Hawa wanaigiza tuuu washenz wakubwa wamekosa kazi ya kufanya wakaona ss ni mabwege tusikilize utopolo wao....wamekosa vya maana vya kutuletea vya kuelimisha ata jamii vyenye maana😤😤
Nimependa sana kevoo alovomchagua mwanamke wake mana huyo mwengine ni mkorofi sana tafuta chako dada usione kinag'aa ukakitolea macho haya siulisema uwezi kuwachwa Hilo limeumbuka😂😂😂😂😂
Mm nimempenda kevoo kwa kumchagua asia maana uyo mwingine nyodo nyiny kujitia anapendwa wakati anadanganywa tu mwanaume ata kama anacheat akikuchagua kwenye kadamu nasi basi iyo heshima inatosha huwezi kumzui kucheat ni yy atamua kustop au kuendelea
Uyo kevoo mbona kama yule wa fumanizi la kimara, alaf ya leo mbona kama drama iv mmeskia ao wadada wanavyoongea et uscheke jaman mr. Uky unatukatisha utam
Unapoingilia mapenzi ya watu,,,unajishusha thamani,,,huyo mwanaume amekudrau ,,anakukataa mbele ya shoga yako,,,,,Sasa mwenzio kawekwa ndani maanayake kapendwa,,,,,,,unamtaka kinguvu du,,,dharau nyingi bi dada
Mr. UKY sijapenda utaratibu wa kuficha sura za wanaume pale unapowahoji wakati huo huo sura za wanawake hamzifichi. Kama mnaona wanawake wanafaa kudhalilishwa lakini wanaume hawafai kudhalilishwa sio poa wala nini. Sura zote ziwekeni wazi
Uyo neyla dish limeyumba ndo maan alikuw anatumika na kevoo Sia ni mstaarab San nmemlend kevoo kaon kifaa icho ndo maan kaondok nae Ushauri kwa wanaume tumia demu mjuaji ila usimpe mimba Ila nashauri wadada mwanaume anamjua mwanamke wa kumuoa
Ndo yeye na kiremba na kasuruali kalichochanikaaa wanatuigizia sio real coz kimara alikua na girlfriend alovaa jezi ya Simba Leo Tena Hawa wadada how comes?
Wanawake akili zao yani kubeba mimba sikuhizi wanaona kitu chaa kawaida wazazi wanasubiri mahari watoto wao wanapaunua hovyo😂😂😂na baadae wapelekwe vijukuu
Nyie huyu mwanaume wamerudia Yule wafumanizi wa Yule dada wa jez Ya simba ile kuna muda kamera kamera ilionesha mzingatie huyo jamaa Kaaba vile vile Mpaka kitambaa cheupe kichwan jeans Mpaka t shart dadekii
Mambo ya kuwaficha wanaume sura Zao iyo aija Kaa Poá, mbona wanawake amuafich . Tusie penda hii tabia tujuwane kwa like
Uwezi kuonesha sura yake ajaliziaa mbn mnakuwa kama amjuii Sheria wakuu
Mnaboa
Umeonaee ss watudhalilishe wanaume wafchwe
WALE. WADADA WALIYATAKA,
Umeona eeeh siyo haki wote angewaonyesha sura na yy
Team asia like apa
Sia anafaa sana ila uyo changudoa uyo mhhhh noma sana mwanamke,,,mpumbavu hujawa hasira kama hivo kutokana na tabia zake ila Sia nawe Mungu akujalie
Sia ni bint mrembo na mstarabu sana anaitaji mwanaume anayejitambua kiukweli
Sana
Kabisa
Kabisa.
Yani mi pia nimeliona ili mashallah ila kwauyo ajajitambua nn anaitaji kutoka kwamanamke uyo
Sia ndo mke ila wanaume sijui wanatakaga Nini?
