments zako. Ulisema baba yako ni mtumishi wa kweli, alafu una mashaka tena😮. Dogo umetumwa😅😢
WAONGO, WACHAWI, WAABUDIO SANAMU, WAZINZI, wote nyie mtaenda kwenye lile ziwa la moto, nyie pia mjiandae kwa maneno yenu ya mchongo yaliyojaa uwongo ndani,
@AsheryShadrack wachungaji nawakristo wakisasa kila mwenyepesa mchawi mwingira anapesa kakobe anapesa mwamposa anapesa kiboko yawachawi anapesa Kuban musa anapesa za geordevir tu ndio zakichawi. Achen wivu na chuki yule godlucky kalaaniwa kwalilile tukio ile nimali kamaaimfaii angegawa au angeuza alaf pesa angewagawia maskin sio kuchoma moto muda utasema yule utanitafuta wewe wachungaji wengi maaskof wananena jina layesu iliwapate Mali alaf wewe. Unaichoma utanitafuta wwww
BAADA YA MIAKA MITANO WATU WENGI WATAKUWA WAMEINGIZWA KWENYE KIFUNGO CHA ROHO YA MASENGENYO KUPITIA AWA WAANDISHI WA HABARI WANAOTUMIWA NA SHETANI KUINGIZA ROHO ZA MASENGENYO KWENYE MIOYO YA WAENDA MBINGUNI
Mwite mungu akusaidie hilo tatizo lako la gari,umelichoma bila kutuarifu,lakini,unaambiwa madhabahu yoyote hayatoki kwa kuteketeZwa wala kutupwa,nikwa maombi na kufunga
Acha kumlisha maneno dogo,na dogo nae hajielewi,nani kasrma mungu hatolewi kafara ya damu,?na huyo goodluck akapimwe akili hizo ni dalili za ugonjwa wa akili,je akisikia jirani ni mchawi wake,na akamchome moto,ataenda?hii hakutumia busara wa hekima.
Mnaficha sura zenu kwa jina LA mungu,yakini hata shetani alikuwa anajua bibilia,lo ole wao watakao Amini kila mtu Anaya jiita mtumishi😮😮 unasikia anatumia na mifano ya illuminati mara kishirikina,,Ee mungu wangu zidi kunipa macho ya rohoni,hiyo roho inayokuzuia usitoke ni ya kishirikina funguka macho
😅 11:49
Yani mungu atusaidie
Damu ya Yesu yatosha. Hatuhitaji damu zingine kwa mambo ya wokovu. Oh MY GOD.
Amina sana namshukuku Mungu kwakunifunulilia kalama ya kufungua hiii video nimejidhiilishilia ambavyo nilikua nawaza
Mnahoji mtoto na sura wazi mnataka aishi wapi
Watu wanateseka😢
Punguzeni upotoshaji GerDev ameitwa na kutumwa na Mungu sasa msiguse mafuta mtakufa bure mimi ninachofahamu aliye guitar atamhukumu yeye
Mmmmmh, kunachumba chasiri, na majeneza How tu vikawa kwamtumishi wa mungu ilo balahah kweli, Mungu tusahidie sana, yahani watu wanaandaliwa jeneza na kabla hawajafa ilo nijambo lakushangaza!!?.
sasa wew unataka kazi au umekuja kutoa siri za ndani wew fanya kazi upate mshahara wako utoke hapo ukapambane na maisha yako kunamsemo usemao ivi ukiingia hapa uyaonayo uyasikiayo yaache hapa hapa ndani
😂😂😂
Mbona siku zote mlikuwa kimya baada ya kulipika ndio mnaanza kuongeza jmn mungu tusaidie
Tuseme kuwa ninyi mnajaribu sana kupata follow ila kijana nì muongo tena sana
Kweli shetani ana watenda kazi wake na mtalipwa kwa matendo yenu
Isitoshe hata kumwita huyo George Kisambale "Nabii mkuu" ni kumkufuru YESU KRISTO ambaye ndiye mwenye cheo hicho. Tuepuke kumfananisha BWANA YESU na mhuni wa Arusha.
Kwa Nini mmekomaa na nguvu za Giza,?
Nguvu za meanga hazipo?
Kwa kweli Mimi nabii Jo Dev hua anibariki na so true Kuna namwingine mahubiri mengine ukisikilza unajua kabisa hawako sawa
huyo nabii sia real
Acha ujinga uo ni ushetani mwisho wa sikuizi tupo kwenye Agano jipya yesu mwenyewe na neno lake Acheni kuwapotosha watu
media uchwara, anaambiwa Bwana Yesu Asifiwe anajibu milele amina, haka kaostaadhati mmekaokota wapi?
Eti majeneza kwa wanaodondoka kanisani?😢😢😢😢
tuliambiwa wakati wa mwisho. kuna manabii waungo watakuja tusifate sana mijizaa simuzuri
Lakini watanzania nyie... Mungu anawaona😮😮
Huyu kijana na Joani wake nyumba moja😂😂
Huyu ni yule kaka wa msichana aliepeea Qari na mamaake bàda ya kupata shahada jamaani mnatuchanqanye oqopeni munqu
We.ni.mnafiki.
Kwahiyo Hadi mageneza mnayo???? Dunia ina mambo😮😮😮😮
Hawa waongo
Hii dunia unayo ishi ni vingapi umekula ama mavazi uliovaa ,bila kujua zinatengenezwa na campuny gani,amaumerogwa mara ngapi,yule aliekutetea ndie anaweZa kukutetea
Watu walioharibiwa ufaham wao na shetani ukiwasikiliza tu unawajua kirahis
Hadi nakahurumia kakijana haka.
