KEVO,NEYLA NA SIA MEZA MOJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Kevo amechanganya mademu Na yame mtokea piano

Комментарии • 692

  • @Mrsmasandunje
    @Mrsmasandunje 4 месяца назад +460

    Mambo ya kuwaficha wanaume sura Zao iyo aija Kaa Poá, mbona wanawake amuafich . Tusie penda hii tabia tujuwane kwa like

    • @antidiuskalugira6727
      @antidiuskalugira6727 4 месяца назад +5

      Uwezi kuonesha sura yake ajaliziaa mbn mnakuwa kama amjuii Sheria wakuu

    • @Mrsmasandunje
      @Mrsmasandunje 4 месяца назад +2

      Mnaboa

    • @lulugolden7133
      @lulugolden7133 4 месяца назад +3

      Umeonaee ss watudhalilishe wanaume wafchwe

    • @keifatuke99
      @keifatuke99 4 месяца назад +1

      WALE. WADADA WALIYATAKA,

    • @SantaJumaa
      @SantaJumaa 4 месяца назад +1

      Umeona eeeh siyo haki wote angewaonyesha sura na yy

  • @HabbygilrofficialSaid
    @HabbygilrofficialSaid 4 месяца назад +238

    Team asia like apa

  • @sweetbertalbert3542
    @sweetbertalbert3542 4 месяца назад +15

    Sia anafaa sana ila uyo changudoa uyo mhhhh noma sana mwanamke,,,mpumbavu hujawa hasira kama hivo kutokana na tabia zake ila Sia nawe Mungu akujalie

  • @davidmakangila9112
    @davidmakangila9112 4 месяца назад +119

    Sia ni bint mrembo na mstarabu sana anaitaji mwanaume anayejitambua kiukweli

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt 4 месяца назад +1

      Sana

    • @JudyLee-hf9cy
      @JudyLee-hf9cy 4 месяца назад +1

      Kabisa

    • @Allymzaki
      @Allymzaki 4 месяца назад +1

      Kabisa.

    • @ZuwenaSalum-pd4ol
      @ZuwenaSalum-pd4ol 4 месяца назад +2

      Yani mi pia nimeliona ili mashallah ila kwauyo ajajitambua nn anaitaji kutoka kwamanamke uyo

    • @RachelMalekela
      @RachelMalekela 4 месяца назад +1

      Sia ndo mke ila wanaume sijui wanatakaga Nini?

  • @afyayakonajullie4314
    @afyayakonajullie4314 4 месяца назад +44

    Sijapenda kumficha sura kevoo

    • @antidiuskalugira6727
      @antidiuskalugira6727 4 месяца назад +1

      Bila izini yake uwezi kuonesha sura yakee

    • @EpiphanDidace
      @EpiphanDidace 4 месяца назад

      Skiliza mpaka dk ya 8 hii story imetengenezwa

  • @MarianJoseph-zp6br
    @MarianJoseph-zp6br 4 месяца назад +17

    Nilikua najuaga ni ukweli kumbe wanaigiza, nimemsikia siah anamwambia mwenzake eti nilitaka nicheke alijisahau kua kavaa kile kimaiki duh😳😂😂😂

    • @JumaJuma-c3i
      @JumaJuma-c3i 4 месяца назад

      Kweli, wameigiza

    • @Zouh480
      @Zouh480 3 месяца назад

      Kumbe 😢😢😢😢

    • @AishaJuma-py7ve
      @AishaJuma-py7ve 3 месяца назад

      Nahata uyo mwanaume wa kipind cha nyuma 😂😂😂

    • @SweetnessEMbise
      @SweetnessEMbise 2 месяца назад +1

      Kama ni hvyo siangalii tena

    • @celinadavid9753
      @celinadavid9753 Месяц назад

      noo atakua anamaanisha kidogo acheke mbele yao bhn

  • @EstherCasmil
    @EstherCasmil 4 месяца назад +16

    Sia ni mke kabisa Hana Mambo mengi anaakili frani iviii aisee umepatia bro

  • @janethfred4047
    @janethfred4047 4 месяца назад +13

    Yaan kwa mazungumzo haya kevoo anaonekana bado anaakili za kitoto kabisaaa yaan daah! Shida vijana wanadate na wanaume wasio jitambua kabisaaaa