Sijapenda kumficha sura kevoo
Bila izini yake uwezi kuonesha sura yakee
Skiliza mpaka dk ya 8 hii story imetengenezwa
Nilikua najuaga ni ukweli kumbe wanaigiza, nimemsikia siah anamwambia mwenzake eti nilitaka nicheke alijisahau kua kavaa kile kimaiki duh😳😂😂😂
Kweli, wameigiza
Kumbe 😢😢😢😢
Nahata uyo mwanaume wa kipind cha nyuma 😂😂😂
Kama ni hvyo siangalii tena
noo atakua anamaanisha kidogo acheke mbele yao bhn
Sia ni mke kabisa Hana Mambo mengi anaakili frani iviii aisee umepatia bro
Yaan kwa mazungumzo haya kevoo anaonekana bado anaakili za kitoto kabisaaa yaan daah! Shida vijana wanadate na wanaume wasio jitambua kabisaaaa
Ayo ni fert
Mimba yako? Baki nayo ikikua utanishtua😆🤣🙌🏻
Laha tupu kama unapenda kaz za mr uky like apaa❤
Sia nimekupenda bule mpole unaeshima nakupa makopa yako❤❤❤❤❤❤
Huyu kevoo mbona Kama Yule aloitwa kwa rafiki wa mpenzi wake na akaenda 😄kule kwa Kiredio
Hata Mimi Nimeona hivyo 😅😅😅😅😅 yule alie meza dawa
Ata mm nimeona ivo
Kumbe pale alimeza dawa😅😅😂
@Samueldavic😅😅😅😅😅s
@@ziddyziddy2524 noma sana 😁🤔
Zingatia vizur Jamaaa anavyotoka kwenda kuongea na huyo Kevo Hawa wa dada wawil wanaskika wakicheka moja anmwambia mwenzie nilitaka kukosea
Hyooo hata mm nimeisikiaa ety hawa washenz kumb wanatuigiziaaa dadek
Hawa wanaigiza tuuu washenz wakubwa wamekosa kazi ya kufanya wakaona ss ni mabwege tusikilize utopolo wao....wamekosa vya maana vya kutuletea vya kuelimisha ata jamii vyenye maana😤😤
@@yasintakimaro5784 wanacheza na skil za watu wajinga so welevu embu watuache kidogo
@@Mjissa Hawa wanacheza na soil zetu
Mimi nasikia wanacheka tu
Wanao mkubali sia gonna like hapa❤❤❤❤
Shida mmebebea mimba mwanaume mvulanna,hata bado hajui anataka nn,mabinti tulieni jamani,mnaharibu maisha yenu,kevoo hata kujieleza hawezi,
Wadada wazur wanawapenda wafunga vitambaa hao c future husband af ce wengine mnaotuona wanyasa ndo love imeja kilo150😁
😂😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂
Jamn wakwanza like zanguu😅😅😅
Watoto mnavamia mapenz, huo umri jitafutien elimu iwasaidie kujitegemea kifikra na uchumi, muache kugombania wanaume wanaish na kula kwa wazaz wao
Kwel n kuwaza wanaume tu badala ya kujikwamua kiuchumu kulisaidia taifa
Nyinyi wanawake washezi kweli yan mwanamke umekamilika ukagombanie mwanaume kwel mh looo mmezidi
Nimependa sana kevoo alovomchagua mwanamke wake mana huyo mwengine ni mkorofi sana tafuta chako dada usione kinag'aa ukakitolea macho haya siulisema uwezi kuwachwa Hilo limeumbuka😂😂😂😂😂
Oyoooooo..... 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻nilikuwa nausubir huu mrejesho kwa hamu zote Asante studio💃💃💃💃💃