Ndio maana mungu hakutaka mambo mengine tusiyaone
Kwa nini hayo majeneza aya weke ndani? Kwanini asisubiri itokee mtu kadondoka ndipo aka nunue hiyo siyo sawa kuna siri. Iliyojificha
Nyakati za mwisho zimefika
Ni kweli this is end times
We kijana muombe Mungu tobacco sana huo uwongo utaujutia
Hatari sana yani unaweka majeneza hata mtu hajafa
Ondokeni huko la sivyo mtafanywa misukule
Hahaaaa jamani eti bahari ikachanika
Hayo majeneza ni ya wapewa sadaka ndo magari ya zawadi hayo maana hata gari ilikuwa inabadilika kuwa sadaka
Jaman huy kijana anacho sema nikweli au kiki.km kiki asiseme uongo
mmmmm
Acha.uongo.we.hauwezi.sema.kweli.ukisema.kweli.utefukuzwa.kama.mbwa.mnaua.watu.
YESU RUDI JAMANI
Dogo mwenyewe anajichanganya tuu hana consistency na logic katika arguments zako.
Ulisema baba yako ni mtumishi wa kweli, alafu una mashaka tena😮. Dogo umetumwa😅😢
Uyunae mwongo kunakitu kinamwasha
Nyie mashetani mashoga wahuni wasenge fulani manabii wa uongo Nyie
Wapumbavu nyie mtakufa naona mnamwita Malaika mtoa roho, very soon atakuja kwenu kama mmelipwa mfanye huo ujinga nahic mmekosa kazi za kufanya
Huyu kama joani
Kumekucha….
WAONGO, WACHAWI, WAABUDIO SANAMU, WAZINZI, wote nyie mtaenda kwenye lile ziwa la moto, nyie pia mjiandae kwa maneno yenu ya mchongo yaliyojaa uwongo ndani,
Kila mtu atasema yake😂😂😂
Du !kweli ukiwa na njaa .wewe ni mtumwa TU.
Sijakuamini nikama kaongo kaongo
Huyu kaka anaonekana ni mungo.. tafuten mada nyiñgine
Kunakundi limepanga kumchafua geodevi kwakifupiniuongo
Yeye nimuongo joo devi nimchawii
@AsheryShadrack wachungaji nawakristo wakisasa kila mwenyepesa mchawi mwingira anapesa kakobe anapesa mwamposa anapesa kiboko yawachawi anapesa Kuban musa anapesa za geordevir tu ndio zakichawi. Achen wivu na chuki yule godlucky kalaaniwa kwalilile tukio ile nimali kamaaimfaii angegawa au angeuza alaf pesa angewagawia maskin sio kuchoma moto muda utasema yule utanitafuta wewe wachungaji wengi maaskof wananena jina layesu iliwapate Mali alaf wewe. Unaichoma utanitafuta wwww
Aki ww sasa umeongea ya ukwely kwa ufupi huyo mtoaji magari hayuko sahihi
MUNGU NI MWEEMA SHETANI hana nguvu
Pambania roho Yako dogo,acha umbea, safari bado inaendelea,
Waongo nyie mwataka kiki tu
Kwahiyo unaudited tena kanisan kwake
Mtasema yote
BAADA YA MIAKA MITANO WATU WENGI WATAKUWA WAMEINGIZWA KWENYE KIFUNGO CHA ROHO YA MASENGENYO KUPITIA AWA WAANDISHI WA HABARI WANAOTUMIWA NA SHETANI KUINGIZA ROHO ZA MASENGENYO KWENYE MIOYO YA WAENDA MBINGUNI
😂😂😂😂😂😂😂uwiiiiii jamaniiii MUNGU wetu atusamehe kwakweli
MAKUBWA….
Mwite mungu akusaidie hilo tatizo lako la gari,umelichoma bila kutuarifu,lakini,unaambiwa madhabahu yoyote hayatoki kwa kuteketeZwa wala kutupwa,nikwa maombi na kufunga
Mpaka imefikia hapo ni Mungu ,Bila hivyo tusingali jua, sijui umemsikia vizuri , ameshakutana na Mungu
Eti musa alipiga fimbo kwenye Bahar ya hindi jaman dogo ni Bahar ya Shamu
Dogo unatafuta hela tu
Acha kumlisha maneno dogo,na dogo nae hajielewi,nani kasrma mungu hatolewi kafara ya damu,?na huyo goodluck akapimwe akili hizo ni dalili za ugonjwa wa akili,je akisikia jirani ni mchawi wake,na akamchome moto,ataenda?hii hakutumia busara wa hekima.
Uongo huu godrack aache trend kwani gari sialipewa angempa mwingine
wewe na shetani hamna tofauti, hivi gali umelishindwa wewe kwanini umpe mwenzio mzigo bola alivyochoma
ATI WENZENI UPANDE WA ILLIMINAT. THIS ARE DANGEROUS TIMES TO LIVE WITHOUT THE HOLY SPIRIT
Mbona anaongerea maneno ya kishirikina sana
Wote ni wachawi
Dogo acha kuchengesha ukweli umelipwa fala
Dogo acha kupoteza ukweli umelipwa fala
Mkome nyinyi wajinga.....haya kuna siku yenu
Upumbavu huo umeuandika umeutoa wapi ibilisi mkubwa wewe.
Wasbenzine nyie. Uwongo na upumbavu.
DOGO funga channel
unaacha kuongea kama wewe unapanga watu
waongee.