    • @neemaokanga
      @neemaokanga 4 месяца назад

      Ayo ni fert

    • @FayBeauty
      @FayBeauty 4 месяца назад

      Mimba yako? Baki nayo ikikua utanishtua😆🤣🙌🏻

  • @ZuwenaAhmad-v7j
    @ZuwenaAhmad-v7j 3 месяца назад +9

    Laha tupu kama unapenda kaz za mr uky like apaa❤

  • @AchenaSalumu
    @AchenaSalumu 4 месяца назад +6

    Sia nimekupenda bule mpole unaeshima nakupa makopa yako❤❤❤❤❤❤

  • @irenembise541
    @irenembise541 4 месяца назад +12

    Huyu kevoo mbona Kama Yule aloitwa kwa rafiki wa mpenzi wake na akaenda 😄kule kwa Kiredio

    • @MwileMkangwa-y1n
      @MwileMkangwa-y1n 3 месяца назад

      Hata Mimi Nimeona hivyo 😅😅😅😅😅 yule alie meza dawa

    • @abdallahassan6378
      @abdallahassan6378 3 месяца назад

      Ata mm nimeona ivo

    • @Samueldavics
      @Samueldavics 3 месяца назад

      Kumbe pale alimeza dawa😅😅😂

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 2 месяца назад

      ​@Samueldavic😅😅😅😅😅s

    • @Samueldavics
      @Samueldavics 2 месяца назад

      @@ziddyziddy2524 noma sana 😁🤔

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf 4 месяца назад +6

    Zingatia vizur Jamaaa anavyotoka kwenda kuongea na huyo Kevo Hawa wa dada wawil wanaskika wakicheka moja anmwambia mwenzie nilitaka kukosea

    • @Mjissa
      @Mjissa 4 месяца назад +1

      Hyooo hata mm nimeisikiaa ety hawa washenz kumb wanatuigiziaaa dadek

    • @yasintakimaro5784
      @yasintakimaro5784 4 месяца назад

      Hawa wanaigiza tuuu washenz wakubwa wamekosa kazi ya kufanya wakaona ss ni mabwege tusikilize utopolo wao....wamekosa vya maana vya kutuletea vya kuelimisha ata jamii vyenye maana😤😤

    • @BennyJumah-hd8yf
      @BennyJumah-hd8yf 4 месяца назад

      @@yasintakimaro5784 wanacheza na skil za watu wajinga so welevu embu watuache kidogo

    • @BennyJumah-hd8yf
      @BennyJumah-hd8yf 4 месяца назад

      @@Mjissa Hawa wanacheza na soil zetu

    • @صفوابنتسعيدباوافد
      @صفوابنتسعيدباوافد 2 месяца назад

      Mimi nasikia wanacheka tu

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga 4 месяца назад +27

    Wanao mkubali sia gonna like hapa❤❤❤❤

  • @AgnessHerman-dp6fw
    @AgnessHerman-dp6fw 4 месяца назад +2

    Shida mmebebea mimba mwanaume mvulanna,hata bado hajui anataka nn,mabinti tulieni jamani,mnaharibu maisha yenu,kevoo hata kujieleza hawezi,

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 4 месяца назад +5

    Wadada wazur wanawapenda wafunga vitambaa hao c future husband af ce wengine mnaotuona wanyasa ndo love imeja kilo150😁

  • @AliceLuvanda
    @AliceLuvanda 4 месяца назад +20

    Jamn wakwanza like zanguu😅😅😅

  • @JofreyKanjanja
    @JofreyKanjanja 4 месяца назад +4

    Watoto mnavamia mapenz, huo umri jitafutien elimu iwasaidie kujitegemea kifikra na uchumi, muache kugombania wanaume wanaish na kula kwa wazaz wao

    • @ashamdemeka
      @ashamdemeka 4 месяца назад

      Kwel n kuwaza wanaume tu badala ya kujikwamua kiuchumu kulisaidia taifa

  • @MohdSilima-v4b
    @MohdSilima-v4b 4 месяца назад

    Nyinyi wanawake washezi kweli yan mwanamke umekamilika ukagombanie mwanaume kwel mh looo mmezidi

