KIMENUKA: ALICHOFANYWA GOODLUCK GOZBERT NA NABII MKUU GEODAVIE HII NI LAANA MAPENZI CHUMBANI WALIFAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии •

  • @Edinahnyachama
    @Edinahnyachama 4 дня назад +19

    Mnaficha sura zenu kwa jina LA mungu,yakini hata shetani alikuwa anajua bibilia,lo ole wao watakao Amini kila mtu Anaya jiita mtumishi😮😮 unasikia anatumia na mifano ya illuminati mara kishirikina,,Ee mungu wangu zidi kunipa macho ya rohoni,hiyo roho inayokuzuia usitoke ni ya kishirikina funguka macho

  • @gracepittman1985
    @gracepittman1985 День назад +4

    Damu ya Yesu yatosha. Hatuhitaji damu zingine kwa mambo ya wokovu. Oh MY GOD.

  • @GeofreyJones
    @GeofreyJones День назад

    Amina sana namshukuku Mungu kwakunifunulilia kalama ya kufungua hiii video nimejidhiilishilia ambavyo nilikua nawaza

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA97 2 дня назад +2

    Mnahoji mtoto na sura wazi mnataka aishi wapi

  • @LevinaMacha
    @LevinaMacha 2 дня назад +1

    Watu wanateseka😢

  • @omegahealingchurchiringa2818
    @omegahealingchurchiringa2818 День назад

    Punguzeni upotoshaji GerDev ameitwa na kutumwa na Mungu sasa msiguse mafuta mtakufa bure mimi ninachofahamu aliye guitar atamhukumu yeye

  • @SharlotteSefania
    @SharlotteSefania День назад

    Mmmmmh, kunachumba chasiri, na majeneza How tu vikawa kwamtumishi wa mungu ilo balahah kweli, Mungu tusahidie sana, yahani watu wanaandaliwa jeneza na kabla hawajafa ilo nijambo lakushangaza!!?.

  • @JanethMassawe-d4e
    @JanethMassawe-d4e 4 дня назад +3

    sasa wew unataka kazi au umekuja kutoa siri za ndani wew fanya kazi upate mshahara wako utoke hapo ukapambane na maisha yako kunamsemo usemao ivi ukiingia hapa uyaonayo uyasikiayo yaache hapa hapa ndani

  • @vailethkalinga6504
    @vailethkalinga6504 3 дня назад +1

    Mbona siku zote mlikuwa kimya baada ya kulipika ndio mnaanza kuongeza jmn mungu tusaidie

  • @omegahealingchurchiringa2818
    @omegahealingchurchiringa2818 День назад

    Tuseme kuwa ninyi mnajaribu sana kupata follow ila kijana nì muongo tena sana

  • @lucyMsuji
    @lucyMsuji 2 дня назад

    Kweli shetani ana watenda kazi wake na mtalipwa kwa matendo yenu

  • @atumigwepanja2499
    @atumigwepanja2499 4 дня назад +4

    Isitoshe hata kumwita huyo George Kisambale "Nabii mkuu" ni kumkufuru YESU KRISTO ambaye ndiye mwenye cheo hicho. Tuepuke kumfananisha BWANA YESU na mhuni wa Arusha.

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 День назад

    Kwa Nini mmekomaa na nguvu za Giza,?
    Nguvu za meanga hazipo?

  • @AngerinSawe-bm5ic
    @AngerinSawe-bm5ic 2 дня назад

    Kwa kweli Mimi nabii Jo Dev hua anibariki na so true Kuna namwingine mahubiri mengine ukisikilza unajua kabisa hawako sawa

    • @tiamo726
      @tiamo726 День назад

      huyo nabii sia real

  • @JoyceMuneo
    @JoyceMuneo День назад

    Acha ujinga uo ni ushetani mwisho wa sikuizi tupo kwenye Agano jipya yesu mwenyewe na neno lake Acheni kuwapotosha watu

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya 3 дня назад +1

    media uchwara, anaambiwa Bwana Yesu Asifiwe anajibu milele amina, haka kaostaadhati mmekaokota wapi?

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 4 дня назад +1

    Eti majeneza kwa wanaodondoka kanisani?😢😢😢😢

  • @Riziki-m7u
    @Riziki-m7u День назад

    tuliambiwa wakati wa mwisho. kuna manabii waungo watakuja tusifate sana mijizaa simuzuri

  • @MaryKarisa-e5f
    @MaryKarisa-e5f 4 дня назад +1

    Lakini watanzania nyie... Mungu anawaona😮😮

  • @Amina-o7x1h
    @Amina-o7x1h 4 дня назад +1

    Huyu kijana na Joani wake nyumba moja😂😂

  • @chikuintila
    @chikuintila 4 дня назад +2

    Huyu ni yule kaka wa msichana aliepeea Qari na mamaake bàda ya kupata shahada jamaani mnatuchanqanye oqopeni munqu

  • @OthumanOsama
    @OthumanOsama 2 дня назад

    We.ni.mnafiki.