Mm nimempenda kevoo kwa kumchagua asia maana uyo mwingine nyodo nyiny kujitia anapendwa wakati anadanganywa tu mwanaume ata kama anacheat akikuchagua kwenye kadamu nasi basi iyo heshima inatosha huwezi kumzui kucheat ni yy atamua kustop au kuendelea
Michepuko michepuko Ina la kujifunza hapa na kuzaa utamzalia ila mke halalii haachwi labda aamue kuondoka mwenyewe
Sio vzr bhn kwann mwanaume amefichwa sura, Mr uky sio vzr apo
Nmecheka kevoo alvoambiwa et wana mimba wote "heeeh"😅😅😅😅
Uyo kevoo mbona kama yule wa fumanizi la kimara, alaf ya leo mbona kama drama iv mmeskia ao wadada wanavyoongea et uscheke jaman mr. Uky unatukatisha utam
Unapoingilia mapenzi ya watu,,,unajishusha thamani,,,huyo mwanaume amekudrau ,,anakukataa mbele ya shoga yako,,,,,Sasa mwenzio kawekwa ndani maanayake kapendwa,,,,,,,unamtaka kinguvu du,,,dharau nyingi bi dada
nani kaskia wakisema "nicheke nini "😅😅
Si nimesema wanaigiza awa 😂😂😂😂
Mr. UKY sijapenda utaratibu wa kuficha sura za wanaume pale unapowahoji wakati huo huo sura za wanawake hamzifichi. Kama mnaona wanawake wanafaa kudhalilishwa lakini wanaume hawafai kudhalilishwa sio poa wala nini. Sura zote ziwekeni wazi
Kwan huyu kaka ana nn jmn😂😂😂mbona kama yule wa kiredio kimara au macho yang yanaona vibaya
Ndo yeye mbona au macho yang😂😂😂😂
Mbona mwanaume anafichwa content za Mr uk za uongo
@@jacklinejackson9600kumfichua mtu sura mpak atake yye
Kabisa vishoiyaa
Ndo maana wanaficha hizi video zko staged
Kevoo mwenzangu katisha na kama kevoo mimi pia nampongeza kachagua sahihi kabisa
😅😅
Ila kingereza cha mr UK😅😅
Ila wanaume mmmh mbn Sia mzr to Tena mstaarab sn ❤
Jaman neyra unadharau we
😂😂😂😂😂 mimi nigombanie mwanaume hivo sina muda
Kevoo is typing 😂😂 wanaume jamani 😂😂Am single forever 😅
😂😂😂😂😂😂
How Pendo?
Mimi sijafura kwa vile unamficha huyo bwana Malaya sura inabindi sura ionekanllke kama vile wanawake wanaonyeshwa sura
M.mwanaume akishavaa miremba akha simtak
Sia wozaaaaaaaaaa 🎉nimefrahi Sana kile kingine sio kabisa
Nilikuwa naitamani hii pat 2 good mdomo wote kwisha
Umehonae
😅😅😅😅
😅😅😅
Kazi ipoo
Mmmhhh majina ya kina kelvin hayoooo ndo maana niliwaachaga jaman
😂😂😂😂 wasichana mnaopenda mume wa shoo au ndugu kitawalamba kitu mimba baki nayo utanishtua😂😂😂😂😂 Asia popote ulipo❤❤❤❤❤❤❤
Uyo neyla dish limeyumba ndo maan alikuw anatumika na kevoo
Sia ni mstaarab San nmemlend kevoo kaon kifaa icho ndo maan kaondok nae
Ushauri kwa wanaume tumia demu mjuaji ila usimpe mimba
Ila nashauri wadada mwanaume anamjua mwanamke wa kumuoa
Mbona uyu kaka kama yule aliyefumaniwa kimara😂😂😂😂😂😂😂mnatuchanganya
Ndo yeye na kiremba na kasuruali kalichochanikaaa wanatuigizia sio real coz kimara alikua na girlfriend alovaa jezi ya Simba Leo Tena Hawa wadada how comes?