  • @AshuraShafii
    @AshuraShafii Месяц назад

    Nimependa sana kevoo alovomchagua mwanamke wake mana huyo mwengine ni mkorofi sana tafuta chako dada usione kinag'aa ukakitolea macho haya siulisema uwezi kuwachwa Hilo limeumbuka😂😂😂😂😂

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga 4 месяца назад

    Oyoooooo..... 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻nilikuwa nausubir huu mrejesho kwa hamu zote Asante studio💃💃💃💃💃

  • @officialgidoti8992
    @officialgidoti8992 4 месяца назад +11

    Mm nimempenda kevoo kwa kumchagua asia maana uyo mwingine nyodo nyiny kujitia anapendwa wakati anadanganywa tu mwanaume ata kama anacheat akikuchagua kwenye kadamu nasi basi iyo heshima inatosha huwezi kumzui kucheat ni yy atamua kustop au kuendelea

    • @jenipherishengoma1239
      @jenipherishengoma1239 4 месяца назад

      Michepuko michepuko Ina la kujifunza hapa na kuzaa utamzalia ila mke halalii haachwi labda aamue kuondoka mwenyewe

  • @HildazablonZablonmakina
    @HildazablonZablonmakina 4 месяца назад +2

    Sio vzr bhn kwann mwanaume amefichwa sura, Mr uky sio vzr apo

  • @JESCAMUSA-l8r
    @JESCAMUSA-l8r 29 дней назад

    Nmecheka kevoo alvoambiwa et wana mimba wote "heeeh"😅😅😅😅

  • @TallentMakero
    @TallentMakero 4 месяца назад +3

    Uyo kevoo mbona kama yule wa fumanizi la kimara, alaf ya leo mbona kama drama iv mmeskia ao wadada wanavyoongea et uscheke jaman mr. Uky unatukatisha utam

  • @صفوابنتسعيدباوافد
    @صفوابنتسعيدباوافد 2 месяца назад

    Unapoingilia mapenzi ya watu,,,unajishusha thamani,,,huyo mwanaume amekudrau ,,anakukataa mbele ya shoga yako,,,,,Sasa mwenzio kawekwa ndani maanayake kapendwa,,,,,,,unamtaka kinguvu du,,,dharau nyingi bi dada

  • @Reymaa811
    @Reymaa811 4 месяца назад +3

    nani kaskia wakisema "nicheke nini "😅😅

    • @moreenbless-vr7oy
      @moreenbless-vr7oy 4 месяца назад +2

      Si nimesema wanaigiza awa 😂😂😂😂

  • @cydemanchester2368
    @cydemanchester2368 2 месяца назад

    Mr. UKY sijapenda utaratibu wa kuficha sura za wanaume pale unapowahoji wakati huo huo sura za wanawake hamzifichi. Kama mnaona wanawake wanafaa kudhalilishwa lakini wanaume hawafai kudhalilishwa sio poa wala nini. Sura zote ziwekeni wazi

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt 4 месяца назад +10

    Kwan huyu kaka ana nn jmn😂😂😂mbona kama yule wa kiredio kimara au macho yang yanaona vibaya

    • @KhabibaBashiru
      @KhabibaBashiru 4 месяца назад

      Ndo yeye mbona au macho yang😂😂😂😂

    • @jacklinejackson9600
      @jacklinejackson9600 4 месяца назад

      Mbona mwanaume anafichwa content za Mr uk za uongo

    • @WelimaAdonias
      @WelimaAdonias 4 месяца назад

      @@jacklinejackson9600kumfichua mtu sura mpak atake yye

    • @JoyceKisaka
      @JoyceKisaka 4 месяца назад

      Kabisa vishoiyaa

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 4 месяца назад

      Ndo maana wanaficha hizi video zko staged

  • @CALVINMASSAWE
    @CALVINMASSAWE 4 месяца назад +2

    Kevoo mwenzangu katisha na kama kevoo mimi pia nampongeza kachagua sahihi kabisa

  • @RobertRange-uf3rf
    @RobertRange-uf3rf 2 месяца назад +1

    Ila kingereza cha mr UK😅😅

  • @MwanangeniAyubu-nn1hw
    @MwanangeniAyubu-nn1hw 4 месяца назад +3

    Ila wanaume mmmh mbn Sia mzr to Tena mstaarab sn ❤

  • @TwahiriRajabu
    @TwahiriRajabu 2 месяца назад

    Jaman neyra unadharau we

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂 mimi nigombanie mwanaume hivo sina muda