  • @user-qq7pg6jk
    @user-qq7pg6jk 4 дня назад

    Kwahiyo Hadi mageneza mnayo???? Dunia ina mambo😮😮😮😮

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 2 дня назад

    Hawa waongo

  • @HelenKiseu
    @HelenKiseu 2 дня назад

    Hii dunia unayo ishi ni vingapi umekula ama mavazi uliovaa ,bila kujua zinatengenezwa na campuny gani,amaumerogwa mara ngapi,yule aliekutetea ndie anaweZa kukutetea

  • @EmmanuelMsigwa-y6z
    @EmmanuelMsigwa-y6z 3 дня назад +1

    Watu walioharibiwa ufaham wao na shetani ukiwasikiliza tu unawajua kirahis

  • @VIOLETKABASHA
    @VIOLETKABASHA 2 дня назад

    Hadi nakahurumia kakijana haka.

  • @siwemaSylvester
    @siwemaSylvester 4 дня назад

    Ndio maana mungu hakutaka mambo mengine tusiyaone

  • @RoseMaxwiliam
    @RoseMaxwiliam День назад

    Kwa nini hayo majeneza aya weke ndani? Kwanini asisubiri itokee mtu kadondoka ndipo aka nunue hiyo siyo sawa kuna siri. Iliyojificha

  • @GeorgeJohn-c5e
    @GeorgeJohn-c5e 3 дня назад +1

    Nyakati za mwisho zimefika

  • @SophiaHalipha
    @SophiaHalipha 2 дня назад

    We kijana muombe Mungu tobacco sana huo uwongo utaujutia

  • @maisaalawy8549
    @maisaalawy8549 2 дня назад

    Hatari sana yani unaweka majeneza hata mtu hajafa

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 3 дня назад

    Ondokeni huko la sivyo mtafanywa misukule

  • @AnithaMirambo-z2g
    @AnithaMirambo-z2g 4 дня назад

    Hahaaaa jamani eti bahari ikachanika

  • @MtorwaWetu
    @MtorwaWetu 3 дня назад

    Hayo majeneza ni ya wapewa sadaka ndo magari ya zawadi hayo maana hata gari ilikuwa inabadilika kuwa sadaka

  • @AminaKyungu
    @AminaKyungu 2 дня назад

    Jaman huy kijana anacho sema nikweli au kiki.km kiki asiseme uongo

  • @elizabethmassawe6642
    @elizabethmassawe6642 2 дня назад

    mmmmm

  • @OthumanOsama
    @OthumanOsama 2 дня назад

    Acha.uongo.we.hauwezi.sema.kweli.ukisema.kweli.utefukuzwa.kama.mbwa.mnaua.watu.

  • @rosekennedy2075
    @rosekennedy2075 4 дня назад +4

    YESU RUDI JAMANI

  • @avitustibaigana9415
    @avitustibaigana9415 День назад

    Dogo mwenyewe anajichanganya tuu hana consistency na logic katika arguments zako.
    Ulisema baba yako ni mtumishi wa kweli, alafu una mashaka tena😮. Dogo umetumwa😅😢

  • @DivaMsukuma-c7x
    @DivaMsukuma-c7x 4 дня назад +1

    Uyunae mwongo kunakitu kinamwasha

  • @RehemaSalamba
    @RehemaSalamba День назад

    Nyie mashetani mashoga wahuni wasenge fulani manabii wa uongo Nyie

  • @EmmanuelMarceli
    @EmmanuelMarceli День назад

    Wapumbavu nyie mtakufa naona mnamwita Malaika mtoa roho, very soon atakuja kwenu kama mmelipwa mfanye huo ujinga nahic mmekosa kazi za kufanya

  • @ericasimon9631
    @ericasimon9631 2 дня назад

    Huyu kama joani

  • @EllenMalisa-n6g
    @EllenMalisa-n6g 3 дня назад

    Kumekucha….

  • @EmmanuelMarceli
    @EmmanuelMarceli День назад

    WAONGO, WACHAWI, WAABUDIO SANAMU, WAZINZI, wote nyie mtaenda kwenye lile ziwa la moto, nyie pia mjiandae kwa maneno yenu ya mchongo yaliyojaa uwongo ndani,

  • @lonalameck2349
    @lonalameck2349 4 дня назад

    Kila mtu atasema yake😂😂😂

  • @GladithMakundi
    @GladithMakundi 3 дня назад

    Du !kweli ukiwa na njaa .wewe ni mtumwa TU.