Wanaigiza awa siyo serious ii😂😂😂😂
Muendelezo jamani kevoo kenyewe katoto wadada wazuri mnakwama wapi
Nilijua tu jamn mwanaume afosiwe jmn akipenda apo apo siy kama mwanamke sasa ajui kama ataalibu maisha ya mtoto wake amekataliwa😅😅
Saiv kaka anataka ushaur😂😂 eti anangakua anasepe
sasa nitashare vp wakat sijamuona huyo kevoo sura yake
Wanawake akili zao yani kubeba mimba sikuhizi wanaona kitu chaa kawaida wazazi wanasubiri mahari watoto wao wanapaunua hovyo😂😂😂na baadae wapelekwe vijukuu
Nikifika nanyakua huyooo natembea 😅😅😅😅
😂😂😂et mmeniita kunichamba😂😂😂
Yaani kevoooo, kwanza kwa akili zangu baada ya kunichagua tu ningemuacha hapo na kilemba chake nyokolo hiloooo
Yani wanaume noma ila Sia alisitahili make hana makuu
Huyu na mdomo wake wote kaumbuka😂😂
Sana
Asia asingechagiliwa tungeandamana😂😂😂😂
Sasa mbona mnawaficha wahalifuu ila wa kike mnawaanika acheni ujinga wenu Mr uk waoneshwe hao mnawaficha sura zao watu wawaaepuke
Huyu kevoo bangi🤣🤣🤣🤣
Nyie wadada mnawapataga wap hao wakaka wanavaa vitamba kichwan jmn
Nyie huyu mwanaume wamerudia Yule wafumanizi wa Yule dada wa jez Ya simba ile kuna muda kamera kamera ilionesha mzingatie huyo jamaa Kaaba vile vile Mpaka kitambaa cheupe kichwan jeans Mpaka t shart dadekii
Mimba baki nayo tu😅😅😅😅 ata ningekuwa mm huyo mwenye kikuma nina sichukuwi nakuchukulia sia
08:59 😂😂😂😂ndo nimejiakikishia awa wanaigiza embu skilizen kwa makini
N kwel saut inaskika nyuma ya camera ya wale madem
Mbn huyu jamaa ndo yule yule kiredio na wewe Mr. Uk mlifanyia challenge ya kimara mbn mnarudia matukio au mnawapangaga
Yan kama hamuonyeah wot mnabagua broo usituonyeshe vyote bhn mbn wanawak unawaachia free unamfich mwanaume mwenzio sio
😂😂Mwanaume anashangaa mimba
Huyo neila Wala simpendi sia mpole maskini
Team sia tujuane
Tuanglie mbwa za kudate nao jmn khaa😂😂
Iyo tabia ya kuficha wanaume sura c fear...kwann muwafiche sura???
Kujiamini kubaya
Hatariiiii
Et hyo mimba wee kaa nayo tu ikizingua utanishtua😂😂😂😂😂😂 kevoo mshenzi sana 😅😅😅😅😅😅😅
😂😂Tunanyakuaaa uyooo
Kwann wanaume wanavichwa sura Why? Sio vzr hivyo
mr uky umedhingua unafichaje sura ya uyo kevoo kwanz ajielw kabisa yan unadateje na shog wa rafik yako
Sia wife matilio jaman sema hyo bwana ndio kitombi hajatulia kabisaaaaa
Msiwe mnawaficha wa kaka
Unakua kmy sana wee
Ivi kunawanawake wanagombaniaga wanaume mpka Leo jmn embu achni aibuu
Kajua kuzalilika cyo Kwa kujiamin uko😂😂😂😂
We iyo kaa nayo ikikua utanishtua😂😂😂
Kevoo amevaa na kilemba
Etiii bado wananganganiaa🤣🤣🤣🤣woi mm ningejitooaa
MBOO NDEEEEEFU KUMA KWA JIRANI 😂😂😂😂😂 SHENZI KABISA.
Kevoo na brayoo malaya sana mazee
ANANYAKUA HALELUYA
Nikifika nanyakua
Mnawaanika wanawake muharibifu mnanficha
Hyo mimba baki nayo, ikikua utanishtua. 🤣🤣🤣🤣. Nakupa ubak nayo ww mda wa kuzaa ukifika utanishtua. 😂😂😂
Poleni Sana wadada shida wanaume wanatamani làkini tu hawapendi kuweni makini by samweli
Mm Kwa umri niliofika Sina mda wa kufosi mambo Kama ni changu kutakuwa changu
Huyu kevoo hamna mwanaume hapoo,,asia mama huyo kaka mmmh😢
Jmn kwannn mnaficha sura zao
Nimecheka hawa wanaume hawa 😂😂😂😂😂😂😂
Kubabake humutu huyo dem mwingine alikua anajitamba san
Kaka hapo umefanya jambo labusara huyo neila hana heshima kwanza mavazi yake tu balaa
Uyo rafiki mbwa Asia utapata mume
Wote hawajitambui
Ikikua utanistua 😂😂😂😂 kevoooo🙌
Nafka nanyakua huyoooo😂😂
Mr UK s umchukue Sia awe Dem wako tu nibint mtiifu sanaa
Ilikuwa utanistua
Umenifanya nitoke insta mpaka uku yutb