  • @pendokilleo966
    @pendokilleo966 4 месяца назад +3

    Kevoo is typing 😂😂 wanaume jamani 😂😂Am single forever 😅

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 2 месяца назад

    Mimi sijafura kwa vile unamficha huyo bwana Malaya sura inabindi sura ionekanllke kama vile wanawake wanaonyeshwa sura

  • @GiftELIAPENDA
    @GiftELIAPENDA 4 месяца назад +19

    M.mwanaume akishavaa miremba akha simtak

  • @araphasabra4498
    @araphasabra4498 2 месяца назад

    Sia wozaaaaaaaaaa 🎉nimefrahi Sana kile kingine sio kabisa

  • @MaryyBenjamini
    @MaryyBenjamini 4 месяца назад +12

    Nilikuwa naitamani hii pat 2 good mdomo wote kwisha

  • @NaimaSuleiman-u2e
    @NaimaSuleiman-u2e 2 месяца назад

    Kazi ipoo

  • @VirginiaStaki
    @VirginiaStaki 3 месяца назад

    Mmmhhh majina ya kina kelvin hayoooo ndo maana niliwaachaga jaman

  • @linahmlay8512
    @linahmlay8512 3 месяца назад

    😂😂😂😂 wasichana mnaopenda mume wa shoo au ndugu kitawalamba kitu mimba baki nayo utanishtua😂😂😂😂😂 Asia popote ulipo❤❤❤❤❤❤❤

  • @irenesongelael
    @irenesongelael 4 месяца назад

    Uyo neyla dish limeyumba ndo maan alikuw anatumika na kevoo
    Sia ni mstaarab San nmemlend kevoo kaon kifaa icho ndo maan kaondok nae
    Ushauri kwa wanaume tumia demu mjuaji ila usimpe mimba
    Ila nashauri wadada mwanaume anamjua mwanamke wa kumuoa

  • @catherinenenula7450
    @catherinenenula7450 4 месяца назад

    Mbona uyu kaka kama yule aliyefumaniwa kimara😂😂😂😂😂😂😂mnatuchanganya

    • @hildachiboti6080
      @hildachiboti6080 4 месяца назад

      Ndo yeye na kiremba na kasuruali kalichochanikaaa wanatuigizia sio real coz kimara alikua na girlfriend alovaa jezi ya Simba Leo Tena Hawa wadada how comes?

  • @moreenbless-vr7oy
    @moreenbless-vr7oy 4 месяца назад

    Wanaigiza awa siyo serious ii😂😂😂😂

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818 4 месяца назад +2

    Muendelezo jamani kevoo kenyewe katoto wadada wazuri mnakwama wapi

  • @EmmyJumanne-mf2nu
    @EmmyJumanne-mf2nu 4 месяца назад +1

    Nilijua tu jamn mwanaume afosiwe jmn akipenda apo apo siy kama mwanamke sasa ajui kama ataalibu maisha ya mtoto wake amekataliwa😅😅

  • @AshaMsese-y5f
    @AshaMsese-y5f 4 месяца назад

    Saiv kaka anataka ushaur😂😂 eti anangakua anasepe

  • @asmadulla
    @asmadulla 3 месяца назад

    sasa nitashare vp wakat sijamuona huyo kevoo sura yake

  • @EmmyMtila
    @EmmyMtila 4 месяца назад

    Wanawake akili zao yani kubeba mimba sikuhizi wanaona kitu chaa kawaida wazazi wanasubiri mahari watoto wao wanapaunua hovyo😂😂😂na baadae wapelekwe vijukuu

  • @StellaMuhibu-po3ec
    @StellaMuhibu-po3ec 4 месяца назад

    Nikifika nanyakua huyooo natembea 😅😅😅😅

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 месяца назад

    😂😂😂et mmeniita kunichamba😂😂😂

  • @HappynessStephano
    @HappynessStephano 4 месяца назад +2

    Yaani kevoooo, kwanza kwa akili zangu baada ya kunichagua tu ningemuacha hapo na kilemba chake nyokolo hiloooo