  • @RoseAlfred-i8b
    @RoseAlfred-i8b 2 дня назад

    Sijakuamini nikama kaongo kaongo

  • @SarahPeter-s2r
    @SarahPeter-s2r 3 дня назад

    Huyu kaka anaonekana ni mungo.. tafuten mada nyiñgine

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 4 дня назад +1

    Kunakundi limepanga kumchafua geodevi kwakifupiniuongo

    • @AsheryShadrack
      @AsheryShadrack 3 дня назад

      Yeye nimuongo joo devi nimchawii

    • @zuberisalum2004
      @zuberisalum2004 3 дня назад

      @AsheryShadrack wachungaji nawakristo wakisasa kila mwenyepesa mchawi mwingira anapesa kakobe anapesa mwamposa anapesa kiboko yawachawi anapesa Kuban musa anapesa za geordevir tu ndio zakichawi. Achen wivu na chuki yule godlucky kalaaniwa kwalilile tukio ile nimali kamaaimfaii angegawa au angeuza alaf pesa angewagawia maskin sio kuchoma moto muda utasema yule utanitafuta wewe wachungaji wengi maaskof wananena jina layesu iliwapate Mali alaf wewe. Unaichoma utanitafuta wwww

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 3 дня назад

    Aki ww sasa umeongea ya ukwely kwa ufupi huyo mtoaji magari hayuko sahihi

  • @ErentrudisKihwili
    @ErentrudisKihwili 2 дня назад

    MUNGU NI MWEEMA SHETANI hana nguvu

  • @ElizabethMasuke
    @ElizabethMasuke 4 дня назад

    Pambania roho Yako dogo,acha umbea, safari bado inaendelea,

  • @JojoMwini
    @JojoMwini 4 дня назад +1

    Waongo nyie mwataka kiki tu

  • @DivaMsukuma-c7x
    @DivaMsukuma-c7x 4 дня назад

    Kwahiyo unaudited tena kanisan kwake

  • @GeorgeJohn-c5e
    @GeorgeJohn-c5e 3 дня назад

    Mtasema yote

  • @IsmailMaberi
    @IsmailMaberi 3 дня назад

    BAADA YA MIAKA MITANO WATU WENGI WATAKUWA WAMEINGIZWA KWENYE KIFUNGO CHA ROHO YA MASENGENYO KUPITIA AWA WAANDISHI WA HABARI WANAOTUMIWA NA SHETANI KUINGIZA ROHO ZA MASENGENYO KWENYE MIOYO YA WAENDA MBINGUNI

  • @wins9030
    @wins9030 4 дня назад

    😂😂😂😂😂😂😂uwiiiiii jamaniiii MUNGU wetu atusamehe kwakweli

  • @EllenMalisa-n6g
    @EllenMalisa-n6g 3 дня назад

    MAKUBWA….

  • @HelenKiseu
    @HelenKiseu 2 дня назад

    Mwite mungu akusaidie hilo tatizo lako la gari,umelichoma bila kutuarifu,lakini,unaambiwa madhabahu yoyote hayatoki kwa kuteketeZwa wala kutupwa,nikwa maombi na kufunga

    • @pamelamgonja
      @pamelamgonja 2 дня назад

      Mpaka imefikia hapo ni Mungu ,Bila hivyo tusingali jua, sijui umemsikia vizuri , ameshakutana na Mungu

  • @JoyceMjema-i3l
    @JoyceMjema-i3l 4 дня назад

    Eti musa alipiga fimbo kwenye Bahar ya hindi jaman dogo ni Bahar ya Shamu

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini 16 часов назад

    Dogo unatafuta hela tu

  • @Athimanimwanakatwe
    @Athimanimwanakatwe 3 дня назад

    Acha kumlisha maneno dogo,na dogo nae hajielewi,nani kasrma mungu hatolewi kafara ya damu,?na huyo goodluck akapimwe akili hizo ni dalili za ugonjwa wa akili,je akisikia jirani ni mchawi wake,na akamchome moto,ataenda?hii hakutumia busara wa hekima.

  • @patrickrichard280
    @patrickrichard280 4 дня назад

    Uongo huu godrack aache trend kwani gari sialipewa angempa mwingine

    • @HassanKikombe
      @HassanKikombe 3 дня назад

      wewe na shetani hamna tofauti, hivi gali umelishindwa wewe kwanini umpe mwenzio mzigo bola alivyochoma

  • @shinnyinnocent1288
    @shinnyinnocent1288 4 дня назад +3

    ATI WENZENI UPANDE WA ILLIMINAT. THIS ARE DANGEROUS TIMES TO LIVE WITHOUT THE HOLY SPIRIT

  • @MtorwaWetu
    @MtorwaWetu 3 дня назад

    Mbona anaongerea maneno ya kishirikina sana

  • @kinanaomar
    @kinanaomar 4 дня назад

    Wote ni wachawi

  • @RobertMeleka
    @RobertMeleka 4 дня назад

    Dogo acha kuchengesha ukweli umelipwa fala

  • @RobertMeleka
    @RobertMeleka 4 дня назад

    Dogo acha kupoteza ukweli umelipwa fala

  • @sonkokenyaartist
    @sonkokenyaartist 4 дня назад +1

    Mkome nyinyi wajinga.....haya kuna siku yenu

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour7304 4 дня назад

    Upumbavu huo umeuandika umeutoa wapi ibilisi mkubwa wewe.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 дня назад

    Wasbenzine nyie. Uwongo na upumbavu.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 дня назад

    DOGO funga channel
    unaacha kuongea kama wewe unapanga watu
    waongee.