  • @IreneShadrack-p6c
    @IreneShadrack-p6c 4 месяца назад +4

    Huyu na mdomo wake wote kaumbuka😂😂

  • @AirinSumeno
    @AirinSumeno 4 месяца назад

    Asia asingechagiliwa tungeandamana😂😂😂😂

  • @LOYCEEMMANUEL-b6z
    @LOYCEEMMANUEL-b6z Месяц назад

    Sasa mbona mnawaficha wahalifuu ila wa kike mnawaanika acheni ujinga wenu Mr uk waoneshwe hao mnawaficha sura zao watu wawaaepuke

  • @LubnaGeorge-re4yp
    @LubnaGeorge-re4yp 4 месяца назад

    Huyu kevoo bangi🤣🤣🤣🤣

  • @debbiecharlie9532
    @debbiecharlie9532 4 месяца назад +2

    Nyie wadada mnawapataga wap hao wakaka wanavaa vitamba kichwan jmn

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf 4 месяца назад

    Nyie huyu mwanaume wamerudia Yule wafumanizi wa Yule dada wa jez Ya simba ile kuna muda kamera kamera ilionesha mzingatie huyo jamaa Kaaba vile vile Mpaka kitambaa cheupe kichwan jeans Mpaka t shart dadekii

  • @ElizabethMchomvu-s2d
    @ElizabethMchomvu-s2d 4 месяца назад

    Mimba baki nayo tu😅😅😅😅 ata ningekuwa mm huyo mwenye kikuma nina sichukuwi nakuchukulia sia

  • @moreenbless-vr7oy
    @moreenbless-vr7oy 4 месяца назад +2

    08:59 😂😂😂😂ndo nimejiakikishia awa wanaigiza embu skilizen kwa makini

    • @QueenSalema-lw3ye
      @QueenSalema-lw3ye 4 месяца назад

      N kwel saut inaskika nyuma ya camera ya wale madem

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 4 месяца назад

    Mbn huyu jamaa ndo yule yule kiredio na wewe Mr. Uk mlifanyia challenge ya kimara mbn mnarudia matukio au mnawapangaga

  • @KibibiRajabuu
    @KibibiRajabuu 4 месяца назад

    Yan kama hamuonyeah wot mnabagua broo usituonyeshe vyote bhn mbn wanawak unawaachia free unamfich mwanaume mwenzio sio

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 месяца назад

    😂😂Mwanaume anashangaa mimba

  • @AnnastaziaSelemani
    @AnnastaziaSelemani 4 месяца назад

    Huyo neila Wala simpendi sia mpole maskini

  • @EDITHAALPHONCE-hr9vj
    @EDITHAALPHONCE-hr9vj 3 месяца назад +1

    Team sia tujuane

  • @DoreenNyange
    @DoreenNyange 2 месяца назад

    Tuanglie mbwa za kudate nao jmn khaa😂😂

  • @DianaErasto-lh5yz
    @DianaErasto-lh5yz 4 месяца назад

    Iyo tabia ya kuficha wanaume sura c fear...kwann muwafiche sura???

  • @mamyneytariq8458
    @mamyneytariq8458 4 месяца назад

    Kujiamini kubaya

  • @ReubenCharles-oq1dj
    @ReubenCharles-oq1dj 4 месяца назад

    Hatariiiii

  • @NeemahChristopher-pq3kc
    @NeemahChristopher-pq3kc 4 месяца назад

    Et hyo mimba wee kaa nayo tu ikizingua utanishtua😂😂😂😂😂😂 kevoo mshenzi sana 😅😅😅😅😅😅😅

  • @JosephineJacob-zo8sq
    @JosephineJacob-zo8sq 4 месяца назад

    😂😂Tunanyakuaaa uyooo

  • @bibitititv9333
    @bibitititv9333 3 месяца назад

    Kwann wanaume wanavichwa sura Why? Sio vzr hivyo

  • @Joven-xg4vv
    @Joven-xg4vv 4 месяца назад

    mr uky umedhingua unafichaje sura ya uyo kevoo kwanz ajielw kabisa yan unadateje na shog wa rafik yako

  • @anithasholaboniphace1261
    @anithasholaboniphace1261 4 месяца назад

    Sia wife matilio jaman sema hyo bwana ndio kitombi hajatulia kabisaaaaa

  • @QueenAloyec
    @QueenAloyec 4 месяца назад

    Msiwe mnawaficha wa kaka

  • @sweetbertalbert3542
    @sweetbertalbert3542 4 месяца назад

    Unakua kmy sana wee

  • @SalimMndeme
    @SalimMndeme 4 месяца назад

    Ivi kunawanawake wanagombaniaga wanaume mpka Leo jmn embu achni aibuu

  • @sabrinaaron4212
    @sabrinaaron4212 4 месяца назад

    Kajua kuzalilika cyo Kwa kujiamin uko😂😂😂😂

  • @Moon-oq8lz
    @Moon-oq8lz 4 месяца назад

    We iyo kaa nayo ikikua utanishtua😂😂😂

  • @givendaudi8721
    @givendaudi8721 4 месяца назад

    Kevoo amevaa na kilemba

    • @glorymanga3650
      @glorymanga3650 4 месяца назад

      Etiii bado wananganganiaa🤣🤣🤣🤣woi mm ningejitooaa

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 4 месяца назад +1

    MBOO NDEEEEEFU KUMA KWA JIRANI 😂😂😂😂😂 SHENZI KABISA.

  • @alexmuli1681
    @alexmuli1681 2 месяца назад

    Kevoo na brayoo malaya sana mazee

  • @essyrugomora4561
    @essyrugomora4561 4 месяца назад

    ANANYAKUA HALELUYA

  • @JanethErnest-j9z
    @JanethErnest-j9z 4 месяца назад

    Nikifika nanyakua

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 4 месяца назад

    Mnawaanika wanawake muharibifu mnanficha

  • @Fx_expertmoneymaker001
    @Fx_expertmoneymaker001 4 месяца назад

    Hyo mimba baki nayo, ikikua utanishtua. 🤣🤣🤣🤣. Nakupa ubak nayo ww mda wa kuzaa ukifika utanishtua. 😂😂😂

  • @AgnesKomba-rv4zx
    @AgnesKomba-rv4zx 4 месяца назад

    Poleni Sana wadada shida wanaume wanatamani làkini tu hawapendi kuweni makini by samweli

  • @NAKIJWANATHANAELI
    @NAKIJWANATHANAELI 3 месяца назад

    Mm Kwa umri niliofika Sina mda wa kufosi mambo Kama ni changu kutakuwa changu

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt 4 месяца назад +2

    Huyu kevoo hamna mwanaume hapoo,,asia mama huyo kaka mmmh😢

  • @GraceSwai-dj9nb
    @GraceSwai-dj9nb 4 месяца назад

    Jmn kwannn mnaficha sura zao

  • @JerusaMkuyu-pw1zo
    @JerusaMkuyu-pw1zo 4 месяца назад

    Nimecheka hawa wanaume hawa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @christopherkimario5059
    @christopherkimario5059 4 месяца назад

    Kubabake humutu huyo dem mwingine alikua anajitamba san

  • @Havani-v5g
    @Havani-v5g 4 месяца назад

    Kaka hapo umefanya jambo labusara huyo neila hana heshima kwanza mavazi yake tu balaa

  • @DaheerK
    @DaheerK 4 месяца назад

    Uyo rafiki mbwa Asia utapata mume

  • @saraselapion5350
    @saraselapion5350 4 месяца назад

    Wote hawajitambui

  • @Jennifermossesmsangi
    @Jennifermossesmsangi 4 месяца назад

    Ikikua utanistua 😂😂😂😂 kevoooo🙌

  • @chaudelechauchaudeee3347
    @chaudelechauchaudeee3347 3 месяца назад

    Nafka nanyakua huyoooo😂😂

  • @MagdalenaHoja-jh9qg
    @MagdalenaHoja-jh9qg 4 месяца назад

    Mr UK s umchukue Sia awe Dem wako tu nibint mtiifu sanaa

  • @eddazakariasulusi2884
    @eddazakariasulusi2884 4 месяца назад

    Ilikuwa utanistua

  • @EnjooHamiss-sg3nx
    @EnjooHamiss-sg3nx 4 месяца назад

    Umenifanya nitoke insta mpaka uku yutb